< Zaburi 111 >

1 Msifuni Yahwe. Nitamshukuru Yahwe kwa moyo wangu wote katikati ya kusanyiko la wanye haki, na katika mkutano.
Hallelujah! Bekennen will ich Jehovah von ganzem Herzen im Kreise der Redlichen und in der Gemeinde.
2 Kazi za Yahwe ni kuu, zikisubiriwa na wale wazitamanio.
Groß sind Jehovahs Taten, nachgesucht von allen, die Lust daran haben.
3 Kazi yake ni adhama na utukufu, na haki yake yadumu milele.
Majestät und Ehre ist Sein Werk, und Seine Gerechtigkeit besteht immerfort.
4 Hufanya mambo makuu ambayo yatakumbukwa; Yahwe ni mwenye huruma na neema.
Er machte ein Andenken für Seine Wunder, gnädig und erbarmungsvoll ist Jehovah.
5 Huwapa chakula wafuasi wake waaminifu. Siku zote atalikumbuka agano lake.
Er gibt Speise denen, die Ihn fürchten, Er gedenkt Seines Bundes ewiglich.
6 Alionesha uweza wa kazi zake kwa watu wake kwa kuwapa urithi wa mataifa.
Er sagt an Seinem Volke Seiner Werke Kraft, indem Er ihnen gab der Völkerschaften Erbe.
7 Kazi za mikono yake ni za kuaminika na haki; maagizo yake yote ni ya kuaminika.
Die Werke Seiner Hände sind Wahrheit und Recht, wahrhaft sind alle Seine Verordnungen.
8 Yamethibitika milele, yamefanywa katika uaminifu na vizuri.
Sie werden erhalten immerfort, in Ewigkeit; sie sind getan in Wahrheit und Redlichkeit.
9 Aliwapa ushindi watu wake; aliliteuwa agano lake milele; jina lake ni takatifu na lakutisha.
Er sandte Seinem Volk Erlösung, Er gebot auf ewig Seinen Bund. Heilig und furchtbar ist Sein Name.
10 Kumcha Yahwe ni mwanzo wa hekima; wale washikao maagizo yake wana uelewa mzuri. Sifa yake yadumu milele.
Der Weisheit Anfang ist die Furcht Jehovahs, guten Verstand haben alle, so danach tun. Sein Lob besteht immerfort.

< Zaburi 111 >