Aionian Verses

Wanawe na binti zake wote wakainuka na kumfariji, lakini alikataa kufarijiwa. Akasema, “Hakika nitashuka kuzimu nikimwombolezea mwanangu.” Babaye akamlilia. (Sheol h7585)
I zeszli się wszyscy jego synowie i wszystkie jego córki, aby go pocieszyć, lecz nie dał się pocieszyć, ale mówił: Naprawdę zstąpię za moim synem do grobu. I opłakiwał go jego ojciec. (Sheol h7585)
Yakobo akasema, “Mwanangu atashuka pamoja nanyi. Kwani ndugu yake amekufa na yeye peke yake amebaki. Ikiwa madhara yatampata katika njia mnayoiendea, ndipo mtakapozishusha mvi zangu kaburini kwa huzuni.” (Sheol h7585)
Ale on powiedział: Mój syn nie pójdzie z wami, gdyż jego brat umarł i tylko on jeden został. Jeśli przydarzy mu się nieszczęście na drodze, którą pójdziecie, w żalu doprowadzicie mnie, osiwiałego, do grobu. (Sheol h7585)
Nanyi mkimchukua huyu naye kutoka kwangu mabaya yanaweza kumpata, mtashusha mvi zangu kwa kaburini kwa huzuni. (Sheol h7585)
A jeśli zabierzecie mi też tego i spotka go nieszczęście, wtedy w żalu doprowadzicie mnie, osiwiałego, do grobu. (Sheol h7585)
itakuwa, atakapoona kwamba kijana hayupo nasi atakufa. Na watumishi wako watazishusha mvi za mtumishi wako baba yetu kaburini kwa masikitiko. (Sheol h7585)
Stanie się tak, że jak tylko zobaczy, że chłopca nie ma, umrze. A twoi słudzy doprowadzą twego sługę, naszego ojca, osiwiałego, z żalu do grobu. (Sheol h7585)
Lakini kama BWANA aumbaye malango ya ardhi ambayo huwameza kama mdomo mkubwa, pamoja na familia zao, na kama wataingia ndani ya shimo wakiwa hai, ndipo mtakapojua kuwa wamemdharau BWANA,” (Sheol h7585)
Ale jeśli PAN uczyni coś nowego i ziemia otworzy swoją paszczę, i pochłonie ich oraz wszystko, co do nich należy, i żywcem zstąpią do piekła, wtedy poznacie, że ci mężczyźni rozdrażnili PANA. (Sheol h7585)
Wao na kila mmoja kwenye familia zao wakaingia ndani shimoni wakiwa hai. Dunia ikwafunika, na kwa njia hii wakapotea kutoka miongoni mwa ile jamii. (Sheol h7585)
I zstąpili oni razem ze wszystkim, co mieli, żywcem do piekła, i ziemia ich okryła; tak zginęli spośród zgromadzenia. (Sheol h7585)
Kwa maana moto kuwashwa kwa hasira yangu na inawaka hadi chini mwa Sheoli; inameza ulimwengu na mavuno yake; inawasha moto misingi ya milima. (Sheol h7585)
Zapłonął bowiem ogień mojego gniewu i spłonie aż do głębin piekła, i pożre ziemię i jej plony, i wypali posady gór. (Sheol h7585)
BWANA huua na huuisha. Hushusha kuzimu na huleta tena juu. (Sheol h7585)
PAN zabija i ożywia, wprowadza do grobu i wyprowadza. (Sheol h7585)
Vifungo vya kuzimu vilinizunguka; kamba za mauti zikaninasa. (Sheol h7585)
Boleści piekła mnie oplotły, pochwyciły mnie sidła śmierci. (Sheol h7585)
Mshughulikie Yoabu kwa hekima ambayo umejifunza, lakini usiache mvi zake ziingie kaburini kwa amani. (Sheol h7585)
Uczynisz więc według swojej mądrości, jednak nie dopuść, aby w sędziwym wieku zstąpił w pokoju do grobu. (Sheol h7585)
Kwa hiyo sasa usimwache aiepuke adhabu. Wewe ni mwenye hekima, na utajua jinsi itakavyokupasa kumtendea. Utakileta hicho kichwa chenye mvi chini kaburini.” (Sheol h7585)
Teraz jednak nie daruj mu [tego]. Jesteś bowiem człowiekiem mądrym i będziesz wiedział, co masz mu uczynić, by posłać go w sędziwym wieku [zbroczonego] krwią do grobu. (Sheol h7585)
kama vile wingu liishavyo na kutoweka, hivyo wale waendao sheoli hawatarudi tena kabisa. (Sheol h7585)
[Jak] obłok się rozchodzi i przemija, tak ten, kto zstępuje do grobu, nie wraca. (Sheol h7585)
Upeo uko juu kama mbingu; unaweza kufanya nini wewe? Ni wenye kina kirefu kuliko kuzimu; waweza kufahamu nini wewe? (Sheol h7585)
Są wyżej niż niebiosa, co [możesz z tym] uczynić? Głębsze niż piekło, czy [możesz je] poznać? (Sheol h7585)
Laiti, kwamba ungenificha mimi mbali katika kuzimu mbali kutoka katika mahangaiko, na kwamba ungenitunza mimi katika siri hadi hasira yake imalizike, kwamba ungeniwekea mimi muda maalumu wa kukaa huko na kisha kuniita mimi katika fahamu! (Sheol h7585)
Obyś mnie w grobie ukrył i schował, aż twój gniew się uciszy, wyznaczył mi czas i wspomniał na mnie. (Sheol h7585)
Tangu mimi nitazame katika Kuzimu kama nyumbani kwangu; tangu Mimi nimetandaza kiti changu katika giza; (Sheol h7585)
Gdybym czegoś oczekiwał, grób [będzie] moim domem, w ciemności rozłożyłem swoje posłanie. (Sheol h7585)
Tumaini litakwenda pamoja na mimi katika milango ya Kuzimu wakati sisi tutakapokwenda katika mavumbi? (Sheol h7585)
Zstąpią do zasuw grobu, gdy razem odpoczniemy w prochu. (Sheol h7585)
Wanatumia siku zao katika mafanikio, na wanashuka kuzimu kwa utulivu. (Sheol h7585)
Spędzają swoje dni w dobrobycie, a w mgnieniu oka zstępują do grobu. (Sheol h7585)
Kiangazi na joto huondoa barafu; ndivyo kuzimu pia kunavyowaaribu waliotenda dhambi. (Sheol h7585)
[Jak] susza i upał trawią wody śniegu, [tak] grób [trawi] grzeszników. (Sheol h7585)
Kuzimu kuko wazi mbele ya Mungu; uharibifu hauna kizuizi dhidi yake. (Sheol h7585)
Piekło jest odkryte przed nim i zatracenie nie ma przykrycia. (Sheol h7585)
kwa kuwa kifoni hakuna kumbukumbu lako. Kuzimuni ni nani atakaye kushukuru? (Sheol h7585)
W śmierci bowiem nie ma pamięci o tobie, a w grobie któż cię będzie wysławiać? (Sheol h7585)
Waovu wamekataliwa na kupelekwa kuzimu, mataifa yote yanayo msahau Mungu. (Sheol h7585)
Niegodziwi zstąpią do piekła, wszystkie narody, które zapominają Boga. (Sheol h7585)
Kwa kuwa hautaiacha roho yangu kuzimuni. Wewe hautamuacha mwaminifu wako kuliona shimo. (Sheol h7585)
Nie zostawisz bowiem mojej duszy w piekle ani nie dopuścisz swemu Świętemu doznać zniszczenia. (Sheol h7585)
Kamba za kuzimu zilinizunguka; mitego ya mauti ilininasa. (Sheol h7585)
Boleści piekła mnie oplotły, pochwyciły mnie sidła śmierci. (Sheol h7585)
Yahwe, wewe umeitoa roho yangu kuzimuni; nawe umeniweka hai mbali na kaburi. (Sheol h7585)
PANIE, wyprowadziłeś moją duszę z piekła, zachowałeś mnie przy życiu, abym nie zstąpił do dołu. (Sheol h7585)
Usiniache niaibishwe, Yahwe; kwa maana ninakuita wewe! Waovu waaibishwe! Na wanyamaze kimya kuzimuni. (Sheol h7585)
PANIE, niech nie doznam wstydu, skoro cię wzywam; niech niegodziwi się wstydzą i zamilkną w grobie. (Sheol h7585)
Kama kondoo wamechaguliwa kwa ajili ya kuzimu na kifo kitakuwa mchungaji wao. Nao watatawaliwa na wenye haki ifikapo asubuhi, na miili yao italiwa kuzimuni, wakiwa hawana afasi ya kuishi kwa ajili yao. (Sheol h7585)
Jak owce będą złożeni w grobie, śmierć ich pożre; prawi będą nad nimi panować o poranku, ich postać zostanie zniszczona w grobie, gdy opuszczą swoje mieszkanie. (Sheol h7585)
Bali Mungu ataufufua uhai wangu kutoka katika nguvu ya kuzimu; naye atanipokea. (Selah) (Sheol h7585)
Ale Bóg wykupi moją duszę z mocy grobu, bo mnie przyjmie. (Sela) (Sheol h7585)
Kifo na kiwapate ghafla; na washuke wakiwa hai kuzimuni, maana ndiko waishiko waovu, hapo hapo kati yao. (Sheol h7585)
Niech śmierć ich zaskoczy, niech żywcem zstąpią do piekła, bo w ich domach i wśród nich [mieszka] zło. (Sheol h7585)
Kwa maana uaminifu wa agano lako ni mkuu kwangu; wewe umeokoa uhai wangu kutoka chini kuzimuni. (Sheol h7585)
Bo wielkie jest twoje miłosierdzie dla mnie; [ty] ocaliłeś moją duszę z najgłębszego piekła. (Sheol h7585)
Maana nimejawa taabu, na uhai wangu umefika kuzimuni. (Sheol h7585)
Moja dusza bowiem jest nasycona utrapieniem, a moje życie zbliża się do grobu. (Sheol h7585)
Ni nani aweza kuishi na asife, au atakaye iokoa nafsi yake dhidi ya mkono wa kuzimu? (Selah) (Sheol h7585)
Któż z ludzi może żyć i nie ujrzeć śmierci? [Któż] wyrwie swą duszę z mocy grobu? (Sela) (Sheol h7585)
Kamba za mauti zilinizunguka, na mitego ya kuzimu ilinikabili; niliona dhiki na huzuni. (Sheol h7585)
Otoczyły mnie boleści śmierci, utrapienia piekła przeniknęły mnie; przyszły na mnie ucisk i boleść. (Sheol h7585)
Kama nikipaa mbinguni, uko huko; kama nikifanya kitanda changu Kuzimuni, tazama, uko huko. (Sheol h7585)
Jeśli wstąpię do nieba, [jesteś] tam; jeśli przygotuję sobie posłanie w piekle, tam też jesteś. (Sheol h7585)
Watalazimika kusema, “Kama vile jembe moja livunjapo ardhi, hivyo mifupa yetu imesambaratishwa kinywani pa kuzimu.” (Sheol h7585)
Jak [gdyby kto] rąbał i łupał [drwa] na ziemi, [tak] nasze kości są rozrzucone przy wejściu do grobu. (Sheol h7585)
Haya tuwameza wakiwa hai, kama kuzimu inavyowachukua wenye afya, na kuwa kama wale waangukao kwenye shimoni. (Sheol h7585)
Pożremy ich żywcem jak grób, całych, jak zstępujących do dołu; (Sheol h7585)
Miguu yake huelekea mauti; hatua zake huelekea njia yote ya kuzimu. (Sheol h7585)
Jej nogi zstępują do śmierci, jej kroki prowadzą do piekła. (Sheol h7585)
Nyumba yake ipo juu ya barabara ya kwenda kuzimu; huelekea chini kwenye vyumba vya mauti. (Sheol h7585)
Jej dom [jest] drogą do piekła, która wiedzie do komnat śmierci. (Sheol h7585)
Lakini hajui kwamba wafu wapo pale, wageni wake wapo kwenye vina vya kuzimu. (Sheol h7585)
Ale [on] nie wie, że tam są umarli, że jej zaproszeni [są] w głębinach piekła. (Sheol h7585)
Kuzimu na uharibifu vipo wazi mbele za Yehova; je si zaidi sana mioyo ya wana wa wanadamu? (Sheol h7585)
Piekło i zatracenie [są] przed PANEM; o ileż bardziej serca synów ludzkich. (Sheol h7585)
Njia ya uzima huwapeleka juu watu wenye hekima, ili waondoke kutoka chini kuzimu. (Sheol h7585)
Droga życia dla mądrego [jest] w górze, aby uniknął głębokiego piekła. (Sheol h7585)
Ni wewe unayepaswa kumchapa kwa fimbo na kuikoa nafsi yake kuzimu. (Sheol h7585)
Będziesz je bił rózgą, a jego duszę ocalisz od piekła. (Sheol h7585)
Kama kuzimu na Uharibifu havitosheki, ndivyo yalivyo macho ya mtu hayawezi kutosheka. (Sheol h7585)
