< Ufunuo 19 >

1 Baada ya mambo haya nilisikia sauti kama ya mlio mkubwa wa kundi kubwa la watu mbinguni ikisema, “Haleluya. Wokovu, utukufu, na nguvu ni vya Mungu wetu.
Potem usłyszałem donośny głos wielkiego tłumu ludzi w niebie, który mówił: Alleluja! Zbawienie i chwała, i cześć, i moc Panu, naszemu Bogu.
2 Hukumu zake ni kweli na za haki, kwa kuwa amemhukumu kahaba mkuu aliyeiharibu nchi kwa uzinzi wake. Amefanya kisasi kwa damu ya watumishi wake, ambayo aliimwaga yeye mwenyewe.”
Bo jego wyroki są prawdziwe i sprawiedliwe, gdyż osądził wielką nierządnicę, która skaziła ziemię swoim nierządem, i pomścił krew swoich sług z jej ręki.
3 Kwa mara ya pili walisema, “Haleluya! Moshi hutoka kwake milele na milele.” (aiōn g165)
I powtórnie powiedzieli: Alleluja! A jej dym wznosi się na wieki wieków. (aiōn g165)
4 Wale wazee ishirini na wanne na viumbe hai wanne wakasujudu na kumwabudu Mungu akaaye kwenye kiti cha enzi. Walikuwa wakisema, “Amina. Haleluya!”
I upadło dwudziestu czterech starszych i cztery stworzenia, i oddali pokłon Bogu zasiadającemu na tronie, mówiąc: Amen! Alleluja!
5 Ndipo sauti ilitoka kwenye kiti cha enzi, ikisema, “Msifuni Mungu wetu, enyi watumishi wake wote, ninyi mnaomcha yeye, wote wasio na umuhimu na wenye nguvu.”
A od tronu rozległ się głos, który mówił: Chwalcie naszego Boga wszyscy jego słudzy i ci, którzy się go boicie, i mali, i wielcy.
6 Ndipo nilisikia sauti kama sauti ya kundi kubwa la watu, kama sauti ya ngurumo ya maji mengi, na kama ngurumo ya radi, ikisema, “Haleluya! Bwana ni Mungu wetu, mtawala juu ya wote, hutawala.
I usłyszałem jakby głos wielkiego tłumu i jakby głos wielu wód, i jakby głos potężnych gromów mówiących: Alleluja, bo objął królestwo Pan Bóg Wszechmogący.
7 Na tushangilie na kufurahi na kumpa utukufu kwa sababu harusi na sherehe ya Mwana Kondoo imekuja, na bibi harusi yuko tayari.”
Cieszmy się i radujmy, i oddajmy mu chwałę, bo nadeszło wesele Baranka, a jego małżonka się przygotowała.
8 Aliruhusiwa kuvalishwa kitani safi na yenye kung'aa (kitani safi ni matendo ya haki ya waumini).
I dano jej ubrać się w bisior czysty i lśniący, bo bisior to sprawiedliwość świętych.
9 Malaika akasema nami, “Yaandike haya: Wamebarikiwa walioalikwa kwenye sherehe ya harusi ya Mwana kondoo.” Vilevile akaniambia, “Haya ni maneno ya kweli ya Mungu.”
I powiedział mi: Napisz: Błogosławieni, którzy są wezwani na ucztę weselną Baranka. I powiedział mi: To są prawdziwe słowa Boga.
10 Nilisujudu mbele ya miguu yake nikamwabudu, lakini akaniambia, “Usifanye hivi! Mimi ni mtumishi mwenzako na wa ndugu zako mwenye kuushika ushuhuda wa Yesu. Mwabudu Mungu, kwa kuwa ushuhuda wa Yesu ni roho ya unabii.”
I upadłem mu do nóg, aby oddać mu pokłon, lecz powiedział mi: Nie rób tego, bo jestem sługą razem z tobą i twoimi braćmi, którzy mają świadectwo Jezusa. Bogu oddaj pokłon, bowiem świadectwem Jezusa jest duch proroctwa.
