< Hesabu 33 >

1 Hizi ndizo safari za wana wa Israeli hapo walipotoka katika nchi ya Misri pamoja na makundi yao ya kijeshi chini ya uongozi wa Musa na Haruni.
These were the movements of the people of Israel after they left the land of Egypt by their armed groups under the leadership of Moses and Aaron.
2 Musa aliandika maeneo yote tangu walipoondoka mpaka walipofika, kama alivyoamuriwa na BWANA. Hizi ndizo safari zao kama kutoka kwao kulivyokuwa kwa kila walipotoka.
Moses wrote down the places from where they left to where they went, as commanded by Yahweh. These were their movements, departure after departure.
3 Mwezi wa kwanza walisafiri kutoka Ramesi, waliondoka siku ya kumi na tano. Asubuhi siku iliyofuata baada ya Pasaka, Wana wa Israeli waliondoka wazi wazi, mbele ya machoya Wamisri wote.
They traveled from Rameses during the first month, leaving on the fifteenth day of the first month. On the morning after the Passover, the people of Israel left openly, in the sight of all the Egyptians.
4 Hii ilitokea wakati Wamisiri walipokuwa wakizika wazaliwa wao wa kwanza, ambao BWANA alikuwa amewaua miongoni mwao, kwa kuwa pia alikuwa ameiadhibu miungu yao.
This happened while the Egyptians were burying all their firstborn, those whom Yahweh had killed among them, for he also inflicted punishment on their gods.
5 Wana wa Israeli walisafiri kutoka Ramesi na kuweka kambi
The people of Israel set out from Rameses and camped at Succoth.
6 Sukothi. Walisafiri toka Sukothi na kuweka kambi Ethamu, mwisho wa nyika.
They set out from Succoth and camped at Etham, on the edge of the wilderness.
7 Wakasafiri kutoka Ethamu wakarudi mpaka Pi-Hahirothi, ambayo inaikabili Baali Zephoni, ambapo waliweka kambi kuikabili Migidoli
They set out from Etham and turned back to Pi Hahiroth, which is opposite Baal Zephon, where they camped opposite Migdol.
8 Kisha wakasafiri toka mkabala wa Pi-Hairothi na kupita katikati ya bahari kuelekea nyikani. Wakasafiri safari ya siku tatu katika nyika ya Ethamu na kuweka kambi Mara.
Then they set out from opposite Pi Hahiroth and passed through the middle of the sea into the wilderness. They traveled three days' journey into the wilderness of Etham and camped at Marah.
9 Wakasafiri kutoka Mara kufika Elimu. Pale Elimu kulikuwa na chemichemi kumi na mbili za maji na miti sabini ya mitende. hapo ndipo walipoweka kambi.
They set out from Marah and arrived at Elim. At Elim were twelve springs of water and seventy palm trees. That is where they camped.
10 Walisafiri kutoka Elimu na kuweka kambi karibu na Bahari ya Shamu.
They set out from Elim and camped by the Sea of Reeds.
11 Walisafiri kutoka Bahari ya Shamu na kuweka kambi katika nyika ya Sini.
They set out from the Sea of Reeds and camped in the wilderness of Sin.
12 Walisafiri kutoka nyika ya Sini na kuweka kambi Dofka.
They set out from the wilderness of Sin and camped at Dophkah.
13 Wakasafiri kutoka Dofka na kuweka kambi Alushi.
They set out from Dophkah and camped at Alush.
14 Wakasafiri kutoka Alushi na kuweka kambi Refidimu, ambapo watu walikosa maji ya kunywa.
They set out from Alush and camped at Rephidim, where no water was found for the people to drink.
15 Walisafiri kutoka Refidimu na kuweka kambi kwenye nyika ya Sinai.
They set out from Rephidim and camped in the wilderness of Sinai.
16 Walisafiri kutoka nyika ya Sinai na kuweka kambi Kibrothi Hataava.
They set out from the wilderness of Sinai and camped at Kibroth Hattaavah.
