< Malaki 1 >

1 Tamko la neno la Bwana kwa Israeki kwa mkono wa Malaki.
Malakhi kut lamkah Israel ham BOEIPA olrhuh ol,
2 “Nilikupenda, “asema Bwana. Lakini unasema, “kwa jinsi gani ulitupenda?” Esau siyo ndugu yake Yakobo?” asema Bwana. “Na bado nampenda Yakobo,
BOEIPA loh, “Nangmih kan lungnah,” a ti. Tedae, “Kaimih metlam nan lungnah? Esau tah Jakob manuca moenih a?” na ti uh. He tah BOEIPA kah olphong ni. Jakob he ka lungnah ngawn ta.
3 lakini nimemchukia Esau. nimeifanya milima yake kuwa ukiwa, na nimepafanya urithi wake kuwa makao ya mbweha wa jangwani.”
Esau pataeng ka hmuhuet vaengah tah a tlang tlang te khopong la, a rho te khosoek pongui la ka poeh sak.
4 Kama Edomu husema, “Tumepigwa, lakini tutarudi na kujenga palipoharibiwa; “Bwana wa Majeshi asama hivi, “Watajenga lakini nitaiangusha chini; na wanaume watawaita 'Nchi ya uovu', na 'Watu ambao ambao Mungu ana hasira nao milele.”'
Edom loh, “N'laih coeng dae m'mael vetih imrhong khaw koep n'thoh bitni,” ti saeh. Caempuei BOEIPA loh he ni a thui. Amih loh thoh uh cakhaw ka koengloeng pah ni. Amih te halangnah khorhi la a khue uh vetih pilnam te BOEIPA loh kumhal duela kosi a hong thil ni.
5 kwa macho yenu mtaona hili, na mtasema, “Bwana ni mkuu mbele ya mipaka ya Israel.”
Na mik loh a hmuh vetih, “Israel khorhi voel duela BOEIPA len pai,” na ti uh ni.
6 mtoto amtiibaba yake, na mtumwa amtii bwana wake. ikiwa mimi, ni baba, iko wapi heshima yangu? na kama mimi ni bwana, iko wapi heshima yangu? Bwana wa majeshi asema hivi kwenu, makuhani, mnaodharau jina langu. lakini mnasema, 'tumeridharauje jina lako?
Capa loh a napa, sal loh a boei a thangpom. Kai he pa la ka om atah kai thangpomnah tah melae? Kai boei atah kai taengah rhimomnah te melae? Caempuei BOEIPA he ni a thui. Nangmih khosoih loh ka ming na sawtsit lalah, “Na ming te metlam kan sawtsit?” na ti uh.
7 kwa kutoa mikate iliyonajisi madhabahuni kwangu. Na mnasema kuwa, 'Tumekuradhau kwa namna gani?' Kwa kusema hivyomeza ya Bwana imedharauliwa.
Ka hmueihtuk dongah aka mop loh buh a nok lalah, “Ba nen lae nang kan nok? Amah longni BOEIPA kah caboei a sawtsit,” na ti uh.
8 Mkitoa sadaka ya wanyama vipofu, hiyo siyo dhambi? na kama mkitoa vilema na wagonjwa, hiyo siyo dhambi? pelekeni hili kwa liwali; atawakubali au atainua nyuso zetu?” asema Bwana wa Majeshi.
Mikdael te nawn ham na mop uh vaengah a thae moenih a? Khokhaem neh aka ngoi na mop vaengah a thae moenih a? Na rhalboei taengah te te khuen uh mai lah, nangmih te m'moeithen aya? Na maelhmai te a dangrhoek aya? Caempuei BOEIPA loh he ni a thui.
9 Na sasa, mnajaribu kutafuta neema ya Mungu, ili kwamba awe mwema kwetu. “Na aina gani ya sadaka kwa sehemu yenu, ataziinua nyuso zenu? asema Bwana wa Majeshi.
Te dongah Pathen mikhmuh ah kothae uh mai laeh. Te daengah ni mamih n'rhen eh. Nangmih kut lamkah aka thoeng nen he nangmih kah maelhmai te a doe aya? Caempuei BOEIPA loh he ni a thui.
10 Kama kungekuwa na mtu ambaye angefunga lango la Hekalu, ili kwamba kusewe na mto madhabahuni bure! lakini sina radhi na ninyi, “asema Bwana wa majeshi, “na sitaikubali sadaka yeyote kutoka katika mikono yenu.
Nangmih kongah unim thohkhaih aka khai lah ve. Te dongah ka hmueihtuk na sae sak uh pawh. Lunglilungla la, kai ham tah nangmih taengah ngaihnah tal coeng. Caempuei BOEIPA loh he ni a thui. Te dongah na kut lamkah khocang khaw ka doe mahpawh.
11 Kutoka mawio ya jua mpaka machweo jina langu litakuwa kuu katikati ya mataifa; katika kila sehemu uvumba utatolewa katika jina langu, na pia sadaka safi. Kwa sababu jina langu likuwa kuu sana katikatik ya mataif,” asema Bwana wa majeshi.
Khomik kah khocuk lamloh a khuirhai duela namtom lakli ah ka ming len. Hlupnah hmuen takuem ah ka ming neh khocang cilh khaw na tawn uh. Namtom taengah ka ming he len pai tila Caempuei BOEIPA loh a thui.
12 “lakini ninyi mnachafua mnaposema meza ya Bwana mnainajisi, na matunda yake, na chakula chake kudharauka.
Tedae, “Ka Boeipa kah caboei te amah loh a nok, a thaih neh a buh khaw a sit om,” na ti uh nen te na poeih uh.
13 Na ninyi pia mwasema, 'jambo hili limetuchosha, nanyi mnalidharau, “asema Bwana wa majeshi. “Mmerudisha kilichokuwa kimechukuliwa na wanyama wa mwitu au vilema au walio wagonjwa; na ndicho mnaleta kuwa sadaka zenu! Je naweza kuikubali hii mikononi mwenu?” asema Bwana.
“Te te ngakyal la phen hmut te,” na ti uh. Caempuei BOEIPA loh a thui coeng. A huen phoeiah khokhaem neh aka ngoi ni na khuen tih khocang la na khuen uh. BOEIPA loh, “Nangmih kut lamkah te ka doe aya?” a ti.
14 Alaniwe alye mdanganyifu, ambaye anaye mnyama dume katika kundi lake ana akaahidi kunitolea, lakini bado anatoa kwangu, mimi Bwana, ambayo ni kiujanja ujanja; kwa kuwa mimi ni mfalme mkuu,” asema Bwana wa Majeshi, “na jina langu litaogopwa katika mataifa.”
A tuping khuiah a tal a om lalah aka rhaithi hlang tah thae a phoei thil coeng. A caeng dae ka Boeipa ham tah a po a rhak ni a nawn. Caempuei BOEIPA loh, “Kai tah manghai puei la ka om tih ka ming he namtom taengah a rhimom,” a ti.

< Malaki 1 >