< Mambo ya Walawi 23 >

1 Yahweh akamwambia Musa:
BOEIPA loh Moses te a voek tih,
2 “Zungumza na watu wa Israeli, na uwaambie, 'Hizi ndizo sikukuu zilizoamriwa kwa ajili ya Yahweh, ambazo ni lazima mzitangaze kuwa makusanyiko matakatifu, ni sikukuu zangu za mara kwa mara.
“Israel ca rhoek te voek lamtah thui pah. BOEIPA kah khoning te hoe uh lamtah ka khoning vaengah a cim tingtunnah te khueh uh.”
3 Mnaweza kufanya kazi kwa siku sita, lakini siku ya saba ni Sabato ya kupumzika kabisa. Usifanye kazi kwa sababu ni Sabato kwa ajili ya Yahweh mahali pote mnaposhi.
“Hnin rhuk khuiah bi saii uh saeh. Hnin rhih dongah koiyaeh Sabbath la om saeh lamtah a cim tingtunnah om saeh. BOEIPA kah Sabbath vaengah na tolrhum tom ah bitat khat khaw saii uh boeh.
4 Hizi ndizo sikukuu za Yahweh zilizoamriwa, Makusanyiko matakatifu mtakayoyatangaza kwa nyakati zilioamriwa:
Amah khoning vaengah tahae kah BOEIPA khotue he doek uh lamtah a cim tingtunnah khueh uh.
5 Katika mwenzi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi kwenye mwanga hafifu wa machweo ya jua, ni Pasaka ya Yahweh.
Hla lamhma dongkah hlasae hnin hlai li hlaem ah BOEIPA kah Yoom om ni.
6 Siku ya kumi na tano ya mwezi ule ule ni sikukuu ya mikate isiotiwa hamira kwa ajili ya Yahweh. Kwa muda wa siku saba mtakula mikate isiotiwa hamira.
Hlasae hnin hlai nga dongah BOEIPA kah vaidamding khotue om saeh lamtah hnin rhih khuiah vaidamding ca uh.
7 Siku ya kwanza ni lazima mjitenge kwa pamoja, hamtafanya kazi ya kawaida.
A cuek khohnin dongah nangmih ham a cim tingtunnah om saeh lamtah thohtatnah bitat boeih tah saii boeh.
8 Kwa siku saba mtamletea Yahweh matoleo ya chakula. Siku ya saba ni ya kusanyiko takatifu lililotengwa kwa ajili ya Yahweh, nanyi katika siku hiyo hamtafanya kazi yoyote ya kawaida.”
Hnin rhih khuiah BOEIPA taengla hmaihlutnah nawn uh. A hnin rhih dongah a cim tingtunnah om saeh lamtah thohtatnah bitat boeih te tah saii uh boeh,” a ti nah.
9 Yahweh akamwambia Musa, akisema,
Te phoeiah Moses te BOEIPA loh a voek tih,
10 “Sema na watu wa Israeli uwaambie, 'mtakapika kwenye nchi nitakayowapa nyinyi, na mtakapovuna mazao yake, nanyi yawapasa kumletea kuhani fungu la masuke ya nafaka ya matunda yake ya kwanza.
“Israel ca rhoek te voek lamtah thui pah. Kai loh nangmih taengah kam paek khohmuen la na kun uh tih cang na ah uh atah na cangah cuek kah canghmuei te khosoih taengla thak uh.
11 Naye ataliinua hilo fungu la masuke ya nafaka mbele za Yahweh na kulileta kwake, kwa kuwa litakubalika kwa niaba yenu. Nalo litaletwa siku baada ya Sabato ili kwamba kuhani ataliinua na kulileta kwangu.
Canghmuei te BOEIPA mikhmuh ah thueng saeh. Nangmih taengah kolonah ham khosoih loh Sabbath vuen ah thueng saeh.
12 Siku ile mtakapoliinua lile fungu la masuke ya nafaka na kulileta kwangu, itawabidi kutoa mwana—kondoo dume wa mwaka mmoja na asiye na dosari awe sadaka ya kuteketezwa kwa Yahweh.
Canghmuei na thueng uh hnin vaengah tu kum khat ca te BOEIPA taengah hmueihhlutnah ham a cuemthuek la nawn uh.
