< Luka 7 >

1 Baada ya Yesu kumaliza kila kitu alichokuwa anasema kwa watu waliomsikiliza, akaingia Kapernaumu.
А кад сврши све речи своје пред народом, дође у Капернаум.
2 Mtumwa fulani wa akida, aliyekuwa wa thamani sana kwake, alikuwa mgonjwa sana na alikuwa karibu ya kufa.
У капетана пак једног беше слуга болестан на умору који му беше мио.
3 Lakini akiwa amesikia kuhusu Yesu, yule Akida alimtuma kiongozi wa kiyahudi, kumwomba aje kumwokoa mtumwa wake ili asife.
А кад чу за Исуса, посла к Њему старешине јудејске молећи Га да би дошао да му исцели слугу.
4 Walipofika karibu na Yesu, walimsihi kwa bidii na kusema, “anastahili kwamba unapaswa kufanya hivi kwa ajili yake,
А они дошавши к Исусу мољаху Га лепо говорећи: Достојан је да му то учиниш;
5 kwa sababu analipenda taifa letu, na ndiye aliyejenga sinagogi kwa ajili yetu”.
Јер љуби народ наш, и начини нам зборницу.
6 Yesu akaendelea na safari yake pamoja nao. lakini kabla hajaenda mbali na nyumba, afisa mmoja aliwatuma marafiki zake kuzungumza naye. “Bwana, usijichoshe mwenyewe kwa sababu mimi sistahili wewe kuingia kwenye dari yangu.
А Исус иђаше с њима. И кад већ беху близу куће, посла капетан к Њему пријатеље говорећи Му: Господе! Не труди се, јер нисам достојан да уђеш под моју стреху;
7 Kwa sababu hii sikufikiria hata mimi mwenyewe kuwa ninafaa kuja kwako, lakini sema neno tu na mtumishi wangu atapona.
Зато и не држах себе достојног да Ти дођем, него само реци реч, и оздравиће слуга мој.
8 Kwani mimi pia ni mtu niliyewekwa kwenye mamlaka na nina askari chini yangu. Husema kwa huyu “Nenda” na huenda, na kwa mwingine, “Njoo” naye huja, na kwa mtumishi wangu 'Fanya hiki', na yeye hufanya”.
Јер и ја сам човек под власти, и имам под собом војнике, па кажем једном: Иди, и иде; и другом: Дођи, и дође; и слузи свом: Учини то, и учини.
9 Yesu aliposikia haya alishangaa, na kuwageukia makutano waliokuwa wanamfuata na kusema.”Nawaambia, hata katika Israeli, sijawahi kuona mtu mwenye imani kuu kama huyu.
А кад то чу Исус, зачуди му се, и окренувши се народу који иђаше за Њим рече: Кажем вам: ни у Израиљу толике вере не нађох.
10 Kisha wale waliokuwa wametumwa walirudi nyumbani na kumkuta mtumishi akiwa mzima.
И вративши се послани нађоше болесног слугу здравог.
11 fulani baada ya haya, ilitokea kuwa Yesu alikuwa anasafiri kwenda mji ulioitwa Naini. wanafunzi wake wakaenda pamoja naye wakiambana na umati wa watu.
И потом иђаше у град који се зови Наин, и с Њим иђаху многи ученици Његови и мноштво народа.
12 Alipofika karibu na Lango la jiji tazama, mtu aliyekufa alikuwa amebebwa, na ni mtoto wa pekee kwa mama yake. aliyekuwa mjane, na umati wa wawakilishi kutoka kwenye jiji walikuwa pamoja naye.
Кад се приближише к вратима градским, и гле, изношаху мртваца, јединца сина матере његове, и она беше удовица и народа из града много иђаше с њом.
13 Alipomwona, Bwana akamsogelea kwa huruma kubwa sana juu yake na akamwambia, “Usilie”.
И видевши је Господ сажали Му се за њом, и рече јој: Не плачи.
14 Kisha akasogea mbele akaligusa jeneza ambalo walibebea mwili, na wale waliobeba wakasimama akasema “Kijana nasema amka”
И приступивши прихвати за сандук; а носиоци стадоше, и рече: Момче! Теби говорим, устани.
15 Mfu akainuka na kukaa chini na akaanza kuongea. Kisha Yesu akamkabidhi kwa mama yake.
И седе мртвац и стаде говорити; и даде га матери његовој.
16 Kisha hofu ikawajaa wote. wakaendelea kumtukuza Mungu wakisema “Nabii mkuu ameinuliwa miongoni mwetu” na “Mungu amewaangalia watu wake”
А страх обузе све, и хваљаху Бога говорећи: Велики пророк изиђе међу нама, и Бог походи народ свој.
17 Hizi habari njema za Yesu zilienea Yudea yote na kwa mikoa yote ya jirani.
И отиде глас овај о Њему по свој Јудеји и по свој околини.
