< Luka 2 >

1 Sasa katika siku hizo, ikatokea kwamba Kaisari Agusto alitoa agizo akielekeza kwamba ichukuliwe sensa ya watu wote wanaoishi duniani.
О Но ангелът им рече: Не бойте се, защото, ето, благовестявам ви голяма радост, която ще бъде за всичките люде.
2 Hii ilikuwa ni sensa ya kwanza iliyofanyika wakati Krenio akiwa gavana wa Siria.
Това беше първото записване, откакто Квириний управляваше Сирия.
3 Hivyo kila mmoja akaenda mjini kwake kuandikishwa sensa.
И всички отиваха да се записват, всеки в своя град.
4 Naye Yusufu aliondoka pia katika mji wa Nazareti huko Galilaya na akasafiri Yudea katika mji wa Bethlehemu, ujulikanao kama mji wa Daudi, kwa sababu alitokea katika ukoo ya Daudi.
И тъй, отиде и Йосиф от Галилея, от града Назарет, в Юдея, в Давидовия град, който се нарича Витлеем, (понеже той беше от дома и рода Давидов),
5 Alikwenda huko kujiandikisha pamoja na Mariamu, ambaye alikuwa amemposa na alikuwa akitazamia mtoto.
за да се запише с Мария, която беше сгодена за него и беше непразна.
6 Sasa ilitokea kwamba, wakiwa kule wakati wake wa kujifungua mtoto ukawadia.
И когато бяха там, навършиха се дните - да роди.
7 Akajifungua mtoto wa kiume, mzaliwa wake wa kwanza, akamzungushia nguo mwilini kumkinga na baridi mtoto. Ndipo akamweka kwenye kihori cha kulishia wanyama, kwa sababu haikuwepo nafasi kwenye nyumba za wageni.
И роди първородния си Син, пови Го, и положи Го в ясли, защото нямаше място за тях в страноприемницата.
8 Katika eneo hilo, walikuwapo wachungaji walioishi mashambani wakilinda makundi ya Kondoo wao usiku.
И на същото място имаше овчари, които живееха в полето, и пазеха нощна стража около стадото си.
9 Ghafla, malaika wa Bwana akawatokea, na utukufu wa Bwana ukang'aa kuwazunguka, na wakawa na hofu sana.
И ангел от Господа застана пред тях, и Господната слава ги осия; и те се уплашиха много.
10 Ndipo malaika akwaambia, “Msiogope, kwasababu nawaletea habari njema ambayo italeta furaha kuu kwa watu wote.
Но ангелът им рече: Не бойте се, защото, ето, благовестявам ви голяма радост, която ще бъде за всичките люде.
11 Leo Mwokozi kazaliwa kwaajili yenu mjini mwa Daudi! Yeye ndiye Kristo Bwana!
Защото днес ви се роди в Давидовия град Спасител, Който е Христос Господ.
12 Hii ndiyo ishara ambayo mtapewa, mtamkuta mtoto amefungwa nguo na amelala kwenye hori la kulishia wanyama.”
И това ще ви бъде знакът: ще намерите Младенец, повит и лежащ в ясли.
13 Ghafla kukawa na jeshi kubwa la mbinguni likaungana na malaika huyo wakamsifu Mungu, wakisema,
И внезапно, заедно с ангела, се намери множество небесно воинство, което хвалеше Бога, казвайки:
14 “Utukufu kwa Mungu aliye juu sana, na amani iwe duniani kwa wote ambao anapendezwa nao.”
Слава на Бога във висините. И на земята мир между човеците, в които е Неговото благоволение.
15 Ikawa kwamba malaika walipokwisha kuondoka kwenda mbinguni, wachungaji wakasemezena wao kwa wao, “Twendeni sasa kule Bethlehemu, na tukaone hiki kitu ambacho kimetokea, ambacho Bwana ametufahamisha.”
Щом ангелите си отидоха от тях на небето, овчарите си рекоха един на друг: Нека отидем тогава във Витлеем, и нека видим това, що е станало, което Господ ни изяви.
16 Wakaharakisha kule, na wakamkuta Mariamu na Yusufu, na wakamuona mtoto amelala kwenye hori la kulishia wanyama.
И дойдоха бързо и намериха Мария и Йосифа, и Младенеца лежащ в яслите.
17 Na walipoona hivi, wakawajulisha watu kile walichokuwa wameambiwa kumhusu mtoto.
И като видяха, разказаха каквото им беше известено за това детенце.
18 Wote waliosikia habari hii wakashangazwa na kile kilichosemwa na wachungaji.
И всички които чуха, се зачудиха за това, което овчарите им казаха.