13 Matoleo ya nafaka yatakuwa sehemu za kumi za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta, uwe matoleo yaliyofanywa kwa moto kwa Yahweh, ili kutoa harufu nzuri ya kupendeza, pamoja na hiyo kutakuwa na matoleo ya kinywaji ya divai, moja ya nne ya hini.
Situi neh a thoek khocang vaidam doh nit te BOEIPA ham hmaihlutnah hmuehmuei botui la om saeh. Tuisi ham misurtui bunang pali khueh saeh.
14 Hamtakula mkate, wala nafaka iliyokaangwa au nafaka mpya hata siku ile mliyoleta matoleo haya kwa Mungu wenu. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu, popote pale mnapoishi.
Na Pathen kah nawnnah a khohnin tuung na pha hlan atah vaidam khaw, vairhum khaw, cangthai khaw ca uh boeh. Na tolrhum boeih kah na cadilcahma ham kumhal khosing la om saeh.”
15 Tangu siku iliyofuata baada ya Sabato—hiyo ilikuwa siku mlipolileta lie fungu la nafaka la matoleo ya kutikiswa—hesabuni majuma saba kamili.
“Thueng hmueih la canghmuei na khuen tue phoeikah Sabbath vuen lamkah te tae lamtah Sabbath voeirhih a cum due om sak.
16 Mtahesabu siku hamsini, ambazo zingekuwa siku baada ya Sabato ya saba. Kisha mtaleta matoleo ya nafaka mpya kwa Yahweh.
Sabbath voei rhih na tae vuen kah hnin sawmnga vaengah khocang cangthai te BOEIPA taengla nawn uh.
17 Mtaleta kutoka nyumbani mwenu mikate miwili iliyotengenezwa kutokana na mbili za kumi za efa. Ni lazima ifanywe kwa unga laini na uliochanganywa na hamira; zitakuwa matoleo ya kutikiswa ya malimbuko ya kwanza kwa Yahweh.
Na tolrhum lamkah thueng hmueih vaidam hluem nit, tolrhu neh a thong vaidam doh nit te BOEIPA ham thaihcuek la khuen uh.
18 Mtaileta hiyo mikate pamoja na wana—kondoo saba wa mwaka mmoja na wasiokuwa na dosari, fahali mmoja mchanga na dume wa kondoo wawili. Watakuwa matoleo ya kuteketezwa kwa moto kwa Yahweh, pamoja na matoleo yao ya nafaka na matoleo ya kinywaji, matoleo yaliyofanywa kwa moto na kutoa harufu nzuri ya kupendeza kwa Yahweh.
Te vaengah vaidam hluem rhih, tu kum khat aka lo ca a cuemthuek neh, saelhung khuikah vaito ca pakhat, tutal panit te khuen lamtah BOEIPA taengkah hmueihhlutnah ham om saeh. Amih kah khocang neh tuisi te khaw BOEIPA ham hmuehmuei botui hmaihlutnah la om saeh.
19 Ni lazima mtowe mbuzi dume mmoja kwa ajili ya matoleo ya dhambi, na wana—kondoo dume wawili wa mwaka mmoja kwa ajili ya dhabihu, wawe matoleo ya ushirika.
Te phoeiah boirhaem ham maae tal pakhat neh rhoepnah hmueih ham tu kum khat ca pumnit te nawn uh.
20 Ni lazima kuhani azitikise pamoja na mkate wa malimbuko ya kwanza mbele za Yahweh na kuzileta kwake kuwa matoleo pamoja na kondoo dume wawili. Watakuwa sadaka takatifu kwa Yahweh kwa ajili ya kuhani.
Thaihcuek buh te thueng hmueih la BOEIPA mikhmuh ah khosoih loh thueng saeh lamtah BOEIPA taengkah a cim tuca panit te tah khosoih ham la om saeh.
21 Mtatoa tangazo siku iyo hiyo. Kutakuwa na kusanyiko takatifu, na hamtafanya kazi za kawaida. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vya watu wenu mahali pote mnapoishi.
Tekah khohnin tuung dongah a cim tingtunnah om ham hoe uh lamtah namamih kah thohtatnah bitat boeih te tah saii uh boeh. He tah Na tolrhum boeih kah na cadilcahma ham kumhal khosing la om saeh.”
22 Mtakapovuna mazao ya nchi yenu, Msivune kabisa kabisa pembeni mwa mashamba yenu, wala msivune mazazo ya mavuno yenu. Inawapasa kuyaacha kwa ajili ya masikini na mgeni. Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.”