17 Walisafiri kutoka Kibrothi Hataava na kuweka kambi Hazerothi.
They set out from Kibroth Hattaavah and camped at Hazeroth.
18 Walisafiri kutoka Hazerothi na kuweka kambi Rithima.
They set out from Hazeroth and camped at Rithmah.
19 Walisafiri kutoka Rithima na kuweka kambi Rimoni Perezi.
They set out from Rithmah and camped at Rimmon Perez.
20 Walisafiri kutoka Rimoni Perezi na kuweka kambi Libna.
They set out from Rimmon Perez and camped at Libnah.
21 Walisafiri kutoka Libna na kuweka kambi Risa.
They set out from Libnah and camped at Rissah.
22 Walisafiri kutoka Risa na kuweka kambi Kehelatha.
They set out from Rissah and camped at Kehelathah.
23 Walisafiri kutoka Kehelatha na kuweka kambi kwenye Mlima Sheferi.
They set out from Kehelathah and camped at Mount Shepher.
24 Walisafiri kutoka Mlima Sheferi na kuweka kambi Harada.
They set out from Mount Shepher and camped at Haradah.
25 Walisafiri kutoka Harada na kuweka kambi Makelothi.
They set out from Haradah and camped at Makheloth.
26 Walisafiri kutoka Makelothi na kuweka kambi Tahathi.
They set out from Makheloth and camped at Tahath.
27 Walisafiri kutoka Ttahalathi na kuweka kambi Tera.
They set out from Tahath and camped at Terah.
28 Walisafiri kutokaTera na kuweka kambi Mithika.
They set out from Terah and camped at Mithkah.
29 Walisafiri kutoka Mithika na kuweka kambi Hashimona.
They set out from Mithkah and camped at Hashmonah.
30 Walisafiri kutoka Hashimona na kuweka kambi Moserothi.
They set out from Hashmonah and camped at Moseroth.
31 Walisafiri kutoka Moserothi na kuweka kambi Bene Jaakani.
They set out from Moseroth and camped at Bene Jaakan.
32 Walisafiri kutoka Bene Jaakani na kuweka kambi Hori Hagidigadi.
They set out from Bene Jaakan and camped at Hor Haggidgad.
33 Walisafiri kutoka Hori Hagidigadi na kuweka kambi Jotibatha.
They set out from Hor Haggidgad and camped at Jotbathah.
34 Walisafiri kutoka Jotibatha na kuweka kambi Abrona.
They set out from Jotbathah and camped at Abronah.
35 Walisafiri kutoka Abrona na kuweka kambi Ezioni Geberi.
They set out from Abronah and camped at Ezion Geber.
36 Walisafiri toka Ezioini Geberi na kuweka kambi katika nyika ya Sini kule Kadeshi.
They set out from Ezion Geber and camped in the wilderness of Zin at Kadesh.
37 Walisafiri kutoka Kadeshi na kuweka kambi Mlima Hori, Pembezoni mwa nchi ya Edomu.
They set out from Kadesh and camped at Mount Hor, at the edge of the land of Edom.
38 Hapo ndipo Haruni kuhani alipoenda kwenye Mlima Hori kwa amri ya BWANA na kufa kule mwaka wa arobaini bada ya Wisraeli kutoka katika nchi ya Misri, katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano.
Aaron the priest went up Mount Hor at Yahweh's command and died there in the fortieth year after the people of Israel had come out of the land of Egypt, in the fifth month, on the first day of the month.
39 Haruni alikuwa na umri wa mika 123 alipokufa pale juu ya Mlima Hori.
Aaron was a 123 years old when he died on Mount Hor.
40 Wakanaani, mfalme wa Aradi, ambao waliishi kusini mwa nyika katika nchi ya Kanaani, walisikia juu ya ujio wa wana wa Israeli.
The Canaanite, the king of Arad, who lived in the southern wilderness in the land of Canaan, heard of the coming of the people of Israel.
