< Yoshua 15 >

1 Ugawanaji wa nchi kwa kabila la watu wa Yuda, walipewa kwa kufuatana na koo zao, kutoka upande wa kusini hadi mpaka wa Edomu, pamoja na nyika ya Sini iliyokuwa mbali sana kuelekea kusini.
А на племето на Юдейците, според семействата им, се падна по жребие земята до едомската граница; пустинята Цин на юг беше южният й край.
2 Mpaka wao wa upande wa kusini ulianzia mwisho wa Bahari ya Chumvi, kutoka ghuba iliyokabili upande wa kusini.
И южната им граница беше от най-далечния край на Соленото море, от залива, който се простира към юг;
3 Mpaka wao mwingine ulielekea upande wa kusini wa mlima wa Akrabimu na kupita kuelekea Sini, na kupanda upande wa Kadeshi Barnea, karibu na Hezroni, hadi Addari mahali ambapo ulipinda kuelekea Karika.
и простираше се към юг до нагорнището на Акравим, преминаваше в Цин, възлизаше на юг от Кадис-варни, и минаваше край Есрон, възлизаше в Адар, завиваше към Карка,
4 Ulipita katika Azimoni, kuelekea kijito cha Misri, na mwisho ulikuwa katika bahari. Huu ulikuwa ni mpaka wa kusini.
минаваше в Асмон, и излизаше при египетския поток; и границата свършваше при морето. Това ще ви бъде южна граница.
5 Mpaka wa mashariki ulikuwa ni Bahari ya Chumvi, katika mdomo wa Yordani. Mpaka wa upande wa kasikazini ulianzia katika ghuba ya bahari katika mdomo wa Yordani.
А южната граница беше Соленото море до устието на Иордан. И границата на северната част почваше от залива на морето при устието на Иордан;
6 Ulielekea mpaka Bethi Hogla na ulipita kaskazini mwa Bethi Araba. Kisha ulipanda hata JIwe la Bohani mwana wa Rubeni.
и границата възлизаше до Ветагла и минаваше на север от Ветарава; и границата възлизаше до камъка на Воана Рувимовия потомък;
7 Basi mpaka ule ulienda hadi Debiri kutoka katika bonde la Akori, kuelekea upande wa kasikazini, kuendelea hadi Giligali, ambayo iko mkabala na mlima Adumimu, iliyo upande wa kusini wa bonde. Kisha mpaka uliendelea hata katika chemichemi za Eni Shemeshi na kufika Eni Rogeli.
и от долината Ахор границата възлизаше към Девир и завиваше на север към Галгал срещу нагорнището на Адумим, който е на южната страна на потока; после границата преминаваше към водата на Енсемес и свършваше до извора Рогил;
8 kisha mpaka ulishuka hadi bonde la Beni Hinomu kuelekea upande wa kusini wa mji wa Wayebusi ( ambao ni Yerusalemu). Kisha ulipanda hata katika mlima ulio juu ya bonde la Hinomu, katika upande wa magharibi, ulio mwishoni mwa bonde la Refaimu katika upande wa kasikazini.
и границата възлизаше през долината на Еномовия син, на южната страна на Евус (това е Ерусалим); и границата се възкачваше на върха на хълма, който е на запад срещу еномската долина, който е в северния край на долината на рефаимите;
9 Kisha mpaka ulitanuka kutoka katika kilele cha milima hata chemichemi ya Nefutoa, na ulipanda kutoka hapo kuelekea miji ya Mlima Efroni. Kisha mpaka ulipiga kona kuelekea Baala ( ambao ndio Kiriathi Yearimu).
и от върха на хълма границата минаваше до извора на водата Нефтоя и излизаше в градовете на ефронската гора; и границата се отправяше към Ваала (която е Кириат-иарим);
10 Baadaye mpaka ulizunguka kuelekea magharibi mwa Baala kukabili Mlima Seiri, na kupita kufuata upande wa Mlima wa Yearimu katika upande wa kasikazini (ambao ndio Kesaloni), ulienda chini hadi Bethi Shemeshi na kuvuka hata ng'ambo ya Timna.
и от Ваала границата завиваше западно към сиирската гора, и минаваше край северната страна на гората Ярим (който е Хасалон), и слизаше у Ветсемес, и минаваше през Тамна;
11 Mpaka uliendelea karibu na mlima wa kasikazini mwa mlima wa Ekroni, na kisha ukakata kona kuzunguka Shikeroni na kupita kuelekea sambasamba na Mlima Baala, kutoka hapo uliendelea hadi Yabneeli. Mpaka ule ulikomea katika bahari.
после границата излизаше към северната страна на Акарон; и границата се отправяше до Сикрон, и минаваше в гората Ваала, и свършваше при морето.