Piekło i zatracenie są nienasycone, tak oczy człowieka są niesyte. (Sheol h7585)
Kuzimu, tumbo tasa, nchi yenye kiu kwa maji, na moto usiosema, “Inatosha.” (Sheol h7585)
Grób, niepłodne łono, ziemia niesyta wody i ogień, [który] nie mówi: Dość. (Sheol h7585)
Chochote mkono wako unakifanya, kifanye kwa nguvu zako kwa sababu hakuna kazi, au ufafanuzi au ujuzi au hekima katika Sheol, unapoenda. (Sheol h7585)
Wszystko, cokolwiek twoja ręka postanowi czynić, czyń z całej swojej siły; [nie ma] bowiem żadnej pracy ani zamysłu, ani wiedzy, ani mądrości w grobie, do którego zmierzasz. (Sheol h7585)
Nieka kama muhuri kwenye moyo wako, kama muhuri kwenye mkono wako, kwa kuwa mapenzi yana nguvu kama mauti. Mapenzi mazito hayana kurudi kama kwenda kuzimu; miale yake yalipuka; ni miale ya moto inayo waka, miale yenye joto kuliko moto wowote. (Sheol h7585)
Przyłóż mnie do swego serca jak pieczęć, jak pieczęć na swoim ramieniu. Miłość bowiem jest silna jak śmierć, zawiść twarda jak grób. Jej żar [jak] żar ognia i [jak] żarliwy płomień. (Sheol h7585)
Hivyo basi kuzimu kumeongeza ladha yake na imefungua kinywa chake kwa kiasi kikubwa; wasomi wao, viongozi wao, manabii na wenye furaha miongoni mwao, watashuka kuzimu. (Sheol h7585)
Dlatego piekło rozszerzyło swą gardziel, rozwarło swoją paszczę bez miary. I do niego zstąpi jego szlachta i pospólstwo, jego zgiełk i weselący się. (Sheol h7585)
''Omba ishara ya Yahwe Mungu wako; omba juu ya hilo kwa kina au kwa kiwango cha juu.'' (Sheol h7585)
Proś dla siebie o znak od PANA, twego Boga, czy to z głębin, czy wysoko w górze. (Sheol h7585)
Kuzimu haina hamu kwa ajili yako unaye enda pale. Watafufuka waliokufa kwa ajili yako, wafalme wote wa dunia, wafanje watoke katika viti vyao vya enzi, wafalme wote wa mataifa. (Sheol h7585)
Piekło w dole poruszyło się przez ciebie, by wyjść ci na spotkanie; dla ciebie obudziło umarłych, wszystkich książąt ziemi; rozkazało wszystkim królom narodów powstać ze swoich tronów. (Sheol h7585)
Kiburi chako kimeshushwa kuzimu na sauti kifaa cha kamba yako. Buu wameongezeka chini yako na vijidudu vinakufunika wewe.' (Sheol h7585)
Strącono do piekła twój przepych i dźwięk twojej lutni. Twoim posłaniem jest robactwo, robactwo też jest twoim przykryciem. (Sheol h7585)
Lakini kwa sasa umeshushwa chini kuzimu, kwenye kina cha shimo. (Sheol h7585)
Lecz zostaniesz strącony aż do piekła, do krańców dołu. (Sheol h7585)
Hii itatokea kwa sababu umesema, '' Tumefannya magano na kifo; maana kuzimu wameyafikia makubaliano. Hivyo basi hukumu itakapopitishwa kwa wingi, haitatufika sisi, maana tumefanya maneno ya uongo kuwa kimbilio letu, na uongo kuwa makazi yetu. (Sheol h7585)
Ponieważ mówicie: Zawarliśmy przymierze ze śmiercią i z piekłem mamy układ; gdy przejdzie bicz gwałtowny, nie dosięgnie nas, gdyż kłamstwo uczyniliśmy naszą ucieczką i skryliśmy się za fałszem; (Sheol h7585)
Agano lako na kifo litafutwa, na makubaliano yako na kuzimu hayatasimama. Pindi mafuriko makali yatapta, yatawazomba njie. (Sheol h7585)
Wasze przymierze ze śmiercią zostanie zerwane, a wasz układ z piekłem nie ostoi się; gdy ten bicz gwałtowny przejdzie, zostaniecie przez niego zdeptani. (Sheol h7585)
''Nimesema kwamba nusu ya maisha yangu nitapita katika mlango wa kuzimu; Nilitumwa pale miaka yangu yote. (Sheol h7585)
Mówiłem, gdy skrócono moje dni: Zejdę do bram grobu, zostanę pozbawiony reszty swoich lat. (Sheol h7585)
Maana kuzimu hapata kushukuru wewe; kifo hakikusifu wewe; wale wote waendao ndani ya shimo hawana matumaini ya uaminifu wako. (Sheol h7585)
Grób bowiem nie wysławia cię ani śmierć cię nie chwali. Ci, którzy w dół zstępują, nie oczekują twojej prawdy. (Sheol h7585)
Ulienda kwa Moleki pamoja na mafuta; umeongeza marashi. Ulimtuma balozi wako mbali sana; Alikwenda chini kuzimu. (Sheol h7585)
Chodziłaś także do króla z olejkiem i mnożyłaś swoje wonności; posłałaś daleko swoich posłańców, a poniżałaś się aż do grobu. (Sheol h7585)
Bwana Yahwe asema hivi: Katika siku wakati mkangazi uliposhuka chini nilileta maombolezo kwenye dunia. Niliyafunika maji ya chini juu yake, nikayarudisha maji ya bahari. Nilizuia maji makuu, nikaleta maombolezo hata Lebanoni kwa ajili yake. Hivyo miti yote ya shambani ikaomboleza kwa sababu yake. (Sheol h7585)
Tak mówi Pan BÓG: W dniu, kiedy zstąpił do grobu, wzbudziłem lament, zamknąłem dla niego głębinę i wstrzymałem jej strumienie, i zastawiłem wielkie wody. Sprawiłem, że Liban okrył się ciemnością z jego powodu i z jego powodu wszystkie drzewa polne zemdlały. (Sheol h7585)
Nimeleta tetemeko kwa mataifa wa sauti ya kuanguka kwake, wakati nitakapomtupa chini mpaka kuzimu pamoja na wale walioenda chini kwenye shimo. Hivyo niliitia moyo miti ya Edeni yote katika pande zote za nchi. Hii ilikuwa imechaguliwa na miti iliyokuwa bora ya Lenanoni; miti iliyokunywa maji. (Sheol h7585)
Na huk jego upadku zadrżały narody, gdy go wrzucałem do piekła z tymi, co do dołu zstępują. Wszystkie drzewa Edenu, najwyborniejsze i najlepsze z Libanu, które piją wodę, doznają pociechy w najgłębszych stronach ziemi. (Sheol h7585)
Kwa kuwa walikwenda chini pia pamoja nayo hata kuzimu, kwa wale waliokuwa wameuawa kwa upanga. Kulikuwa na jeshi lake imara, yale mataifa yalikuwa yakiishi kati kivuli chake. (Sheol h7585)
One także zstąpiły z nim do piekła, do zabitych mieczem, którzy byli jego ramieniem i którzy mieszkali w jego cieniu wśród narodów. (Sheol h7585)
Hodari wa wapiganaji katika Sheoli atasema kuhusu Misri na rafiki zake, 'Wameshuka chini hapa! Watalala pamoja na wasiotahiriwa, pamoja na wale waliokuwa wameuawa kwa upanga.' (Sheol h7585)
Najmocniejsi z mocarzy będą do niego mówić spośród piekła wraz z jego pomocnikami. Zstąpili [tam], leżą z nieobrzezanymi pobitymi mieczem. (Sheol h7585)
Wasilale pamoja mashujaa walioanguka wa wasiotahiriwa walioshuka chini kwa Sheoli pamoja na silaha zao zote za vita, na pamoja na panga zao zote walizoziweka chini ya vichwa vyao na maovu yao juu ya mifupa yao. Kwa kuwa walikuwa tishio kwa mashujaa katika nchi ya walio hai. (Sheol h7585)
Oni jednak nie będą leżeć z mocarzami, którzy spośród nieobrzezanych upadli i zstąpili do grobu ze swym orężem wojennym i położono im miecze pod głowy. Ich nieprawości zaś zostaną na ich kościach, chociaż byli postrachem dla mocarzy w ziemi żyjących. (Sheol h7585)
Je, nitawaokoa na mkono wa kaburi? Je, nitawaokoa na kifo? Ewe Mauti yako wapi mapigo yako? Ewe kaburi kuko wapi kuharibu kwako? Huruma itafichwa na macho yangu. (Sheol h7585)
Wybawię ich z mocy grobu, wykupię ich od śmierci. O śmierci, będę twoją śmiercią! O grobie, będę twoim zniszczeniem! Żal się ukryje przed moimi oczami. (Sheol h7585)
Hata kama watachimba kwenye Sheoli, kuna mkono wangu utawachukua. Hata kama watapanda juu kwenda mbingunu, huko nitawaleta chini. (Sheol h7585)
Choćby się zakopali [aż] do piekła, moja ręka wyciągnie ich stamtąd; choćby wstąpili aż do nieba i stamtąd ich ściągnę. (Sheol h7585)
Akasema, Nimemwita Bwana juu ya shida yangu naye akanijibu; kutoka tumbo la Kuzimu nililia kwa msaada! Uliisikia sauti yangu. (Sheol h7585)
I powiedział: Wołałem do PANA w swoim ucisku i wysłuchał mnie; z głębi piekła wołałem i wysłuchałeś mego głosu. (Sheol h7585)
Sababu mvinyo ni msaliti wa kijana mwenye kiburi ili kwamba asistahimili, lakini hukuza tamaa yake kama kaburi na, kama kifo, haitaweza kuridhishwa. Yeye anajikusanyia kila taifa na anakusanya kwaajili yake watu wote. (Sheol h7585)
Owszem, ponieważ upija się, jest on hardym człowiekiem i nie pozostaje w [swoim] domu; pomnaża swoją żądzę jak piekło i jak śmierć nie może się nasycić, choć zgromadził u siebie wszystkie narody i zebrał u siebie wszystkich ludzi. (Sheol h7585)
Lakini nawaambia yeyote amchukiaye ndugu yake atakuwa katika hatari ya hukumu. Na yeyote amwambiaye ndugu yake kuwa, 'Wewe ni mtu usiyefaa!' atakuwa katika hatari ya baraza. Na yeyote asemaye, 'Wewe mjinga!' atakuwa katika hatari ya moto wa jehanamu. (Geenna g1067)
Lecz ja wam mówię: Każdy, kto się gniewa na swego brata bez przyczyny, podlega sądowi, a kto powie swemu bratu: Raka, podlega Radzie, a kto powie: Głupcze, podlega [karze] ognia piekielnego. (Geenna g1067)
Na kama jicho lako la kulia linakusababisha kujikwaa, ling'oe na ulitupe mbali nawe. Kwa kuwa ni afadhali kiungo kimoja katika mwili wako kiharibike kuliko mwili mzima kutupwa jehanamu. (Geenna g1067)
Jeśli więc twoje prawe oko jest ci powodem upadku, wyłup je i odrzuć od siebie. Pożyteczniej bowiem jest dla ciebie, aby zginął jeden z twoich członków, niż żeby całe twoje ciało było wrzucone do ognia piekielnego. (Geenna g1067)
Na kama mkono wako wa kuume unakusababisha kujikwaa, ukate kisha uutupilie mbali nawe. Maana ni afadhali kiungo kimoja katika mwili wako kiharibike kuliko mwili mzima kutupwa jehanamu. (Geenna g1067)
A jeśli twoja prawa ręka jest ci powodem upadku, odetnij ją i odrzuć od siebie. Pożyteczniej bowiem jest dla ciebie, aby zginął jeden z twoich członków, niż żeby całe twoje ciało było wrzucone do ognia piekielnego. (Geenna g1067)
Msiwaogope wale ambao wanaua mwili lakini hawana uwezo wa kuua roho. Badala yake, mwogopeni yule ambaye awezaye kuangamiza mwili na roho kule kuzimu. (Geenna g1067)
Nie bójcie się tych, którzy zabijają ciało, lecz nie mogą zabić duszy. Bójcie się raczej tego, który może i duszę, i ciało zatracić w piekielnym ogniu. (Geenna g1067)
Wewe, Kapernaum, unadhani utainuliwa hadi mbinguni? Hapana utashushwa hadi chini kuzimu. Kama kwa Sodoma kungefanyika matendo makuu, kama yalifanyika kwako, ingekuwepo hadi leo. (Hadēs g86)
