< Mambo ya Walawi 16 >

1 Yahwe alizungumza na Musa - hii ni baada vifo vya wana wawili wa Haruni, walipomkaribia Yahwe na ndipo wakafa.
Aaron ca rhoi loh BOEIPA mikhmuh la a moe rhoi hatah duek rhoi. Amih rhoi a duek phoeiah Moses te BOEIPA loh a voek.
2 Yahwe alimwambia Musa, “Ongea na Haruni kaka yako na umwambie hapana kuja tu wakati wowote katika patakatifu pa patakatifu ndani ya pazia, mbele ya kifuniko cha upatanisho kilicho juu ya sanduku. Akifanya hivyo, anakufa, kwasababu naonekana katika wingu juu ya kifuniko cha upatanisho.
Te vaengah Moses taengah BOEIPA loh, “Na maya Aaron te thui pah. Thingkawng tlaeng sokah cingmai dongah ka phoe coeng. Te dongah thingkawng tlaeng hmai, imkhui hniyan khuikah hmuencim khuila a tue takuem ah kun mailai boel saeh. Te daengah ni a duek pawt eh.
3 Hivi ndivyo jinsi Haruni lazima aje katika patakatifu pa patakatifu. Yeye lazima aingie pamoja na ndama kama sadaka ya dhambi, na kondoo dume kama sadaka ya dhambi.
Aaron te hmuencim la a kun atah boirhaem la saelhung khuikah vaito ca neh hmueihhlutnah la tutal te khuen saeh.
4 Ni lazima avae kanzu ya kitatani, na lazima avae ndani yake nguo ya kitani, na lazima avae mshipi wa kitani na kilemba cha kitani. Haya ni mavazi matakatifu. Lazima aoge mwili wake katika maji na avae mavazi haya.
A pumsa dongah takhlawk angkidung cim te bai saeh lamtah takhlawk hnii te na saeh. Te phoeiah takhlawk lamko te vah saeh lamtah takhlawk lupong te muei saeh. He rhoek he himbai cim ni. Te dongah a pumsa te tui neh a silh phoeiah te te bai saeh.
5 Lazima achukue kwenye umati wa watu wa Israeli mbuzi wawili waume kama sadaka ya dhambi na kondoo dume moja ikiwa ni sadaka ya kuteketezwa.
Te phoeiah Israel ca rhaengpuei taeng lamkah boirhaem la maae ca pumnit neh hmueihhlutnah la tutal pakhat te lo saeh.
6 Ndipo Haruni lazima alete ng'ombe kama sadaka ya dhambi, ambayo itakuwa kwaajili yake mwenyewe, kufanya upatanisho kwaajili yake mwenyewe na familia yake.
Te vaengah boirhaem vaito te Aaron loh amah ham nawn saeh lamtah amah ham neh a imkhui ham dawth saeh.
7 Ndipo lazima achukue mbuzi wawili na kuwaweka mbele ya Yahwe katika mlango wa kuingilia kwenye hema ya mkutano.
Maae rhoi te khaw lo saeh lamtah tingtunnah dap thohka kah BOEIPA mikhmuh ah tloeng saeh.
8 Ndipo Haruni lazima apige kura kwaajili ya mbuzi hao wawili, kura moja kwaajili ya Yahwe, na kura nyingine kwaajili ya msingiziwa.
Te phoeiah Aaron loh maae rhoi ham hmulung naan saeh lamtah hmulung pakhat te BOEIPA ham, hmulung pakhat te sombawknah la khueh saeh.
9 Ndipo Haruni lazima awasilishe mbuzi ambaye kura imeangukia kwa Yahwe, na kumtoa mbuzi huyo kama sadaka ya dhambi.
BOEIPA kah hmulung loh a nan maae te Aaron loh khuen saeh lamtah boirhaem la nawn saeh.
10 Lakini mbuzi ambaye kura ya usingiziwa imemwangukia lazima aletwe kwa Yahwe akiwa hai, kufanya upatanisho kwa kumwachia aende porini kama, mbuzimsingiziwa.
