< Zaburi 126 >

1 Bwana alipowarejesha mateka wa Sayuni, tulikuwa kama waotao ndoto.
京まうでの歌 ヱホバ、シオンの俘囚をかへしたまひし時 われらは夢みるもののごとくなりき
2 Vinywa vyetu vilijawa na vicheko na ndimi zetu zilijawa na kuimba. Kisha wakasema kati ya mataifa, “Yahwe amewatendea mambo makuu.”
そのとき笑はわれらの口にみち歌はわれらの舌にみてり ヱホバかれらのために大なることを作たまへりといへる者もろもろの國のなかにありき
3 Yahwe alitufanyia mambo makuu; ni furaha gani tuliyokuwa nayo!
ヱホバわれらのために大なることをなしたまひたれば我儕はたのしめり
4 Ee Yahwe, uwarejeshe mateka wetu, kama vijito vya kusini.
ヱホバよ願くはわれらの俘囚をみなみの川のごとくに歸したまへ
5 Wale wapandao kwa machozi watavuna kwa kelele za furaha.
涙とともに播くものは歡喜とともに穫らん
6 Yeye aendaye akilia, akibeba mbegu kwa ajili a kupanda, atarudi tena kwa kelele za furaha, akileta miganda yake.
その人は種をたづさへ涙をながしていでゆけど禾束をたづさへ喜びてかへりきたらん

< Zaburi 126 >