A ty, Kafarnaum, które jesteś wywyższone aż do nieba, aż do piekła będziesz strącone. Bo gdyby w Sodomie działy się cuda, które się w tobie dokonały, przetrwałaby aż do dziś. (Hadēs g86)
Na yeyote asemaye neno kinyume cha Mwana wa Adamu, hilo atasamehewa. Lakini yeyote asemaye kinyume na Roho Mtakatifu, huyo hatasamehewa, katika ulimwengu huu, na wala ule ujao (aiōn g165)
I ktokolwiek powie słowo przeciwko Synowi Człowieczemu, będzie mu przebaczone, ale kto mówi przeciwko Duchowi Świętemu, nie będzie mu przebaczone ani w tym świecie, ani w przyszłym. (aiōn g165)
Aliyepandwa kati ya miti ya miiba, huyu ni yule alisikiaye neno lakini masumbuko ya ulimwengu na udaganyifu wa utajiri hulisonga lile neno lisije likazaa matunda. (aiōn g165)
A posiany między ciernie to ten, który słucha słowa, ale troski tego świata i ułuda bogactwa zagłuszają słowo i staje się [on] bezowocny. (aiōn g165)
Na mavuno ni mwisho wa ulimwengu, na wavunaji ni malaika. (aiōn g165)
Nieprzyjacielem, który go posiał, jest diabeł, żniwem jest koniec świata, a żniwiarzami są aniołowie. (aiōn g165)
Kama vile magugu yanavyo kusanywa na kuchomwa moto, hivyo ndivyo itakavyo kuwa mwisho wa ulimwengu. (aiōn g165)
Jak więc zbiera się kąkol i spala w ogniu, tak będzie przy końcu tego świata. (aiōn g165)
Itakuwa namna hii katika mwisho wa dunia. Malaika watakuja na kuwatenga watu waovu kutoka miongoni mwa wenye haki. (aiōn g165)
Tak będzie przy końcu świata: wyjdą aniołowie i wyłączą złych spośród sprawiedliwych; (aiōn g165)
Nami pia ninakwambia kuwa wewe ni Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu. Milango ya kuzimu haitalishinda. (Hadēs g86)
Ja ci też mówię, że ty jesteś Piotr, a na tej skale zbuduję mój kościół, a bramy piekła go nie przemogą. (Hadēs g86)
kama mkono wako au mguu wako ukikusababishia kukwazika, ukate na uutupe mbali na wewe. Ni vizuri zaidi kwako wewe kuingia kwenye uzima ukiwa bila mkono au kilema, kuliko kutupwa kwenye moto wa milele ukiwa na mikono yote au miguu yote. (aiōnios g166)
Dlatego jeśli twoja ręka albo noga jest ci powodem upadku, odetnij ją i odrzuć od siebie. Lepiej jest dla ciebie wejść do życia chromym albo ułomnym, niż mając dwie ręce albo dwie nogi, być wrzuconym do ognia wiecznego. (aiōnios g166)
Kama jicho lako likikukwaza, uling`oe na ulitupe mbali na wewe. Ni vizuri zaidi kwako wewe uingie kwenye uzima na jicho moja, kuliko kutupwa kwenye moto wa milele ukiwa na macho yote. (Geenna g1067)
A jeśli twoje oko jest ci powodem upadku, wyłup je i odrzuć od siebie. Lepiej jest dla ciebie jednookim wejść do życia, niż mając dwoje oczu, być wrzuconym do ognia piekielnego. (Geenna g1067)
Tazama mtu mmoja akaja kwa Yesu na kusema, “Mwalimu, ni kitu gani kizuri ninachotakiwa kufanya ili nipate kuwa na uzima wa milele?” (aiōnios g166)
A oto pewien człowiek podszedł i zapytał go: Nauczycielu dobry, co dobrego mam czynić, aby mieć życie wieczne? (aiōnios g166)
Kila mmoja wenu aliyeacha nyumba, kaka, dada, baba, mama, watoto, au shamba kwa ajili ya jina langu, atapokea mara mia na kuurithi uzima wa milele. (aiōnios g166)
I każdy, kto opuści domy, braci lub siostry, ojca lub matkę, żonę, dzieci lub pole dla mego imienia, stokroć więcej otrzyma i odziedziczy życie wieczne. (aiōnios g166)
Aliona mtini kandokando ya barabara. Akauendea, lakini hakupata kitu juu yake isipokuwa majani. Aliuambia, “Kusiwe na matunda kwako daima tena.” Na mara hiyo mtini ule ukanyauka. (aiōn g165)
I widząc przy drodze drzewo figowe, podszedł do niego, ale nie znalazł na nim nic oprócz samych liści. I powiedział do niego: Niech się już nigdy nie rodzi z ciebie owoc. I drzewo figowe natychmiast uschło. (aiōn g165)
Ole wenu Waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Mnavuka ngambo ya bahari na kufika kumfanya mtu mmoja aamini yale mnayoyafundisha, na anapokuwa kama ninyi, mnamfanya mara mbili mwana wa jehanamu kama ninyi wenyewe mlivyo. (Geenna g1067)
Biada wam, uczeni w Piśmie i faryzeusze, obłudnicy, bo obchodzicie morza i lądy, aby pozyskać jednego współwyznawcę, a gdy się nim stanie, czynicie go synem piekła dwa razy takim jak wy sami. (Geenna g1067)
Enyi nyoka, wana wa vipiribao, kwa namna gani mtaikwepa hukumu ya jehanamu? (Geenna g1067)
Węże, plemię żmijowe! Jakże będziecie mogli uniknąć potępienia ognia piekielnego? (Geenna g1067)
Na alipokaa katika Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wake walimwendea kwa faragha na kusema, “Tuambie, mambo haya yatatokea lini? Kitu gani kitakuwa dalili ya kuja kwako na mwisho wa ulimwengu?” (aiōn g165)
A gdy siedział na Górze Oliwnej, podeszli do niego uczniowie i pytali na osobności: Powiedz nam, kiedy się to stanie i jaki będzie znak twego przyjścia i końca świata? (aiōn g165)
Ndipo atawaambia hao walio mkono wake wa kushoto, 'Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, nendeni katika moto wa milele ulioandaliwa kwa ajili ya shetani na malaika zake, (aiōnios g166)
Potem powie i do tych, którzy [będą] po lewej stronie: Idźcie ode mnie, przeklęci, w ogień wieczny, przygotowany dla diabła i jego aniołów. (aiōnios g166)
Hawa watakwenda katika adhabu ya milele bali wenye haki katika uzima wa milele.” (aiōnios g166)
I pójdą ci na męki wieczne, sprawiedliwi zaś do życia wiecznego. (aiōnios g166)
Wafundisheni kuyatii mambo yote niliyowaamuru, Na tazama, mimi niko pamoja nanyi daima, hata mpaka mwisho wa dunia. (aiōn g165)
Ucząc je przestrzegać wszystkiego, co wam przykazałem. A oto ja jestem z wami przez wszystkie dni aż do końca świata. Amen. (aiōn g165)
lakini yeyote atakaye mkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa kamwe, bali ana hatia ya dhambi ya milele”. (aiōn g165, aiōnios g166)
Kto jednak bluźni przeciwko Duchowi Świętemu, nigdy nie dostąpi przebaczenia, ale podlega [karze] wiecznego potępienia. (aiōn g165, aiōnios g166)
lakini masumbufu ya dunia, udanganyifu wa mali, na tamaa za mambo mengine, huwaingia na kulisonga neno, na linashindwa kuzaa matunda. (aiōn g165)
Lecz troski tego świata, ułuda bogactwa i żądze innych rzeczy wchodzą i zagłuszają słowo, i staje się bezowocne. (aiōn g165)
Kama mkono wako ukikukosesha ukate. Ni heri kuingia katika uzima bila mkono kuliko kuingia kwenye hukumu ukiwa na mikono yote. Katika moto “usiozimika”. (Geenna g1067)
Jeśli twoja ręka jest ci powodem upadku, odetnij ją. Lepiej bowiem jest dla ciebie ułomnym wejść do życia, niż mając dwie ręce, pójść do piekła, w ogień nieugaszony; (Geenna g1067)
Kama mguu wako ukikukosesha, ukate. Ni vyema kwako kuingia uzimani ukiwa kilema, kuliko kutupwa hukumuni na miguu miwili. (Geenna g1067)
A jeśli twoja noga jest ci powodem upadku, odetnij ją. Lepiej bowiem [jest] dla ciebie chromym wejść do życia, niż mając dwie nogi, zostać wrzuconym do piekła, w ogień nieugaszony; (Geenna g1067)
Kama jicho lako likikukosesha ling'oe. Ni vyema kwako kuingia katika Ufalme wa Mungu ukiwa na jicho moja, kuliko kuwa na macho mawili na kutupwa kuzimu. (Geenna g1067)
Jeśli zaś twoje oko jest ci powodem upadku, wyłup je. Lepiej bowiem [jest] dla ciebie jednookim wejść do królestwa Bożego, niż mając dwoje oczu, zostać wrzuconym do ognia piekielnego; (Geenna g1067)
Na alipoanza safari yake mtu mmoja alimkimbilia na akapiga magoti mbele yake, akamwuliza, “Mwalimu Mwema, nifanye nini ili niweze kurithi uzima ya milele?” (aiōnios g166)
A gdy wyruszał w drogę, przybiegł pewien [człowiek], upadł przed nim na kolana i zapytał: Nauczycielu dobry, co mam czynić, aby odziedziczyć życie wieczne? (aiōnios g166)
ambaye hatapokea mara mia zaidi ya sasa hapa duniani: nyumba, kaka, dada, mama, watoto, na ardhi, kwa mateso, na ulimwengu ujao, uzima wa milele. (aiōn g165, aiōnios g166)
A kto by nie otrzymał stokrotnie [więcej] teraz, w tym czasie, domów, braci, sióstr, matek, dzieci i pól, wśród prześladowań, a w przyszłym świecie życia wiecznego. (aiōn g165, aiōnios g166)
Aliuambia, “Hakuna yeyote atakayekula tunda kutoka kwako tena”. Na wanafunzi wake wakasikia. (aiōn g165)
Wtedy Jezus powiedział do niego: Niech już nikt nigdy nie je z ciebie owocu. A słyszeli to jego uczniowie. (aiōn g165)
Atatawala juu ya ukoo wa Yakobo milele na ufalme wake hautakuwa na mwisho. (aiōn g165)
I będzie królował nad domem Jakuba na wieki, a jego królestwu nie będzie końca. (aiōn g165)
(kama alivyosema kwa baba zetu) kwa Abrahamu na uzao wake milele.” (aiōn g165)
Jak mówił do naszych ojców, [do] Abrahama i jego potomstwa na wieki. (aiōn g165)
kama alivyosema kwa kinywa cha manabii wake waliokuweko katika nyakati za kale. (aiōn g165)
Jak mówił przez usta swoich świętych proroków, którzy byli od wieków; (aiōn g165)
Wakaendelea kumsihi usituamuru twende kwenye shimo. (Abyssos g12)
Wtedy prosiły go, aby nie kazał im odejść [stamtąd] w otchłań. (Abyssos g12)
Wewe Kapernaumu, Unafikiri utainuliwa mpaka Mbinguni? Hapana, utashushwa chini mpaka kuzimu (Hadēs g86)
A ty, Kafarnaum, które jesteś aż do nieba wywyższone, aż do piekła będziesz strącone. (Hadēs g86)
Tazama, mwalimu fulani wa sheria ya Kiyahudi alisimama na kumjaribu, akisema, “Mwalimu, nifanye nini niurithi izima wa milele?” (aiōnios g166)
A oto powstał pewien znawca prawa i wystawiając go na próbę, zapytał: Nauczycielu, co mam czynić, aby odziedziczyć życie wieczne? (aiōnios g166)
Lakini nitawaonya mtakaye mwogopa. Mwogopeni yule ambaye baada ya kuwa ameua, ana mamlaka ya kutupa jehanamu. Ndiyo, nawaambiani ninyi, mwogopeni huyo. (Geenna g1067)
Ale pokażę wam, kogo macie się bać. Bójcie się tego, który, gdy zabije, ma moc wrzucić do ognia piekielnego. Doprawdy, mówię wam, tego się bójcie. (Geenna g1067)