Tedae sombawknah ham hmulung loh a nan maae te BOEIPA mikhmuh ah a hing la pai sak saeh. Te phoeiah sombawknah te khosoek la hlah saeh lamtah amah tholh te dawth saeh.
11 Pia Haruni lazima alete ng'ombe kwaajili ya sadaka ya dhambi, ambayo itakuwa kwaajili yake mwenyewe, lazima afanye upatanisho kwaajili yake mwenyewe na familia yake, hivyo lazima yeye amuue huyo ng'ombe kama sadaka ya dhambi kwaajili yake mwenyewe.
Te phoeiah boirhaem vaito te Aaron loh amah ham khuen saeh lamtah amah ham neh a imkhuikho ham dawth saeh. Te phoeiah boirhaem vaito te amah ham ngawn saeh.
12 Haruni lazima achukue chetezo iliyojaa mkaa wa moto kutoka kwenye madhabahu mbele ya Yahwe, na mikono imejaa ubani mzuri, na kuleta vitu hivi ndani ya pazia.
Te vaengah BOEIPA mikhmuh kah hmueihtuk dongkah hmai alh te baelphaih a bae neh botui bo-ul kah a vai a kutnarhum a bae pom saeh lamtah im khuikah hniyan khuila khuen saeh.
13 Hapo lazima aweke ubani juu ya moto mbele za Yahwe ili kwamba wingu kutoka kwenye ubani liweze kufunika kifuniko cha agano la imani ya upatanisho. Yeye afanye hivyo ili kwamba asife.
Te phoeiah bo-ul te BOEIPA mikhmuh kah hmai dongah tloeng saeh. Te vaengah bo-ul kah a hu loh olphong sokah a tlaeng te a khuk daengah ni a duek pawt eh.
14 Ndipo lazima achukue kiasi cha damu ya ng'ombe na kuinyunyiza kwa kidole chake mbele ya kifuniko cha upatanisho. Lazima anyunyize kiasi cha damu kwa kidole chake mara saba mbele ya kifuniko cha upatanisho.
Vaito thii te khaw lo saeh lamtah thingkawng tlaeng kah a hmai khothoeng benla a kutdawn neh haeh saeh. Thingkawng tlaeng kah a hmai ah khaw thii te a kutdawn neh voei rhih haeh saeh.
15 Ndipo lazima aue mbuzi kwaajili ya sadaka ya dhambi ambayo ni kwaajili ya watu na kuileta damu yake ndani kwenye pazi. Hapo lazima aifanyie damu kama alivyofanya kwenye damu ya fahali: lazima ainyunyize juu ya kifuniko cha upatanisho na mbele ya kifunuko cha upatanisho.
Te phoeiah pilnam kah boirhaem maae te ngawn saeh lamtah a thii te im khuikah hniyan khuila khuen saeh. Tekah thii te khaw vaito thii a saii bangla saii saeh lamtah thingkawng tlaeng dongah khaw, thingkawng tlaeng kah a hmai ah khaw haeh saeh.
16 Yeye lazima afanye upatanisho kwaajili ya mahali patakatifu kwa sababu ya matendo ya unajisi ya watu wa Israeli, na kwa sababu ya uasi na dhambi zao zote. Yeye pia lazima afanye haya kwaajili ya hema ya mkutano, ambapo Yahwe anaishi kati yao, katika uwepo wa matendo yao ya unajisi.
Te tlam te hmuencim ham khaw, Israel ca rhoek kah a ti a hnai neh boekoek kongah khaw, amih kah tholhnah cungkuem ham khaw dawth pah saeh lamtah amih khuiah a ti a hnai neh aka om tingtunnah dap ham khaw saii pah saeh.
17 Hakuna mtu anayetakiwa kuwepo katika hema ya mkutano wakati Haruni anaingia kufanya upatanisho katika mahali patakatifu pa patakatifu, na mpaka atoke nje na amemaliza kufanya upatanisho kwaajili yake mwenyewe na kwaajili ya familia yake, na kwaajili umati wa Israeli.