18 Wanafunzi wa Yohana walimwamwambia mambo haya yote.
И јавише Јовану ученици његови за све ово.
19 Ndipo Yohana akawaita wawili wa wanafunzi wake na kuwatuma kwa Bwana kusema “Wewe ndiye yule ajaye, au kuna mtu mwingine tumtazamie?
И дозвавши Јован два од ученика својих посла их к Исусу говорећи: Јеси ли ти Онај што ће доћи, или другог да чекамо?
20 Walipofika karibu na Yesu hawa wakasema, “Yohana mbatizaji ametutuma kwako kusema, 'Wewe ni yule ajaye au kuna mtu mwingine tumtazamie?”
Дошавши пак људи к Њему рекоше: Јован крститељ посла нас к теби говорећи: Јеси ли ти Онај што ће доћи, или другог да чекамо?
21 kwa wakati huo aliowaponya watu wengi kutoka katika magonjwa na mateso, kutoka kwa roho wachafu, na kwa watu wenye upofu aliwapa kuona.
А у тај час исцели многе од болести и од мука и од злих духова, и многима слепима дарова вид.
22 Yesu akajibu na kusema kwao. “Baada ya kuwa mmekwenda mlikotoka mtamjulisha Yohana mlichokiona na kukisikia. Wenye upofu wanapokea kuona na viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakasika, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa na kuwa hai tena, masikini wanaambiwa habari njema.
И одговарајући Исус рече им: Идите и кажите Јовану шта видесте и чусте: слепи прогледају, хроми ходе, губави чисте се, глуви чују, мртви устају, сиромашнима проповеда се јеванђеље.
23 Na mtu ambaye hataacha kuniamini mimi kwa sababu ya matendo yangu amebarikiwa”.
И благо ономе који се не саблазни о мене.
24 Baada ya wale waliotumwa na Yohana kurudi walikotoka, Yesu akaanza kusema kwa makutano juu ya Yohana, “Mlikwenda nje kuona nini, mwanzi ukiwa unatikiswa na upepo?
А кад отидоше ученици Јованови, поче народу говорити за Јована: Шта сте изишли у пустињи да видите? Трску, коју љуља ветар?
25 lakini mlikwenda nje kuona nini, mtu aliyevaa vizuri? tazama watu wale wanaovaa mavazi ya kifalme na kuishi maisha ya starehe wako kwenye nafasi za wafalme.
Шта сте, дакле, изашли да видите? Човека у меке хаљине обучена? Ето, који господске хаљине носе и у сластима живе по царским су дворовима.
26 lakini mnakwenda nje kuona nini, Nabii? Ndiyo, ninasema kwenu na zaidi sana kuliko nabii.
Шта сте дакле изишли да видите? Пророка? Да, ја вам кажем, и више од пророка;
27 Huyu ndiye aliyeandikiwa, “Tazama, namtuma mjumbe wangu mbele ya macho yenu, atakeyeandaa njia kwa ajili yangu,
Јер је ово онај за кога је писано: Ето ја шаљем анђела свог пред лицем Твојим који ће приправити пут Твој пред Тобом.
28 Nasema kwenu, kati ya wale waliozaliwa na mwanamke, hakuna mkuu kama Yohana, lakini mtu asiye muhimu sana atakayeishi na Mungu mahali alipo yeye, atakuwa mkuu kuliko Yohana.”
Јер вам кажем: Ниједан између рођених од жена није већи пророк од Јована крститеља; а најмањи у царству Божијем већи је од њега.
29 Na watu wote waliposikia haya pamoja na watoza ushuru, walitangaza kuwa Mungu ni mwenye Haki. Walikuwepo kati yao wale waliobatizwa kwa ubatizo wa Yohana.
И сви људи који слушаху и цариници оправдаше Бога, и крстише се крштењем Јовановим;
30 Lakini mafarisayo na wataalamu wa sheria za kiyahudi, ambao hawakubatizwa na yeye walikataa hekima za Mungu kwa ajili yao wenyewe.
А фарисеји и књижевници одбацише савет Божји за њих, И не хтеше да их он крсти.
31 Tena naweza kuwalinganisha na nini watu wa kizazi hiki? Wakoje hasai?
А Господ рече: Какви ћу казати да су људи овог рода? И какви су?
32 Wanafanana na watoto wanaocheza kwenye eneo la soko, wanaokaa na kuitana mmoja baada wa mwingine wakisema, 'Tumepuliza filimbi kwa ajili yenu, na hamkucheza. tumeomboleza na hamkulia.'
Они су као деца која седе по улицама и дозивају једно друго и говоре: Свирасмо вам, и не играсте, жалисмо вам се, и не плакасте.
33 Yohana mbatizaji alikuja hakula mkate wala hakunywa divai, na mkasema “Ana pepo.
Јер дође Јован крститељ који ни једе хлеб ни пије вино, а ви кажете: Ђаво је у њему;
34 Mwana wa Mtu amekuja amekula na kunywa na mkasema, “Angali ni mlafi na mlevi, rafiki wa watoza ushuru na wenye dhambi!