“Na khohmuen kah cang na ah uh vaengah khaw na khohmuen te hmangrhong kaep due khap uh boeh. Cang na ah uh vaengah khaw na cang mo te boeih yoep uh boeh. Mangdaeng neh yinlai ham hnoo pa uh. Kai tah nangmih kah Pathen BOEIPA ni,” a ti nah.
23 Yahweh akazungumza na Musa, akisema,
BOEIPA loh Moses te a voek tih,
24 “Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, “Siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza itakuwa siku ya pumzika makini kwa ajili yenu, kumbukumbu pamoja na kupigwa kwa tarumbeta na kusanyiko takatifu,
“Israel ca rhoek te voek lamtah thui pah. Hla hlarhih khuikah lamhmacuek hla te nangmih ham a cim tingtunnah tamlung poekkoepnah koiyaeh om saeh.
25 Hamtafanya kazi ya kawaida, na ni lazima mtoe dhabihu inayofanywa kwa moto kwa Yahweh.”
Te vaengah thohtatnah bitat boeih tah saii uh boel lamtah BOEIPA taengah hmaihlutnah nawn uh,” a ti nah.
26 Kisha Yahweh akamwambia Musa, akisema,
Moses te BOEIPA loh a voek.
27 “Sasa, siku ya kumi ya mwezi huu wa saba, ni Siku ya Upatanisho. Kutakuwa na kusanyiko takatifu, na ni lazima mjinyenyekeze na kuleta kwa Yahweh matoleo kwa moto.
“A hla rha khuikah a hla rhih dongah khaw nangmih ham a cim tingtunnah neh dawthnah hnin te om saeh. Te vaengah na hinglu te phaep uh lamtah BOEIPA taengah hmaihlutnah nawn uh.
28 Hamtafanya kazi katika siku hiyo kwa sababu ni Siku ya Upatanisho, ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu mbele za Yahweh Mungu wenu.
Na Pathen BOEIPA kah mikhmuh ah nangmih kah te dawth ham dawthnah khohnin la a om dongah tekah khohnin tuung ah bitat pakhat khaw saii uh boeh.
29 Yeyote asiyejinyenyekeza siku hiyo lazima akatiliwe mbali na watu wake.
Tekah khohnin tuung dongah a pum aka phaep pawt hlanghing boeih tah a pilnam lamkah khoe van saeh.
30 Yeye afanyaye kazi yoyote katika siku hiyo, Mimi, Yahweh, nitamwangamiza atoke miongoni mwa watu wake.
Tekah khohnin tuung dongah bitat khat khat te hlanghing khat khat loh saii mai ngawn saeh. Tedae tekah hlanghing te a pilnam khui lamkah ka milh sak ni.
31 Msifanye kazi ya aina yoyote katika siku hiyo. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu mahali pote mnapoishi.
Bitat pakhat khaw na saii uh pawt ham te na tolrhum boeih kah na cadilcahma rhoek ham kumhal khosing la om saeh.
32 Siku hii itakuwa Sabato ya pumziko lenye utlivu, na ni lzima siku ya tisa ya mwezi mjinyenyekeze katika majira ya jioni. Tangu jioni hata jioni mtaishika Sabato yenu.”
Nangmih kah koiyaeh Sabbath ah te na hinglu phaep uh. Hla ko dongkah hlaem ah tah hlaem lamloh hlaem hil na Sabbath yaeh uh,” a ti nah.
33 Yahweh akazungumza na Musa, akisema,
BOEIPA loh Moses te a voek tih,
34 “Zungumza na watu ISraeli, uwaambie 'Katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba kutakuwa na Sikukuu ya vibanda kwa Yahweh. nayo itadumu siku saba.
“Israel ca rhoek te voek lamtah thui pah. Hla rhih dongkah hnin hlai nga dongah pohlip khotue te BOEIPA ham hnin rhih khuiah om saeh.
35 Siku ya kwanza kutakuwa na kusanyiko takatifu. Hamtafanya kazi ya kawaida.
Khohnin lamhmacuek, a cim tingtunnah vaengah thohtatnah bitat boeih tah saii uh boeh.
36 Kwa muda wa siku saba mtatoa dhabihu iliyofanywa kwa moto kwa Yahweh. Siku ya nane kutakuwa na kusanyiko takatifu, nanyi mtato dhabihu iliyofanywa kwa moto kwa Yahweh. Hili ni kusanyiko lenye utulivu, nanyi msifanye kazi yoyote ya kawaida.