12 Mpaka wa magharibi ulikuwa Bahari Kuu na katika ukanda wa pwani yake. Huu ndio mpaka uliozunguka kabila la Yuda, ukoo kwa ukoo.
А западната граница беше край голямото море и пределите му. Тия бяха границите околовръст, на юдейците според семействата им.
13 Katika kulitunza agizo la Yahweh kwa Yoshua, Yoshua alimpa Kalebu mwana wa Yefune mgao wa nchi ya. miongoni mwa kabila la Yuda, alimgawia nchi Kiriathi Arba, ambayo ndio Hebroni (Arba alikuwa ni baba wa Anaki).
И според заповяданото от Господа на Исуса, той даде на Халева Ефониевия син за дял между юдейците града на Арва, Енаковия баща, който град е Хеврон.
14 Kalebu aliwafukuzia mbali wana watatu wa Anaki: Sheshai, Ahimani na Talmai, wazawa wa Anaki.
И Халева изпъди от там тримата Енакови сина: Сесая, Ахимана и Талмая, Енакови чада.
15 Alipanda kutoka pale kinyume cha wenyeji wa Debiri (Debiri hapo mwanzo iliitwa Kiriathi Seferi).
И от там отиде против жителите на Девир (а името на Девир по-напред беше Кириат-сефер).
16 Kalebu akasema, “Mtu atakayeishambulia Kiriathi Seferi na kuiteka, nitampa binti yangau, Akisa, awe mke wake.
И рече Халев: Който порази Кириат-сефер и го превземе нему ще дам дъщеря си Ахса за жена.
17 Wakati huo Othinieli mwana wa Kenazi, kaka yake na Kalebu, aliuteka mji, na Kalebu alimpatia Akisa, binti yake awe mke wake.
И превзе го Готониил син на Кенеза, Халевовия брат; и той му даде дъщеря си Ахса за жена.
18 Mara baada ya hayo, Akisa alienda kwa Othinieli na alimsihi amwombe baba yake shamba. Na mara aliposhuka kutoka katika punda wake, Kalebu alimwambia Akisa, “Unataka nini?”
И като отиваше тя му внуши щото да поиска от баща й нива; и тъй, като слезе от осела, Халев й рече: Що ти е?
19 Akisa akamjibu, “Nifanyie neema. Kwa kuwa umeshanipa nchi ya Negevu, nipe pia baadhi ya chemichemi za maji.” Na Kalebu alimpa chemichemi ya juu na chemichemi ya chini.
А тя каза: Дай ми благословение: понеже си ми дал южна страна, дай ми и водни извори. И той и даде горните извори и долните извори.
20 Huu ulikuwa ndio urithi wa kabila la Yuda, waliopewa kufuatana na koo zao.
Това е наследството на племето на юдейците според семействата им.
21 Miji iliyo mali ya kabila la Yuda katika upande wa kusini, kuelekea mpaka wa Edomu, ilikuwa ni Kabzeeli, Eda, Yaguri,
А най-крайните градове в племето на юдейците към едомските граници на юг бяха: Кавсеил, Едар, Ягур,
22 Kina, Dimona, Adada,
Кина, Димона, Адада,
23 Kadeshi, Hazor, Ithinani,
Кадес, Асор, Итнан,
24 Zifu, Telemu, Bealothi.
Зиф, Телем, Ваалот,
25 Hazori Hadata, Keriothi Hezroni (mji huu ulijulikana kama Hazori),
Асор-адата, Кириот, Есрон (който е Асор),
26 Amamu, shema, Molada,
Амам, Сема, Молада,
27 Hazari Gada, Heshimoni, Bethi Peleti,
Асаргад, Есемон, Ветфалет,
28 Hazari Shuali, Beerisheba, Biziothia.
Асар-суал, Вирсавее, Визиотия,
29 Baala, Limu, Ezemu,
Ваала, Иим, Асем,
30 Eltoladi, Kesili, Horma,
Елтолад, Хесил, Хорма,
31 Ziklagi, Madimana, Sansana,
Сиклаг, Мадмана, Сансана,
32 Lebaothi, Shilihimu, Aini, na Rimoni. Miji hii ilikuwa ishirini na tisa kwa ujumla, kujumlisha na vijiji vyake.
Леваот, Силеим, Аин и Римон; всичките градове със селата си бяха двадесет и девет.
33 Katika nchi iliyo chini ya mlima upande wa magharibi, kulikuwa na miji ya Eshtaoli, Zora, Ashina,
В равнината бяха: Естаол, Сараа, Асна,
34 Zanaoa, Eni Ganimu, Tapua, Enamu,
Заноа, Енганим, Тапфуа, Инам,
35 Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka,
Ярмут, Одолам, Сохо, Азика,
36 Shaaraimu, Adithaimu, na Gedera ( ambayo ndio Gederothaimu). Hesabu ya miji hii ilikuwa ni kumi na nne, pamoja na vijiji vyao.
