< Yohana 15 >

1 Mimi ni mzabibu wa huu kweli, na baba yangu ni mkulima wa mzabibu.
« Je suis la vraie vigne, et mon Père est le cultivateur.
2 Kila tawi ndani yangu ambalo halizai tunda, na husafisha kila tawi ambalo huzaa tunda huliondoa ili kwamba liweze kuzaa zaidi.
Tout sarment qui est en moi et qui ne porte pas de fruit, il l'enlève. Tout sarment qui porte du fruit, il l'émonde, afin qu'il porte encore plus de fruit.
3 Ninyi tayari mmekuwa safi kwa sababu ya ujumbe ambao nimekwisha waambia.
Vous êtes déjà émondés, à cause de la parole que je vous ai dite.
4 Mkae ndani yangu, na mimi ndani yenu. Kama tawi lisivyoweza kuzaa peke yake lisipo kuwa katika mzabibu, kadhalika nayi, msipo kaa ndani yangu.
Restez en moi, et moi en vous. De même que le sarment ne peut porter du fruit de lui-même s'il ne demeure pas dans le cep, de même vous ne le pouvez pas non plus, si vous ne demeurez pas en moi.
5 Mimi ni mzabibu; ninyi ni matawi. Adumuye ndani yangu na mimi ndani yake, mtu huyu huzaa matunda mengi, kwa kuwa pasipo mimi hamuwezi kufanya jambo lolote.
Je suis la vigne. Vous êtes les sarments. Celui qui demeure en moi et en qui je demeure porte beaucoup de fruit, car hors de moi vous ne pouvez rien faire.
6 Ikiwa mtu yeyote hatasalia ndani yangu, atatupwa kama tawi na kukauka; watu hukusanya matawi na kuyatupa katika moto, na kuteketea.
Si un homme ne demeure pas en moi, il est jeté comme un sarment et il se dessèche; on le ramasse, on le jette au feu et il brûle.
7 Ikiwa mtadumu ndani yangu, na kama maneno yangu yakidumu ndani yenu, ombeni lolote mtakalo, nanyi mtafanyiwa.
Si vous demeurez en moi, et que mes paroles demeurent en vous, vous demanderez tout ce que vous voudrez, et cela vous sera accordé.
8 Katika hili baba yangu ametukuzwa, kwamba mnazaa matunda mengi na kwamba ni wanafunzi wangu.
« Mon Père est glorifié en ceci que vous portez beaucoup de fruit; c'est ainsi que vous serez mes disciples.
9 Kama baba yangu alivyonipenda mimi, mimi pia nimewapenda ninyi; dumuni katika pendo langu.
Comme le Père m'a aimé, moi aussi je vous ai aimés. Demeurez dans mon amour.
10 Ikiwa mtashika amri zangu, mtadumu katika pendo langu kama nilivyo shika amri za baba yangu na kudumu katika pendo lake.
Si vous gardez mes commandements, vous demeurerez dans mon amour, comme j'ai gardé les commandements de mon Père et que je demeure dans son amour.
11 Nimesema mambo haya kwenu ili kwamba furaha yangu iwe ndani yenu na ili kwamba furaha yenu ifanyike kuwa timilifu.
Je vous ai dit ces choses, afin que ma joie demeure en vous, et que votre joie soit parfaite.
12 Hii ndiyo amri yangu, kwamba mpendane ninyi kwa ninyi kama nilivyo wapenda ninyi.
« Voici mon commandement: aimez-vous les uns les autres, comme je vous ai aimés.
13 Hakuna mtu aliye na upendo mkuu kuliko huu, kwamba ayatoe maisha yake kwa ajiliya rafiki zake.
Il n'y a pas de plus grand amour que celui-ci: que quelqu'un donne sa vie pour ses amis.
14 Ninyi ni rafiki zangu ikiwa mtafanya yale niwaagizayo.
Vous êtes mes amis, si vous faites tout ce que je vous commande.
15 Siwaiti watumwa, kwa kuwa mtumwa hajui kile afanyacho bwana wake. Nimewaita ninyi marafiki, kwa sababu nimewajulisheni mambo yote ambayo nimesikia kutoka kwa Baba.
