< Zaburi 20 >

1 Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. Mungu akusaidie wakati wa shida; na jina la Mungu wa Yakobo likulinde
To the Overseer. — A Psalm of David. Jehovah doth answer thee, In a day of adversity, The name of the God of Jacob doth set thee on high,
2 na kutuma msaada kutoka mahali patakatifu kwa ajili ya kukutegemeza wewe kutoka Sayuni.
He doth send thy help from the sanctuary, And from Zion doth support thee,
3 Naye akumbuke sadaka yako yote na kuipokea sadaka ya kuteketezwa.
He doth remember all thy presents, And thy burnt-offering doth reduce to ashes. (Selah)
4 Naye akujalie haja za moyo wako na kutimiza mipango yako yote.
He doth give to thee according to thy heart, And all thy counsel doth fulfil.
5 Ndipo tutakapo shangilia katika ushindi wako, na, katika jina la Mungu wetu, tutapeperusha bendera. Yahwe naakupe maombi yako yote ya haki.
We sing of thy salvation, And in the name of our God set up a banner. Jehovah doth fulfil all thy requests.
6 Sasa ninajua ya kuwa Yahwe atawaokoa wapakwa mafuta wake; yeye atamjibu yeye kutoka katika mbingu takatifu kwa uweza wa mkono wake wa kuume ambao waweza kumuokoa yeye.
Now I have known That Jehovah hath saved His anointed, He answereth him from His holy heavens, With the saving might of His right hand.
7 Baadhi hamini katika magari na wengine katika farasi, lakini sisi tumuita Yahwe Mungu wetu.
Some of chariots, and some of horses, And we of the name of Jehovah our God Make mention.
8 Wao watashushwa chini na kuanguka, bali sisi tutainuka na kusimama wima!
They — they have bowed and have fallen, And we have risen and station ourselves upright.
9 Yahwe, umuokoe mfalme; utusaidie sisi tukuitapo.
O Jehovah, save the king, He doth answer us in the day we call!

< Zaburi 20 >