< Mambo ya Walawi 18 >

1 Yahweh akazungumza na Musa, akisema,
Господ говори още на Моисея, казвайки:
2 “Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, “Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.
Говори на израилтяните, като им кажеш: Аз съм Иеова вашият Бог.
3 Msitende mambo ambayo watu wa Misri huyatenda, mahali mlikokuwa mkiishi awali. Na ni lazima msitende mambo yale wanayoyatenda watu wa Kanaani, nchi ambayo ninawapeleka nyinyi. Msifuate desturi zao.
Да не правите, както правят в Египетската земя, гдето сте живели, и да не правите както правят в Ханаанската земя, в която Аз ви завеждам; и да не ходите по техните повеления.
4 Sheria zangu ndizo mtakazozitenda, na amri zangu ndizo mtakazozishika, kwa sababu Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.
А Моите съдби да правите, и Моите повеления да пазите, да ходите в тях. Аз съм Иеова вашият Бог.
5 Kwa hiyo ni lazima mzitunze hukumu zangu na sheria zangu. Ikiwa mtu amezitii, ataishi kwa sababu ya hizo. Mimi Ndimi Yahweh.
Затова, пазете повеленията Ми, и съдбите Ми, чрез които, ако човек прави това, ще живее. Аз съм Иеова.
6 Pasiwepo kwenu atakayelala na yeyote aliye na uhusiano wa karibu naye. Mimi ndimi Yahweh.
Никой да не приближи при никоя своя кръвна роднина, за да открие голотата й. Аз съм Иеова.
7 Usimfedheheshe baba yako kwa kulala na mama yako. Yeye ni mama yako! Haikupasi kumfedhehesha yeye.
Голотата на баща си, тоест, голотата на майка си, да не откриеш; тя ти е майка; да не откриеш голотата й.
8 Usilale na yeyote wa wake za baba yako; Usimfedheheshe namna hiyo baba yako.
Голотата на бащината си жена да не откриеш; тя е голотата на баща ти.
9 Usilale na yeyote aliye mmoja miongoni mwa dada zako, ama ni binti ya baba yako au ni binti ya mama yako, ama aliyelelewa nyumbani mwenu au mbali nawe. Usilale na dada zako.
Голотата на сестра си, бащината ти дъщеря, или майчината ти дъщеря, родена у дома или родена вън, - голотата на такива да не откриеш.
10 Usilale na binti ya mwanao, au binti ya binti yako. Hiyo ingekuwa aibu yako mwenyewe.
Голотата на синовата си дъщеря, или на дъщеря на дъщеря ти - тяхната голота да не откриеш; защото тяхната голота е твоя.
11 Usilale na binti ya mke wa baba yako, aliyezaliwa kwa baba yako, yeye ni dada yako, na usilale naye.
Голотата на дъщерята на бащината ти жена, родена от баща ти, (сестра ти е), - нейната голота да не откриеш.
12 Usilale na dada ya baba yako. Yeye ni ndugu wa karibu kwa baba yako.
Голотата на бащината си сестра да не откриеш; тя е близка роднина на баща ти.
13 Usilale na dada ya mama yako. Yeye ni ndugu wa mama yako.
Голотата на майчината си сестра да не откриеш, защото тя е близка роднина на майка ти.
14 Usimfedheheshe ndug wa baba yako kwa kulala na mke wake. Usimkaribie kwa kusudi hilo; yeye ni shangazi yako.
Голотата на бащиния си брат да не откриеш, тоест, при жена му да се не приближиш; тя ти е стрина.
15 Usilale na binti- mkwe wako, Yeye ni mke wa mwanao; usilale naye.
Голотата на снаха си да не откриеш; жена е на сина ти; нейната голота да не откриеш.
16 Usilale na mke wa kaka yako; usije ukamfedhesha yeye katika njia hii.
Голотата на братовата си жена да не откриеш; тя е голотата на брата ти
17 Usilale na mwanamke kisha na binti yake, au binti wa mwanawe au binti wa binti yake. Hao ni ndugu zake wa karibu, na kulala nao lingekuwa ni uovu.
