< Zaburi 126 >

1 Bwana alipowarejesha mateka wa Sayuni, tulikuwa kama waotao ndoto.
上行之诗。 当耶和华将那些被掳的带回锡安的时候, 我们好像做梦的人。
2 Vinywa vyetu vilijawa na vicheko na ndimi zetu zilijawa na kuimba. Kisha wakasema kati ya mataifa, “Yahwe amewatendea mambo makuu.”
我们满口喜笑、 满舌欢呼的时候, 外邦中就有人说: 耶和华为他们行了大事!
3 Yahwe alitufanyia mambo makuu; ni furaha gani tuliyokuwa nayo!
耶和华果然为我们行了大事, 我们就欢喜。
4 Ee Yahwe, uwarejeshe mateka wetu, kama vijito vya kusini.
耶和华啊,求你使我们被掳的人归回, 好像南地的河水复流。
5 Wale wapandao kwa machozi watavuna kwa kelele za furaha.
流泪撒种的, 必欢呼收割!
6 Yeye aendaye akilia, akibeba mbegu kwa ajili a kupanda, atarudi tena kwa kelele za furaha, akileta miganda yake.
那带种流泪出去的, 必要欢欢乐乐地带禾捆回来!

< Zaburi 126 >