19 Lakini Mariamu akaendelea kufikiri kuhusu yote aliyokwisha kuyasikia, akiyatunza moyoni mwake.
А Мария спазваше всички тия думи и размишляваше за тях в сърцето си.
20 Wachungaji wakarudi wakimtukuza na kumsifu Mungu kwa ajili ya kila kitu walichokwisha sikia na kuona, kama tu ilivyokuwa imenenwa kwao.
И овчарите се върнаха, славещи и хвалещи Бога за всичко, що бяха чули и видели, според както им беше казано.
21 Ilipofika siku ya nane na ilikuwa ni wakati wa kumtahiri mtoto, wakamwita jina Yesu, jina alilokwishapewa na yule malaika kabla mimba haijatungwa tumboni.
И като се навършиха осем дни и трябваше да обрежат Детенцето, дадоха Му името Исус, както беше наречено от ангела преди да е било зачнато в утробата.
22 zao zilizotakiwa za utakaso zilipopita, kulingana na sheria ya Musa, Yusufu na Mariamu wakampeleka hekaluni kule Yerusalemu kumweka mbele za Bwana.
Като се навършиха и дните за очистването им, според Мойсеевия закон, занесоха Го в Ерусалим за да Го представят пред Господа,
23 Kama ilivyoandikwa katika sheria ya Bwana, “Kila mwanaume anayefungua tumbo ataitwa aliyetolewa wakfu kwa Bwana.”
(както е писано в Господния закон, че всеки първороден младенец от мъжки пол ще бъде свят на Господа),
24 Wao vilevile walikuja kutoa sadaka kulingana na kile kinachosemwa katika sheria ya Bwana, “Jozi ya njiwa au makinda mawili ya njiwa.”
и да принесат жертва според казаното в Господния закон две гургулици и две гълъбчета.
25 Tazama, palikuwa na mtu katika Yerusalemu ambaye jina lake alikuwa akiitwa Simeoni. mtu huyu alikuwa mwenye haki na mcha Mungu. Yeye alikuwa akisubiri kwa ajili ya mfariji wa Israeli, na Roho Mtakatifu alikuwa juu yake.
И ето, имаше в Ерусалим един човек на име Симеон; и тоя човек бе праведен и благочестив, и чакаше утехата на Израиля; и Святият Дух беше в него.
26 Ilikuwa imekwisha funuliwa kwake kupitia Roho Mtakatifu kwamba yeye hangelikufa kabla ya kuwomwona Kristo wa Bwana.
Нему бе открито от Святия Дух, че няма да види смърт, докле не види Христа Господен.
27 Siku moja alikuja ndani ya hekalu, akiongozwa na Roho Mtakatifu. Ambapo wazazi walimleta mtoto, Yesu, kumfanyia yale yaliyopasa kawaida ya sheria,
И по внушението на Духа той дойде в храма; и когато родителите внесоха детенцето Исус, за да сторят за Него по обичая на закона,
28 ndipo Simeoni alimpokea mikononi mwake, na akamsifu Mungu na kusema,
той Го взе на ръцете си и благослови Бога, като каза:
29 “Sasa ruhusu mtumishi wako aende kwa amani Bwana, kulingana na Neno lako.
Сега, Владико, отпущаш слугата Си в мир, според думата си;
30 Kwa kuwa macho yangu yameuona wakovu wako,
защото видяха очите ми спасението,
31 ambao umeonekana kwa macho ya watu wote.
което си приготвил пред всички люде;
32 Yeye ni nuru kwa ajili ya ufunuo kwa Wamataifa na utukufu wa watu Israeli.”
светлина да просвещава народите. И слава на Твоите люде Израил.
33 Baba na Mama wa mtoto walishangazwa kwa mambo ambayo yalizungumzwa juu yake.
А баща Му и майка Му се чудеха на това, което се говореше за Него.
34 Ndipo Simeoni akawabariki na akasema kwa Mariamu mama yake, “Sikiliza kwa makini! Mtoto huyu atakuwa sababu ya kupotea na kuokoka kwa watu wengi katika Israeli na ni ishara ambayo watu wengi wataipinga.
И Симеон го благослови, и рече на майка Му Мария: Ето, това детенце е поставено за падане и за ставане на мнозина в Израиля, и за белег, против който ще се говори.
35 Pia ni upanga utakaochoma nafsi yako mwenyewe, ili kwamba mawazo ya mioyo ya wengi yadhihirike”.
Да! И на сама тебе меч ще прониже душата ти, за да се открият помислите на много сърца.
