< Malaki 4 >

1 Tazama, siku inakuja, inaka kama tanuru, ambayo wote wenye kiburi na waharifu watakuwa mabua. siku inakuja itawachoma,” asema Bwana wa Majeshi, “siku hiyo itaondoa mzizi au shina.
“The day is coming that will burn like a furnace, and all the proud and all evildoers will be stubble, and the day that is coming will burn them up,” says the Lord of hosts, “leaving neither root nor branch.
2 Lakini kwenu mnaoliogopa jina langu, jua la haki litawaangazia na uponyaji katika mbawa zake. Mtarukaruka kama ndama zizini.
But to you who revere my name there will arise the sun of righteousness with healing in its wings, and you will run free like calves let out from their stall.
3 Na waovu wote mtawakanyaga chini, watakuwa majivu chini ya nyazo za miguu yenu siku hiyo nitatenda,”asema Bwana wa Majeshi.
In the day when I act you will tread down the wicked, they will be as ashes under the soles of your feet,” says the Lord of hosts.
4 Kumbukeni kutii sheria za mtumishi wangu Musa, mmri na sheria nilizomwamuru huko Horebu, kwa Israel wote.
“Remember the law of Moses my servant, statutes and judgments which I gave him at Horeb for all Israel.
5 Tazama, nitamtuma Eliya nabii mbele ya siku kuu na yenye kutisha ya kuja kwa Bwana.
I am about to send to you Elijah the prophet, before the great and terrible day of the Lord comes.
6 Atarudisha moyo wa baba kwa watoto, na mioyo ya watoto kwa baba zao; ili kwamba nisije nikaiangamiza nchi kwa uharibifu wote.”
He will turn fathers’ hearts to their sons and sons’ hearts to their fathers, so that I will not come and strike the earth with judgement.”

< Malaki 4 >