Yule bwana akamsifu meneja dhalimu kwa vile alivyotenda kwa wereu. Kwakua watoto wa ulimwengu huu ni werevu nyingi na hushughulika kwa ujanja na watu wa upande wao kuliko walivyo watoto wa nuru. (aiōn g165)
I pochwalił pan niesprawiedliwego szafarza, że roztropnie postąpił. Bo synowie tego świata w swoim pokoleniu są roztropniejsi od synów światłości. (aiōn g165)
Nami nawaambia jifanyieni marafiki kwa mali ya udhalimu ili itakapokosekana wawakaribishe katika makao ya milele. (aiōnios g166)
I ja wam mówię: Zyskujcie sobie przyjaciół mamoną niesprawiedliwości, aby, gdy ustaniecie, przyjęto was do wiecznych przybytków. (aiōnios g166)
Na kule kuzimu alipokua katika mateso aliyainua macho yake akamuona Ibrahimu kwa mbali na Lazaro kifuani mwake. (Hadēs g86)
A [będąc] w piekle i cierpiąc męki, podniósł oczy i ujrzał z daleka Abrahama i Łazarza na jego łonie. (Hadēs g86)
Mtawala mmoja akamwuliza, akisema, 'Mwalimu mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?' (aiōnios g166)
I zapytał go pewien dostojnik: Nauczycielu dobry, co mam czynić, aby odziedziczyć życie wieczne? (aiōnios g166)
ambaye hatapokea mengi zaidi katika ulimwengu huu, na katika ulimwengu ujao, uzima wa milele. ' (aiōn g165, aiōnios g166)
I nie otrzymał o wiele więcej w tym czasie, a w przyszłym świecie życia wiecznego. (aiōn g165, aiōnios g166)
Yesu akawaambia, “Wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa. (aiōn g165)
Wtedy Jezus im odpowiedział: Dzieci tego świata żenią się i za mąż wychodzą. (aiōn g165)
Lakini wale wanastaohili kupokea ufufuo wa wafu na kuingia uzima wa milele hawaoi wala hawaolewi. (aiōn g165)
Lecz ci, którzy są [uznani za] godnych dostąpienia tamtego świata i powstania z martwych, ani się żenić nie będą, ani za mąż wychodzić. (aiōn g165)
ili kwamba wote watakaomwamini wapate uzima wa milele. (aiōnios g166)
Aby każdy, kto w niego wierzy, nie zginął, ale miał życie wieczne. (aiōnios g166)
Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, kwamba akamtoa mwanae wa pekee, ili kwamba mtu yeyote amwaminiye asiangamie bali awe na uzima wa milele. (aiōnios g166)
Tak bowiem Bóg umiłował świat, że dał swego jednorodzonego Syna, aby każdy, kto w niego wierzy, nie zginął, ale miał życie wieczne. (aiōnios g166)
Yeye amwaminiye Mwana anao uzima wa milele, lakini kwa yeye asiye mtii Mwana hatauona uzima, bali ghadhabu ya Mungu hushikamana juu yake. (aiōnios g166)
Kto wierzy w Syna, ma życie wieczne, ale kto nie wierzy Synowi, nie ujrzy życia, lecz gniew Boży zostaje na nim. (aiōnios g166)
lakini yeye atakaye kunywa maji nitakayompa hatapata kiu tena. Badala yake maji nitakayompa yatakuwa chemchemi inayobubujika hata milele.” (aiōn g165, aiōnios g166)
Lecz kto by pił wodę, którą ja mu dam, nigdy nie będzie pragnął, ale woda, którą ja mu dam, stanie się w nim źródłem wody wytryskującej ku życiu wiecznemu. (aiōn g165, aiōnios g166)
Yeye avunaye hupokea mishahara na kukusanya matunda kwa ajili ya uzima wa milele, ili kwamba yeye apandaye naye avunaye wafurahi pamoja. (aiōnios g166)
A kto żnie, otrzymuje zapłatę i zbiera owoc na życie wieczne, aby i ten, kto sieje, i ten, kto żnie, razem się radowali. (aiōnios g166)
Amini, amini, yeye asikiaye neno langu na kumwamini yeye aliyenituma anao uzima wa milele na hatahukumiwa. Badala yake, amepita kutoka mautini na kuingia uzimani. (aiōnios g166)
Zaprawdę, zaprawdę powiadam wam: Kto słucha mego słowa i wierzy temu, który mnie posłał, ma życie wieczne i nie będzie potępiony, ale przeszedł ze śmierci do życia. (aiōnios g166)
Mnayachunguza maandiko mkidhani ndani yake mna uzima wa milele, na hayo maandiko yanashuhudia habari zangu na (aiōnios g166)
Badajcie Pisma; sądzicie bowiem, że w nich macie życie wieczne, a one dają świadectwo o mnie. (aiōnios g166)
Acheni kukifanyia kazi chakula chenye kuharibika, bali mkifanyie kazi chakula kidumucho hata milele kile ambacho mwana wa Adamu atawapa, kwa kuwa Mungu Baba ameweka muhuri juu yake.” (aiōnios g166)
Zabiegajcie nie o pokarm, który ginie, ale o pokarm, który trwa ku życiu wiecznemu, który wam da Syn Człowieczy. Jego bowiem zapieczętował Bóg Ojciec. (aiōnios g166)
Kwa kuwa haya ndiyo mapenzi ya Baba yangu, kwamba yeyote amtazamaye Mwana na kumwamini apate uzima wa milele; nami nitamfufua siku ya mwisho. (aiōnios g166)
I to jest wola tego, który mnie posłał, aby każdy, kto widzi Syna i wierzy w niego, miał życie wieczne, a ja go wskrzeszę [w] dniu ostatecznym. (aiōnios g166)
Amini, amini yeye aaminiye anao uzima wa milele. (aiōnios g166)
Zaprawdę, zaprawdę powiadam wam: Kto wierzy we mnie, ma życie wieczne. (aiōnios g166)
Mimi ni mkate uishio ambao umeshuka kutoka mbinguni. Kama mtu yeyote akila sehemu ya mkate huu, ataishi milele. Mkate nitakao utoa ni mwili wangu kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.” (aiōn g165)
Ja jestem chlebem żywym, który zstąpił z nieba. Jeśli ktoś będzie jadł z tego chleba, będzie żył na wieki. A chleb, który ja dam, to moje ciało, które ja dam za życie świata. (aiōn g165)
Yeyote aulaye mwili wangu na kuinywa damu yangu anao uzima wa milele, nami nitamfufua siku ya mwisho. (aiōnios g166)
Kto je moje ciało i pije moją krew, ma życie wieczne, a ja go wskrzeszę w dniu ostatecznym. (aiōnios g166)
Huu ndio mkate ushukao kutoka mbinguni, sio kama vile mababa walivyo kula wakafa. Yeye aulaye mkate huu ataishi milele. (aiōn g165)
To jest ten chleb, który zstąpił z nieba. Nie jak wasi ojcowie jedli mannę, a pomarli. Kto je ten chleb, będzie żył na wieki. (aiōn g165)
Simoni Petro akamjibu, “Bwana twende kwa nani kwani wewe unayo maneno ya uzima wa milele, (aiōnios g166)
I odpowiedział mu Szymon Piotr: Panie, do kogo pójdziemy? [Ty] masz słowa życia wiecznego. (aiōnios g166)
Mtumwa hakai nyumbani wakati wote; mwana hudumu siku zote. (aiōn g165)
A sługa nie mieszka w domu na wieki, [lecz] Syn mieszka na wieki. (aiōn g165)
Amini, amini, nawaambia, iwapo yeyote atalishika neno langu, hataona mauti kamwe.” (aiōn g165)
Zaprawdę, zaprawdę powiadam wam: Jeśli ktoś będzie zachowywał moje słowa, nigdy nie ujrzy śmierci. (aiōn g165)
Wayahudi wakamwambia, “Sasa tumejua kuwa una pepo. Abrahamu na mabii walikufa; lakini unasema, 'Ikiwa mtu atalishika neno langu, hataonja mauti'. (aiōn g165)
Wtedy Żydzi powiedzieli do niego: Teraz wiemy, że masz demona. Abraham umarł i prorocy, a ty mówisz: Jeśli ktoś będzie zachowywał moje słowa, nigdy nie skosztuje śmierci. (aiōn g165)
Tangu kuanza kwa Ulimwengu haijawahi kamwe kusikiwa kwamba yeyote ameyafumbua macho ya mtu aliyezaliwa kipofu. (aiōn g165)
Od wieków nie słyszano, aby ktoś otworzył oczy ślepego od urodzenia. (aiōn g165)
Nimewapa uzima wa milele; hawataangamia kamwe, na hakuna hata mmoja atakayewanyakuwa kutoka mkononi mwangu. (aiōn g165, aiōnios g166)
A ja daję im życie wieczne i nigdy nie zginą ani nikt nie wydrze ich z mojej ręki. (aiōn g165, aiōnios g166)
na yeye aishiye na kuniamini mimi hatakufa. Unaamini hili?” (aiōn g165)
A każdy, kto żyje i wierzy we mnie, nigdy nie umrze. Czy wierzysz w to? (aiōn g165)
Yeye apendaye uhai wake ataupoteza; bali yeye auchukiaye uhai wake katika ulimemngu huu atausalimisha hata uzima wa milele. (aiōnios g166)
Kto miłuje swoje życie, utraci je, a kto nienawidzi swego życia na tym świecie, zachowa je na życie wieczne. (aiōnios g166)
Mkutano wakamjibu, “Sisi tumesikia katika sheria ya kwamba Kristo atadumu hata milele. Nawe wasemaje, 'Mwana Adamu lazima ainuliwe juu'? Huyu Mwana wa Mtu ni nani?” (aiōn g165)
Ludzie mu odpowiedzieli: Dowiedzieliśmy się z prawa, że Chrystus trwa na wieki. Jakże więc ty [możesz] mówić, że Syn Człowieczy musi być wywyższony? Któż to jest Syn Człowieczy? (aiōn g165)
Nami najua ya kuwa agizo lake ni uzima wa milele; basi hayo ninenayo mimi - kama Baba alivyoniambia, ndivyo ninenavyo kwao.” (aiōnios g166)
I wiem, że jego nakaz jest życiem wiecznym. Dlatego to, co ja wam mówię, mówię tak, jak mi powiedział Ojciec. (aiōnios g166)
Petro akamwambia, “Hutaniosha miguu yangu kamwe.” Yesu akamjibu, “Ikiwa sitakuosha, hutakuwa na sehemu pamoja nami.” (aiōn g165)
Piotr mu powiedział: Nigdy nie będziesz mył moich nóg. Jezus mu odpowiedział: Jeśli cię nie umyję, nie będziesz miał działu ze mną. (aiōn g165)
Na nitamwomba Baba, Naye atawapa Msaidizi mwingine ili kwamba aweze kuwa pamoja nanyi milele, (aiōn g165)
A ja będę prosił Ojca i da wam innego Pocieszyciela, aby z wami był na wieki; (aiōn g165)
kama vile ulivyompatia mamlaka juu ya vyote vyenye mwili ili awape uzima wa milele wale wote uliompatia. (aiōnios g166)
Jak mu dałeś władzę nad wszelkim ciałem, aby dał życie wieczne tym wszystkim, których mu dałeś. (aiōnios g166)
Huu ndio uzima wa milele: kwamba wakujue wewe, Mungu wa kweli na wa pekee, na yeye uliyemtuma, Yesu Kristo. (aiōnios g166)
A to jest życie wieczne, aby poznali ciebie, jedynego prawdziwego Boga i tego, którego posłałeś, Jezusa Chrystusa. (aiōnios g166)
Hutaiacha nafsi yangu iende kuzimu, wala hutaruhusu Mtakatifu wako kuona uozo. (Hadēs g86)
Nie zostawisz bowiem mojej duszy w piekle i nie dasz swojemu Świętemu doznać zniszczenia. (Hadēs g86)
Aliliona hili mapema, na akasema kuhusu ufufuo wa Kristo, 'wala alikuwa hakuachwa kuzimu, wala mwili wake haukuoza.' (Hadēs g86)
Przepowiadał [to] i mówił o zmartwychwstaniu Chrystusa, że jego dusza nie pozostanie w piekle, a jego ciało nie dozna zniszczenia. (Hadēs g86)
Yeye ndiye ambaye lazima mbingu zimpokee mpaka wakati wa kurejeshwa kwa vitu vyote, ambavyo Mungu alizungumzia zamani za kale kwa vinywa vya manabii watakatifu. (aiōn g165)
