< Mathayo 15 >

1 Ndipo Mafarisayo na waadishi walikuja kwa Yesu kutoka Yerusalemu. Na kusema,
Alors des pharisiens et des scribes vinrent de Jérusalem vers Jésus, en disant:
2 “Kwa nini wanafunzi wanayahalifu mapokeo ya wazee? Kwa kuwa hawanawi mikono yao wanapokuwa wanakula chakula.''
« Pourquoi tes disciples désobéissent-ils à la tradition des anciens? Car ils ne se lavent pas les mains quand ils mangent du pain. »
3 Yesu akawajibu na kuwaambia, “Nanyi kwa nini mnaihalifu sheria ya Bwana kwa ajili ya mapokeo yenu?
Il leur répondit: Pourquoi, vous aussi, désobéissez-vous au commandement de Dieu, à cause de votre tradition?
4 Kwa kuwa Mungu alisema, 'Mheshimu baba yako na mama yako; na 'Asemaye uovu kwa baba yake na mama yake, hakika atakufa.'
Car Dieu a ordonné: « Honore ton père et ta mère", et: « Que celui qui parle mal de son père ou de sa mère soit mis à mort ».
5 Lakini ninyi husema, 'Kila amwambiaye baba yake na mama yake, '“Kila msaada ambao angepata kutoka kwangu sasa ni zawadi kutoka kwa Mungu,'''
Mais vous dites: « Celui qui dira à son père ou à sa mère: « L'aide que vous auriez pu obtenir de moi est un don consacré à Dieu »,
6 “Mtu huyo hana haja ya kumuheshimu baba yake. Katika namna hii mmelitangua neno la Mungu kwa ajili ya mapokeo yenu.
n'honorera ni son père ni sa mère. Vous avez rendu nul le commandement de Dieu à cause de votre tradition.
7 Enyi wanafiki, ni vema kama Isaya alivyo tabiri juu yenu aliposema,
Hypocrites! Ésaïe a bien prophétisé sur vous, en disant,
8 'Watu hawa wananiheshimu mimi kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali nami.
Ces gens-là s'approchent de moi avec leur bouche, et m'honorent de leurs lèvres; mais leur cœur est loin de moi.
9 Wananiabudu bure, kwa sababu wanafundisha mafundisho yaliyo maagizo ya wanadamu.”'
Et ils m'adorent en vain, d'enseigner comme doctrine des règles faites par les hommes''.
10 Ndipo akawaita makutano na kuwaambia,” Sikilizeni na mfahamu
Il convoqua la foule, et lui dit: « Écoutez, et comprenez.
11 Hakuna kitu kiingiacho mdomoni mwa mtu na kumfanya najisi. Bali, kile kitokacho kinywani, hiki ndicho kimfanyacho mtu kuwa najisi.''
Ce qui entre dans la bouche ne souille pas l'homme; mais ce qui sort de la bouche, cela souille l'homme. »
12 Ndipo wanafunzi wakamwendea na kusema na Yesu, “Je!, Unafahamu Mafarisayo walipolisikia lile neno walikwazika?”
Alors les disciples s'approchèrent et lui dirent: « Sais-tu que les pharisiens ont été scandalisés en entendant cette parole? »
13 Yesu aliwajibu na kusema, “Kila mmea ambao Baba yangu wa mbinguni hajaupanda utang'olewa.
Mais il répondit: « Toute plante que mon Père céleste n'a pas plantée sera déracinée.
14 Waacheni pekee, wao ni viongozi vipofu. Kama mtu kipofu atamuongoza kipofu mwenzake, wote wawili wataanguka shimoni.”
Laissez-les tranquilles. Ce sont des aveugles qui guident des aveugles. Si l'aveugle guide l'aveugle, tous deux tomberont dans une fosse. »
15 Petro akajibu na kumwambia Yesu,” Tuelezee mfano huu kwetu,
Pierre lui répondit: « Explique-nous la parabole. »
16 Yesu akajibu, ''Nanyi pia bado hamuelewi?
Alors Jésus dit: « Vous aussi, vous ne comprenez pas encore?
17 Ninyi hamuoni kuwa kila kiendacho mdomoni hupitia tumboni na kwenda chooni?
Ne comprenez-vous pas que ce qui entre dans la bouche passe dans le ventre et sort ensuite du corps?
18 Lakini vitu vyote vitokavyo mdomoni hutoka ndani ya moyo. Ndivyo vitu vimtiavyo mtu unajisi.
Mais les choses qui sortent de la bouche sortent du cœur, et elles souillent l'homme.
19 Kwa kuwa katika moyo hutoka mawazo mabaya, uuaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushuhuda wa uongo, na matusi.
Car c'est du cœur que viennent les mauvaises pensées, les meurtres, les adultères, les péchés sexuels, les vols, les faux témoignages, les blasphèmes.
20 Haya ndiyo mambo yamtiayo mtu unajisi. Lakini kula bila kunawa mikono hakumfanyi mtu kuwa najisi.”
Ce sont là des choses qui souillent l'homme; mais manger avec des mains non lavées ne souille pas l'homme. »
21 Ndipo Yesu akatoka mahali pale na akajitenga kuelekea pande za miji ya Tiro na Sidoni.
Jésus sortit de là et se retira dans la région de Tyr et de Sidon.
