< Yoshua 14 >

1 Maeneo haya ya nchi ambayo watu wa Israeli waliyapokea kama urithi wao katika nchi ya Kanaani. Urith huu uligawanywa kwao na Eliazeri kuhani, na Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa makabila ya mababu wa familia zao kati ya watu wa Israeli.
И ето наследствата, които израилтяните взеха в Ханаанската земя, които им разделиха свещеникът Елеазар и Исус Навиевият син, и началниците на бащините домове от племената на израилтяните.
2 Urithi wao ulichaguliwa kwa kupiga kura kwa makabila tisa na nusu, kama vile Yahweh alivyoagiza kwa mkono wa Musa.
С жребие се раздели наследството на тия девет и половина племена, според както Господ беше заповядал на Моисея.
3 Kwa kuwa Musa alikuwa amewapa urithi makabila mawili na nusu ng'ambo ya Yordani, lakini Walawi hawakupewa urithi wowote.
Защото Моисей беше дал наследството на двете и половина племена оттатък Иордан; но на левитите на деде наследство между тях.
4 Kabila la Yusufu kwa uhalisia yalikuwa makabila mawili, Manase na Efraimu. Na hakuna sehemu yoyote ya urithi waliyopewa Walawi katika nchi, lakini walipewa miji ya kuishi ndani yake pamoja na sehemu ya malisho ya mifugo yao na kwa ajili ya riziki zao.
Защото Иосифовите потомци бяха две племена: Манасиевото и Ефремовото; но на левитите не даде дял в тая земя, а само градове за живеене, с пасбищата за добитъка им и за стоката им.
5 Watu wa Israeli walifanya hivyo kama vile Yahweh alivyomwagiza Musa, basi waliiganywa nchi.
Според както бе заповядал Господ на Моисея, така сториха израилтяните, като разделиха земята.
6 Kisha kabila la Yuda lilikuja kwa Yoshua huko Giligali. Kalebu mwana wa Yefune Mkenizi, akamwambia,”Unajua kile Yahweh alichomwambia Musa mtu wa Mungu juu yako na mimi huko Barnea.
В това време, като се приближиха юдейците при Исуса в Галгал, Халев, сина на Ефония Кенезов, му каза: Ти знаеш какво е говорил Господ на Божия човек Моисей за мене и за тебе в Кадис-варни.
7 Nilikuwa na umri wa miaka arobani wakati Musa mtumishi wa Yahweh aliponituma kutoka Kadeshi Barnea kuipeleleza nchi. Nilimletea taarifa tena kama nilivyotakiwa kufanya katika moyo wangu.
Аз бях на четиридесет години, когато Господният слуга Моисей ме прати от Кадис-варни, за да разгледам земята; и донесох му известие според както ми беше на сърце.
8 Lakini ndugu zangu walioenda pamoja nami waliifanya mioyo ya watu iyeyuke kwa woga. Lakini mimi nilimfuata Yahweh kabisa.
Братята ми, обаче, които отидоха с мене, обезсърчиха людете; но аз последвах напълно Господа моя Бог.
9 Musa aliapa katika siku hiyo akisema, “Hakika nchi ambayo miguu yako imetembea juu yake itakuwa urithi wako na kwa watoto wako milele, kwasababu umemfuata kabisa Yahweh Mungu wangu.
За това, в същия ден Моисей се закле, казвайки: Земята, на която са стъпили нозете ти, непременно ще бъде наследство на тебе и на потомците ти за винаги, защото ти напълно последва Господа моя Бог.
10 Tazama! sasa, Yahweh amenihifadhi hai kwa miaka hii arobaini na tano, kama alivyosema - tangu kipindi kile Yahweh alivyomwambia Musa neno hili, wakati huo Waisraeli walikuwa wakitembea jangwani. Tazama! sasa katika siku hii ya leo nina miaka themanini na mitano.
И сега, ето, Господ ме е опазил жив, както каза, тия четиридесет и пет години, от времето когато Господ говори това на Моисея, когато Израил ходеше по пустинята; и сега, ето, днес аз съм на осемдесет и пет години.
11 Bado hata siku hii ya leo nina nguvu kama nilivyokuwa katika siku ile ambayo Musa alinituma. Nguvu zangu za sasa ni sawa na nguvu zangu za kipindi kile, kwa ajili ya vita na kwa kwenda na kwa kuja.
Днес аз съм тъй силен, както в деня, когато ме прати Моисей; както беше тогава силата ми, така е и сега силата ми да воювам и да излизам и да влизам.
12 Sasa basi, nipe nchi hii ya milima, ambayo Yahweh aliniahidi katika siku hiyo. Kwa kuwa ulisikia katika siku hiyo kuwa Wanakimu walikuwa huko katika miji yenye ngome. Itakuwa kwamba Yahweh atakuwa pamoja nami na ya kwamba nitawafukuzia mbali, kama vile Yahweh alivyosema.”
Сега, прочее, дай ми тая поляна, за която Господ говори в оня ден; защото ти чу в оня ден, че имало там енакими и големи укрепени градове; та дано бъде Господ с мене, и аз ще ги изгоня, според както Господ каза.
13 Kisha Yoshua alimbariki Kalebu mwana wa Yefune na alimpa Hebroni kama urithi wake.
Тогава Исус го благослови; и даде Хеврон за наследство на Халева, Ефониевия син.
14 Hivyo Hebroni ikawa urithi wa Kalebu mwana wa Yefune Mkenizi hata leo, kwasababu alimfuata kabisa Yahweh, Mungu wa Israeli.
За това Хеврон стана притежание на Халева, син на Ефония Кенезов, както е и до днес, защото той последва напълно Господа Израилевия Бог.
15 Basi, jina la Hebroni hapo mwanzo lilikuwa ni Kiriathi Arba ( Arba ambaye alikuwa ni mtu mkuu miongoni mwa Wanakim). Kisha nchi ikawa na raha bila vita.
А изпърво името на Хеврон беше Кириат-арва; а Арва беше голям човек между енакимите. И земята утихна от война.

< Yoshua 14 >