< Zaburi 57 >

1 Unihurumie, Mungu, unihurumie mimi, kwa maana ninakukimbilia wewe mpaka matatizo haya yaishe. Ninakaa chini ya mbawa za zako kwa ajili ya ulinzi mpaka huu uharibifu utakapoisha.
Ten compasión de mí, oh ʼElohim. Ten compasión de mí. Porque mi alma confía en Ti, Y en la sombra de tus alas me amparo Hasta que pase la destrucción.
2 Nitakulilia Mungu uliye hai, kwa Mungu, afanyaye mambo yote kwa ajili yangu.
Clamaré a ʼElohim ʼElyón, A ʼEL, Quien me favorece.
3 Yeye atatuma msaada kutoka mbinguni na kuniokoa, ana hasira na wale wanaonishambulia. (Selah) Mungu atanitumia upendo wake mwema na uaminifu wake.
Él enviará desde el cielo Y me salvará de la infamia del que me oprime. (Selah) ʼElohim enviará su misericordia y su verdad.
4 Uhai wangu uko katikati ya simba; niko katikati ya wale walio tayari kunila. Niko katikati ya watu ambao meno yao ni mikuki na mishale, na ambao ndimi zao ni kali kama upanga.
Mi vida está en medio de leones. Estoy tendido entre los que respiran fuego. Hijos de hombres, sus dientes son lanzas y flechas, Y su lengua, espada aguda.
5 Uinuliwe, Mungu, juu ya mbingu, utukufu wako uwe juu ya nchi yote.
¡Exaltado seas sobre los cielos, oh ʼElohim! ¡Tu gloria sea sobre toda la tierra!
6 Wao walisambaza nje wavu kwa ajili ya miguu yangu; nilikuwa na shida sana. Walichimba shimo mbele yangu. Wao wenyewe wameangukia katikati ya shimo! (Selah)
Tendieron una red ante mis pies para doblegar mi vida. Cavaron un hoyo delante de mí Y ellos cayeron en él. (Selah)
7 Moyo wangu umeponywa, Mungu, moyo wangu umeponywa, nitaimba, ndiyo, nitaimba sifa.
Mi corazón está establecido, oh ʼElohim. Está firme mi corazón. Cantaré y entonaré salmos.
8 Inuka, moyo wa thamani; inuka, kinanda na kinubi; nitaamka alfajiri.
Despierta, alma mía. Despierten, arpa y lira. Yo despertaré el alba.
9 Nitakushukuru wewe, Bwana, kati ya watu; Kati ya mataifa nitakuimbia sifa.
Te daré gracias entre los pueblos, oh ʼAdonay. Te cantaré salmos en las naciones.
10 Maana upendo wako usiokwisha, huzifikia mbingu; na uaminifu wako mawinguni.
Porque tu misericordia es grande hasta los cielos, Y tu verdad, hasta las nubes.
11 Uinuliwe, Mungu, juu ya mbingu; na utukufu wako uinuliwe juu ya nchi yote.
Exaltado seas sobre los cielos, oh ʼElohim. Y tu gloria sea por encima de toda la tierra.

< Zaburi 57 >