Którego niebo musi przyjąć aż do czasu odnowienia wszystkich rzeczy, jak Bóg od wieków przepowiadał przez usta wszystkich swoich świętych proroków. (aiōn g165)
Lakini Paulo na Barnaba waliongea kwa ujasiri na kusema, “Ilikuwa ni muhimu kwamba neno la Mungu liongelewe kwanza kwenu. Kwa kuwa mnalisukumia mbali kutoka kwenu nakujiona kuwa hamkusitahili uzima wa milele, angalieni tutawageukia Mataifa. (aiōnios g166)
A Paweł i Barnaba powiedzieli odważnie: Wam najpierw miało być zwiastowane słowo Boże. Skoro jednak je odrzucacie i uważacie się za niegodnych życia wiecznego, zwracamy się do pogan. (aiōnios g166)
Mataifa waliposikia hili, walifurahi na kulisifu neno la Bwana. Wengi waliochaguliwa kwa uzima wa milele waliamini. (aiōnios g166)
Kiedy poganie to usłyszeli, radowali się i wielbili słowo Pańskie, a uwierzyli wszyscy, którzy byli przeznaczeni do życia wiecznego. (aiōnios g166)
Hivi ndivyo asemavyo Bwana aliyefanya mambo haya yajulikanayo tangu enzi za zamani. (aiōn g165)
Znane są Bogu od wieków wszystkie jego sprawy. (aiōn g165)
Maana mambo yake yasioonekana vizuri yamekuwa wazi tangu kuumbwa kwa ulimwengu. Yanaeleweka kupitia vitu vilivyoumbwa. Mambo haya ni uwezo wake wa milele na asili ya uungu. Matokeo yake, watu hawa hawana udhuru. (aïdios g126)
[To bowiem, co] niewidzialne, to znaczy jego wieczna moc i bóstwo, są widzialne od stworzenia świata przez to, co stworzone, po to, aby oni byli bez wymówki. (aïdios g126)
Ni wao walioibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, na ambao waliabudu na kutumikia viumbe badala ya Muumbaji, ambaye anasifiwa milele. Amina. (aiōn g165)
[Oni to] zamienili prawdę Bożą w kłamstwo i czcili stworzenie, i służyli [jemu] raczej niż Stwórcy, który jest błogosławiony na wieki. Amen. (aiōn g165)
kwa wale ambao kwa uthabiti wa matendo mema wametafuta sifa, heshima na kutokuharibika, atawapa uzima wa milele. (aiōnios g166)
Tym, którzy przez wytrwanie w dobrym uczynku szukają chwały, czci i nieśmiertelności, [odda] życie wieczne; (aiōnios g166)
Hii ilitokea ili kwamba, kama dhambi ilivyotawala katika kifo, ndivyo hata neema inaweza kutawala kupitia haki kwa ajili ya maisha ya milele kupitia Yesu Kristo Bwana wetu. (aiōnios g166)
Aby, jak grzech królował ku śmierci, tak też łaska królowała przez sprawiedliwość ku życiu wiecznemu przez Jezusa Chrystusa, naszego Pana. (aiōnios g166)
Lakini kwa kuwa sasa mmefanywa huru mbali na dhambi na mmefanyika watumwa kwa Mungu, mna tunda kwa ajili ya utakaso. Tokeo ni uzima wa milele. (aiōnios g166)
Lecz teraz, uwolnieni od grzechu, gdy staliście się sługami Boga, macie swój pożytek ku uświęceniu, a na końcu życie wieczne. (aiōnios g166)
Kwa kuwa mshahara wa dhambi ni mauti, bali zawadi ya bure ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōnios g166)
Zapłatą bowiem za grzech [jest] śmierć, ale darem łaski Boga jest życie wieczne w Jezusie Chrystusie, naszym Panu. (aiōnios g166)
Wao ni watangulizi ambako Kristo amekuja kwa heshima kuvaa mwili huu - ambaye yeye ni Mungu wa vyote. Naye asifiwe milele. Amina. (aiōn g165)
Do których należą ojcowie i z których według ciała [pochodzi] Chrystus, który jest nad wszystkimi, Bóg błogosławiony na wieki. Amen. (aiōn g165)
Na usiseme, 'Nani atashuka katika shimo?”' (Hii ni, kumleta Kristo juu kutoka kwa wafu). (Abyssos g12)
Albo: Kto zstąpi do otchłani? – to znaczy, [aby] Chrystusa od umarłych wyprowadzić. (Abyssos g12)
Maana Mungu amewafunga watu wote katika uasi, ili aweze kuwahurumia wote. (eleēsē g1653)
Bóg bowiem zamknął ich wszystkich w niewierze, aby się nad wszystkimi zmiłować. (eleēsē g1653)
Kwa maana kutoka kwake, na kwa njia yake na kwake, vitu vyote vipo. Kwake uwe utukufu milele. Amina. (aiōn g165)
Z niego bowiem, przez niego i w nim jest wszystko. Jemu chwała na wieki. Amen. (aiōn g165)
Wala msiifuatishe namna ya dunia hii, bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu. Fanyeni hivi mpate kujua mapenzi ya Mungu yaliyo mema, yakumpendeza na kamilifu. (aiōn g165)
A nie dostosowujcie się do tego świata, ale przemieńcie się przez odnowienie waszego umysłu, abyście [mogli] rozeznać, co jest dobrą, przyjemną i doskonałą wolą Boga. (aiōn g165)
Sasa kwake yeye aliye na uwezo kufanya msimame kulingana na injili na mafundisho ya Yesu Kristo, kulingana na ufunuo wa siri iliyofichwa kwa muda mrefu, (aiōnios g166)
A temu, który was może utwierdzić według mojej ewangelii i głoszenia Jezusa Chrystusa, według objawienia tajemnicy od wieków okrytej milczeniem; (aiōnios g166)
lakini sasa imekwisha funuliwa na kufanywa kujulikana na maandiko ya unabii kulingana na amri ya Mungu wa milele, kwa utii wa imani miongoni mwa mataifa yote? (aiōnios g166)
Lecz teraz objawionej i przez Pisma proroków według postanowienia wiecznego Boga oznajmionej wszystkim narodom, [by przywieść je] do posłuszeństwa wierze; (aiōnios g166)
Kwa Mungu pekee mwenye hekima, kupitia Yesu Kristo, kuwe na utukufu milele yote. Amina (aiōn g165)
[Temu], jedynemu mądremu Bogu, [niech będzie] chwała przez Jezusa Chrystusa na wieki. Amen. [List do Rzymian został napisany z Koryntu, i wysłany przez Febę, służebnicę kościoła w Kenchrach]. (aiōn g165)
Yuko wapi mtu mwenye busara? Yuko wapi mwenye elimu? Yuko wapi msemaji mshawishi wa dunia hii? Je, Mungu hakuigeuza hekima ya dunia hii kuwa ujinga? (aiōn g165)
Gdzie [jest] mądry? Gdzie uczony w Piśmie? Gdzie badacz tego świata? Czyż Bóg nie obrócił w głupstwo mądrości tego świata? (aiōn g165)
Sasa tunaizungumza hekima miongoni mwa watu wazima, lakini si hekima ya dunia hii, au ya watawala wa nyakati hizi, ambao wanaopita. (aiōn g165)
Głosimy jednak mądrość wśród doskonałych, ale nie mądrość tego świata ani władców tego świata, którzy przemijają; (aiōn g165)
Badala yake, tunaizungumza hekima ya Mungu katika ukweli uliofichika, hekima iliyofichika ambayo Mungu aliichagua kabla ya nyakati za utukufu wetu. (aiōn g165)
Lecz głosimy mądrość Boga w tajemnicy, zakrytą [mądrość], którą przed wiekami Bóg przeznaczył ku naszej chwale; (aiōn g165)
Hakuna yeyote wa watawala wa nyakati hizi aliyeijua hekima hii, Kama wangeifahamu katika nyakati zile, wasingelimsulubisha Bwana wa utukufu. (aiōn g165)
Której nie poznał żaden z władców tego świata. Gdyby [ją] bowiem poznali, nigdy nie ukrzyżowaliby Pana chwały; (aiōn g165)
Mtu asijidanganye mwenyewe, kama yeyote miongoni mwenu anadhani ana hekima katika nyakati hizi, awe kama “mjinga” ndipo atakuwa na hekima. (aiōn g165)
Niech nikt nie oszukuje samego siebie. Jeśli komuś spośród was wydaje się, że jest mądry na tym świecie, niech się stanie głupim, aby stał się mądrym. (aiōn g165)
Kwa hiyo, ikiwa chakula kinasababisha kumkwaza kaka au dada, sitakula nyama kamwe, ili nisimsababishe kaka au dada yangu kuanguka. (aiōn g165)
Dlatego, jeśli pokarm gorszy mego brata, przenigdy nie będę jadł mięsa, aby nie gorszyć mego brata. (aiōn g165)
Basi mambo hayo yalitendeka kama mifano kwetu. Yakaandikwa ili kutuonya sisi - tuliofikiliwa na miisho ya zamani. (aiōn g165)
A to wszystko przydarzyło się im dla przykładu i zostało napisane dla napomnienia nas, których dosięgnął kres czasów. (aiōn g165)
“Kifo, ushindi wako uko wapi? Kifo, uko wapi uchungu wako?” (Hadēs g86)
Gdzież [jest], o śmierci, twoje żądło? Gdzież jest, o piekło, twoje zwycięstwo? (Hadēs g86)
Katika uchaguzi wao, mungu wa ulimwengu huu amewapofusha fahamu zao zisizoamini. Matokeo yake, hawawezi kuona nuru ya injili ya utukufu wa Kristo, ambaye ni mfano wa Mungu. (aiōn g165)
W których bóg tego świata zaślepił umysły, w niewierzących, aby nie świeciła im światłość chwalebnej ewangelii Chrystusa, który jest obrazem Boga. (aiōn g165)
Kwa kipindi hiki kifupi, mateso haya mepesi yanatuandaa sisi kwa ajili ya umilele mzito wa utukufu uzidio vipimo vyote. (aiōnios g166)
Ten bowiem nasz chwilowy i lekki ucisk przynosi nam przeogromną i wieczną wagę chwały; (aiōnios g166)
Kwa kuwa hatutazami kwa ajili ya vitu ambavyo vinaonekana, bali kwa ajili ya vitu visivyoonekana. Vitu tunavyoweza kuviona ni vya muda tu, bali vitu ambayo havionekani ni vya milele. (aiōnios g166)
Gdy nie patrzymy na to, co widzialne, lecz na to, co niewidzialne. To bowiem, co widzialne, jest doczesne, to zaś, co niewidzialne, jest wieczne. (aiōnios g166)
Tunajua kwamba kama maskani ya ulimwenguni ambayo tunaishi humo yanaharibiwa, tunalo jengo kutoka kwa Mungu. Ni nyumba isiyotengenezwa kwa mikono ya wanadamu, bali ni nyumba ya milele, katika mbingu. (aiōnios g166)
Wiemy bowiem, że jeśli zostanie zniszczony ten namiot naszego ziemskiego mieszkania, to mamy budowlę od Boga, dom nie ręką uczyniony, wieczny w niebiosach. (aiōnios g166)
Ni kama ilivyoandikwa: “Ametapanya utajiri wake na kuutoa kwa maskini. Haki yake yadumu milele.” (aiōn g165)
Jak jest napisane: Rozrzucił, dał ubogim, jego sprawiedliwość trwa na wieki. (aiōn g165)
Mungu na Baba wa Bwana Yesu, yeye ambaye anatukuzwa milele, anajua kwamba mimi sidanganyi. (aiōn g165)
Bóg i Ojciec naszego Pana Jezusa Chrystusa, który jest błogosławiony na wieki, wie, że nie kłamię. (aiōn g165)
aliyejitoa mwenyewe kwa ajili ya dhambi zetu ili kwamba atukomboe na nyakati hizi za uovu, kutokana na mapenzi ya Mungu wetu na Baba. (aiōn g165)
Który wydał samego siebie za nasze grzechy, aby nas wyrwać z obecnego złego świata według woli Boga i Ojca naszego; (aiōn g165)
Kwake uwe utukufu milele na milele. (aiōn g165)
Któremu chwała na wieki wieków. Amen. (aiōn g165)
Kila apandaye mbegu katika asili yake ya dhambi atavuna uharibifu, lakini yeye apandaye mbegu katika Roho, atavuna uzima wa milele kutoka kwa Roho. (aiōnios g166)
