< Mathayo 14 >

1 Kwa wakati huo, Herode alisikia habari juu ya Yesu.
En ce temps-là, Hérode le tétrarque entendit la nouvelle concernant Jésus,
2 Akawaambia watumishi wake, “Huyu ni Yohana Mbatizaji amefufuka kutoka katika wafu. Kwa hiyo nguvu hizi zipo juu yake.”
et dit à ses serviteurs: « C'est Jean le Baptiseur. Il est ressuscité des morts. C'est pourquoi ces pouvoirs agissent en lui. »
3 Kwa kuwa Herode alikuwa amemkamata Yohana akamfunga na kumtupa gerezani kwa sababu ya Herodia, mke wa Filipo kaka yake.
Car Hérode avait arrêté Jean, l'avait lié et mis en prison à cause d'Hérodiade, la femme de Philippe, son frère.
4 Kwa kuwa Yohana alimwambia, “Si halali kumchukua yeye kuwa mke wake.”
Car Jean lui avait dit: « Il ne t'est pas permis d'avoir cette femme. »
5 Herode angemwua lakini aliwaogopa watu kwa sababu walimwona Yohana kuwa nabii.
Comme il voulait le faire mourir, il craignait la foule, parce qu'elle le considérait comme un prophète.
6 Lakini wakati siku ya kuzaliwa Herode ilipofika binti wa Herodia alicheza katikati ya watu na kumpendeza Herode.
Mais quand arriva l'anniversaire d'Hérode, la fille d'Hérodias dansa au milieu d'eux et plut à Hérode.
7 Katika kujibu kili aliahidi kwa kiapo kwamba atampa chochote atakachoomba.
Il promit donc avec serment de lui donner tout ce qu'elle demanderait.
8 Baada ya kushauriwa na mama yake, alisema, “Nipe mimi hapa katika kombe kichwa cha Yohana Mbatizaji.”
Elle dit, poussée par sa mère: « Donne-moi ici, sur un plateau, la tête de Jean le Baptiste. »
9 Mfalme alikuwa na sikitiko kwa maombi ya binti, lakini kwa ajili ya kiapo chake, kwa sababu ya wote waliokuwa chakulani pamoja naye aliamuru kwamba inapaswa ifanyike.
Le roi fut affligé, mais, à cause de ses serments et de ceux qui étaient à table avec lui, il ordonna qu'on le donne,
10 Alituma Yohana aletwe kutoka gerezani
et il envoya décapiter Jean dans la prison.
11 ili akatwe kichwa chake na kikaletwa juu ya sinia na akapewa binti na akakipeleka kwa mama yake.
Sa tête fut apportée sur un plateau et donnée à la jeune fille, qui la porta à sa mère.
12 Kisha wanafunzi wake wakaja kuuchukua ule mwili na kuuzika, baada ya hili walienda kumwambia Yesu.
Ses disciples vinrent, prirent le corps, et l'ensevelirent. Puis ils allèrent le dire à Jésus.
13 Naye Yesu aliposika haya, akijatenga kutoka mahali pale akapanda ndani ya mashuka akaenda sehemu iliyotengwa. Wakati umati ulipo fahamu alikokuwa, walimfuata kwa miguu kutoka mijini.
Lorsque Jésus entendit cela, il se retira de là dans une barque, dans un lieu désert, à l'écart. La foule, ayant appris la nouvelle, le suivit à pied depuis les villes.
14 Kisha Yesu alikuja mbele yao akauona umati mkubwa. Akawaonea huruma na kuponya magonjwa yao.
Jésus sortit, et il vit une grande foule. Il eut pitié d'eux et guérit leurs malades.
15 Jioni ilipotimia, wanafunzi wakaja kwake na kusema, “Hii ni sehemu ya jangwa, na siku tayari imepita. Watawanyishe makutano ili waende vijijini wakanunue chakula kwa ajili yao.
Le soir venu, ses disciples s'approchèrent de lui et dirent: « Ce lieu est désert, et l'heure est déjà avancée. Renvoie la foule, afin qu'elle aille dans les villages s'acheter de la nourriture. »
16 Lakini Yesu akawaambia, ''Hawana haja ya kwenda zao. Wapeni ninyi chakula”
Mais Jésus leur dit: « Ils n'ont pas besoin de s'en aller. Vous leur donnez à manger. »
17 Wakamwambia, ''Hapa tunayo mikate mitano na samaki wawili tu.”''
Ils lui dirent: « Nous n'avons ici que cinq pains et deux poissons. »
18 Yesu akasema, “Ileteni kwangu.”
Il dit: « Apportez-les-moi ici. »
19 Kisha Yesu akauamuru umati kukaa chini ya nyasi. Akachukuwa mikate mitano na samaki wawili. Akatazama juu mbinguni, akabariki na kumega mikate akawapa wanafunzi. Wanafunzi wakaupatia umati.
