< Luka 8 >

1 Ilitokea muda mfupi baadaye kwamba Yesu alianza kusafiri katika miji na jiji mbalimbali, akihubiri na kutangaza habari njema ya ufalme wa Mungu na wale kumi wawili walikwenda pamoja naye,
Peu après, il parcourut les villes et les villages, prêchant et apportant la bonne nouvelle du Royaume de Dieu. Il avait avec lui les douze,
2 vilevile wanawake fulani waliokuwa wameponywa kutoka kwa roho wachafu na magonjwa mbalimbali. Walikuwa ni Mariamu aliyeitwa Magdalena ambaye alikuwa ametolewa pepo saba.
et quelques femmes qui avaient été guéries d'esprits mauvais et d'infirmités: Marie, dite de Magdala, de laquelle étaient sortis sept démons,
3 Yoana mke wa Kuza na meneja wa Herode, Susana, na wanawake wengine wengi, waliotoa mali vyao kwa ajili yao wenyewe.
Jeanne, femme de Chuzas, intendant d'Hérode, Susanne, et plusieurs autres qui les servaient de leurs biens.
4 Nabaada ya umati wa watu kukusanyika pamoja, wakiwemo na watu waliokuja kwake kutoka miji mbalimbali, akazungumza nao kwa kutumia mifano.
Comme une grande foule s'assemblait et que des gens de toutes les villes venaient à lui, il parla par une parabole:
5 “mpandaji alienda kupanda mbegu, alipokuwa apanda, baadhi ya mbegu hizo ziliangukia kando ya njia zikakanyagwa chini ya miguu, na ndege wa angani wakazila.
« Le fermier sortit pour semer sa semence. Comme il semait, une partie de la semence tomba le long du chemin; elle fut piétinée, et les oiseaux du ciel la dévorèrent.
6 Mbegu zingine zilianguka juu ya udongo wa miamba na zilipoota na kuwa miche zilipooza kwa sababu hakukuwa na unyevunyevu.
Une autre partie de la semence tomba sur le rocher; à peine avait-elle poussé qu'elle se desséchait, faute d'humidité.
7 Mbegu zingine ziliangukia kwenye miti ya miiba, nayo hiyo miti ya miiba ikakua pamoja na zile mbegu na zikasongwa.
Une autre est tombée au milieu des épines; les épines ont poussé avec elle et l'ont étouffée.
8 Lakini mbegu zingine ziliangukia kwenye udongo unaofaa na zikazaa mazao mara mia zaidi. “Baada ya Yesu kusema mambo haya, alipaza sauti,”Yeyote aliye na masikio ya kusikia na asikie.”
Une autre est tombée dans la bonne terre; elle a poussé et donné cent fois plus de fruits. » En disant cela, il cria: « Que celui qui a des oreilles pour entendre entende! »
9 Tena wanafunzi wake wakamuuliza maana ya mfano huo,
Alors ses disciples lui demandèrent: « Que signifie cette parabole? »
10 Yesu akawaambia, “Mmepewa upendeleo wa kujua siri ya ufalme wa Mungu, lakini watu wengine watafundishwa tu kwa mifano, ili kwamba 'wakiona wasione na wakisikia wasielewe.'
Il dit: « Il vous a été donné de connaître les mystères du Royaume de Dieu, mais aux autres, cela a été donné en paraboles, afin qu'en voyant ils ne voient pas et qu'en entendant ils ne comprennent pas.
11 Na hii ndiyo maana ya mfano huu. Mbegu ni neno la Mungu.
« Voici la parabole: La semence, c'est la parole de Dieu.
12 Mbegu zile zilizoanguka kando kando ya njia ndiyo wale watu wanaolisikia neno, na baadaye mwovu shetani hulichukua mbali kutoka moyoni, ili kwamba wasiamini na kuokolewa.
Ceux qui sont sur le chemin, ce sont ceux qui entendent; puis le diable vient et enlève la parole de leur cœur, afin qu'ils ne croient pas et ne soient pas sauvés.
13 Kisha na zile zilizoangukia kwenye mwamba ni watu wale wanaosikia neno na kulipokea kwa furaha lakini hawana mizizi yeyote, wanaamini tu kwa muda mfupi, na wakati wa majaribu huanguka.
Ceux qui sont sur le rocher sont ceux qui, lorsqu'ils entendent, reçoivent la parole avec joie; mais ceux-là n'ont pas de racine. Ils croient pour un temps, puis tombent au moment de la tentation.
14 Na mbegu zile zilizoangukia kwenye miiba ni watu wanaosikia neno, lakini wanapoendelea kukua husongwa na huduma na utajiri na ubora wa maisha haya na hawazai matunda.
Ceux qui sont tombés parmi les épines, ce sont ceux qui ont entendu la parole, mais qui, en poursuivant leur chemin, sont étouffés par les soucis, les richesses et les plaisirs de la vie, et ils ne portent pas de fruit à maturité.
