< Luka 3 >

1 Sasa, katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Kaisari Tiberia, wakati Pontio Pilato alikuwa gavana wa Uyahudi, Herode alikuwa mkuu wa mkoa wa Galilaya, na Filipo ndugu yake alikuwa mkuu wa mkoa wa Iturea na Trakoniti, na Lisania alikuwa mkuu wa mkoa wa Abilene,
О И множествата го питаха, казвайки: Тогава какво да правим?
2 na wakati wa ukuhani mkuu wa Anasi na Kayafa, Neno la Mungu lilimjia Yohana mwana wa Zakaria, jangwani.
при първосвещенството на Анна Каиафа, Божието слово дойде до Иоана, Захариевия син, в пустинята.
3 Alisafiri katika mkoa wote kuzunguka Mto Yordani, akihubiri ubatizo wa toba kwa ajili ya msamaha wa dhambi
И той отиваше по цялата страна около Йордан и проповядваше кръщение на покаяние за прощаване на греховете,
4 Kama ilivyoandikwa katika kitabu cha maneno ya Isaya nabii, “sauti ya mtu aliaye nyikani, “Itengenezeni tayari njia ya Bwana, yatengenezeni mapito yake yaliyoonyoka.
както е писано в книгата с думите на пророк Исаия:
5 Kila bonde litajazwa, kila mlima na kilima vitasawazishwa, barabara zilizopinda zitanyoshwa, na njia zilizoparaza zitalainishwa.
Всяка долина ще се напълни. И всяка планина и хълм ще се сниши; Кривите пътеки ще станат прави, И неравните места
6 Watu wote watauona wokovu wa Mungu.”
И всяка твар ще види Божието спасение.
7 Hivyo, Yohana akawaambia makutano makubwa ya watu waliomjia wapate kubatizwa na yeye, “Ninyi uzao wa nyoka wenye sumu, nani aliwaonya kuikimbia gadhabu inayokuja?
И тъй, той казваше на множествата, които излизаха да се кръщават от него: Рожби ехиднини! Кой ви предупреди да бягате от идещия гняв?
8 Zaeni matunda yanayoedana na toba, na msianze kusema ndani yenu, “Tunaye Ibarahimu ambaye ni baba yetu; kwa sababu nawaambia ya kwamba, Mungu anaweza kumwinulia Ibrahimu watoto hata kutokana na mawe haya.
Прочее, принасяйте плодове, достойни за покаяние; и не почвайте да си думате, имаме Авраама за баща; защото ви казвам, че Бог може и от тия камъни да въздигне чада на Авраама.
9 Tayari shoka limeshawekwa kwenye mzizi wa miti. Hivyo, kila mti usiozaa matunda mema, hukatwa na kutupwa motoni.
А и брадвата лежи вече при корена на дърветата: и тъй, всяко дърво, което не дава добър плод, отсича се и в огън се хвърля.
10 Kisha watu katika makutano walimuuliza wakisema, “Sasa tunatakiwa tufanyeje?”
И множествата го питаха, казвайки: Тогава какво да правим?
11 Alijibu na kuwaambia, “kama mtu ana kanzu mbili anatakiwa atoe kanzu moja kwa mwingine ambaye hana kabisa, na ambaye ana chakula na afanye vivyo hivyo.”
А той в отговор им рече: Който има две ризи, нека даде на този, който няма; и който има храна, нека прави същото.
12 Kisha baadhi ya watoza ushuru walikuja pia kubatizwa, na wakamwambia, “Mwalimu, tunatakiwa kufanya nini?
Дойдоха и бирниците да се кръстят, и му рекоха: Учителю, ние какво да правим?
13 Akawaambia, “Msikusanye fedha zaidi kuliko mnachotakiwa kukusanya.”
Той им каза: Не изисквайте нищо повече от това, що ви е определено.
14 Baadhi ya maaskari pia wakamuuliza wakisema, “Na sisi je? Tunatakiwa tufanye nini?” Akawambia, “Msichukue fedha kwa mtu yeyote kwa nguvu, na msimtuhumu mtu yeyote kwa uongo. Ridhikeni na mishahara yenu.”
Питаха го и военослужащи, казвайки: а ние какво да правим? Каза им: Не насилвайте никого, нито наклеветявайте; и задоволявайте се със заплатите си.
15 Sasa, kwa kuwa watu walikuwa na shauku ya kumngojea Kristo atakaye kuja, kila mmoja alikuwa anawaza moyoni mwake kuhusu Yohana kama yeye ndiye Kristo.
И понеже людете бяха в недоумение, и всички размишляваха в сърцата си за Иоана, да не би той да е Христос,
16 Yohana akajibu kwa kuwaambia wote, “Mimi nawabatiza ninyi kwa maji, lakini kuna mmoja ajaye ambaye ana nguvu kuliko mimi, na sisitahili hata kufungua kamba za viatu vyake. Atawabatiza ninyi kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
Иоан отговори на всички, като каза: Аз ви кръщавам с вода, но иде Оня, Който е по-силен от мене, Комуто не съм достоен да развържа ремъка на обущата Му; Той ще ви кръсти със Святия Дух и с огън.
17 Pepeto lake liko mkononi mwake ili kusafisha vizuri uwanda wake wa kupepetea ngano na kuikusanya ngano ghalani mwake. Lakini, atayateketeza makapi kwa moto ambao hauwezi kuzimika.
Той държи лопатата в ръката Си, за да очисти добре гумното Си и да събере житото в житницата Си; а плявата ще изгори в неугасимия огън.
18 Kwa maonyo mengine mengi pia, alihubiri habari njema kwa watu.
И с много други увещания той благовестяваше на людете.