Голотата на жена и на дъщеря й да не откриеш, нито да вземеш дъщерята на сина й, или дъщеря на дъщеря й, за да откриеш голотата й; те са нейни близки роднини; това е нечестие.
18 Usimwoe dada ya mke wako kuwa mke wako wa pili na kulala naye wakati bado mke wako wa kwanza angali hai.
И да не вземаш жена заедно със сестра й докато е жива другата, за да откриеш голотата й, та да й стане съперница.
19 Usilale na mwanamke wakati wake wa hedhi.
При жена, когато е разлъчена, поради нечистотата си, да не приближиш да откриеш голотата й.
20 Yeye ni najisi kwa wakati huo. Usilale na mke wa jilani yako na kujichafua mwenyewe kwake katika njia hii.
И с жената на ближния си да се не съвъкупиш та да се оскверниш с нея.
21 Msiwatoe watoto wenu ili kuwapitisha kwenye moto, ili kwamba muwatoe sadaka kwa Moleki, kwa sababu msije mkalinajisi jina la Mungu wenu. Mimi ndimi Yahweh.
Никак да не посветиш от семето си на Молоха; нито да оскверниш името на своя Бог. Аз съм Иеова.
22 Usilale na mwanaume mwingine kama ulalavyo na mwanamke. Jambo hili lingekuwa uovu.
С мъжко да не легнеш като с женско; това е гнусота.
23 Usilale na myama yeyote na kujitia unajisi kwake. Haimpasi mwanamke kufikiria kulala na mnyama ye yote. Huo ungekuwa upotovu.
И с никое животно да се не съвъкупиш та да се оскверниш с него, нито жена да застане пред животно, за да се съвъкупи с него; това е мърсота.
24 Msijichafue wenyewe katika njia hizi, kwa kuwa katika njia hizi mataifa yamechafuliwa, mataifa ambayo Nitayafukuza yatoke kwa ajili yenu.
Не се осквернявай ни с едно от тия неща, защото с всички тия се оскверниха народите, които Аз изпъдих отпред вас.
25 Ni kwa sababu nchi imenajisiwa, hivyo niliiadhibu dhambi yao, nayo nchi ikawatapika wakazi wake
Оскверни се и земята; за това въздавам върху нея беззаконието й, и земята избълва жителите си.
26 Kwa hiyo, yawapasa kuzishika amri zangu na maagiza yangu, na msifanye aina yoyote ya mambo haya ya machukizo, wala Mwisraeli mzaliwa au Mgeni aishie miongoni mwenu.
Вие, прочее, пазете повеленията Ми и съдбите Ми, и не правете ни една от тия гнусоти, ни туземец, ни зеселен между вас пришелец,
27 Kwa kuwa ni uovu huu ambao watu wametenda, wale ambao waliishi hapa kabla yenu, na sasa nchi imenajisiwa.
(защото всички тия гнусоти вършеха човеците, които са били преди вас на тая земя, та се оскверни земята)
28 Kwa hiyo, muwe waangalifu ili kwamba nchi isiwatapike nyinyi baada ya kuwa mmeinajisi, kama ilivyowatapika wale watu waliokuwako kabla yenu.
за да не избълва и вас земята, когато я осквернявате, както избълва населението, което беше преди вас.
29 Yeyote anayefanya mambo haya ya kuchukiza, watu wafanyao mambo hayo ya kuchukiza lazima watakatiliwa mbali kutoka miongoni mwa watu wao.
Защото, всеки който върши коя да е от тия гнусоти, - човеците, които ги вършат, ще се изтребят изсред людете си.
30 Kw a hiyo inawapasa kuzishika amri zangu na sitende mojawapo ya desturi hizi zenyekuchukiza ambazo zilitendwa hapo kabla yenu, ili msijinajisi wenyewe kwa hizo. Mimi ndimi Yahweh Mungu wenu.
И тъй, пазете заръчванията Ми, и не вършете никой от тия гнусни обичаи, които са се вършили преди вас, та да се не оскверните в тях. Аз съм Иеова вашият Бог.

< Mambo ya Walawi 18 >