36 Nabii mwanamke aliyeitwa Ana pia alikuwako hekaluni. Yeye alikuwa binti wa Fanueli kutoka kabila la Asheri. Alikuwa na miaka mingi sana. Naye aliishi na mume wake kwa miaka saba baada ya kuoana,
Имаше и някоя си Анна, Фануилова дъщеря, от Асировото племе; (тя беше в много напреднала възраст, като бе живяла с мъжа си седем години от девството си.
37 na ndipo akawa mjane kwa miaka themanini na minne. Naye hakuwahi kuondoka hekaluni na alikuwa akiendelea kumwabudu Mungu pamoja na kufunga na kuomba, usiku na mchana.
И беше вдовица за цели осемдесет и четири години), която не се отделяше от храма, дето нощем и денем служеше Богу в пост и молитва.
38 Na kwa wakati huo, alikuja pale walipo akaanza kumshukuru Mungu. Aliongea kumhusu mtoto kwa kila mtu ambaye alikuwa akisubiri ukombozi wa Yerusalemu.
И тя, като се приближи, в същия час, благодареше Богу, и говореше за Него на всички, които ожидаха изкуплението на Ерусалим.
39 Walipomaliza kila kitu walichotakiwa kufanya kuligana na na sheria ya Bwana, walirudi Galilaya, mjini kwao, Nazareti.
И като свършиха всичко, що беше според Господния закон, върнаха се в Галилея, в града си Назарет.
40 Mtoto alikua, na akawa na nguvu, akiongezeka katika hekima, na neema ya Mungu ilikuwa juu yake.
А Детенцето растеше, крепнеше, и се изпълваше с мъдрост; и Божията благодат бе на Него.
41 Wazazi wake kila mwaka walikwenda Yerusalemu kwaajili ya sikukuu ya Pasaka.
И родителите Му ходеха всяка година в Ерусалим за празника на Пасхата.
42 Alipokuwa na umri wa miaka kumi na miwili, walikwenda tena wakati mwafaka kidesturi kwa ajili ya sikukuu.
И когато Той беше на дванадесет години, като отидоха по обичая на празника,
43 Baada ya kubaki siku zote kwa ajili ya sikukuu, walianza kurudi nyumbani. Lakini mvulana Yesu alibaki nyuma mle Yerusalemu na wazazi wake hawakujua hili.
и като изкараха дните и се връщаха, Момчето Исус остана в Ерусалим, без да знаят родителите Му.
44 Walidhani kwamba yumo kwenye kundi walilokuwa wakisafiri nalo, hivyo walisafiri safari ya siku. Ndipo wakaanza kumtafuta miongoni wa ndugu na marafiki zao.
А те, понеже мислеха, че Той е с дружината, изминаха един ден път, като Го търсеха между роднините и познатите си.
45 Waliposhindwa kumpata, walirudi Yerusalemu na wakaanza kumtafuta humo.
И като не Го намериха, върнаха се в Ерусалим и Го търсеха.
46 Ikatokea kwamba baada ya siku tatu, wakampata hekaluni, akiwa ameketi katikati ya waalimu, akiwasikiliza na kuwauliza maswali.
И след три дни Го намериха в храма, седнал между законоучителите, че ги слушаше и ги запитваше.
47 Wote waliomsikia walishangazwa na ufahamu wake na majibu yake.
И всички, които Го слушаха, се учудваха на разума Му и на отговорите Му.
48 Walipomwona, walistaajabu. Mama yake akamwambia, “Mwanangu, kwa nini umetutendea hivi? Sikiliza, baba yako na mimi tumekuwa tukikutafuta kwa wasiwasi mkubwa.”
И като Го видяха, смаяха се; и рече Му майка Му: Синко, защо постъпи тъй с нас? Ето, баща Ти и аз, наскърбени, Те търсехме.
49 Akawaambia, “Kwa nini mmekuwa mkinitafuta? Hamkujua kwamba lazima niwe kwenye nyumba ya Baba yangu?
А Той им рече: Защо да Ме търсите? Не знаете ли, че трябва да се намеря около дома на Отца Ми?
50 Lakini hawakuelewa nini alichomaanisha kwa maneno hayo.
А те не разбраха думата, която им рече.
51 Ndipo akaenda pamoja nao mpaka nyumbani Nazareti na alikuwa mtii kwao. Mama yake alihifadhi mambo yote moyoni mwake.
И Той слезе с тях, и дойде в Назарет, и там им се покоряваше. А майка Му спазваше всички тия думи в сърцето си.
52 Lakini Yesu aliendelea kukua katika hekima na kimo, na akazidi kupendwa na Mungu na watu.
А Исус напредваше в мъдрост, в ръст и в благоволение пред Бога и човеците.

< Luka 2 >