Bo kto sieje dla swego ciała, z ciała żąć będzie zniszczenie. Kto zaś sieje dla Ducha, z Ducha żąć będzie życie wieczne. (aiōnios g166)
Alimketisha Kristo juu mbali na utawala, mamlaka, nguvu, enzi, na kila jina litajwalo. Alimketisha Yesu si tu kwa wakati huu lakini kwa wakati ujao pia. (aiōn g165)
Wysoko ponad wszelką zwierzchnością i władzą, mocą, panowaniem i [ponad] wszelkim imieniem wypowiadanym nie tylko w tym świecie, ale i w przyszłym. (aiōn g165)
Ilikuwa katika haya kwamba kwanza mlienenda kulingana na nyakati za ulimwengu huu. Mlikuwa mkienenda kwa kufuata mtawala wa mamlaka ya anga. Hii ndiyo roho yake yule afanyaye kazi katika wana wa kuasi. (aiōn g165)
W których niegdyś postępowaliście według zwyczaju tego świata [i] według władcy, który rządzi w powietrzu, ducha, który teraz działa w synach nieposłuszeństwa. (aiōn g165)
Alifanya hivi ili katika nyakati zijazo aweze kutuonesha utajiri mkuu wa neema yake. Hutuonesha sisi hili kwa njia ya wema wake ndani ya Kristo Yesu. (aiōn g165)
Aby okazać w przyszłych wiekach przemożne bogactwo [swojej] łaski przez swoją dobroć względem nas w Chrystusie Jezusie. (aiōn g165)
inanipasa kuwaangazia watu wote juu ya nini ni mpango wa Mungu wa siri. Huu ni mpango ambao ulikuwa umefichwa kwa miaka mingi iliyopita, na Mungu ambaye aliviumba vitu vyote. (aiōn g165)
I żebym ujawnił wszystkim, jaka jest wspólnota tej tajemnicy ukrytej od wieków w Bogu, który wszystko stworzył przez Jezusa Chrystusa; (aiōn g165)
Haya yangetokea kupitia mpango wa milele ambao aliukamilisha ndani ya Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōn g165)
Zgodnie z wiecznym postanowieniem, które powziął w Chrystusie Jezusie, naszym Panu. (aiōn g165)
kwake yeye kuwe utukufu ndani ya kanisa na katika Kristo Yesu kwa vizazi vyote milele na milele. Amina. (aiōn g165)
Jemu [niech będzie] chwała w kościele przez Chrystusa Jezusa po wszystkie pokolenia na wieki wieków. Amen. (aiōn g165)
kwa kuwa vita yetu si ya damu na nyama, bali ni dhidi ya falme na mamlaka ya roho na watawala wa ulimwengu wa uovu na giza, dhidi ya pepo katika sehemu za mbingu. (aiōn g165)
Nie toczymy bowiem walki przeciw krwi i ciału, ale przeciw zwierzchnościom, przeciw władzom, przeciw rządcom ciemności tego świata, przeciw duchowemu złu na wyżynach niebieskich. (aiōn g165)
Sasa kwa Mungu na Baba yetu uwe utukufu milele na milele. Amina. (aiōn g165)
A Bogu i Ojcu naszemu [niech będzie] chwała na wieki wieków. Amen. (aiōn g165)
Huu ni ukweli wa siri iliyokuwa imefichwa kwa miaka mingi na kwa vizazi. Lakini sasa imefunuliwa kwa wote waaminio katika Yeye. (aiōn g165)
Tajemnicę, która była ukryta od wieków i pokoleń, ale teraz została objawiona jego świętym; (aiōn g165)
Watateseka kwa maangamizi ya milele wakiwa wametengwa na uwepo wa Bwana na utukufu wa nguvu zake. (aiōnios g166)
Poniosą oni karę, wieczne zatracenie od oblicza Pana i od chwały jego mocy; (aiōnios g166)
Sasa, Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe, na Mungu Baba yetu aliyetupenda na kutupa faraja ya milele na ujasiri mwema kwa ajili ya maisha yajayo kupitia neema, (aiōnios g166)
A sam nasz Pan Jezus Chrystus i Bóg, nasz Ojciec, który nas umiłował i dał wieczną pociechę i dobrą nadzieję przez łaskę; (aiōnios g166)
Lakini kwa sababu hii mimi nilipewa rehema ili kwamba ndani yangu mimi, awali ya yote, Kristo Yesu adhihirishe uvumilivu wote. Alifanya hivyo kama kielelezo kwa wote watakaomtumaini Yeye kwa ajili ya uzima wa milele. (aiōnios g166)
Lecz dostąpiłem miłosierdzia po to, aby we mnie pierwszym Jezus Chrystus okazał wszelką cierpliwość jako przykład dla tych, którzy mają w niego uwierzyć ku życiu wiecznemu. (aiōnios g166)
Na sasa kwa Mfalme asiye na ukomo, asiyekufa, asiyeonekana, Mungu pekee, iwe heshima na utukufu milele na milele. Amina. (aiōn g165)
A Królowi wieków, nieśmiertelnemu, niewidzialnemu, jedynemu mądremu Bogu [niech będzie] cześć i chwała na wieki wieków. Amen. (aiōn g165)
Piga vita vizuri vya imani. Shikilia uzima wa milele ulioitiwa. Ilikuwa ni kwa sababu hii kwamba ulitoa ushuhuda mbele ya mashahidi wengi kwa kile kilicho chema. (aiōnios g166)
Staczaj dobrą walkę wiary, uchwyć się życia wiecznego, do którego też zostałeś powołany i o którym złożyłeś dobre wyznanie wobec wielu świadków. (aiōnios g166)
Peke yake anaishi milele na akaaye katika mwanga usiokaribiriwa. Hakuna mtu awezaye kumwona wala awezaye kumtazama. Kwake iwe heshima na uweza wa milele. Amina. (aiōnios g166)
Jedyny mający nieśmiertelność [i] mieszkający w światłości niedostępnej, którego żaden z ludzi nie widział ani widzieć nie może; jemu [niech będzie] cześć i moc wieczna. Amen. (aiōnios g166)
Waambie matajiri katika ulimwengu huu wasijivune, na wasitumaini katika utajiri, ambao siyo wa uhakika. Badala yake, wanapaswa kumtumaini Mungu. Ambaye hutupatia utajiri wote wa kweli ili tufurahie. (aiōn g165)
Bogaczom tego świata nakazuj, aby się nie wynosili i nie pokładali nadziei w niepewnym bogactwie, lecz w Bogu żywym, który nam wszystkiego obficie udziela, abyśmy z tego korzystali. (aiōn g165)
Ni Mungu aliyetuokoa na kutuita kwa wito mtakatifu. Hakufanya hivi kulingana na kazi zetu bali kulingana na neema na mpango wake mwenyewe. Alitupatia mambo haya katika Kristo Yesu kabla ya nyakati kuanza. (aiōnios g166)
Który nas zbawił i powołał świętym powołaniem nie na podstawie naszych uczynków, ale na podstawie swojego postanowienia i łaski, która została nam dana w Chrystusie Jezusie przed wiecznymi czasy. (aiōnios g166)
Kwa hiyo, navumilia mambo yote kwa ajili ya wale ambao Mungu amekwishawachagua, ili kwamba nao pia waupate wokovu ulio katika Kristo Yesu pamoja na utukufu wa milele. (aiōnios g166)
Dlatego wszystko znoszę przez wzgląd na wybranych, aby i oni dostąpili zbawienia, które jest w Chrystusie Jezusie wraz z wieczną chwałą. (aiōnios g166)
Kwa kuwa Dema ameniacha. Anaupenda ulimwengu wa sasa na amekwenda Thesalonike, Kreseni alikwenda Galatia, na Tito alikwenda Dalmatia. (aiōn g165)
Demas bowiem mnie opuścił, umiłowawszy ten świat, i udał się do Tesaloniki, Krescens do Galacji, Tytus do Dalmacji; (aiōn g165)
Bwana ataniepusha na matendo yote maovu na kuniokoa kwa ajili ya ufalme wake wa mbinguni. Utukufu uwe kwake milele na milele. Amen (aiōn g165)
Wyrwie mnie też Pan ze wszelkiego złego uczynku i zachowa dla swojego królestwa niebieskiego. Jemu chwała na wieki wieków. Amen. (aiōn g165)
Wapo katika tumaini la uzima wa milele ambao Mungu asiyeweza kusema uongo aliuahidi tangu milele. (aiōnios g166)
W nadziei życia wiecznego, które obiecał przed dawnymi wiekami ten, który nie kłamie, Bóg; (aiōnios g166)
Inatufundisha kukataa mambo yasiyo ya kimungu na tamaa za kidunia. Inatufundisha kuishi kwa busara, kwa haki, na katika njia za kimungu kwa wakati huu. (aiōn g165)
Pouczająca nas, abyśmy wyrzekłszy się bezbożności i światowych pożądliwości, trzeźwo, sprawiedliwie i pobożnie żyli na tym świecie; (aiōn g165)
Alifanya hivi ili kwamba, tukiwa tumehesabiwa haki kwa neema yake, tuwe washirika katika uhakika wa maisha ya milele. (aiōnios g166)
Abyśmy, usprawiedliwieni jego łaską, stali się dziedzicami zgodnie z nadzieją życia wiecznego. (aiōnios g166)
Labda ni sababu alitengwa nawe kwa muda, ilikuwa hivyo ili uwe pamoja naye milele. (aiōnios g166)
Może bowiem dlatego oddalił się na chwilę [od ciebie], abyś go odzyskał na zawsze; (aiōnios g166)
Lakini katika siku hizi tulizonazo, Mungu ameongea nasi kupitia Mwana, ambaye alimweka kuwa mrithi wa vitu vyote, na ambaye kupitia yeye pia aliumba ulimwengu. (aiōn g165)
W tych ostatecznych dniach przemówił do nas przez [swego] Syna, którego ustanowił dziedzicem wszystkiego, przez którego też stworzył światy; (aiōn g165)
Lakini kuhusu Mwana husema, “Kiti chako cha enzi, Mungu, ni cha milele na milele. Fimbo ya ufalme wako ni fimbo ya haki. (aiōn g165)
Lecz do Syna [mówi]: Twój tron, o Boże, na wieki wieków, berłem sprawiedliwości [jest] berło twego królestwa. (aiōn g165)
Ni kama asemavyo pia sehemu nyingine, “Wewe ni kuhani milele baada ya mfumo wa Melkizedeki.” (aiōn g165)
Tak jak i w innym [miejscu] mówi: Ty jesteś kapłanem na wieki według porządku Melchizedeka. (aiōn g165)
Alikamilishwa na kwa njia hii alifanyika kwa kila mtu amwaminiye kuwa sababu ya wokovu wa milele, (aiōnios g166)
A uczyniony doskonałym, stał się sprawcą wiecznego zbawienia dla wszystkich, którzy są mu posłuszni; (aiōnios g166)
wala misingi ya mafundisho ya ubatizo, na kuwawekea mikono, ufufuo wa wafu, na hukumu ya milele. (aiōnios g166)
Nauka o chrztach i nakładaniu rąk, o zmartwychwstaniu umarłych i sądzie wiecznym. (aiōnios g166)
na ambao walionja uzuri wa neno la Mungu na kwa nguvu za wakati ujao, (aiōn g165)
Zakosztowali też dobrego słowa Bożego i mocy przyszłego wieku; (aiōn g165)
Yesu aliingia sehemu ile kama mtangulizi wetu, akisha kufanyika kuhani mkuu hata milele baada ya utaratibu wa Melkizedeki. (aiōn g165)
Gdzie [jako] poprzednik wszedł dla nas Jezus, stawszy się najwyższym kapłanem na wieki według porządku Melchizedeka. (aiōn g165)
Hivyo maandiko yanashuhudia kuhusu yeye: “Wewe ni kuhani milele baada ya mfumo wa Melkizedeki.” (aiōn g165)
Tak bowiem świadczy: Ty jesteś kapłanem na wieki według porządku Melchizedeka. (aiōn g165)
Lakini Mungu alichukua kiapo wakati aliposema kuhusu Yesu, “Bwana ameapa na hatabadilisha mawazo yake.' wewe ni kuhani milele.” (aiōn g165)
Tamci bowiem zostali kapłanami bez przysięgi, ten zaś na podstawie przysięgi tego, który powiedział do niego: Przysiągł Pan i nie będzie żałował: Ty jesteś kapłanem na wieki według porządku Melchizedeka; (aiōn g165)
