< Mambo ya Walawi 1 >

1 Mungu alimwita Musa na alisema naye kutoka kweye hema la kukutania, akasema,
И Господ повика Моисея, и като му говореше от шатъра за срещане каза:
2 “Sema na wana wa Israeli na uwaambie, 'Mwanaume yeyote miongoni mwenu akileta sadaka kwa Bwana, aleta kama matoleo katika wanyama wako, iwapo mifugo au katika kundi.”
Говори на израилтяните, казвайки им: Когато някой от вас принесе принос Господу, от добитъка нека принесе, от чердата или от стадата.
3 Kama matoleo yake ni ya sadaka ya kutekezwa kutoka katika kundi, atatoa dume asiyekuwa na kasoro. Atamtoa katika mlango wa kuingilia katika hema ya kukutania, ili iwe imekubaliwa mbele za Bwana.
Ако приносът му за всеизгаряне е от чердата, нека принесе мъжко без недостатък; да го принесе над входа на шатъра за срещане, за да бъде прието от Господа.
4 Ataweka mikono yake kichwani pa sadaka ya kuteketezwa, na ndipo itakuwa imekubaliwa badala yake kufanya upatanisho kwa ajili yake mwenyewe.
Да положи ръката си на главата на животното за всеизгаряне, и ще бъде прието за него, за да извърши умилостивение за него.
5 Ndipo atapaswa kuchinja ng'ombe mbele ya Bwana. Watoto wa Aroni, makuhani wataleta damu na kuinyunyizia katika madhabahu iliyo katika mlango wa kuingilia katika hema la kukutania.
После да заколи телето пред Господа, и свещениците, Аароновите синове, да принесат кръвта и да поръсят с кръвта наоколо върху олтара, който е пред входа на шатъра за срещане.
6 Ndipo ataichuna sadaka ya kuteketezwa na kuikata vipande.
И да одере животното за всеизгаряне и да го насече на късове.
7 Kisha wana wa Haruni kuhani wataweka moto katika madhabahu na kuweka kuni ili kuchochea moto.
А синовете на свещеника Аарона да турят огън на олтара и да наредят дърва на огъня.
8 Wana wa Haruni, makuhani wataweka vipande, kichwa na mafuta, watazipanga juu ya kuni zilizoko juu ya moto ulio madhabahuni.
И свещениците, Аароновите синове, да сложат тия късове, главата и тлъстината, на дървата, които са върху огъня на олтара;
9 Lakini matumbo yake na miguu lazima ataiosha kwa maji. Kisha kuhani atateketeza kila kitu kilicho juu ya madhabahu kama sadaka ya kuteketeza. Italeta harufu nzuri sana kwangu; itakuwa sadaka iliyotolewa kwa moto kwa ajili yangu.
а вътрешностите му и нозете му да измие с вода, и свещеникът да изгори всичките на олтара, като всеизгаряне, жертва чрез огън, благоуханна Господу.
10 Kama sadaka kwa ajili ya sadaka ya kuteketeza kutoka kundi, kondoo au mbuzi, lazima atoe dume asiye na kasoro.
Ако пък приносът му за всеизгаряне е от стадата, от овците или от козите, нека принесе мъжко без недостатък.
11 Lazima atamchinja juu ya madhabahu iliyo katika upande wa kaskazini mbele ya Bwana. Wana wa Haruni makuhani, watanyunyiza damu kila upande wa madhabahu.
Да го заколи пред Господа на северната страна на олтара; а свещениците, Аароновите синове, да поръсят олтара наоколо с кръвта му.
12 Kisha ataikata katika vipande, pamoja na kichwa na mafuta yake, kuhani atavipanga juu ya kuni zilizo katika moto ulio madhabahuni,
И да го насече на късове, с главата му и тлъстините му; а свещеникът да ги нареди на дървата които са върху огъня на олтара.
13 lakini matumbo yake na miguu yake lazima ioshwe kwa maji. Kisha kuhani atatoa yote na kuiteketeza juu ya madhabahu. Ni sadaka ya kuteketezwa, italeta harufu nzuri kwa ajili ya Bwana; itakuwa sadaka ya Bwana iliyotolewa kwa moto.
А вътрешностите и нозете да измие с вода; и свещеникът да принесе всички тия и да го изгори на олтара; това е всеизгаряне, жертва чрез огън, благоуханна Господу.
14 Kama sadaka yake kwa Bwana itakuwa ni sadaka ya kuteketezwa ni ndege, ndipo ataleta kama sadaka yake aidha ni huwa au kinda la njiwa.
Но ако приносът му за всеизгаряне Господу е от птиците, тогава да принесе от гургулиците или от гълъбчетата.
15 Kuhani ataileta madhabahuni, atamnyonga kichwa chake, na kuiteketeza juu ya madhabahu. Kisha damu yake itachuruzishwa juu ya pande za madhabahu.
Свещеникът да го донесе при олтара и, като откъсне главата му, да го изгори на олтара; а кръвта му да изцеди до страната на олтара,
16 Kisha atakiondoa kibofu chake pamoja na uchafu wake, na kukiweka upande wa mashariki mwa madhabahu, katika sehemu ya majivu.
Да изтръгне гушата му с изверженията му и да ги хвърли на източната страна на олтара, към мястото за пепелта.
17 Kisha atapasua mabawa yake, lakini hatagawanya katika vipande viwili. Kisha Kuhani atamtekeza katika madhabahu, juu ya kuni amabazo ziko juu ya moto. Itakuwa sadaka ya kuteketezwa, na italeta harufu nzuri sana kwa Bwana; itakuwa sadaka ya Bwana iliyotolewa kwa moto.
И да го разчекне между крилата, но без да го разделя на две; и свещеникът да го изгори на огъня на олтара; това е всеизгаряне, жертва чрез огън, благоуханна Господу.

< Mambo ya Walawi 1 >