< Habakuki 2 >

1 Nitasimama kwenye nguzo yangu ya ulinzi na kujiweka mwenyewe juu ya mnara wa mlinzi, na nitatazama kwa makini kuona yeye atasema nini kwangu na namna gani nitageuka kutoka kwenye lawama yangu.
بر دیده بانگاه خود می‌ایستم و بر برج برپامی شوم. و مراقب خواهم شد تا ببینم که اوبه من چه خواهد گفت و درباره شکایتم چه جواب خواهد داد.۱
2 Yahwe alinijibu na alisema, “Rekodi maono haya, na uandike dhahiri juu ya kibao ili kwamba anayesoma anaweza kukimbia.
پس خداوند مرا جواب دادو گفت: رویا را بنویس و آن را بر لوحها چنان نقش نما که دونده آن را بتواند خواند.۲
3 Sababu maono haya bado ni kwa wakati ujao na hatimaye atazungumza bila kuanguka. Ingawa inachelewa, isubiri. Sababu kwa hakika itatakuja na haitachelewa.
زیرا که رویا هنوز برای وقت معین است و به مقصدمی شتابد و دروغ نمی گوید. اگر‌چه تاخیر نمایدبرایش منتظر باش زیرا که البته خواهد آمد ودرنگ نخواهد نمود.۳
4 Tazama! yule ambae hamu yake siyo sawa ndani yake anapumua kwa nguvu. Lakini mwenye haki ataishi kwa imani.
اینک جان مرد متکبر در اوراست نمی باشد، اما مرد عادل به ایمان خودزیست خواهد نمود.۴
5 Sababu mvinyo ni msaliti wa kijana mwenye kiburi ili kwamba asistahimili, lakini hukuza tamaa yake kama kaburi na, kama kifo, haitaweza kuridhishwa. Yeye anajikusanyia kila taifa na anakusanya kwaajili yake watu wote. (Sheol h7585)
به درستی که شراب فریبنده است و مرد مغرور آرامی نمی پذیرد، که شهوت خود را مثل عالم اموات می‌افزاید وخودش مثل موت، سیر نمی شود. بلکه جمیع امت‌ها را نزد خود جمع می‌کند و تمامی قوم‌ها رابرای خویشتن فراهم می‌آورد. (Sheol h7585)۵
6 Haya yote hayatatengeneza usemi kumdhihaki na wimbo wa dhihaka unaomhusu, 'ole wake yule aongezaye visivyo vya kwake! kwa muda gani utaongeza uzito wa dhamana uliyochukua?'
پس آیا جمیع ایشان بر وی مثلی نخواهند زد و معمای طعن آمیز بر وی (نخواهند‌آورد)؟ و نخواهندگفت: وای بر کسی‌که آنچه را که از آن وی نیست می‌افزاید؟ تا به کی؟ و خویشتن را زیر بار رهنهامی نهد.۶
7 Wale wanao ngojea kwako hawatainuka ghafla? na wale wanaokutetemesha kuamka? Utakuwa mwathirika kwaajili yao.
آیا گزندگان بر تو ناگهان برنخواهندخاست و آزارندگانت بیدار نخواهند شد و تو راتاراج نخواهند نمود؟۷
8 Kwasababu umeteka nyara watu wengi, mabaki yote ya watu, yatakuteka nyara wewe. Sababu umemwaga damu nyingi za watu na umetenda kwa uasi kinyume cha nchi, miji, na wote wanaokaa ndani yake.
چونکه تو امت های بسیاری را غارت کرده‌ای، تمامی بقیه قوم‌ها تو راغارت خواهند نمود، به‌سبب خون مردمان وظلمی که بر زمین و شهر و جمیع ساکنانش نموده‌ای.۸
9 Ole kwa yule anayechonga mapato maovu kwaajili ya nyumba yake, hivyo anaweza kutengeneza kiota chake juu kumweka yeye salama mbali na mikono ya uovu.