22 Tazama akaja mwanamke Mkanani kutoka pande hizo. Akapaza sauti akisema, ''Nihurumie, Bwana, Mwana wa Daudi; binti yangu anateswa sana na pepo.''
Voici qu'une femme cananéenne sortit de ces frontières et s'écria: « Aie pitié de moi, Seigneur, fils de David! Ma fille est gravement possédée par un démon! »
23 Lakini Yesu hakumjibu neno. Wanafunzi wake wakaja wakimsihi, wakisema, ''Muondoe aende zake, maana anatupigia kelele.''
Mais il ne lui répondit pas un mot. Ses disciples vinrent le supplier, en disant: « Renvoie-la, car elle crie après nous. »
24 Yesu aliwajibu na kusema, Sikutumwa kwa mtu yeyoye isipokuwa kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.''
Mais il répondit: « Je n'ai été envoyé qu'aux brebis perdues de la maison d'Israël. »
25 Lakini alikuja na kuinama mbele yake, akisema, ''Bwana nisaidie.''
Mais elle vint et l'adora, disant: « Seigneur, aide-moi. »
26 Alimjibu na kusema, “Siyo vema kuchukua chakula cha watoto na kuwatupia mbwa,”
Mais il répondit: « Il ne convient pas de prendre le pain des enfants et de le jeter aux chiens. »
27 Akasema, “Ndiyo, Bwana, hata hivyo mbwa wadogo hula chakula kiagukacho mezani mwa Bwana wao.”
Mais elle répondit: « Oui, Seigneur, mais même les chiens mangent les miettes qui tombent de la table de leurs maîtres. »
28 Ndipo Yesu akajibu na akisema “Mwanamke, imani yako ni kubwa. Na ifanyike kwako kama utakavyo.” Na binti yake alikuwa ameponywa katika wakati huo.
Alors Jésus lui répondit: « Femme, grande est ta foi! Qu'il te soit fait comme tu le désires. » Et sa fille fut guérie dès cette heure-là.
29 Yesu aliondoka mahali pale na kwenda karibu na bahari ya Galilaya. Kisha alienda juu ya mlima na kuketi huko.
Jésus partit de là et s'approcha de la mer de Galilée; il monta sur la montagne et s'y assit.
30 Kundi kubwa likaja kwake. Na kumletea viwete, vipofu, bubu, vilema na wengine wengi, waliokuwa wagonjwa. Waliwaweka katika miguu ya Yesu na akawaponya.
De grandes foules vinrent à lui, ayant avec elles des boiteux, des aveugles, des muets, des estropiés et beaucoup d'autres, et elles les déposèrent à ses pieds. Il les guérit,
31 Nao umati wakashangaa walipoona mabubu wakiongea, na vilema wakifanywa wazima, viwete wakitembea, na vipofu wakiona. Walimsifu Mungu wa Israeli.
de sorte que la foule était dans l'admiration en voyant le muet parler, le blessé guérir, le boiteux marcher et l'aveugle voir, et elle glorifiait le Dieu d'Israël.
32 Yesu akawaita wanafunzi wake na kusema, “Nimewaonea huruma umati, kwa sababu wamekuwa nami kwa siku tatu bila kula kitu chochote. Sitawaaga waende kwao bila kula, wasije wakazimia njiani.”
Jésus convoqua ses disciples et leur dit: « J'ai pitié de la foule, car cela fait trois jours qu'ils restent avec moi et ils n'ont rien à manger. Je ne veux pas les renvoyer à jeun, car ils pourraient s'évanouir en chemin. »
33 Wanafunzi wake wakamwambia, “Ni wapi tunaweza kupata mikate ya kutosha hapa nyikani kushibisha umati mkuwbwa hivi?”
Les disciples lui dirent: « Où pourrions-nous trouver autant de pains dans un lieu désert pour rassasier une si grande multitude? »
34 Yesu akawaambia, “Mna mikate mingapi?” Wakasema, “Saba, na samaki wadogo wachache.”
Jésus leur dit: « Combien de pains avez-vous? » Ils ont dit: « Sept, et quelques petits poissons. »
35 Yesu akawaamuru umati uketi chini.
Il ordonna à la foule de s'asseoir par terre,
36 Aliitwaa ile mikate saba na samaki, na baada ya kushukuru, akaimega na kuwapa wanafunzi. Wanafunzi wakawapa umati.
et il prit les sept pains et les poissons. Il rendit grâces, les rompit, les donna aux disciples, et les disciples à la foule.
37 Watu wote wakala na kutosheka. Na wakakusanya mabaki ya vipande vya chakula vilivyosalia vipande vipande, vilijaa vikapu saba.
Tous mangèrent et furent rassasiés. Ils emportèrent sept corbeilles pleines des morceaux qui restaient.
38 Wote waliokula walikuwa wanaume elfu nne bila wanawake na watoto.
Ceux qui mangèrent étaient quatre mille hommes, sans compter les femmes et les enfants.
39 Kisha Yesu akauaga umati waende zao na akaingia ndani ya mashua na kwenda sehemu za Magadani.
Puis il renvoya la foule, monta dans la barque et arriva dans le territoire de Magdala.

< Mathayo 15 >