< Zaburi 13 >

1 Mpaka lini, Yahweh, utaendelea kunisahau? Ni kwa muda gani utauficha uso wako nisiuone?
How long, Adonai? Will you forget me forever? How long will you hide your face from me?
2 Ni kwa muda gani nitalazimika kuhofu na kuhuzunika moyoni mwangu kila siku? Ni kwa muda gani adui zangu watanishida?
How long shall I take counsel in my soul, having sorrow in my heart every day? How long shall my enemy triumph over me?
3 Unitazame na unijibu, Yahwe Mungu wangu! Nipe mwanga machoni pangu, vinginevyo nitalala katika mauti.
Behold, and answer me, Adonai, my God. Give light to my eyes, lest I sleep in death;
4 Usimuache adui yangu aseme, “Nimemshinda huyu,” ili kwamba asiweze kusema, “Nimemtawala adui yangu;” la sivyo, maadui zangu watafurahia nitakapo shushwa chini.
Lest my enemy say, “I have prevailed against him;” Lest my adversaries rejoice when I fall.
5 Lakini nimeamini katika uaminifu wa agano lako; moyo wangu wafurahia katika wokovu wako.
But I trust in your cheshed ·loving-kindness·. My heart rejoices in your yishu'ah ·salvation·.
6 Nitamuimbia Yahwe kwa kuwa ameniganga kwa ukarimu kabisa.
I will sing to Adonai, because he has been good to me.

< Zaburi 13 >