< Mika 4 >

1 Lakini katika siku za mwisho itakuja kuhusu kwamba mlima wa nyumba ya Yahwe utawekwa imare juu ya milima mingine. Utainuliwa juu ya milima, na watu watautakabisha.
Hmailong ah khohnin ana om bitni. BOEIPA kah tlang im khaw om vetih tlang lu ah pai ni. Amah tah som soah poe vetih a taengah pilnam hlampan ni.
2 Mataifa mengi yataenda na kusema, “Njoni, twendeni juu kwenye mlima wa Yahwe, kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo. Atatufundisha njia zake, na tutembea katika njia zake.” Kwa kuwa kutoka Sayuni sheria itatoka, na neno la Yahwe kutoka Yerusalemu.
Te vaengah namtom rhoek te muep cet uh vetih, “Ceh uh sih lamtah BOEIPA tlang neh Jakob Pathen im la luei uh sih. A longpuei te mamih n'thuinuet daengah ni a caehlong ah m'pongpa thai eh. Olkhueng he Zion lamloh thoeng tih BOEIPA ol tah Jerusalem lamkah,” a ti uh ni.
3 Atahukumu miongoni mwa watu na kuamua kuhusiana na mataifa mengi ya mbali. Watapoga mapanga yao kuwa plau na mikuki yao kuwa miuundu ya kupogolea. Taifa halitainua upanga dhidi ya taifa, wala kutawala kwa vita tena.
Pilnam boeiping laklo ah lai a tloek vetih khohla kah namtom pilnu ham a tluung pah ni. A cunghang te tuktong la, a caai te vin la a dae uh ni. Namtom loh namtom taengah cunghang muk mahpawh. Caemtloeknah khaw koep tukkil uh mahpawh.
4 Badala yake, wataketi kila mtu chini ya mzabibu wake na chini ya mtini wake. Hakuna mtu atakayewafanya waogope, kwa kuwa mdomo wa Yahwe wa majeshi umesema.
Hlang he amah kah misur hmui neh amah kah thaibu hmuiah ni a ngol uh eh. Caempuei BOEIPA kah ka loh a thui coeng dongah lakueng uh mahpawh.
5 Kwa kuwa watu wote wataenenda, kila mmoja, katika jina la mungu wake. Lakini sisi tutaenenda katika jina la Yahwe Mungu wetu milele na milele.
Pilnam boeih he amah pathen ming neh rhip pongpa uh khaming. Kaimih tah ka Pathen BOEIPA ming neh kumhal ah ka pongpa uh yoeyah ni.
6 “Katika siku hiyo,” aseme Yahwe, “Nitamkusanya achechemeaye na kumkusanya aliyefukuzwa, wale ambao nimewatesa.
Te khohnin ah tah BOEIPA kah olphong bangla aka cungdo te ka coi vetih a heh rhoek neh thae ka huet thil rhoek te khaw ka tingtun sak ni.
7 Nitamrudisha aliyechechemea kwenye mabaki, na yeye aliyetupwa kwenye taifa imara, na mimi, Yahwe, nitatawala juu yao katika Milima Sayuni, sasa na milele.
Te vaengah aka cungdo rhoek te a meet la, namtom taengla a vaivoek rhoek te pilnu la ka khueh ni. BOEIPA loh amih te Zion tlang ah tahae lamloh kumhal duela a manghai thil ni.
8 Kama kwako, mnara wa saa kwa ajili ya kundi, mlima wa binti wa Sayuni-utakuja kwenu, utawala wenu wa zamani utarudishwa, ufalme ambao unaomilikiwa na binti wa Yerusalemu.
Nang tah molpuei saeldawn-hlam ni. Zion nu tah nang taengla ha thoeng vetih ram lamhma kah khohung te khaw Jerusalem nu taengla pawk ni.
9 Sasa, kwa nini unapiga kelele kwa sauti kuu? Je hakuna mfalme miongoni mwenu? Je mshauri wako amekufa? Kwa nini uchungu umekushika kama yule mwanamke akiwa anazaa?
Tahae balae tih khohum bangla na yuhui. Nang taengah manghai tal tih nang aka uen khaw mitmoeng coeng a? Nang te ca-om bangla bungtloh loh m'moep.
10 Kuwa katika uchungu wa kuzaa ili uzae, binti Sayuni, kama mwanamke mwenye uchungu. Kwa sasa utatoka nje ya mji, kuishi kwenye shamba, na kwenda Babeli. Huko utaokolewa. Huko Yahwe atakuokoa kutoka kwenye mikono ya maadui.
Zion nu, vawn tih ca-om bangla a poh coeng. Khorha lamloh n'khuen laeh saeh lamtah kohong ah khosa oeh. Babylon la pahoi na pha vetih pahoi n'lat bitni. BOEIPA loh nang te na thunkha kut lamloh n'tlan bitni.
11 Sasa mataifa mengi yamekusanyika juu yako; wakisema; 'Atiwe unajisi; macho yenu yaangalie Sayuni.”'
“Poeih saeh lamtah mamih mik loh Zion te dawn saeh,” aka ti namtom rhoek khaw nang taengah muep tingtun uh coeng.
12 Nabii asema, “Hawayajui mawazo ya Yahwe, wala hawaelewi mpango wake, kwa kuwa wamewakusanaya kama miganda kupura sakafuni.”
Cangtilhmuen kah cangpa bangla amih a coi lalah amih loh BOEIPA kah kopoek te ming uh pawt tih a cilsuep khaw a yakming uh moenih.
13 Yahwe asema, “siamama na upure, binti Sayuni, kwa kuwa nitaifanya pembe yako kuwa chuma, na nitazifanya kwato zako kuwa shaba. Utaponda watu wengi. Nitaweka wakfu udhalimu wao kwangu mwenyewe, Yahwe, miliki zao kwangu, Bwana wa dunia nzima.”
Zion nu aw, thoo lamtah til laeh. Na ki te thi kang khueh vetih na khomae ham khaw rhohum kang khueh ni. Pilnam boeiping khaw na tip sak vetih amih mueluemnah te BOEIPA hamla, a caem te diklai pum kah Boeipa hamla na thup pah ni.

< Mika 4 >