< Zaburi 25 >

1 Kwako, Yahwe, nayainua maisha yangu!
Ein Psalm Davids. Nach dir, HERR, verlangt mich.
2 Mungu wangu, ninaamini katika wewe. Usiniache niaibishwe; usiwaache maadui zangu wafurahie ushindi wao kwangu.
Mein Gott, ich hoffe auf dich; laß mich nicht zu Schanden werden, daß sich meine Feinde nicht freuen über mich.
3 Asiaibishwe mtu yeyote anaye kutumaini bali waaibishwe wale watendao hila bila sababu!
Denn keiner wird zu Schanden, der dein harret; aber zu Schanden müssen sie werden, die leichtfertigen Verächter.
4 Unijulishe njia zako, Yahwe; unifundishe njia zako.
HERR, zeige mir deine Wege und lehre mich deine Steige;
5 Uniongoze kwenye kweli yako na unifundishe, kwa kuwa wewe ni Mungu wa wokovu wangu; ninakutumainia wewe siku zote za maisha yangu.
leite mich in deiner Wahrheit und lehre mich! Denn du bist der Gott, der mir hilft; täglich harre ich dein.
6 Kumbuka, Yahwe, matendo yako ya huruma na uaminifu wa agano lako; kwa kuwa vimekuwapo siku zote.
Gedenke, HERR, an deine Barmherzigkeit und an deine Güte, die von der Welt her gewesen ist.
7 Usizikumbuke dhambi za ujana wangu wala uasi wangu; Uniweke akilini mwako pamoja na uaminifu wa agano kwa zababu ya uzuri wa wako, Yahwe!
Gedenke nicht der Sünden meiner Jugend und meiner Übertretungen; gedenke aber mein nach deiner Barmherzigkeit um deiner Güte willen!
8 Yahwe ni mzuri na mwenye haki; kwa hiyo yeye huwafundisha njia mwenye dhambi.
Der HERR ist gut und fromm; darum unterweist er die Sünder auf dem Wege.
9 Yeye huwaelekeza wanyenyekevu kwa kile kilicho sahihi na yeye huwafundisha wao njia yake.
Er leitet die Elenden recht und lehrt die Elenden seinen Weg.
10 Njia zote za Yahwe ni za upendo wa kudumu na niaminifu kwa wote wanao tunza agano na maagizo ya amri zake.
Die Wege des HERRN sind eitel Güte und Wahrheit denen, die seinen Bund und seine Zeugnisse halten.
11 Kwa ajili ya jina lako, Yahwe, unisamehe dhambi zangu, kwa kuwa ni nyingi mno.
Um deines Namens willen, HERR, sei gnädig meiner Missetat, die da groß ist.
12 Ni nani ambaye anamuogopa Yahwe? Bwana atamfundisha yeye katika njia ambayo anapaswa kuichagua.
Wer ist der, der den HERRN fürchtet? Er wird ihn unterweisen den besten Weg.
13 Maisha yake yataenenda katika uzuri; na uzao wake utairithi nchi.
Seine Seele wird im Guten wohnen, und sein Same wird das Land besitzen.
14 Urafiki wa Yahwe ni kwa ajili ya wale wanao mheshimu yeye, naye hulifanya agano lake lijulikane kwao.
Das Geheimnis des HERRN ist unter denen, die ihn fürchten; und seinen Bund läßt er sie wissen.
15 Siku zote macho yangu yanamtazama Yahwe, kwa kuwa yeye ataifungua miguu yangu kwenye nyavu.
Meine Augen sehen stets zu dem HERRN; denn er wird meinen Fuß aus dem Netze ziehen.
16 Unigeukie mimi na unihurumie; kwa maana niko peke yangu na niliye matesoni.
Wende dich zu mir und sei mir gnädig; denn ich bin einsam und elend.
17 Maumivu ya moyo wangu yameongezeka; uniondoe katika dhiki hii!
Die Angst meines Herzens ist groß; führe mich aus meinen Nöten!
18 Tazama mateso yangu na taabu yangu; unisamehe dhambi zangu zote.
Siehe an meinen Jammer und mein Elend und vergib mir alle meine Sünden!
19 Ona maadui zangu, kwa maana ni wengi; wananichukia kwa chuki ya kikatili.
Siehe, daß meiner Feinde so viel sind und hassen mich aus Frevel.
20 Uyalinde maisha yangu na uniokoe; usiniache niaibishwe, Kwa kuwa kwako nakimbilia usalama!
Bewahre meine Seele und errette mich, laß mich nicht zu Schanden werden; denn ich traue auf dich.
21 Uadilifu na unyofu vinihifadhi, kwa kuwa nina kutumainia wewe.
Schlecht und Recht, das behüte mich; denn ich harre dein.
22 Mungu, uiokoe Israeli, na shida yake yote!
Gott, erlöse Israel aus aller seiner Not!

< Zaburi 25 >