وای بر کسی‌که برای خانه خود بدی راکسب نموده است تا آشیانه خود را بر جای بلندساخته، خویشتن را از دست بلا برهاند.۹
10 Umebuni aibu kwa nyumba yako kwa kuwakata watu wengi, na umefanya dhambi dhidi yako mwenyewe.
رسوایی را به جهت خانه خویش تدبیرکرده‌ای به اینکه قوم های بسیار را قطع نموده و برضد جان خویش گناه ورزیده‌ای.۱۰
11 Sababu jiwe litapaza sauti kutoka ukutani, na pao la mbao litawajibu,
زیراکه سنگ از دیوار فریاد برخواهد آورد و تیر از میان چوبها آن را جواب خواهد داد.۱۱
12 'Ole wake yule ajengaye mji kwa damu, na anayeimarisha mji kwa katika uovu.
وای بر کسی‌که شهری به خون بنا می‌کند و قریه‌ای به بی‌انصافی استوار می‌نماید.۱۲
13 Hii haitoki kwa Yahwe wa majeshi kwamba watu wafanye kazi kwa moto na mataifa yote mengine yanachakaa menyewe bila kitu?
آیا این از جانب یهوه صبایوت نیست که قوم‌ها برای آتش مشقت می‌کشند و طوایف برای بطالت خویشتن راخسته می‌نمایند؟۱۳
14 Bado nchi itajaa maarifa ya utukufu wa Yahwe kama maji yanavyojaza bahari.
زیرا که جهان از معرفت جلال خداوند مملو خواهد شد به نحوی که آبهادریا را مستور می‌سازد.۱۴
15 'Ole wake yule anayemfanya jirani yake alewe, wewe ambaye unaye ongeza sumu uwafanye walewe ili uweze kutazama uchi wao.
وای بر کسی‌که همسایه خود را می‌نوشاندو بر تو که زهر خویش را ریخته، او را نیز مست می‌سازی تا برهنگی او را بنگری.۱۵
16 Utavimbiwa na aibu zaidi kuliko utukufu. Kunywa hiyo vilevile, na funua uchi wako mwenyewe. Kikombe cha mkono wa kuume wa Yahwe utakuja katika kukugeukia wewe, na aibu itafunika heshima yako.
تو ازرسوایی به عوض جلال سیر خواهی شد. تو نیزبنوش و غلفه خویش را منکشف ساز. کاسه دست راست خداوند بر تو وارد خواهد آمد و قی رسوایی بر جلال تو خواهد بود.۱۶
17 Vurugu iliyofanywa kwa Lebanoni itakufunika na uharibifu wa wanyama utakuogopesha. Sababu umemwaga damu za watu na umetenda kwa uasi dhidi ya ile nchi, miji, na wote wanaokaa humo.
زیرا ظلمی که بر لبنان نمودی و هلاکت حیوانات که آنها راترسانیده بود، تو را خواهد پوشانید. به‌سبب خون مردمان و ظلمی که بر زمین و شهر و بر جمیع ساکنانش رسانیدی.۱۷
18 Sanamu iliyochongwa inakufaidia nini? Sababu yule aliyeichonga hiyo, au ambaye kaisubu kwa kuiyeyusha metali, ni mwalimu wa uongo; Sababu anaiamini kazi ya mikono yake anapotengeneza miungu hii isiyoongea.
از بت تراشیده چه فایده است که سازنده آن، آن را بتراشد یا از بت ریخته شده و معلم دروغ، که سازنده آن بر صنعت خودتوکل بنماید و بتهای گنگ را بسازد.۱۸
19 'Ole kwa yule anayeuambia ubao, Amka! Au kwa jiwe lisiloongea, Inuka!' Vitu hivi vinafundisha? Angalia, hiki juu kimefunikwa kwa dhahabu na fedha, lakini ndani yake hakipumui kabisa.
وای برکسی‌که به چوب بگوید بیدار شو و به سنگ گنگ که برخیز! آیا می‌شود که آن تعلیم دهد؟ اینک به طلا و نقره پوشیده می‌شود لکن در اندرونش مطلق روح نیست.۱۹
20 Lakini Yahwe yumo katika hekalu lake takatifu! Nchi yote iwe kimya mbele zake.
اما خداوند در هیکل قدس خویش است پس تمامی جهان به حضور وی خاموش باشد.۲۰

< Habakuki 2 >