< Zaburi 114 >

1 Israeli ilipotoka Misri, na nyumba ya Yakobo toka kutoka katika wale watu wa kigeni,
Da Israel von Ägypten auszog, Jakobs Haus weg von dem fremden Volke,
2 Yuda ilifanyika kuwa mahali pake patakatifu, Ufalme wa Israeli.
Da ward Jehudah zu Seinem Heiligtum, Israel zu Seinen Herrschaften.
3 Bahari iliona ikakimbia; Yordani ilirudi nyuma.
Das Meer sah und floh, der Jordan wandte sich herum rückwärts.
4 Milima iliruka kama kondoo waume, vilima viliruka kama wana-kondoo.
Die Berge hüpften wie Widder, Hügel wie der Herde Lämmer.
5 Ewe Bahari kwa nini ulikimbia? Yordani kwa nini ulirudi nyuma?
Was ist dir, Meer, daß du fliehst, du Jordan, daß du dich rückwärts herumwendest?
6 Milima, kwa nini uliruka kama kondoo waume? Enyi vilima wadogo, kwa nini mliruka kama wana-kondoo?
Euch Bergen, daß ihr hüpfet wie Widder, ihr Hügel, wie der Herde Lämmer?
7 Tetemeka, ee nchi, mbele za Bwana, uweponi mwa Mungu wa Yakobo.
Vor dem Angesicht des Herrn kreiße, du Erde! Vor dem Angesicht des Gottes Jakobs!
8 Aligeuza mwamba kuwa ziwa la maji, jiwe gumu kuwa chemchem.
Der den Fels verwandelt in einen Teich des Wassers, die Kiesel zum Brunnquell der Wasser.

< Zaburi 114 >