< Hosea 3 >

1 Bwana akaniambia, “Nenda tena, mpendeni mwanamke, aliyependwa na mumewe; lakini ni mzinzi. Mpende kama mimi, Bwana, ninavyowapenda watu wa Israeli, ingawa wanaigeukia miungu mingine na kupenda mikate ya zabibu.”
Then the Lord said to me, “Go again, show love to this woman, who is loved by another, who commits adultery. Love her as the Lord loves the Israelites, though they turn to other gods, and love the raisin cakes offered to idols.
2 Kwa hiyo nimemnunulia mwenyewe kwa vipande kumi na tano vya fedha na homeri na letheki ya shayiri.
So I redeemed her for fifteen pieces of silver and a homer and a lethek of barley.
3 Nilimwambia, “Lazima uishi pamoja nami siku nyingi. Huwezi kuwa kahaba au kuwa na mtu mwingine yeyote. Kwa njia hiyo hiyo, nitakuwa pamoja nanyi.”
And I told her, “You must live with me for many days and you must not sleep around or marry another. And I will do the same for you.
4 Kwa maana wana wa Israeli wataishi kwa siku nyingi bila mfalme, mtu mkuu, dhabihu, nguzo ya mawe, efodi au sanamu za nyumbani.
And like this the Israelites will live for a long time without king and without prince, without sacrifice and without pillar, without ephod and without teraphim.
5 Baadaye watu wa Israeli watarudi na kumtafuta Bwana Mungu wao na Daudi mfalme wao. Na katika siku za mwisho, watakuja wakitetemeka mbele za Bwana na wema wake.
Yet afterward the Israelites will return, and seek the Lord their God and their Davidic king, and in the days to come they will turn with awe to the Lord and his goodness.

< Hosea 3 >