< Zaburi 113 >

1 Msifuni Yahwe. Msifuni yeye, enyi watumishi wa Yahwe; lisifuni jina la Yahwe.
Aleluja! Hvalite hlapci Gospodovi, hvalite ime Gospodovo!
2 Litukuzwe jina la Yahwe, tangu sasa na hata milele.
Blagoslovljeno bodí ime Gospodovo, od zdaj na vekomaj!
3 Toka maawio ya jua hata machweo yake, Jina la Yahwe lazima lisifiwe.
Od vzhoda solnčnega do zahoda, hvaljeno ime Gospodovo!
4 Yahwe ameinuliwa juu ya mataifa yote, na utukufu wake wafika juu mbinguni.
Vzvišen nad vse narode je Gospod, nad sama nebesa slava njegova.
5 Ni nani aliye kama Yahwe Mungu wetu, aliye na kiti chake juu,
Kdo je enak Gospodu, Bogu našemu, kateri prebiva visoko?
6 atazamaye chini angani na duniani?
Kateri nizko dol gleda, v nebesih in na zemlji.
7 Humwinua maskini toka mavumbini na kumpandisha muhitaji kutoka jaani,
Iz prahu povišuje ubozega, iz blata dviguje siromaka.
8 ili amketishe pamoja na wakuu, pamoja na wakuu wa watu wake.
Posaja ga med prvake, med ljudstva svojega prvake.
9 Humpa watoto wanamke aliye tasa, humfanya yeye kuwa mama wa watoto mwenye furaha. Msifuni Yahwe!
Daje, da ona, ki je bila nerodovitna v družini, sedí mati otrok vesela. Aleluja.

< Zaburi 113 >