< Zaburi 114 >

1 Israeli ilipotoka Misri, na nyumba ya Yakobo toka kutoka katika wale watu wa kigeni,
När Israel drog ut ur Egypten, Jakobs hus ut ifrån folket med främmande tunga,
2 Yuda ilifanyika kuwa mahali pake patakatifu, Ufalme wa Israeli.
då vart Juda hans helgedom, Israel hans herradöme.
3 Bahari iliona ikakimbia; Yordani ilirudi nyuma.
Havet såg det och flydde, Jordan vände tillbaka.
4 Milima iliruka kama kondoo waume, vilima viliruka kama wana-kondoo.
Bergen hoppade såsom vädurar, höjderna såsom lamm.
5 Ewe Bahari kwa nini ulikimbia? Yordani kwa nini ulirudi nyuma?
Varför flyr du undan, du hav? Du Jordan, varför vänder du tillbaka?
6 Milima, kwa nini uliruka kama kondoo waume? Enyi vilima wadogo, kwa nini mliruka kama wana-kondoo?
I berg, varför hoppen I såsom vädurar, I höjder, såsom lamm?
7 Tetemeka, ee nchi, mbele za Bwana, uweponi mwa Mungu wa Yakobo.
För Herren må du väl bäva, du jord, för Jakobs Guds ansikte,
8 Aligeuza mwamba kuwa ziwa la maji, jiwe gumu kuwa chemchem.
för honom som förvandlar klippan till en vattenrik sjö, hårda stenen till en vattenkälla.

< Zaburi 114 >