Tholh dawth ham hmuencim la kun tih koep ha pawk hlandue hlang pakhat khaw tingtunnah dap khuiah om boel saeh. Te vaengah amah ham neh a imkhui ham khaw, Israel hlangping boeih ham khaw dawth pah saeh.
18 Yeye lazima aende nje kwenye madhabahu hapo mbele za Yahwe na kufanya upatanisho kwaajili ya hiyo, na lazima achukue kiasi cha damu ya mbuzi na kuiweka juu ya pembe za madhabahu yote kuzunguka.
Te phoeiah BOEIPA mikhmuh kah hmueihtuk la cet saeh lamtah amah ham koep dawth bal saeh. Te vaengah vaito thii neh maae thii te lo saeh lamtah hmueihtuk ki dongkah a kaepvai ah koelh saeh.
19 Anatakiwa anyunyize kiasi cha damu juu yake kwa kidole chake mara saba kuitakasa na kuitenga maalumu kwa Yahwe, mbali kutoka matendo ya unajisi wa watu wa Israeli.
thii te khaw a kutdawn neh voei rhih haeh saeh lamtah amah a caihcil phoeiah Israel ca rhoek a ti a hnai lamkah ciim saeh.
20 Atakapo maliza kupatanisha kwaajili ya mahali patakatifu sana, hema la mkutano, na madhabahu, lazima amlete mbuzi aliyehai.
Hmuencim, tingtunnah dap neh hmueihtuk ham a dawth te a coeng phoeiah maae te a hing la nawn saeh.
21 Haruni lazima aweke mikono yake yote juu ya kichwa cha mbuzi huyu aliyehai na akiri juu yake maovu yote ya watu wa Israeli, uasi wao wote, dhambi zao zote. Ndipo lazima aweke dhambi hizo juu ya kichwa cha mbuzi na amwachie katika uangalizi wa mtu aliyetari kumwongoza mbuzi huyo porini.
Te vaengah Aaron loh a kut te kut bok la maae hing kah a lu dongah tloeng saeh. Te phoeiah Israel ca rhoek kah thaesainah boeih neh amih kah boekoek boeih, amih kah tholhnah boeih te khaw phoe thil saeh lamtah maae lu dongah phueih sak saeh. Te phoeiah sikim hlang kah kut dongah khosoek la thak saeh.
22 Mbuzi lazima abebe juu yake mwenyewe uovu wote kwenda mahali pakiwa. Kule msituni, huyo mtu amwache mbuzi aende huru.
Te vaengah amih kah thaesainah boeih te maae loh khohmuen hoeng la phuei saeh lamtah maae te khosoek ah hlah saeh.
23 Ndipo Haruni anapaswa kwenda tena humo kwenye hema ya mkutano na kuvua mavazi ya kitani ambayo amayavaa kabla hajaenda mahali patakatifu sana, na anatakiwa kuyaacha mavazi hayo pale.
Te phoeiah Aaron te tingtunnah dap khuila kun saeh. Hmuencim la a kun vaengkah a bai takhlawk himbai te pit saeh lamtah pahoi khoem saeh.
24 Anapaswa aoshe mwili wake kwa maji mahali patakatifu, na avae nguo zake za kawaida; pia lazima atoke nje kutoa sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya kuteketezwa kwaajili ya wale watu, na kwa njia hii anafanya upatanisho kwaajili yake mwenyewe na kwaajili ya watu.
A pum te khaw hmuen cim kah tui neh sil saeh lamtah a himbai te bai saeh. Te phoeiah halo saeh lamtah amah kah hmueihhlutnah neh pilnam kah hmueihhlutnah te nawn saeh. Te phoeiah amah ham neh pilnam ham te dawth saeh.
25 Lazima yeye achome mafuta ya sadaka ya dhambi juu ya madhabahu.
Boirhaem kah a tha te khaw hmueihtuk dongah phum saeh.
26 Huyu mtu anayemwacha mbuzi msingiziwa aende huru anafua nguo zake na kuosha mwili wake katika maji; baada ya hayo, anaweza kurudi tena kambini.