19 Yohana alimkemea pia Herode mkuu wa mkoa kwa kumuoa Herodia, mke wa ndugu yake na kwa maovu mengine mengi ambayo Herode alikuwa ameyatenda.
А четверовластникът Ирод, бидейки изобличаван от него, поради Иродиада, братовата си жена, и поради всичките други злини, които беше сторил Ирод,
20 Lakini baadaye Herode alifanya uovu mwingine mbaya sana. Alimfunga Yohana gerezani.
прибави над всичко друго и това, че затвори Иоана в тъмницата.
21 Kisha ilitokea kwamba, wakati watu wote walipokuwa wakibatizwa na Yohana, naye Yesu alibatizwa pia. Wakati alipokuwa akiomba, mbingu zikafunguka.
И когато се кръстиха всичките люде, като се кръсти и Исус и се молеше, отвори се небето,
22 Roho Mtakatifu akashuka juu yake kwa mfano wa kiwiliwili kama njiwa, wakati huo huo sauti ikaja kutoka mbinguni ikisema, “Wewe ni Mwanangu mpendwa. Ninapendezwa sana na wewe.”
и Святият Дух слезе върху Него в телесен образ като гълъб, и глас дойде от небето, който казваше: Ти си Моят възлюбен Син; в тебе е Моето благоволение.
23 Sasa Yesu mwenyewe, alipoanza kufundisha, alikuwa na umri upatao miaka thelathini. Alikuwa ni mwana (kama ilivyotadhaniwa) wa Yusufu, mwana wa Eli,
И сам Исус беше на около тридесет години, когато почна да поучава и, както мислеха, беше син на Йосифа, който бе син Илиев.
24 mwana wa Mathati, mwana wa Lawi, mwana wa Melki, mwana wa Yana, mwana wa Yusufu,
А, Илий, Мататов; Матат Левиев; Левий, Мелхиев; Мелхий, Яанайев; Яанай, Йосифов;
25 mwana wa Matathia, mwana wa Amosi, mwana wa Nahumu, mwana wa Esli, mwana wa Nagai,
Йосиф Мататиев; Мататия, Амосов; Амос, Наумов; Наум, Еслиев; Еслий, Нагеев;
26 mwana wa Maati, mwana wa Matathia, mwana wa Semeini, mwana wa Yusufu, mwana wa Yuda,
Нагей, Маатов; Маат, Мататиев; Мататия, Семеинов; Семеин, Иосехов; Иосех, Иодов;
27 mwana wa Yoanani, mwana wa Resa, mwana wa Zerubabeli, mwana wa Shealtieli, mwana wa Neri,
Иода, Иоананов; Иоанан, Рисов; Риса, Зоровавелов; Зоровавел, Салатиилев; Салатиил, Нириев;
28 mwana wa Melki, mwana wa Adi, mwana wa Kosamu, mwana wa Elmadamu, mwana wa Eri,
Нирий, Мелхиев; Мелхий, Адиев; Адий, Косамов; Косам, Елмадамов; Елмадам, Иров;
29 mwana wa Yoshua, mwana wa Eliezeri, mwana wa Yorimu, mwana wa Matathi, mwana wa Lawi,
Ир, Исусов; Исус, Елиезеров; Елиезер, Иоримов; Иорим, Мататов; Матат, Левиев;
30 mwana wa Simeoni, mwana wa Yuda, mwana wa Yusufu, mwana wa Yonamu, mwana wa Eliyakimu,
Левий, Симеонов; Симеон, Юдов; Юда, Йосифов; Йосиф, Иоанамов; Ионам, Елиакимов;
31 mwana wa Melea, mwana wa Mena, mwana wa Matatha, mwana wa Nathani, mwana wa Daudi,
Елиаким, Мелеев; Мелеа, Менов; Мена, Мататов; Матата, Натанов; Натан, Давидов;
32 mwana wa Yese, mwana wa Obedi, mwana wa Boazi, mwana wa Salmoni, mwana wa Nashoni,
Давид, Есеев; Есей, Овидов; Овид, Воозов; Вооз, Салмонов; Салмон, Наасонов;
33 mwana wa Abinadabu, mwana wa Aramu, mwana wa Hesroni, mwana wa Peresi, mwana wa Yuda,
Наасон, Аминадавов; Аминадав, Арниев; Арний, Есронов; Есрон, Фаресов; Фарес, Юдов;
34 mwana wa Yakobo, mwana wa Isaka, mwana wa Ibrahimu, mwana wa Tera, mwana wa Nahori,
Юда, Яковов; Яков, Исааков; Исаак, Авраамов; Авраам, Таров; Тара, Нахоров;
35 mwana wa Seruig, mwana wa Ragau, mwana wa Pelegi, mwana wa Eberi, mwana wa Sala,
Нахор, Серухов; Серух, Рагавов; Рагав, Фалеков; Фалек, Еверов; Евер, Салов;
36 mwana wa Kenani, mwana wa Arfaksadi, mwana wa Shemu, mwana wa Nuhu, mwana wa Lameki,
Сала, Каинанов; Каинан, Арфаксадов; Арфаксад, Симов; Сим, Ноев; Ное, Ламехов;
37 mwana wa Methusela, mwana wa Henoko, mwana wa Yaredi, mwana Mahalalei, mwana wa Kenani,
Ламех, Матусалов; Матусал, Енохов; Енох, Яредов; Яред, Малелеилов; Малелеил, Каинанов;
38 mwana wa Enoshi, mwana wa Sethi, mwana wa Adamu, mwana wa Mungu.
Каинан, Еносов; Енос, Ситов; Сит, Адамов; а Адам, Божий.

< Luka 3 >