< Mwanzo 44 >

1 Yusufu akamwamru msimamizi wa nyumba yake, akisema, “Jaza magunia ya watu hawa kwa chakula, kiasi wawezacho kubeba, na uweke pesa ya kila mtu katika mdomo wa gunia lake.
После заповяда на домакина си, казвайки: Напълни чувалите на човеците с храна, колкото могат да поберат, тури парите на всекиго в чувала му
2 Uweke kikombe changu, cha fedha, katika mdomo wa gunia la mdogo, na pesa yake ya chakula pia.” Msimamizi akafanya kama Yusufu alivyosema.
и тури чашата ми, сребърната чаша, отгоре в чувала на най-младия, с парите за житото му. И той стори според това, което рече Иосиф.
3 Kukapambazuka asubuhi, na wale watu wakaruhusiwa kuondoka, wao na punda zao.
На утринта, щом съмна, изпратиха човеците и ослите им.
4 Walipokuwa wametoka mjini lakini hawajafika mbali, Yusufu akamwambia msimamizi wa nyumba yake, “Inuka, uwafuatie wale watu, na utakapowapata, wambie, 'Kwa nini mmelipa uovu badala ya mema?
А когато бяха излезли из града и не бяха се отдалечили много, Иосиф рече на домакина си: Стани, тичай след човеците и, като ги стигнеш, кажи им: Защо върнахте зло за добро?
5 Je hiki siyo kikombe ambacho bwana wangu hukinywea, na kikombe akitumiacho kwa uaguzi? Mmefanya vibaya, kwa jambo hili mlilolifanya.”
Не е ли тая чашата с която пие господарят ми, и с която даже гадае? Зле постъпихте като сторихте това.
6 Msimamizi wa nyumba akawapata na kuwambia maneno haya.
И човекът, като ги настигна, каза им тия думи.
7 Wakasema, “Kwa nini bwana wetu anasema maneno kama haya? Na iwe mbali na watumishi wako kwamba wanaweza kufanya jambo hili.
А те му рекоха: Защо говори господарят ни такива думи? Не дай, Боже, слугите ти да сторят такова нещо.
8 Tazama, pesa tulizozikuta katika midomo ya magunia yetu, tulizileta kwako kutoka katika nchi ya Kanaani. Ni kwa jinsi gani basi tunaweza kuiba katika nyumba ya bwana wako fedha au dhahabu?
Ето, ние ти върнахме от Ханаанската земя, парите които намерихме отгоре в чувалите си; и как бихме откраднали сребро или злато из дома на господаря ти?
9 Yeyote kitakayeonekana kwake miongoni mwa watumishi wako, atakufa, nasi sote tutakuwa watumwa wa bwana wangu.”
Този от слугите ти, у когото се намери, нека умре, тоже и ние нека бъдем роби на господаря си.
10 Msimamizi akasema, “Basi na iwe kwa kadili ya maneno yenu. Yeye ambaye kikombe kitaonekana kwake atakuwa mtumwa wangu, nanyi wengine mtakuwa bila hatia.”
А той рече: Нека бъде според както казахте: У когото се намери, той ще ми бъде роб, а вие не ще бъдете виновни.
11 Kisha kila mtu akaharakisha na kulishusha gunia lake chini. na kila mtu akalifungua gunia lake.
Тогава те бързо снеха чувалите си на земята, и всеки отвори чувала си.
12 Msimamizi akatafuta. akaanza na mkubwa wa wote na kumaliza kwa mdogo wa wote, na kikombe kikaonekana katika gunia la Benjamini.
И той претърси, като почна от най-стария и свърши с най-младия; и чашата се намери във Вениаминовия чувал.
13 Wakararua mavazi yao. Kila mtu akapakia juu ya punda wake nao wakarudi mjini.
Тогава раздраха дрехите си, натовариха всеки осела си, и се върнаха в града.
14 Yuda na ndugu zake wakaja katika nyumba ya Yusufu. Bado alikuwepo pale, nao wakainama mbele zake hata chini.
И дойдоха Юда и братята му в дома на Иосифа, гдето той още се намираше, и паднаха пред него на земята.
15 Yusufu akawambia, “Je ni nini hili mlilolifanya? Je hamjui kwamba mtu kama mimi anafanya uaguzi.
И рече им Иосиф: Какво е това що сторихте? Не знаете ли, че човек, като мене, може да гадае безпогрешно?
16 Yuda akasema, “Je tunaweza kumwambia nini bwana wangu? Tuseme nini? au ni jinsi gani twaweza kujithibitisha wenyewe? Mungu ameona uovu wa watumishi wako. Tazama, sisi ni watumwa wa bwana wangu, wote sisi na yule ambaye kikombe kimeonekana mkononi mwake.”
Тогава Юда каза: Що да речем на господаря си? що да говорим? или как да се оправдаем? Бог откри неправдата на слугите ти; ето, роби сме на господаря си, и ние и оня у когото се намери чашата.
17 Yusufu akasema, “Na iwe mbali nami kwamba naweza kufanya hivyo. Mtu ambaye kikombe kimeonekana mkononi mwake, huyu ndiye atakuwa mtumwa wangu, lakini ninyi wengine, nendeni kwa amani kwa baba yenu.”