41 Walisafiri kutika Mlima Hori n a kuweka kambi Zalimona.
They set out from Mount Hor and camped at Zalmonah.
42 Walisafiri kutoka Zalimona na kuweka kambi Punoni.
They set out from Zalmonah and camped at Punon.
43 Walisafiri kutoka Punoni na kuweka kambi Obothi.
They set out from Punon and camped at Oboth.
44 Walisafiri kutoka Obothi na kuweka kambi Abarimu, katika mpaka wa Moabu.
They set out from Oboth and camped at Iye Abarim, on the border of Moab.
45 Walisafiri kutoka Abarimu na kuweka kambi Diboni Gadi.
They set out from Iye Abarim and camped at Dibon Gad.
46 Walisafiri kutoka Diboni Gadi na kuweka kambi Alimoni Diblathaimu.
They set out from Dibon Gad and camped at Almon Diblathaim.
47 Walisafiri kutoka Alimoni Diblathaimu na kuweka kambi kwenye milima ya Abarimu mkabala na Nebo.
They set out from Almon Diblathaim and camped in the mountains of Abarim, opposite Nebo.
48 Walisafiri kutoka mlima wa Abarimuna kuweka kambi kwenye nyanda za Moabu karibu na Yorodani huko Yeriko.
They set out from the mountains of Abarim and camped in the plains of Moab by the Jordan at Jericho.
49 Waliweka kambi karibu na Yorodani, kutoka Bethi Jeshimothi mpaka Abeli Shitimu katika nyanda za Moabu.
They camped by the Jordan, from Beth Jeshimoth to Abel Shittim in the plains of Moab.
50 Hapo BWANA alinenana Musa katika nyanda za Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko akasema,
Yahweh spoke to Moses in the plains of Moab by the Jordan at Jericho and said,
51 “Nena na wana wa Israeli uwaambie. 'Mtakapovuka mto Yorodani kuingia Kanaani,
“Speak to the people of Israel and say to them, 'When you cross over the Jordan into the land of Canaan,
52 ndipo mtakapowafukuza wenyeji wote mbele yenu. Mtaziharibu sanamu zote za kuchongwa. Mtaziharibu sanamu zao za kusubu na kuharibu mahali pao pote palipoinuka.
then you must drive out all the land's inhabitants before you. You must destroy all their carved figures. You must destroy all their cast figures and demolish all their high places.
53 Mtachukua hiyo ardhi iwe mali yenu na muishi ndani yake, kwa sababu nimewapeni hiyo nchi iwe mali yenu.
You must take possession of the land and settle in it, because I have given you the land to possess.
54 Mtairithi hiyo nchi kwa kupiga kura, kwa kufuata kila ukoo. Kwa zile koo kubwa kubwa mtawapa sehemu kubwa ya ardhi, na kwa zile koo ndogo ndogo mtawapa sehemu ndogo ya ardhi. Kura itakapoanguka kwenye kila ukoo, hiyo ardhi itakuwa mali yake. Mtairithi ardhi kufuata ukoo wa kabilla la jamaa zenu.
You must inherit the land by lot, according to each clan. To the larger clans you must give a larger share of land, and to the smaller clans you must give a smaller share of land. Wherever the lot falls to each clan, that land will belong to it. You will inherit the land according to your ancestors' tribes.
55 Lakini kama hamtawafukuza wenyeji wa nchi hiyo watoke mbele yenu, ndipo wale watu mtakaowaruhusu wakae nanyi watakapokuwa kama sindano machoni mwenu na miiba katika mbavu zenu. Watayafanya maisha yenu yawe magumu katika nchi mnayoishi.
But if you do not drive out the land's inhabitants before you, then the people you allow to stay will become like objects in your eyes and thorns in your sides. They will make your lives difficult in the land where you settle.
56 Ndipo itakapotokea kuwa kile ambacho Mimi ninakusudia kufanya kwa wale watu, Nitawafanyia pia ninyi'”
Then it will happen that what I now intend to do to those people, I will do also to you.'”

< Hesabu 33 >