15 Lakini zile mbegu zilizoangukia kwenye udongo mzuri ni wale watu, ambao ni wanyeyekevu na mioyo mizuri, baada ya kulisikia neno hulishikilia na likawa salama na kuazaa matunda ya uvumilivu.
Ceux qui sont dans la bonne terre, ce sont ceux qui, d'un cœur honnête et bon, ayant entendu la parole, la retiennent fermement et portent du fruit avec persévérance.
16 Sasa, hakuna hata mmoja, anayewasha taa na kuifunika kwa bakuli au kuiweka chini ya kitanda. Badala ya kuiweka kwenye kinara cha taa ili kwamba kila mmoja anayeingia apate kuiona.
Personne, après avoir allumé une lampe, ne la couvre d'un récipient ou ne la met sous un lit; mais il la met sur un support, afin que ceux qui entrent voient la lumière.
17 Kwa kuwa hakuna kitakachojificha ambacho hakitajulikana, au chochote kilicho sirini ambacho hakitajulikana kikiwa kwenye mwanga.
Car il n'y a rien de caché qui ne doive être révélé, ni de secret qui ne doive être connu et mis en lumière.
18 kwa hiyo kuwa makini unapokuwa unasikiliza. Kwa sababu aliye nacho, kwake ataongezewa zaidi, lakini asiye nacho hata kile kidogo alicho nacho kitachukuliwa.”
Prenez donc garde à la manière dont vous entendez. Car celui qui a, on lui donnera; et celui qui n'a pas, on lui ôtera même ce qu'il croit avoir. »
19 baadaye mama yake Yesu na ndugu zake wakaja kwake hawakaribia kwa sababu ya umati wa watu.
Sa mère et ses frères vinrent le voir, mais ils ne purent s'approcher de lui à cause de la foule.
20 Na akataarifiwa, “Mama yako na ndugu zako wako pale nje wanahitaji kukuona wewe.
Des gens lui dirent: « Ta mère et tes frères sont dehors, ils veulent te voir. »
21 Lakini, Yesu akajibu akasema “Mama yangu na ndugu zangu ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulitii.”
Mais il leur répondit: « Ma mère et mes frères sont ceux qui entendent la parole de Dieu et la mettent en pratique. »
22 Ilitokea siku moja kati ya siku zile Yesu na wanafunzi wake alipanda kwenye mtumbwi, na akawaambia, “Na tuvuke ng'ambo ya pili ya ziwa.” Wakaandaa mashua yao.
Or, un de ces jours, il monta dans une barque, lui et ses disciples, et il leur dit: « Passons de l'autre côté du lac. » Ils se mirent donc à l'eau.
23 Lakini walipoanza kuondoka, Yesu akalala usingizi, na dhoruba kali yenye upepo, na mashua yao ikaanza kujaa maji na walikuwa kwenye katika kubwa sana.
Mais comme ils naviguaient, il s'endormit. Une tempête de vent s'abattit sur le lac, et ils prenaient une quantité d'eau dangereuse.
24 baadaye wanafunzi wake wakaja kwake na kumwamsha, wakisema, “Bwana mkubwa! Bwana mkubwa! tuko karibu kufa!” Akaamka na akaukemea upepo na mawimbi ya maji vikatulia na kukawa na utulivu.
Ils s'approchèrent de lui et le réveillèrent en disant: « Maître, Maître, nous sommes en train de mourir. » Il se réveilla et menaça le vent et le déchaînement de l'eau; alors ils cessèrent, et le calme revint.
25 Tena akawaambia, “Imani yenu iko wapi?” Wakaogopa, Walishangaa, wakasemezana kia mmoja na mwenzake,”Huyu ni nani, kiasi kwamba anaamuru hata upepo, na maji na humtii?”
Il leur dit: « Où est votre foi? » Effrayés, ils étaient dans l'étonnement et se disaient les uns aux autres: « Qui donc est celui-ci, pour qu'il commande même aux vents et aux eaux, et qu'ils lui obéissent? ».
26 Wakafika kwenye mji wa Gerasini iliyo upande wa nyuma ya Galilaya.
Ils arrivèrent ensuite dans le pays des Gadaréniens, qui est en face de la Galilée.
27 Yesu aliposhuka na kukanya kwenye ardhi, mtu fulani kutoka mjini, akakutana naye, na huyu mtu alikuwa na nguvu za giza. Kwa muda mrefu alikuwa havai nguo, na alikuwa haishi kwenye Nyumba, lakini aliishi kwenye makaburi.
Lorsque Jésus mit pied à terre, un homme de la ville qui avait des démons depuis longtemps vint à sa rencontre. Il ne portait pas de vêtements, et n'habitait pas dans une maison, mais dans les tombeaux.