Дође Син човечији који и једе и пије, а ви кажете: Гле човека изелице и пијанице, друга цариницима и грешницима.
35 Lakini hekima imetambulika kuwa ina haki kwa watoto wake wote.”
И оправдаше премудрост сва деца њена.
36 Mmoja wa mafarisayo alimwomba Yesu aende kula pamoja naye. Baada ya Yesu kuingia kwenye nyumba ya farisayo, aliegemea kwenye meza ili ale.
Мољаше Га пак један од фарисеја да би обедовао у њега; и ушавши у кућу фарисејеву седе за трпезу:
37 Tazama kulikuwa na mwanamke mmoja katika jiji hilo aliyekuwa na dhambi. Akagundua kuwa alikuwa amekaa kwa Farisayo, akaleta chupa ya manukato.
И гле, жена у граду која беше грешница дознавши да је Исус за трпезом у кући фарисејевој, донесе скленицу мира;
38 Alisimama nyuma yake karibu na miguu yake huku akilia. Tena alianza kulowanisha miguu yake kwa machozi, na kuifuta kwa nywele za kichwa chake, akiibusu miguu yake na kuipaka manukato.
И ставши састраг код ногу Његових плакаше, и стаде прати ноге Његове сузама, и косом од своје главе отираше, и целиваше ноге Његове, и мазаше миром.
39 Na yule farisayo aliyekuwa amemwalika Yesu alipoona hivyo, akawaza mwenyewe akisema, “Kama huyu mtu angekuwa nabii, angejua huyu ni nani na ni aina gani ya mwanamke anayemgusa, ya kuwa ni mwenye dhambi.
А кад виде фарисеј који Га је дозвао, рече у себи говорећи: Да је он пророк, знао би ко и каква га се жена дотиче: јер је грешница.
40 Yesu akajibu na kumwambia, “Simoni nina kitu cha kukuambia. “Akasema” “Kiseme tu mwalimu!”
И одговарајући Исус рече му: Симоне! Имам ти нешто казати. А он рече: Учитељу! Кажи.
41 Yesu akasema “Kulikuwa na wadaiwa wawili kwa mkopeshaji mmoja. Mmoja alikuwa anadaiwa dinari mia tano na wa pili alidaiwa dinari hamsini.
А Исус рече: Двојица беху дужни једном дужнику, један беше дужан пет стотина динара, а други педесет.
42 Na walipokuwa hawana pesa ya kumlipa aliwasamehe wote. Sasa ni nani atampenda zaidi?
А кад они не имадоше да му врате, поклони обојици. Кажи који ће га од њих двојице већма љубити.
43 Simoni akamjibu na kusema, “Nadhani aliyesamehewa zaidi.”Yesu akamwambia, “Umehukumu kwa usahihi.”
А Симон одговарајући рече: Мислим онај коме највише поклони. А Он му рече: Право си судио.
44 Yesu akamgeukia mwanamke na kusema kwa Simoni, “Unamwona huyu mwanamke. Nimeingia kwenye Nyumba yako. Hukunipa maji kwa ajili ya miguu yangu, lakini huyu, kwa machozi yake, alilowanisha miguu yangu na kuifuta kwa nywele zake.
И окренувши се к жени рече Симону: Видиш ли ову жену? Ја уђох у твоју кућу, ни воде ми на ноге ниси дао; а она сузама обли ми ноге, и косом од главе своје отре.
45 Hukunibusu, lakini yeye, tangu alipoingia humu hakuacha kunibusu miguu yangu.
Целива ми ниси дао; а она откако уђох не преста целивати ми ногу.
46 Hukuipaka miguu yangu kwa mafuta, lakini ameipaka miguu yangu kwa manukato.
Уљем ниси помазао главе моје; а она миром помаза ми ноге.
47 Kwa jambo hili, nakwambia kwamba alikuwa na dhambi nyingi na amesamehewa zaidi, na pia alipenda zaidi. Lakini aliyesamehewa kidogo, hupenda kidogo tu.”
Зато кажем ти: опраштају јој се греси многи, јер је велику љубав имала; а коме се мало опрашта има малу љубав.
48 Baadaye akamwambia mwanamke, “Dhambi zako zimesamehewa”
А њој рече: Опраштају ти се греси.
49 Wale waliokaa mezani pamoja naye wakaanza kusemezana wao kwa wao, “Huyu ni nani mpaka anasamehe dhambi?”
И стадоше у себи говорити они што сеђаху с Њим за трпезом: Ко је Овај што и грехе опрашта?
50 Na Yesu akamwambia mwanamke, “Imani yako imekuokoa. Enenda kwa amani”
А жени рече: Вера твоја поможе ти; иди с миром.

< Luka 7 >