Lakini kwa sababu Yesu anaishi milele, ukuhani wake haubadiliki. (aiōn g165)
Ten zaś, ponieważ trwa na wieki, ma kapłaństwo nieprzemijające. (aiōn g165)
Kwa sheria huwateua watu dhaifu kuwa makuhani wakuu, lakini neno la kiapo, lililokuja baada ya sheria, alimteua Mwana, aliyefanywa kuwa mkamilifu milele. (aiōn g165)
Prawo bowiem ustanawiało najwyższymi kapłanami ludzi, którzy podlegają słabościom, słowo zaś przysięgi, która nastąpiła po prawie, [ustanowiło] Syna doskonałego na wieki. (aiōn g165)
Ilikuwa si kwa damu ya mbuzi na ndama, bali kwa damu yake mwenyewe kwamba Kristo aliingia mahali patakatifu zaidi mara moja kwa kila mmoja na kutuhakikishia ukombozi wetu wa milele. (aiōnios g166)
Ani nie przez krew kozłów i cieląt, ale przez własną krew wszedł raz do Miejsca Najświętszego, zdobywszy wieczne odkupienie. (aiōnios g166)
Je si zaidi sana damu ya Kristo ambaye kupitia Roho wa milele alijitoa mwenyewe bila mawaa kwa Mungu, kuosha dhamiri zetu kutoka matendo mafu kumtumikia Mungu aliye hai? (aiōnios g166)
To o ileż bardziej krew Chrystusa, który przez Ducha wiecznego ofiarował Bogu samego siebie bez skazy, oczyści wasze sumienie z martwych uczynków, by służyć Bogu żywemu? (aiōnios g166)
Kwa sababu hiyo, Kristo ni mjumbe wa agano jipya. Hii ndiyo sababu mauti imewaacha huru wote walio wa agano la kwanza kutoka katika hatia ya dhambi zao, ili kwamba wote walioitwa na Mungu waweze kupokea ahadi ya urithi wao wa milele. (aiōnios g166)
I dlatego jest pośrednikiem nowego testamentu, ażeby przez śmierć poniesioną dla odkupienia występków, popełnionych za pierwszego testamentu, ci, którzy zostali powołani, otrzymali obietnicę wiecznego dziedzictwa. (aiōnios g166)
kama hiyo ilikuwa kweli, basi ingekuwa lazima kwake kuteswa mara nyingi zaidi tangu mwanzo wa ulimwengu. Lakini sasa ni mara moja hadi mwisho wa miaka aliyojifunua kuiondoa dhambi kwa dhabihu yake mwenyewe. (aiōn g165)
Bo inaczej musiałby cierpieć wiele razy od początku świata. Lecz teraz na końcu wieków pojawił się raz dla zgładzenia grzechu przez ofiarowanie samego siebie. (aiōn g165)
Kwa imani tunafahamu kwamba ulimwengu uliumbwa kwa amri ya Mungu, ili kwamba kile kinachoonekana hakikutengenezwa kutokana na vitu ambavyo vilikuwa vinaonekana. (aiōn g165)
Przez wiarę rozumiemy, że światy zostały ukształtowane słowem Boga, tak że to, co widzimy, nie powstało z tego, co widzialne. (aiōn g165)
Yesu Kristo ni yeye jana, leo, na ata milele. (aiōn g165)
Jezus Chrystus wczoraj i dziś, ten sam i na wieki. (aiōn g165)
Sasa Mungu wa amani, ambaye aliwaleta tena kutoka kwa wafu mchungaji mkuu wa kondoo, Bwana wetu Yesu, kwa damu ya agano la milele, (aiōnios g166)
A Bóg pokoju, który przez krew wiecznego przymierza wyprowadził spośród umarłych wielkiego pasterza owiec, naszego Pana Jezusa; (aiōnios g166)
Atawapa uwezo kwa kila jambo zuri kufanya mapenzi yake, akifanya kazi ndani yetu iliyo njema ya kupendeza machoni pake, kupitia Yesu Kristo, kwake uwe utukufu milele na milele. Amina. (aiōn g165)
Niech was uczyni doskonałymi w każdym dobrym uczynku, abyście spełniali jego wolę, dokonując w was tego, co miłe w jego oczach, przez Jezusa Chrystusa, któremu chwała na wieki wieków. Amen. (aiōn g165)
Ulimi pia ni moto, ni ulimwengu wa uovu, umewekwa miongoni mwa viungo vya mwili wetu, ambao hunajisi mwili wote na huiweka juu ya moto njia ya maisha, na wenyewe kuchomwa moto wa kuzimu. (Geenna g1067)
Język też [jest] ogniem i światem nieprawości. Język jest tak ułożony wśród naszych członków, że kala całe ciało i rozpala bieg życia, i jest zapalony przez ogień piekielny. (Geenna g1067)
Mmekwisha zaliwa mara ya pili, si kwa mbegu iharibikayo, lakini kutoka katika mbegu isiyoharibika, kupitia uzima na neno la Mungu lililosalia. (aiōn g165)
Będąc odrodzeni nie z nasienia zniszczalnego, ale z niezniszczalnego, przez słowo Boże, które jest żywe i trwa na wieki. (aiōn g165)
lakini neno la Bwana hubakia milele.” Huu ni ujumbe ambao ulitangazwa kama injili kwenu. (aiōn g165)
Lecz słowo Pana trwa na wieki. A jest to słowo, które zostało wam zwiastowane. (aiōn g165)
Kama mtu akiongea, na iwe kama mausia ya Mungu, na kama mtu akihudumu, na iwe kama uwezo aliopewa na Mungu, ili kwamba kwa kila jambo Mungu apate kutukuzwa kupitia Yesu Kristo. Utukufu na uweza vina Yeye milele na milele. Amina. (aiōn g165)
Jeśli ktoś przemawia, [niech mówi] jak wyroki Boga, jeśli ktoś usługuje, [niech to czyni] z mocy, której Bóg udziela, aby we wszystkim był uwielbiony Bóg przez Jezusa Chrystusa. Jemu chwała i panowanie na wieki wieków. Amen. (aiōn g165)
Baada ya kuteseka kwa muda kitambo, Mungu wa neema yote, aliyewaita katika utukufu wa milele ndani ya Kristo, atawakamilisha, atawaimarisha na kuwatia nguvu. (aiōnios g166)
A Bóg wszelkiej łaski, ten, który nas powołał do swojej wiecznej chwały w Chrystusie Jezusie, po krótkotrwałych cierpieniach waszych niech uczyni was doskonałymi, utwierdzi, umocni i ugruntuje. (aiōnios g166)
Enzi iwe kwake milele na milele. Amina. (aiōn g165)
Jemu chwała i moc na wieki wieków. Amen. (aiōn g165)
Hivyo mtajipatia wingi wa lango la kuingilia katika ufalme wa milele wa Bwana wetu na mwokozi Yesu Kristo. (aiōnios g166)
W ten sposób hojnie będzie wam dane wejście do wiecznego królestwa naszego Pana i Zbawiciela, Jezusa Chrystusa. (aiōnios g166)
Maana Mungu hakuwaacha malaika waliokengeuka. Bali aliwatupa kuzimu ili wafungwe minyororo mpaka hukumu itakapowajilia. (Tartaroō g5020)
Jeśli bowiem Bóg nie oszczędził aniołów, którzy zgrzeszyli, ale strąciwszy ich do piekła, wydał więzom ciemności, aby byli zachowani na sąd; (Tartaroō g5020)
Lakini mkue katika neema na ufahamu wa Bwana na mwokozi Yesu Kristo. Na sasa utukufu una yeye sasa na milele. Amina. (aiōn g165)
Wzrastajcie zaś w łasce i poznaniu naszego Pana i Zbawiciela, Jezusa Chrystusa. Jemu chwała i teraz, i na wieczne czasy. Amen. (aiōn g165)
Na ule uzima ulifanywa kujulikana wazi, na tumeuona, na kuushuhudia, na kuwatangazia uzima wa milele, ambao ulikuwa kwa Baba na ulifanywa kujulikana kwetu. (aiōnios g166)
(Bo życie zostało objawione, a my [je] widzieliśmy i świadczymy [o nim], i zwiastujemy wam to życie wieczne, które było u Ojca, a nam zostało objawione). (aiōnios g166)
Dunia na tamaa zake zinapita. Bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu huyo adumu milele. (aiōn g165)
A świat przemija wraz ze swoją pożądliwością, ale kto wypełnia wolę Boga, trwa na wieki. (aiōn g165)
Na hii ni ahadi aliyotupatia sisi: uzima wa milele. (aiōnios g166)
A to jest obietnica, którą on nam dał – życie wieczne. (aiōnios g166)
Mtu yeyote anaye mchukia ndugu yake ni muuaji. Na mnajua kuwa uzima wa milele haukai ndani ya muuaji. (aiōnios g166)
Każdy, kto nienawidzi swego brata, jest mordercą, a wiecie, że żaden morderca nie ma życia wiecznego zostającego w sobie. (aiōnios g166)
Na ushuhuda ndio huu — kwamba Mungu alitupa uzima wa milele, na uzima huu umo ndani ya Mwanawe. (aiōnios g166)
A [to] świadectwo jest takie, że Bóg dał nam życie wieczne, a to życie jest w jego Synu. (aiōnios g166)
Nimewaandikia haya mweze kujua kwamba mnao uzima wa milele — ninyi mnaoamini katika jina la Mwana wa Mungu. (aiōnios g166)
To napisałem wam, którzy wierzycie w imię Syna Bożego, abyście wiedzieli, że macie życie wieczne i abyście wierzyli w imię Syna Bożego. (aiōnios g166)
Lakini twajua kwamba Mwana wa Mungu amekuja na ametupatia ujuzi, kwamba tunamjua yeye aliye kweli na kwamba tumo ndani yake yeye aliye kweli, hata katika Mwanawe Yesu Kristo. Ni Mungu wa kweli na uzima wa milele. (aiōnios g166)
A wiemy, że Syn Boży przyszedł i dał nam rozum, abyśmy poznali prawdziwego Boga, i jesteśmy w tym prawdziwym, [to jest] w jego Synu, Jezusie Chrystusie. On jest prawdziwym Bogiem i życiem wiecznym. (aiōnios g166)
kwa sababu ya kweli iliyomo ndani yetu na itakayodumu pamoja nasi milele. (aiōn g165)
Ze względu na prawdę, która pozostaje w nas i będzie z nami na wieki. (aiōn g165)
Na malaika ambao hawakuilinda enzi yao wenyewe lakini wakaacha makao yao maalum Mungu amewaweka katika minyororo ya milele, ndani ya giza, kwa ajili ya hukumu ya siku ile kuu. (aïdios g126)
Także aniołów, którzy nie zachowali swego pierwotnego stanu, lecz opuścili własne mieszkanie, zatrzymał w wiecznych pętach w ciemnościach na sąd wielkiego dnia. (aïdios g126)
Kama vile Sodoma na Gomora na miji iliyoizunguka, ambayo pia ilijiingiza yenyewe katika uasherati na wakafuata tamaa isiyo ya asili. Walioneshwa kama mifano ya wale ambao huteseka katika hukumu ya moto wa milele. (aiōnios g166)
Tak samo Sodoma i Gomora oraz okoliczne miasta, które w podobny sposób jak i one oddały się nierządowi i podążały za cudzym ciałem, służą za przykład, ponosząc karę wiecznego ognia. (aiōnios g166)
Ni mawimbi ya bahari yenye kelele yakitoa aibu yao wenyewe, Ni nyota zinazorandaranda ambazo weusi wa giza umetunzwa kwa ajili yao milele. (aiōn g165)
Rozhukane fale morskie wypluwające swoją hańbę; błąkające się gwiazdy, dla których mroki ciemności zachowane są na wieki. (aiōn g165)
jitunzeni katika upendo wa Mungu, na msubiri rehema ya Bwana wetu Yesu Kristo ambayo huwapatia uzima wa milele. (aiōnios g166)
Zachowajcie samych siebie w miłości Boga, oczekując miłosierdzia naszego Pana Jezusa Chrystusa ku życiu wiecznemu. (aiōnios g166)
kwake Mungu pekee mwokozi kupitia Yesu Kristo Bwana wetu, utukufu uwe kwake, ukuu, uwezo na nguvu kabla ya nyakati zote, na sasa na hata milele. Amina. (aiōn g165)
