< Zaburi 114 >

1 Israeli ilipotoka Misri, na nyumba ya Yakobo toka kutoka katika wale watu wa kigeni,
Cuando Israel salió de Egipto, La casa de Jacob de un pueblo de lengua extraña,
2 Yuda ilifanyika kuwa mahali pake patakatifu, Ufalme wa Israeli.
Judá fue su santuario, E Israel, su dominio.
3 Bahari iliona ikakimbia; Yordani ilirudi nyuma.
El mar [lo] vio y huyó, El Jordán retrocedió.
4 Milima iliruka kama kondoo waume, vilima viliruka kama wana-kondoo.
Las montañas saltaron como carneros, Las colinas, como corderos.
5 Ewe Bahari kwa nini ulikimbia? Yordani kwa nini ulirudi nyuma?
¿Qué te ocurrió, oh mar, que huiste? ¿Y tú, oh Jordán, que retrocediste?
6 Milima, kwa nini uliruka kama kondoo waume? Enyi vilima wadogo, kwa nini mliruka kama wana-kondoo?
¿[Ustedes, oh montañas], que saltan como carneros, Y ustedes, oh colinas, como corderos?
7 Tetemeka, ee nchi, mbele za Bwana, uweponi mwa Mungu wa Yakobo.
Tiembla, oh tierra, ante ʼAdonay, Ante el ʼElohim de Jacob,
8 Aligeuza mwamba kuwa ziwa la maji, jiwe gumu kuwa chemchem.
Quien convirtió la peña en un estanque de aguas, Y el pedernal en manantial de aguas.

< Zaburi 114 >