Je ne vous appelle plus serviteurs, car le serviteur ne sait pas ce que fait son maître. Mais je vous ai appelés amis, car tout ce que j'ai entendu de mon Père, je vous l'ai fait connaître.
16 Hamkunichagua mimi, bali mimi niliwachagua ninyi na kuwaweka mwende mazae matunda, na tunda lenu lipate kukaa. Hii liko hivi ili kwamba chochote muombacho kwa Baba kwa jina langu, atawapeni.
Ce n'est pas vous qui m'avez choisi, mais c'est moi qui vous ai choisis et établis, afin que vous alliez et que vous portiez du fruit, et que votre fruit demeure, afin que tout ce que vous demanderez au Père en mon nom, il vous le donne.
17 Mambo haya ninawaagiza, kwamba mpendane kila mtu na mwenzake.
Je vous ordonne ces choses, afin que vous vous aimiez les uns les autres.
18 Kama ulimwengu utawachukia, mjuwe kwamba ulinichukia mimi kabla haujawachukia ninyi.
Si le monde vous hait, vous savez qu'il m'a haï avant de vous haïr.
19 Kama mngekuwa wa ulimwengu, ulimwengu ungewapenda kama wa kwao; Lakini kwa sababau ninyi sio wa ulimwengu na kwa sababu niliwachagua kutoka katika ulimwengu, ni kwa ajili hii ulimwengu huwachukia.
Si vous étiez du monde, le monde aimerait les siens. Mais parce que vous n'êtes pas du monde, parce que je vous ai choisis hors du monde, c'est pourquoi le monde vous hait.
20 Kumbukeni neno ambalo niliwaambia, 'Mtumwa si mkuu kuliko bwana wake.' Ikiwa walinitesa mimi, watawateseni ninyi pia; Kama walishika neno langu, wangelishika la kwenu pia.
Souvenez-vous de la parole que je vous ai dite: « Le serviteur n'est pas plus grand que son maître ». S'ils m'ont persécuté, ils vous persécuteront aussi. S'ils ont gardé ma parole, ils garderont aussi la vôtre.
21 Watawatendeeni mambo haya yote kwa ajili ya jina langu kwa sababu hawamjui yule aliyenituma.
Mais ils vous feront toutes ces choses à cause de mon nom, parce qu'ils ne connaissent pas celui qui m'a envoyé.
22 Kama nisingekuja na kuwaambia waambia, wasingalikuwa wamefanya dhambi; lakini sasa hawana udhuru kwa dhambi yao.
Si je n'étais pas venu leur parler, ils n'auraient pas eu de péché; mais maintenant ils n'ont aucune excuse pour leur péché.
23 Anichukiaye mimi humchukia Baba pia.
Celui qui me hait, hait aussi mon Père.
24 Ikiwa sijafanya kazi miongoni mwao ambayo hapana mmoja aliyeifanya, wangelikuwa hawana dhambi; lakini sasa wamefanya yote mawili wameona na wamenichukia mimi na Baba yangu.
Si je n'avais pas fait parmi eux les œuvres que personne d'autre n'a faites, ils n'auraient pas eu de péché. Mais maintenant ils ont vu et ils ont aussi haï à la fois moi et mon Père.
25 Hili linatokea ili kwamba neno litimie ambalo limeandikwa katika sheria yao: 'Wananichukia mimi bila sababu.'
Mais cela est arrivé afin que s'accomplisse la parole qui était écrite dans leur loi: « Ils m'ont haï sans cause.
26 Wakati mfariji amekuja, ambaye nitamtuma kwenu kutoka kwa Baba, huyu ndiye, Roho wa kweli, ambaye anatokea kwa Baba, atanishuhudia.
Quand sera venu le conseiller que je vous enverrai de la part du Père, l'Esprit de vérité, qui vient du Père, il rendra témoignage de moi.
27 Ninyi pia mnanishuhudia kwa sababu mmekuwa pamoja nami tangu mwanzo.
Vous aussi, vous rendrez témoignage, parce que vous êtes avec moi depuis le commencement.

< Yohana 15 >