Jedynemu mądremu Bogu, naszemu Zbawicielowi, [niech będzie] chwała i majestat, moc i władza, teraz i po wszystkie wieki. Amen. (aiōn g165)
ametufanya kuwa ufalme, makuhani wa Mungu na Baba yake - kwake kuwa utukufu na nguvu milele daima. Amina. (aiōn g165)
I uczynił nas królami i kapłanami dla Boga, swego Ojca, jemu chwała i moc na wieki wieków. Amen. (aiōn g165)
na ambaye ninaishi. Nalikuwa nimekufa, lakini tazama, ninaishi milele! Na ninazo funguo za mauti na kuzimu. (aiōn g165, Hadēs g86)
I żyjący, a byłem umarły. A oto żyję na wieki wieków i mam klucze piekła i śmierci. (aiōn g165, Hadēs g86)
Kila wakati viumbe wenye uhai walipotoa utukufu, heshima, na kushukuru mbele za aliyekuwa ameketi kwenye hicho kiti cha enzi, yeye aishiye milele na daima, (aiōn g165)
A gdy stworzenia oddawały chwałę i cześć, i dziękczynienie zasiadającemu na tronie, żyjącemu na wieki wieków; (aiōn g165)
wazee ishirini na wanne walisujudu wenyewe mbele yake aliyekikalia kiti cha enzi. Waliinama chini kwake aishiye milele na daima na kutupa chini taji zao mbele ya kiti cha enzi wakisema, (aiōn g165)
Upadło dwudziestu czterech starszych przed zasiadającym na tronie i oddało pokłon żyjącemu na wieki wieków, i rzucało swoje korony przed tronem, mówiąc: (aiōn g165)
Nikasikia kila kilichoumbwa kilichokuwa mbinguni na duniani na chini ya nchi na juu ya bahari, kila kitu ndani yake kikisema, “Kwake yeye aketiye juu ya kiti cha enzi na kwa mwanakondoo, kuwe sifa, heshima, utukufu na nguvu ya kutawala milele na milele.” (aiōn g165)
A wszelkie stworzenie, które jest w niebie i na ziemi, i pod ziemią, i w morzu, i wszystko, co w nich jest, słyszałem, jak mówiło: Zasiadającemu na tronie i Barankowi błogosławieństwo i cześć, i chwała, i moc na wieki wieków. (aiōn g165)
Kisha nikaona farasi wa kijivu. Aliye mpanda aliitwa jina lake mauti, na kuzimu ilikuwa ikimfuata. Walipewa mamlaka juu ya robo ya nchi, kuua kwa upanga, kwa njaa na kwa ugonjwa, na kwa wanyama wa mwitu katika nchi. (Hadēs g86)
I zobaczyłem, oto koń płowy, a temu, który na nim siedział, było na imię Śmierć, a Piekło szło za nim. I dano im władzę nad czwartą częścią ziemi, aby zabijali mieczem i głodem, i zarazą, i przez zwierzęta ziemi. (Hadēs g86)
wakisema, “Amina! Sifa, utukufu, hekima, shukurani, heshima, uwezo na nguvu viwe kwa Mungu wetu milele na milele! Amina!” (aiōn g165)
Mówiąc: Amen. Błogosławieństwo i chwała, i mądrość, i dziękczynienie, i cześć, i moc, i siła naszemu Bogu na wieki wieków. Amen. (aiōn g165)
Kisha malaika wa tano alipiga tarumbeta yake. Niliona nyota kutoka mbinguni iliyokuwa imeanguka kwenye dunia. Nyota ilipewa ufunguo wa shimo linaloelekea kwenye shimo lisilo na mwisho. (Abyssos g12)
I zatrąbił piąty anioł, i zobaczyłem gwiazdę, która spadła z nieba na ziemię i dano jej klucz do studni otchłani. (Abyssos g12)
Alifungua shimo lisilo na kikomo, na moshi ukapanda juu kwa safu kutoka ndani ya shimo kama moshi kutoka katika tanuru kubwa. Jua na anga vilibadilika vikawa giza kwa sababu ya moshi uliotoka shimoni. (Abyssos g12)
I otworzyła studnię otchłani, i wzbił się dym ze studni, jakby dym wielkiego pieca, a słońce i powietrze zaćmiły się od dymu studni. (Abyssos g12)
Walikuwa naye kama mfalme juu yao malaika wa shimo lisilokuwa na mwisho. Jina lake katika Kiebrania ni Abadoni, na katika Kiyunani ana jina Apolioni. (Abyssos g12)
Mają nad sobą króla, anioła otchłani, którego imię po hebrajsku brzmi Abaddon, a po grecku Apollyon. (Abyssos g12)
na kuapa kwa yule aishiye milele na milele —aliyeumba mbingu na vyote vilivyomo, dunia na vyote vilivyomo, na bahari na vyote vilivyomo: “Hakutakuwepo kuchelewa tena. (aiōn g165)
I przysiągł na tego, który żyje na wieki wieków, który stworzył niebo i to, co w nim jest, i ziemię i to, co na niej, i morze, i to, co w nim, że czasu już nie będzie; (aiōn g165)
Wakati watakapokuwa wamemaliza ushuhuda wao, yule mnyama anayetoka kwenye shimo lisilo na mwisho atafanya vita dhidi yao. Atawashinda na kuwaua. (Abyssos g12)
A gdy dopełnią swojego świadectwa, bestia, która wychodzi z otchłani, stoczy z nimi walkę i zwycięży ich, i zabije ich. (Abyssos g12)
Kisha malaika wa saba alipiga tarumbeta yake, na sauti kubwa zilinena mbinguni na kusema, “Ufalme wa dunia umeshakuwa ufalme wa Bwana wetu na wa Kristo wake. Atatawala milele na milele.” (aiōn g165)
I zatrąbił siódmy anioł, i odezwały się donośne głosy w niebie mówiące: Królestwa świata stały się [królestwami] naszego Pana i jego Chrystusa i będzie królować na wieki wieków. (aiōn g165)
Nikaona malaika mwingine akiruka katikati ya mbingu, ambaye mwenye ujumbe wa mbinguni wa habari njema kwa kuwatangazia wenye kuishi duniani kwa kila taifa, kabila, lugha, na watu. (aiōnios g166)
I zobaczyłem innego anioła lecącego środkiem nieba, który miał ewangelię wieczną, aby ją zwiastować mieszkańcom ziemi, wszystkim narodom, plemionom, językom i ludom; (aiōnios g166)
Na moshi wa maumivu yao ukaenda milele na milele, na hawakuwa na mapumziko mchana au usiku - hao waabuduo mnyama na sanamu yake, na kila mtu aliyepokea alama ya jina lake. (aiōn g165)
A dym ich męki wznosi się na wieki wieków i nie zaznają odpoczynku we dnie i w nocy ci, którzy oddają pokłon bestii i jej wizerunkowi, i ten, kto przyjmuje znamię jej imienia. (aiōn g165)
Mmoja wa wale wenye uhai wanne akatoa kwa malaika saba mabakuli saba ya dhahabu yaliyojaa ghadhabu ya Mungu mwenye kuishi milele na milele. (aiōn g165)
A jedno z czterech stworzeń dało siedmiu aniołom siedem złotych czasz pełnych gniewu Boga, który żyje na wieki wieków. (aiōn g165)
Mnyama uliyemwona alikuwepo, hayupo tena sasa, lakini yuko tayari kupanda kutoka katika shimo lisilo na mwisho. Kisha ataendelea na uharibifu. Wale wakaao juu ya nchi, wale ambao majina yao hayakuandikwa kwenye kitabu cha uzima tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu - watashangaa wamwonapo mnyama aliyekuwepo, kwamba hayupo sasa, lakini yupo karibu kuja. (Abyssos g12)
Bestia, którą widziałeś, była, a nie ma jej i ma wyjść z otchłani, i iść na zatracenie. I zdziwią się mieszkańcy ziemi, których imiona nie są zapisane w księdze życia od założenia świata, widząc bestię, która była i nie ma jej, a jednak jest. (Abyssos g12)
Kwa mara ya pili walisema, “Haleluya! Moshi hutoka kwake milele na milele.” (aiōn g165)
I powtórnie powiedzieli: Alleluja! A jej dym wznosi się na wieki wieków. (aiōn g165)
Mnyama alikamatwa na nabii wake wa uongo aliyezifanya ishara katika uwepo wake. Kwa ishara hizi aliwadanganya wale walioipokea chapa ya mnyama na walioisujudia sanamu yake. Wote wawili walitupwa wangali hai katika ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti. (Limnē Pyr g3041 g4442)
I schwytana została bestia, a z nią fałszywy prorok, który czynił przed nią cuda, jakimi zwiódł tych, którzy przyjęli znamię bestii i oddawali pokłon jej wizerunkowi. Oboje zostali żywcem wrzuceni do jeziora ognia, płonącego siarką. (Limnē Pyr g3041 g4442)
Kisha niliona malaika akishuka kutoka mbinguni, akiwa na ufunguo wa shimo lisilo na mwisho na mnyororo mkubwa mkononi mwake. (Abyssos g12)
I zobaczyłem anioła zstępującego z nieba, mającego klucz do otchłani i wielki łańcuch w ręce. (Abyssos g12)
Alimtupa kwenye shimo lisilo na mwisho, akalifunga na kulitia mhuri juu yake. Hii ilikuwa hivyo ili kwamba asiwadanganye mataifa tena mpaka miaka elfu itakapoisha. Baada ya hapo, ataachiwa huru kwa muda mchache. (Abyssos g12)
I wrzucił go do otchłani, zamknął go i opieczętował, aby już nie zwodził narodów, aż się dopełni tysiąc lat. A potem musi być wypuszczony na krótki czas. (Abyssos g12)
Shetani, ambaye aliwadanganya, alitupwa ndani ya ziwa liwakalo kiberiti, ambamo mnyama na nabii wa uongo walikuwa wameshatupwa. Watateswa mchana na usiku milele na milele. (aiōn g165, Limnē Pyr g3041 g4442)
A diabeł, który ich zwodził, został wrzucony do jeziora ognia i siarki, gdzie [jest] bestia i fałszywy prorok. I będą męczeni we dnie i w nocy na wieki wieków. (aiōn g165, Limnē Pyr g3041 g4442)
Bahari iliwatoa wafu ambao walikuwa ndani yake. Kifo na kuzimu viliwatoa wafu ambao walikuwa ndani yake, na wafu walihukumiwa kulingana na walichofanya. (Hadēs g86)
I wydało morze umarłych, którzy w nim byli, również śmierć i piekło wydały umarłych, którzy w nich byli. I zostali osądzeni, każdy według swoich uczynków. (Hadēs g86)
Kifo na kuzimu zilitupwa ndani ya ziwa la moto. Hii ni mauti ya pili - ziwa la moto. (Hadēs g86, Limnē Pyr g3041 g4442)
A śmierć i piekło zostały wrzucone do jeziora ognia. To jest druga śmierć. (Hadēs g86, Limnē Pyr g3041 g4442)
Kama jina la yeyote halikupatikana limeandikwa ndani ya Kitabu cha Uzima, alitupwa ndani ya ziwa la moto. (Limnē Pyr g3041 g4442)
I jeśli się ktoś nie znalazł zapisany w księdze życia, został wrzucony do jeziora ognia. (Limnē Pyr g3041 g4442)
Lakini kama ilivyo kwa waoga, wasioamini, wachukizao, wauaji, wazinzi, wachawi, waabudu sanamu, na waongo wote, sehemu yao itakuwa katika ziwa la moto wa kiberiti uunguzao. Hiyo ndiyo mauti ya pili.” (Limnē Pyr g3041 g4442)
Ale bojaźliwi, niewierzący, obrzydliwi, mordercy, rozpustnicy, czarownicy, bałwochwalcy i wszyscy kłamcy [będą mieli] udział w jeziorze płonącym ogniem i siarką. To jest druga śmierć. (Limnē Pyr g3041 g4442)
Hapatakuwa na usiku tena; wala hapatakuwa na hitaji la mwanga wa taa au jua kwa sababu Bwana Mungu ataangaza juu yao. Nao watatawala milele na milele. (aiōn g165)
I nocy tam nie będzie, i nie będzie im potrzeba lampy ani światła słońca, bo Pan Bóg będzie im świecił i będą królować na wieki wieków. (aiōn g165)

SWN > Aionian Verses: 264
POU > Aionian Verses: 264