11 Kisha niliona mbingu zimefunguka, na tazama kulikuwa na farasi mweupe! Na yule aliyekuwa amempanda anaitwa Mwaminifu na wa Kweli. Huhukumu kwa haki na kufanya vita.
Potem zobaczyłem niebo otwarte, a oto koń biały, a ten, który na nim siedział, nazywa się Wiernym i Prawdziwym i w sprawiedliwości sądzi i walczy.
12 Macho yake ni kama mwali wa moto, na juu ya kichwa chake ana taji nyingi. Ana jina lililoandikwa juu yake asilolifahamu mtu yeyote isipokuwa yeye mwenyewe.
Jego oczy [były] jak płomień ognia, a na jego głowie [było] wiele koron. I miał wypisane imię, którego nikt nie zna, tylko on sam.
13 Amevaa vazi lililochovywa katika damu, na jina lake aliitwa Neno la Mungu.
Ubrany [był] w szatę zmoczoną we krwi, a jego imię brzmi: Słowo Boże.
14 Majeshi ya mbinguni yalikuwa yakimfuata juu ya farasi weupe, walivalishwa kitani nzuri, nyeupe na safi.
A wojska w niebie podążały za nim na białych koniach, ubrane w bisior biały i czysty.
15 Kinywani mwake hutoka upanga mkali ambao huyaangamiza mataifa, naye atawatawala kwa fimbo ya chuma. Naye hukanyaga vyombo vya mvinyo kwa hasira kali ya Mungu, hutawala juu ya wote.
A z jego ust wychodził ostry miecz, aby nim pobił narody. On bowiem będzie rządził nimi laską żelazną i on wyciska w tłoczni wino zapalczywości i gniewu Boga Wszechmogącego.
16 Naye ameandikwa juu ya vazi lake na katika paja lake jina, MFALME WA WAFALME NA BWANA WA MABWANA.
A na szacie i na biodrze ma wypisane imię: Król królów i Pan panów.
17 Niliona malaika amesimama katika jua. Aliwaita kwa sauti kuu ndege wote warukao juu, “Njoni, kusanyikeni pamoja kwenye chakula kikuu cha Mungu.
I zobaczyłem jednego anioła stojącego w słońcu. I zawołał donośnym głosem do wszystkich ptaków latających środkiem nieba: Chodźcie, zgromadźcie się na ucztę wielkiego Boga;
18 Njoni mle nyama ya wafalme, nyama ya majemedari, nyama ya watu wakubwa, nyama ya farasi na wapanda farasi, na nyama ya watu wote, walio huru na watumwa, wasio na umuhimu na wenye nguvu.”
Aby jeść ciała królów, ciała wodzów i ciała mocarzy, ciała koni i ich jeźdźców, i ciała wszystkich: wolnych i niewolników, małych i wielkich.
19 Nilimwona mnyama na wafalme wa nchi pamoja na majeshi yao. Walikuwa wamejipanga kwa ajili ya kufanya vita na mmoja aliyepanda farasi na jeshi lake.
I zobaczyłem bestię i królów ziemi, i ich wojska zgromadzone, by stoczyć bitwę z tym, który siedzi na koniu, i z jego wojskiem.
20 Mnyama alikamatwa na nabii wake wa uongo aliyezifanya ishara katika uwepo wake. Kwa ishara hizi aliwadanganya wale walioipokea chapa ya mnyama na walioisujudia sanamu yake. Wote wawili walitupwa wangali hai katika ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti. (Limnē Pyr g3041 g4442)
I schwytana została bestia, a z nią fałszywy prorok, który czynił przed nią cuda, jakimi zwiódł tych, którzy przyjęli znamię bestii i oddawali pokłon jej wizerunkowi. Oboje zostali żywcem wrzuceni do jeziora ognia, płonącego siarką. (Limnē Pyr g3041 g4442)
21 Wale waliobaki waliuawa kwa upanga uliotoka kinywani mwa mmoja aliyepanda juu ya farasi. Ndege wote walikula mizoga ya miili yao.
Pozostali zaś zostali zabici mieczem wychodzącym z ust tego, który siedział na koniu. I wszystkie ptaki najadły się ich ciałami.

< Ufunuo 19 >