< Zaburi 29 >

1 Mpeni sifa Yahwe, enyi wana wa Mungu! Mpeni sifa Yahwe kwa ajili ya utukufu wake na nguvu.
¡Tributen a Yavé, oh hijos de los poderosos! ¡Tributen a Yavé la gloria y el poder!
2 Mpeni Yahwe utukufu ambao jina lake linastahili. Mpigieni magoti Yahwe katika mapambo ya utakatifu.
¡Tributen a Yavé la gloria debida a su Nombre! ¡Póstrense ante Yavé en el esplendor de la santidad!
3 Sauti ya Yahwe imesikika zaidi ya maji; Mungu wa radi ya utukufu, radi yaYahwe i juu ya maji mengi.
Voz de Yavé sobre las aguas: ¡El ʼElohim de gloria truena! ¡Yavé está sobre muchas aguas!
4 Sauti ya Yahwe ina nguvu; sauti ya Yahwe ni kuu.
Voz de Yavé es poderosa, Voz de Yavé es majestuosa.
5 Sauti ya Yahwe huivunja mierezi; Yahwe huivunja vipande vipande mierezi ya Lebanon.
Voz de Yavé que quiebra los cedros, Yavé destroza los cedros del Líbano.
6 Yeye huifanya Lebanoni kuruka kama ndama wa ng'ombe na Sirioni kama mwana wa nyati.
Él hace saltar al Líbano como un becerro.
7 Sauti ya Yahwe hutoa miale ya moto.
Voz de Yavé que enciende llamaradas.
8 Sauti ya Yahwe hutetemesha Jangwa; Yahwe hutetemesha jangwa la Kadeshi.
Voz de Yavé que estremece el desierto. Yavé sacude al desierto de Cades.
9 Sauti ya Yahwe huufanya miti mikubwa kutikisika na huipukutisha misitu. Kila mmoja katika hekalu lake husema, “Utukufu!”
Voz de Yavé que estremece los robles y desnuda los bosques. En su Templo todos proclaman su gloria.
10 Yahwe hukaa kama mfalme juu ya mafuriko; Yahwe hukaa kama mfalme milele.
Yavé preside en el diluvio. Yavé se sienta como Rey para siempre.
11 Yahwe huwatia nguvu watu wake; Yahwe huwa bariki watu wake na amani.
Yavé dará fortaleza a su pueblo. Yavé bendecirá a su pueblo con paz.

< Zaburi 29 >