< Yona 2 >

1 Kisha Yona akamwomba Bwana Mungu wake kutoka katika tumbo la samaki.
و یونس از شکم ماهی نزد یهوه خدای خود دعا نمود۱
2 Akasema, Nimemwita Bwana juu ya shida yangu naye akanijibu; kutoka tumbo la Kuzimu nililia kwa msaada! Uliisikia sauti yangu. (Sheol h7585)
و گفت: «در تنگی خودخداوند را خواندم و مرا مستجاب فرمود. ازشکم هاویه تضرع نمودم و آواز مرا شنیدی. (Sheol h7585)۲
3 Ulikuwa umenitupa ndani ya kina, ndani ya moyo wa bahari, na maji yaliyonizunguka; mawimbi yako yote na gharika yalipita juu yangu.
زیرا که مرا به ژرفی در دل دریاها انداختی وسیلها مرا احاطه نمود. جمیع خیزابها و موجهای تو بر من گذشت.۳
4 Nikasema, 'Nimefukuzwa mbele ya macho yako; lakini nitaangalia tena juu ya hekalu lako takatifu. '
و من گفتم از پیش چشم توانداخته شدم. لیکن هیکل قدس تو را باز خواهم دید.۴
5 Maji yalifunika kunizunguka karibu na shingo yangu; kina kilinizunguka; mwani ukakizinga kichwa changu.
آبها مرا تا به‌جان احاطه نمود و لجه دورمرا گرفت و علف دریا بسر من پیچیده شد.۵
6 Nilikwenda chini ya milima; nchi na baa zake zimefungwa juu yangu milele. Lakini wewe umeinua uhai wangu shimoni, Bwana, Mungu wangu!
به بنیان کوهها فرود رفتم و زمین به بندهای خود تا به ابد مرا در‌گرفت. اما تو‌ای یهوه خدایم حیات مرااز حفره برآوردی.۶
7 Wakati nafsi yangu ilipozimia ndani yangu, nikamwita Bwana; basi sala yangu ilikujia, katika hekalu lako takatifu.
چون جان من در اندرونم بی‌تاب شد، خداوند را بیاد آوردم و دعای من نزدتو به هیکل قدست رسید.۷
8 Wote ambao huzingatia miungu isiyofaa hukataa uaminifu wako wao wenyewe.
آنانی که اباطیل دروغ را منظور می‌دارند، احسان های خویش را ترک می‌نمایند.۸
9 Lakini mimi, nitakuchinjia kwa sauti ya shukrani; Nitayatimiza yale niliyoapa. Wokovu hutoka kwa Bwana!
اما من به آواز تشکر برای تو قربانی خواهم گذرانید، و به آنچه نذر کردم وفا خواهم نمود. نجات از آن خداوند است.»۹
10 Kisha Bwana akanena na samaki, akamtapika Yona juu ya nchi kavu.
پس خداوند ماهی را امر فرمود و یونس را بر خشکی قی کرد.۱۰

< Yona 2 >