Il ordonna à la foule de s'asseoir sur l'herbe; puis il prit les cinq pains et les deux poissons, et, levant les yeux au ciel, il bénit, rompit et donna les pains aux disciples; et les disciples donnèrent à la foule.
20 Wakala wote na kushiba. Kisha wakavikusanya vipande vyote vya chakula na kujaza vikapu kumi na mbili.
Tous mangèrent et furent rassasiés. Ils emportèrent douze corbeilles pleines de ce qui restait des morceaux rompus.
21 Wale waliokula walikadiriwa kuwa wanaume elfu tano bila ya kusehabu wanawake na watoto.
Ceux qui mangèrent étaient environ cinq mille hommes, sans compter les femmes et les enfants.
22 Mara moja aliwaamuru wanafunzi waingie ndani ya mashua, wakati huo yeye akawaaga umati waende zao.
Aussitôt, Jésus fit monter les disciples dans la barque et les fit passer devant lui à l'autre rive, tandis qu'il renvoyait les foules.
23 Baada ya kuwaaga umati kwenda zao, akapanda juu mlimani kuomba pekee yake. Wakati ilipokuwa jioni alikuwa huko pekee yake.
Après avoir renvoyé la foule, il monta seul sur la montagne pour prier. Le soir venu, il était là, seul.
24 Lakini sasa mashua ilipokuwa katikati ya bahari ukiyumbayumba kwa sababu ya mawimbi, kwani upepo ulikuwa wa mpisho.
La barque se trouvait alors au milieu de la mer, agitée par les vagues, car le vent était contraire.
25 Katika usiku wa zamu ya nne Yesu aliwakaribia, akitembea juu ya maji.
À la quatrième veille de la nuit, Jésus vint à eux, marchant sur la mer.
26 Wakati wanafunzi wake walipomwona akiitembea juu ya bahari, walihofu na kusema, “Ni mzuka,'' na kupaaza sauti katika hali ya uoga.
Lorsque les disciples le virent marcher sur la mer, ils furent troublés et dirent: « C'est un fantôme! » et ils poussèrent des cris de peur.
27 Yesu akawaambia mara moja, akisema, “Jipeni moyo! ni mimi! msiogope.”
Mais aussitôt Jésus leur parla, disant: « Courage! C'est moi! N'ayez pas peur. »
28 Petro alimjibu kwa kusema, “Bwana, kama ni wewe, niamuru nije kwako juu ya maji.''
Pierre lui répondit: « Seigneur, si c'est toi, ordonne-moi de venir à toi sur les eaux. »
29 Yesu akasema, “Njoo.'' Hivyo Petro akatoka ndani ya mashua na akatembea juu ya maji kwenda kwa Yesu.
Il a dit: « Viens! » Pierre descendit de la barque et marcha sur les eaux pour venir vers Jésus.
30 Lakini Petro alipoona mawimbi, aliogopa, na kuanza kuzama, chini, akaita sauti na kusema, “Bwana, niokoe!''
Mais, voyant que le vent était fort, il eut peur, et commençant à couler, il s'écria: « Seigneur, sauve-moi! »
31 Haraka Yesu akanyoosha mkono wake akamnyanyua Petro, na kumwambia, “Wewe mwenye imani ndogo, kwa nini ulikuwa na mashaka?”
Aussitôt, Jésus étendit la main, le saisit et lui dit: « Toi qui es de peu de foi, pourquoi as-tu douté? »
32 Ndipo Yesu na Petro walipoingia katika mashua, upepo ulikoma kuvuma.
Quand ils furent montés dans la barque, le vent cessa.
33 Wanafunzi mashuani wakamwabudu Yesu na kusema, “Kweli wewe ni Mwana wa Mungu.”
Ceux qui étaient dans la barque vinrent se prosterner devant lui, en disant: « Tu es vraiment le Fils de Dieu! »
34 Na walipokwisha kuvuka, walifika katika nchi ya Genesareti.
Après avoir traversé, ils arrivèrent dans le pays de Génésareth.
35 Na watu katika eneo lile walipomtambua Yesu, walituma ujumbe kila sehemu za kando, na kuleta kila aliyekuwa mgonjwa.
Les habitants de ce lieu, l'ayant reconnu, envoyèrent dans tous les environs lui amener tous les malades,
36 Walimsihi kwamba waweze kugusha pindo la vazi lake, na wengi walioligusa waliponywa.
et ils le suppliaient de leur permettre de toucher simplement la frange de son vêtement. Tous ceux qui la touchèrent furent guéris.

< Mathayo 14 >