28 Alipomwona Yesu akalia kwa sauti, na akaanguka chini mbele yake. kwa sauti kubwa akisema, Nimefanya nini kwako, Yesu mwana wa Mungu aliye juu? Nakusihi, Usiniadhibu mimi”
Voyant Jésus, il poussa un cri, se prosterna devant lui et dit d'une voix forte: « Qu'ai-je à faire avec toi, Jésus, Fils du Dieu Très-Haut? Je t'en prie, ne me tourmente pas! »
29 Yesu akaamuru roho chafu imtoke mtu yule, kwa kuwa mara nyingi amepamgaa. hata kama alikuwa amefungwa minyororo na kubanwa na kuwekwa chini ya ulinzi, alivunja vifungo na kuendeshwa na mapepo mpaka jangwani.
Car Jésus ordonnait à l'esprit impur de sortir de cet homme. Car l'esprit impur s'était souvent emparé de cet homme. On le gardait sous bonne garde et on le liait avec des chaînes et des entraves. En brisant les liens, il a été poussé par le démon dans le désert.
30 Yesu akamwuliza, “Jina lako nani?” akajibu akisema, “Legioni” Kwa maana mapepo mengi yameingia kwake.
Jésus lui demanda: « Quel est ton nom? » Il dit: « Légion », car beaucoup de démons étaient entrés en lui.
31 Wakaendelea kumsihi usituamuru twende kwenye shimo. (Abyssos g12)
Ils le supplièrent de ne pas leur ordonner d'aller dans l'abîme. (Abyssos g12)
32 Kundi la Nguruwe lilikuwa likichunga juu ya kilima, wakamsihi awaruhusu wakaingie kwa hao nguruwe. Na akawaruhusu kufanya hivyo.
Or, il y avait là un troupeau de porcs nombreux qui paissaient sur la montagne, et ils le supplièrent de leur permettre d'entrer dans ceux-là. Et il le leur permit.
33 kwa hiyo wale mapepo wakamtoka mtu yule na kuingia kwa wale nguruwe, na lile kundi likakimbia kwenye mwinuko wa mlima mpaka ziwani na wakazama humo.
Les démons sortirent de l'homme et entrèrent dans les porcs, et le troupeau se précipita du haut de la rive escarpée dans le lac et fut noyé.
34 wale watu waliokuwa wanachunga wale nguruwe walipoona kilichotokea, wakakimbia na wakatoa taarifa pale mjini na nje katika miji iliyowazunguka.
Lorsque ceux qui les nourrissaient virent ce qui était arrivé, ils s'enfuirent et le racontèrent dans la ville et dans les campagnes.
35 Watu waliposikia hayo walienda kuona kilichotokea, na wakaja kwa Yesu na wakamwona mtu ambaye mapepo yalikuwa yamemtoka. alikuwa amevaa vizuri na mwenye akili timamu, amekaa kwenye miguu ya Yesu, na waliogopa.
Les gens sortirent pour voir ce qui s'était passé. Ils s'approchèrent de Jésus et trouvèrent l'homme d'où étaient sortis les démons, assis aux pieds de Jésus, habillé et sain d'esprit; et ils eurent peur.
36 ndipo mmoja wao aliyeona kilichotokea alianza kuwasimlia wengine jinsi huyu mtu aliyekuwa anaongozwa na mapepo alivyoponywa.
Ceux qui avaient vu cela leur racontèrent comment celui qui avait été possédé par des démons avait été guéri.
37 Watu wote wa mkoa wa Wagerasi na maeneo yaliyozunguka walimwomba Yesu aondoke kwao kwa sababu walikuwa na hofu kuu. Na aliingia kwenye mtumbwi ili arudi.
Tous les habitants du pays d'alentour, les Gadaréniens, le prièrent de s'éloigner d'eux, car ils avaient très peur. Alors il monta dans la barque et s'en retourna.
38 Mtu yule aliyetokwa na pepo alimsihi Yesu kwenda naye, lakini Yesu alimwambia aende na kusema,
L'homme d'où étaient sortis les démons le pria de l'accompagner, mais Jésus le renvoya en disant:
39 “Rudi kwenye nyumba yako na uhesabu yale yote ambayo Mungu amekutendea” Huyu mtu aliondoka, akitangaza pote katika mji wote yale yote ambayo Yesu aliyofanya kwa ajili yake.
« Retourne dans ta maison, et annonce les grandes choses que Dieu a faites pour toi. » Il s'en alla, proclamant dans toute la ville les grandes choses que Jésus avait faites pour lui.
40 Na Yesu akarudi, makutano wakamkaribisha, kwa sababu wote walikuwa wanamngoja.
Lorsque Jésus revint, la foule l'accueillit, car tous l'attendaient.