Сагарим, Адитаим, Гедира и Гедиротаим; четиринадесет града със селата им;
37 Zena, Hadasha, Migidagadi,
Сенан, Адаса, Мигдалгад,
38 Dileani, Mizipa, Yokitheeli,
Далаан Масфа, Иоктеил,
39 Lakishi, Bozikathi, Egloni.
Лахис, Васкат, Еглон,
40 Kaboni, Lahmamu, Kitilishi,
Хавон, Лахмас, Хитлис,
41 Gederothi, Bethi Dagoni, Naama, Makeda. Hesabu ya miji hii ilikuwa kumi na sita, kujumlisha na vijiji vyao.
Гедирот, Вет-дагон, Наама и Макида; шестнадесет града със селата им;
42 Libna, Etheri, Ashani,
Ливна, Етер, Асан,
43 Ifuta, Ashina, Nezibu,
Ефта, Асена, Несив,
44 Keila, Akizibu, na Maresha. Hii ilikuwa ni miji tisa, kujumlisha na vijiji vyao.
Кеила, Ахзив и Мариса; девет града със селата им;
45 Ekroni, pamoja na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka;
Акарон и заселищата му със селата му;
46 kutoka Ekroni kuelekea Bahari Kuu, makazi yote ambayo yalikuwa karibu na Ashidodi, pamoja na vijiji vyake.
От Акарон до морето всичките градове, които са близо пре Азот, със селата им;
47 Ashidodi, na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka; Gaza na miji na vijiji vyake vinavyoizunguka; hata kufika kijito cha Misri, na kuelekea Bahari Kuu pamoja na ukanda wake wa pwani.
Азот и заселищата му със селата му, Газа и заселищата му със селата му, до египетския поток и голямото море с пределите му.
48 Katika nchi ya milima, kuna miji ya Shamiri, Yatiri, Soko,
А в хълмистите места: Самир, Ятир, Сохо,
49 Dana, Kiriathi Sana (ambayo ndio Debiri),
Дана, Кириат-сана (който е Девир),
50 Anabu, Eshitemo, Animu,
Анав, Естемо, Аним,
51 Gosheni, Holoni, na Gilo. Hii ilikuwa ni miji kumi na moja, kujumuisha na vijiji vyake.
Гесен, Олон и Гило; единадесет града със селата им;
52 Arabu, Duma, Ehani,
Арав, Дума, Есан,
53 Yanimu, Bethi Tapua, Afeka,
Янум, Вет-тапфуа, Афека,
54 Humta, Kiriathi Arba (ambayo ndio Hebroni), na Ziori. Hii ilikuwa miji tisa, pamoja na vijiji vyake.
Хумата, Кириат-арва (който е Хеврон) и Сиор; девет града и селата им;
55 Maoni, Karmeli, Zifu, Yuta,
Маон, Кармил, Зиф, Юта,
56 Yezreeli, Yokdeamu, Zanoa,
Езраел, Иокдеам, Заноа,
57 Kaini, Gibea, na Timna. Hii ilikuwa ni miji kumi, kujumuisha na vijiji vyake.
Акаин, Гаваа и Тамна, десет града със селата им;
58 Halhuli, Bethi Zuri, Gedori,
Алул, Ветсур, Гедор,
59 Maarathi, Bethi Anothi, na Elitekoni. Hii ilikuwa miji sita, pamoja na vijiji vyake.
Маарат, Ветанот и Елтекон, шест града със селата им;
60 Kiriathi Baali (ambayo ndio Kiriathi Yearimu), na Raba. Hii ilikuwa ni miji miwili, pamoja na vijiji vyake.
Кириат-ваал (който е Кириатиарим) и Рава, два града със селата им.
61 Katika nyika, kulikuwa na miji ya Bethi Araba, Midini, Sekaka,
В пустинята: Ветарава, Мидин, Сехаха,
62 Nibushani, mji wa chumvi, na Eni Gedi. Hii ilikuwa miji, pamoja na vijiji vyao.
Нивсан, града на солта, и Енгади, шест града със селата им,
63 Lakini kwa Wayebusi, wenyeji wa Yerusalemu, kabila la Yuda halikuweza kuwafukuza, na hivyo, Wayebusi wanaishi pamoja na kabila la Yuda hadi leo hii.
А юдейците не можеха да изгонят евусейците, които населяваха Ерусалим; но евусейците живееха в Ерусалим с юдейците, и така живеят до днес.

< Yoshua 15 >