Sombawknah maae aka hlah long khaw a himbai te suk saeh lamtah a pum te tui neh sil saeh. Te phoeiah rhaehhmuen la kun saeh.
27 Yule fahali kwaajili ya sadaka ya dhambi na mbuzi kwaajili ya sadaka za dhambi, ambaye damu yake ililetwa kufanya upatanisho katika mahali patakatifu, lazima ipelekwe nje ya kambi. kule lazima wachome, ngozi zao, nyama yao na kinyesi chao.
Tholh dawth nah ham hmuencim koek la a thii a khuen boirhaem vaito neh boirhaem maae te khaw rhaehhmuen vongvoel la thak saeh lamtah a vin khaw, a saa khaw, a aek khaw hmai neh hoeh uh saeh.
28 Huyu anayechoma sehemu hizo lazima afue nguo zake na aoge mwili wake katika maji; baada ya hapo, anaweza kurudi tena kwenye kambi.
Te te aka hoeh long khaw a himbai suk saeh lamtah a pum te tui neh a silh phoeiah rhaehhmuen khuila koep kun saeh.
29 Hii itakuwa sharti kwaajili yenu kwamba katika mwezi wa saba, kwenye siku ya kumi ya mwezi, mtanyenyekea wenyewe na msifanye kazi, iwe mwenyeji wa kuzaliwa au mgeni anayeishi kati yenu.
Te dongah hla rha dongkah a hla rhih vaengah tah na hinglu te phaep uh. Nangmih khui kah mupoe neh nangmih taengah aka bakuep yinlai loh bitat pakhat khaw na saii uh pawt ham te nangmih taengah kumhal khosing la om saeh.
30 Hii ni kwasababu katika siku hii ya upatanisho utafanywa kwaajili yenu, kuwatakasa ninyi kutoka dhambi zenu zote ili mwe safi mbele za Yahwe.
Tekah khohnin dongah nangmih te na tholhnah cungkuem khui lamkah caihcil sak ham BOEIPA mikhmuh ah nangmih ham a dawth vetih na caihcil uh ni.
31 Hii ni maalumu kwa Sabato ya kupumzika kwaajili yenu, na lazima mnyenyekee wenyewe na msifanye kazi. Hili litakuwa sharti kati yenu.
Sabbath khaw nangmih ham koiyaeh la om tih na hinglu na phaep ham te kumhal khosing la om coeng.
32 Kuhani mkuu, ambaye atapakwa mafuta na kuwekwa wakfu kuwa kuhani mkuu katika nafasi ya baba yake, lazima afanye upatanisho huu na kuvaa mavazi ya kitani, hayo ni mavazi matakatifu.
Te vaengah a napa hnukthoi ah khosoih ham a koelh tih a kut tloeng thil tangtae khosoih loh takhlawk himbai neh himbai cim te bai saeh lamtah dawth van saeh.
33 Lazima afanye upatanisho kwaajili ya mahali patakatifu sana; lazima afanye upatanisho kwaajili ya hema ya mkutano na madhabahu, na lazima afanye upatanisho kwaajili ya makuhani na kwaajili ya kusanyiko la watu.
Te phoeiah hmuencim kah rhokso neh tingtunnah dap ham dawth pah saeh. Hmueihtuk ham khaw dawth saeh lamtah khosoih rhoek ham neh pilnam hlangping boeih ham khaw dawth bal saeh.
34 Hii daima itakuwa sharti kwaajili yako, kufanya upatanisho kwaajili ya watu wa Israeli kwasababu ya dhambi zao zote, mara moja kwa kila mwaka.” Na ilikuwa ikifanika kama Yahwe alivyomwamuru Musa.
Te dongah tahae kah he BOEIPA loh Moses a uen vanbangla amamih kah tholhnah cungkuem dongah kum khat ah voeikhat a saii tih Israel ca rhoek ham tholh a dawth vaengkah ham nangmih taengah kumhal khosing la om saeh,” a ti nah.

< Mambo ya Walawi 16 >