41 Tazama akaja mtu mmoja anaitwa Yairo ni mmoja kati ya viongozi katika sinagogi. Yairo akaanguka miguuni pa Yesu na kumsihi aende nyumbani kwake,
Voici qu'arrive un homme nommé Jaïrus. C'était un chef de la synagogue. Il se jeta aux pieds de Jésus et le pria d'entrer dans sa maison,
42 kwa sababu alikuwa na mtoto msichana mmoja tu, mwenye umri wa miaka kumi na wibili, na alikuwa katika hali ya kufa. Na alipokuwa akienda, makutano walikuwa wakisongama dhidi yake.
car il avait une fille unique, âgée d'environ douze ans, et elle était mourante. Mais, comme il s'en allait, la foule se pressait contre lui.
43 Mwanamke mwenye kutokwa damu kwa miaka kumi na miwili alikuwa pale na alitumia pesa zote kwa waganga, lakini hakuna aliyemponya hata mmoja,
Une femme qui avait un flux de sang depuis douze ans, qui avait dépensé tout son argent en médecins et qui ne pouvait être guérie par aucun d'eux,
44 alikuja nyuma ya yesu na kugusa pindo la vazi lake, na ghafla kutokwa damu kukakoma.
vint derrière lui et toucha la frange de son manteau. Aussitôt, le flux de son sang s'arrêta.
45 Yesu akasema, “Nani ambaye kanigusa?” Walipokataa wote, Petro akasema, Bwana Mkubwa, umati wa watu wanakusukuma na wanakusonga.”
Jésus dit: « Qui m'a touché? » Comme tous le niaient, Pierre et ceux qui étaient avec lui dirent: « Maître, la foule te presse et te bouscule, et tu dis: « Qui m'a touché? »".
46 Lakini Yesu akasema, “Mtu mmoja alinigusa, maana nilijua nguvu zimetoka kwangu.”
Mais Jésus dit: « Quelqu'un m'a touché, car je me suis aperçu qu'une force était sortie de moi. »
47 Mwanamke alipoona ya kuwa hawezi kuficha alichokifanya, akaanza kutetemeka, akaanguka chini mbele za Yesu alitangaza mbele ya watu wote sababu zilizofanya amguse na vile alivyoponywa gafla.
La femme, voyant qu'elle n'était pas cachée, vint en tremblant; et, se jetant à terre devant lui, elle lui déclara, en présence de tout le monde, la raison pour laquelle elle l'avait touché, et comment elle avait été guérie aussitôt.
48 Kisha akasema kwake, “Binti, imani yako imekufanya uwe mzima. Enenda kwa Amani.”
Il lui dit: « Ma fille, réjouis-toi. Ta foi t'a guérie. Va en paix. »
49 Alipokuwa akiendelea kusema, mtu mmoja akaja kutoka kwenye nyumba ya kiongozi wa sinagogi, akisema, “Binti yako amefariki. Usimsumbue mwalimu.”
Comme il parlait encore, quelqu'un de la maison du chef de la synagogue vint lui dire: « Ta fille est morte. Ne trouble pas le maître. »
50 Lakini Yesu aliposikia hivyo, alimjibu, “Usiogope. Amini tu, na ataokolewa.”
Mais Jésus, l'entendant, lui répondit: « N'aie pas peur. Crois seulement, et elle sera guérie. »
51 Kisha alipoingia kwenye hiyo nyumba, hakuruhusu mtu yeyote kuingia pamoja naye, isipokuwa Petro, Yohana na Yakobo, baba yake binti, na mama yake.
Lorsqu'il arriva à la maison, il ne laissa entrer personne, si ce n'est Pierre, Jean, Jacques, le père de l'enfant et sa mère.
52 Sasa watu wote walikuwa wanaomboleza na kutoa sauti kwa ajili yake, lakini akasema, “Msipige kelele, hajafa, lakini amelala tu.”
Tous pleuraient et la pleuraient. Mais il dit: « Ne pleurez pas. Elle n'est pas morte, mais elle dort. »
53 Lakini wakamcheka kwa dharau, wakijua kuwa amekufa.
Ils se moquaient de lui, sachant qu'elle était morte.
54 Lakini Yeye, akimshika binti mkono, akaita kwa sauti, akisema, “Mtoto, inuka”
Mais il les fit tous sortir, et, la prenant par la main, il l'appela en disant: « Enfant, lève-toi! »
55 roho yake ikamrudia, na akainuka wakati huohuo. Akaamrisha kwamba, apewe kitu furani kwa ili ale.
Son esprit revint, et elle se leva aussitôt. Il ordonna qu'on lui donne quelque chose à manger.
56 Wazazi wake wakashangaa, lakini aliwaamuru wasimwambie mtu kilichokuwa kimetokea.
Ses parents furent stupéfaits, mais il leur ordonna de ne rien dire à personne de ce qui s'était passé.

< Luka 8 >