Hnin rhih khuiah BOEIPA taengah hmaihlutnah nawn uh. Hnin rhet te nangmih kah a cim tingtunnah la om saeh. Pahong vaengah khaw BOEIPA taengah hmaihlutnah nawn uh lamtah thohtatnah bitat boeih te saii uh boeh.”
37 Hizi ndizo sikukuu zilizoamriwa kwa ajili ya Yahweh, ambazo mnapaswa kuzitangaza kuwa ni makusanyiko matakatifu ya kutoa dhabihu kwa moto kwa Yahweh, matoleo ya kuteketezwa na matoleo ya nafaka, dhabihu na matoleo ya vinywaji, kila moja kwa siku yake.
“BOEIPA kah khoning rhoek te a cim tingtunnah la hoe uh. Tekah khohnin vaengah a khohnin loh a kuek te tah hmueihhlutnah khaw, khocang hmueih neh tuisi khaw BOEIPA taengah hmaihlutnah la khuen uh.
38 Sikukuu hizi zitakuwa nyongeza kwa Sabato za Yahweh na zawadi zenu, viapo vyenu vyote, na sadaka zenu zote za hiari mzitoazo kwa Yahweh.
BOEIPA kah Sabbath khaw amah vaengah, nangmih kah kutdoe khaw amah vaengah, na olcaeng boeih khaw amah vaengah, na kothoh boeih khaw amah vaengah BOEIPA taengla pae uh.”
39 Kuhusu Sikukuu ya vibanda, siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, mtakapokuwa mmeyakusanya ndani matunda ya nchi, ni lazima muitunze sikukuu hii ya Yehweh kwa muda wa siku saba. Siku ya kwanza itakuwa ya pumziko lenye utulivu, na siku ya nane pia itakuwa ya pumziko lenye utulivu.
“Hla rhih phoeikah hnin hlai nga dongah khohmuen kah a vuei a thaih te khoem uh bal lamtah, BOEIPA kah khotue te hnin rhih lam uh. A cuek khohnin dongah koiyaeh om vetih a rhet khohnin dongah khaw koiyaeh om bal ni.
40 Siku ya kwanza mtachuma tunda lililobora kutoka kwenye miti, mtakata makuti ya mtende, na matawi ya miti minene yenye majani mengi, na majani ya mierebi kutoka chemchemi za maji, nanyi mtashangilia mbele za Yahweh Mungu wenu kwa siku saba.
A cuek khohnin dongah rhuepomnah thing thaih neh rhophoe bom, thing bu thing hlaeng, soklong tuirhi te namamih ham lo uh. Na Pathen BOEIPA mikhmuh ah hnin rhih khui na kohoe sak uh.
41 Kwa muda wa siku saba kila mwaka, mtaisherehekea sikukuu hii kwa Yahweh. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu mahali potepote mtakapoishi. Mtaisherehekea sikukuu hii katika mwezi wa saba.
Kum khat ah hnin rhih tah BOEIPA ham khotue na lam uh ham te na cadilcahma taengah kumhal khosing la om saeh lamtah hla rhih dongah lam uh.
42 Mtaishi kwenye vibanda vidogovidogo kwa siku saba. Waisraeli wenyeji wa kuzaliwa wote itawapasa kuishi katika vibanda vidogovidogo kwa siku saba,
Dungtlungim ah hnin rhih khosa uh. Israel khuikah mupoe boeih longtah dungtlungim khuiah khosa saeh.
43 ili kwamba wazao wenu, kizazi baada ya kizazi, waweze kujifunza nilivyowafanya wana wa Israeli kuishi kwenye vibanda kama hivi nilipowaongoza kutoka katika nchi ya Misri. Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.'”
Te daengah ni kamah loh Egypt kho lamkah Israel ca rhoek ka mawt vaengah dungtlungim ah ka om sak te na cadilcahma loh a ming eh. Kai tah na Pathen BOEIPA ni,” a ti nah.
44 Katika njia hii Musa akazitangaza kwa watu wa ISraeli sikukuu zilizoamria kwa ajili ya Yahweh.
Te dongah BOEIPA kah khoning te Israel ca rhoek ham Moses loh a thui pah.

< Mambo ya Walawi 23 >