Но Иосиф рече: Не дай, Боже, да сторя това: Оня, у когото се намери чашата, той ще ми бъде роб; а вие си идете с мир при баща си.
18 Ndipo Yuda alipomkaribia na kusema, “Bwana wangu, tafadhari mwache mtumishi wako aseme neno katika masikio ya bwana wangu, na usiziache hasira zako kuwaka dhidi ya mtumishi wako, kwani wewe ni kama Farao.
Тогава Юда се приближи до него и рече: Моля ти се, господарю мой, позволи на слугата си да каже една дума на господаря си, като слушаш ти; и да не пламне гневът ти против слугата ти, защото ти си като Фараон.
19 Bwana wangu aliwauliza watumishi wake, kusema, Je mnaye baba au ndugu?'
Господарят ми попита слугите си, казвайки: Имате ли баща или брат?
20 Nasi tukamwambia bwana wangu, 'Tunaye baba, ni mzee, na mwana wa uzee wake, ni mdogo. Na ndugu yake alishakufa, na yeye peke yake ndiye amebaki kwa mama yake, na baba yake anampenda.'
И рекохме на господаря ми: Имаме стар баща и малко дете на старостта му, и неговият брат умря, тъй че само той остана от майка си, и баща му го обича.
21 Nawe ukawambia matumishi wako, 'Mleteni ili nimwone.'
И ти рече на слугите си: Доведете ми го, за да го видя с очите си.
22 Nasi tukamwambia bwana wangu, 'Kijana hawezi kumwacha babaye. Kwani akimwacha babaye baba yake angekufa.'
И ние казахме на господаря ми: Детето не може да остави баща си, защото, ако остави баща си, той ще умре.
23 Na ukawambia watumishi wako, 'Mdogo wenu asipokuja pamoja nanyi, hamtauona uso wangu tena.'
А ти рече на слугите си: Ако не слезе с вас най-малкият ви брат, няма вече да видите лицето ми.
24 Na ikawa tulipokwenda kwa mtumishi wako baba yangu, tulimwambia maneno ya bwana wangu.
И като отидохме при слугата ти, баща ни, разказахме му това, което беше казал моят господар.
25 Na baba yetu akasema, Nendeni tena, mkatununulie chakula.'
А когато баща ни рече: Идете пак, купете ни малко храна,
26 Nasi tukasema, “Hatuwezi kushuka. Ikiwa mdogo wetu atakuwa nasi, ndipo tutakaposhuka, kwani hatuwezi kuuona uso wa mtu yule mdogo wetu asipokuwa pamoja nasi.'
ние казахме: Не можем да слезем. Ако най-младият ни брат е с нас, тогава ще слезем, защото не можем да видим лицето на човека, ако най-младият ни брат не е с нас.
27 Mtumishi wako baba yetu akatwambia, 'Mnajua kwamba mke wangu alinizalia wana wawili.
И слугата ти, баща ни, ни каза: Вие знаете, че жена ми ми роди два сина:
28 Na mmoja akatoka kwangu nami nikasema, “Bila shaka ameraruliwa vipande, na tangu hapo sijamwona.”
Единият излезе от мене и си рекох: Навярно звяр го е разкъсал; и до сега не съм го видял;
29 Nanyi mkimchukua huyu naye kutoka kwangu mabaya yanaweza kumpata, mtashusha mvi zangu kwa kaburini kwa huzuni. (Sheol h7585)
и ако ми отнемете и тоя, и му се случи нещастие, ще свалите бялата ми коса със скръб в гроба. (Sheol h7585)
30 Kwa hiyo, basi, nitapokuja kwa mtumishi wako baba yangu, na kijana hayupo nasi, kwa kuwa uhai wake umefungamanishwa katika uhai wa kijana,
И сега, когато отидем при слугата ти, баща ни, и детето не е с нас, то, понеже животът му е свързан с неговия живот,
31 itakuwa, atakapoona kwamba kijana hayupo nasi atakufa. Na watumishi wako watazishusha mvi za mtumishi wako baba yetu kaburini kwa masikitiko. (Sheol h7585)
като види, че няма детето, ще умре; и слугите ти ще свалят бялата коса на слугата ти, баща ни, със скръб в гроба. (Sheol h7585)
32 Kwani mtumishi wako alikuwa mdhamini wa kijana kwa baba yangu na alisema, 'Ikiwa sitamleta kwako, ndipo nitakapokuwa mwenye hatia kwa baba yangu daima.”
Защото слугата ти стана поръчител пред баща си за детето, като казах: Ако не ти го доведа, тогава ще бъда за винаги виновен пред баща си.
33 Kwa hiyo sasa, tafadhari mwache mtumishi wake akae kama mtumwa kwa bwana wangu badala ya kijana, na umwache kijana aende na ndugu zake.
Сега, прочее, моля ти се, вместо детето нека остане слугата ти роб на господаря ми, а детето нека отиде с братята си.
34 Kwa maana nitakwenda jinsi gani kwa baba yangu ikiwa kijana hayupo nami? Ninaogopa kuona mabaya yatakayompata baba yangu.”
Защото, как да отида аз при баща си, ако детето не е с мене? Да не би да видя злото, което ще сполети баща ми.

< Mwanzo 44 >