< Zaburi 62 >

1 Katika ukimya ninamsubiri Mungu pekee; wokovu wangu watoka kwake.
My soul rests in God alone. My yishu'ah ·salvation· comes from him.
2 Yeye pekee ni mwamba wangu na wokovu wangu; yeye ni mnara wangu mrefu; sitasogezwa kamwe.
He alone is my rock and my yishu'ah ·salvation·, my fortress— I will never be greatly shaken.
3 Mpaka lini, ninyi nyote, mtamshambulia mtu, ili kwamba mumpindue yeye kama ukuta ulio inama au kama fensi isiyo imara?
How long will you assault a man, would all of you throw him down, Like a leaning wall, like a tottering fence?
4 Wanashauliana naye ili tu kumshusha chini kutoka kwenye nafasi yake heshimiwa; wao wanapenda kuongea uongo; wanambariki yeye kwa midomo yao, lakini mioyoni mwao wana mlaani yeye. (Selah)
They fully intend to throw him down from his lofty place. They delight in lies. They bless with their mouth, but they curse inwardly. (Selah) ·contemplation with musical interlude·.
5 Katika ukimya ninamsubiri Mungu pekee; kwa maana matumaini yangu yako kwake.
My soul, wait in silence for God alone, for my expectation is from him.
6 Yeye pekee ni mwamba wangu na wokovu wangu; yeye ni mnara wangu mrefu; sitasogezwa.
He alone is my rock and my yishu'ah ·salvation·, my fortress. I will not be shaken.
7 Na Mungu ni wokovu wangu na utukufu wangu; mwamba wa nguvu yangu na kimbilio langu salama liko katika Mungu.
With God is my yesha' ·salvation· and my kavod ·weighty glory·. The rock of my strength, and my refuge, is in God.
8 Mwaminini Mungu wakati wote, ninyi watu; mimina moyo wako mbele zake; Mungu ni kimbilio salama kwa ajili yetu. (Selah)
Trust in him at all times, you people. Pour out your heart before him. God is a refuge for us. (Selah) ·contemplation with musical interlude·.
9 Hakika watu wenye msimamo mdogo ni ubatili, na watu wenye msimamo mkubwa ni waongo; wao watakuwa wepesi kwenye mzani; uzito wao pamoja ni wepesi kuliko kitu chochote.
Surely men of low degree are just a breath, and men of high degree are a lie. In the balances they will go up. They are together lighter than a breath.
10 Usiamini katika ukandamizaji au wizi; usitumainie utajiri, maana hawatazaa matunda; usiuweke moyo wako kwenye hivyo.
Don’t trust in oppression. Don’t become vain in robbery. If riches increase, don’t set your heart on them.
11 Mungu ameongea mara moja, mara mbili nimesikia hili: nguvu ni za Mungu.
God has spoken once; twice I have sh'ma ·heard obeyed· this, that power belongs to God.
12 Pia kwako, Bwana, ni uaminifu wa agano, maana humlipa kila mtu kwa kile alichokifanya.
Also to you, Lord, belongs cheshed ·loving-kindness·, for you reward every man according to his work.

< Zaburi 62 >