< Zaburi 147 >

1 Msifuni Yahwe, kwa maana ni vyema kumwimbia sifa Mungu wetu, ni kuzuri, kusifu kwa faa sana.
¡Aleluya! Porque es bueno cantar salmos a nuestro ʼElohim, Porque agradable, hermosa es la alabanza.
2 Yahwe huijenga tena Yerusalemu, huwakusanya pamoja watu wa Israeli waliotawanyika.
Yavé edifica a Jerusalén. Él reúne a los desterrados de Israel.
3 Huponya mioyo iliyopondeka na kuganga majeraha yao.
Él sana a los quebrantados de corazón Y venda sus heridas.
4 Huzihesabu nyota, naye huzipa majina zote.
Él cuenta el número de las estrellas. Él da nombres a todas ellas.
5 Ukuu ni wa Bwana wetu na nguvu zake ni za kutisha, ufahamu wake hauwezi kupimika.
Grande es nuestro ʼAdonay Y prominente en fortaleza. Su entendimiento es infinito.
6 Yahwe huwainua wanyonge, huwashusha chini wenye jeuri.
Yavé sostiene a los afligidos. Él abate a los perversos hasta la tierra.
7 Mwimbieni Yahwe kwa shukurani, mwimbieni sifa Mungu wetu kwa kinubi.
Canten a Yavé con acción de gracias. Canten salmos a nuestro ʼElohim con el arpa,
8 Huzifunika mbingu kwa mawingu na huiandaa mvua kwa ajili ya nchi, akizifanya nyasi kukua juu ya milima.
Quien cubre de nubes el cielo, Quien provee lluvia para la tierra, Quien desarrolla la hierba en las montañas.
9 Huwapa wanyama chakula na wana kunguru waliapo.
Él da a la bestia su alimento, A las crías de los cuervos que claman.
10 Hapati furaha katika nguvu ya farasi, wala haridhii miguu imara ya mwanadamu.
No se deleita con la fuerza del caballo, No se complace en las piernas de un hombre.
11 Yahwe huridhia katika wale wanao muheshimu yeye, watumainio katika uaminifu wa agano lake.
Yavé favorece a los que le temen, Los que esperan su misericordia.
12 Msifuni Yahwe, Yerusalemu, msifuni Mungu wenu, Sayuni.
¡Alaba a Yavé, oh Jerusalén! ¡Alaba a tu ʼElohim, oh Sion!
13 Maana yeye huyakaza mapingo ya malango yako, huwabariki watoto wako kati yako.
Porque Él refuerza los cerrojos de tus puertas, Él bendice a tus hijos dentro de ti.
14 Huletamafanikio ndani ya mipaka yako, hukutosheleza kwa ngano bora.
Él establece paz en tus fronteras, Él te sacia con lo mejor del trigo.
15 Huipeleka amri yake juu ya nchi, amri zake hupiga mbio sana.
Él envía su mandato a la tierra, Su Palabra corre velozmente.
16 Huifanya theluji kama sufu, huitawanya barafu kama majivu.
Él da nieve como lana, Él esparce la escarcha como ceniza.
17 Hutupa mvua ya mawe kama makombo, ni nani awezaye kuhimili baridi aitumayo?
Él lanza su nieve como migas. ¿Quién puede resistir su helada?
18 Hutuma amri zake na kuziyeyusha, huvumisha upepo wake na hutiririsha maji.
Envía su Palabra, Y la derrite, Impulsa su viento para que sople, Y fluyan las aguas.
19 Hutangaza neno lake kwa Yakobo, amri zake na hukumu zake kwa Israeli.
Él declara sus Palabras a Jacob, Sus Estatutos y Ordenanzas a Israel.
20 Hajafanya hivyo kwa taifa linginelo lolote, na kama ilivyo amri zake, hawazijui. Msifuni Yahwe.
No trató así con ninguna nación. Ninguna otra conoció sus ordenanzas. ¡Aleluya! ¡Aleluya!

< Zaburi 147 >