< Ayubu 6 >

1 Kisha Ayubu akajibu na kusema,
Отвещав же Иов, рече:
2 “Oo, laiti maumivu yangu makubwa yangepimwa; laiti misiba yangu yote mikubwa ingewekwa kwenye mizani!
аще бы кто веся извесил гнев мой, болезни же моя взял бы на мерило вкупе,
3 Kwa kuwa sasa ungekuwa mzito kuliko mchanga wa baharini. Kwa sababu hiyo maneno yangu yamekuwa ya haraka.
то песка морскаго тяжчайшии были бы: но, якоже мнится, словеса моя зла суть.
4 Kwa kuwa mishale ya Mwenyezi ipo ndani yangu, moyo wangu umelewa sumu; Vitisho vya Mungu vimejipanga vyenyewe dhidi yangu.
Стрелы бо Господни в теле моем суть, ихже ярость испивает кровь мою: егда начну глаголати, бодут мя.
5 Je punda mwitu hulia akiwa na malisho? Au ng'ombe huwa dhaifu wakati wa njaa ambapo anachakula?
Что бо? Еда вотще возревет дивий осел, разве брашна прося? Или возревет гласом вол, в яслех имеяй брашно?
6 Je inawezekana kitu kisicho na ladha kulika bila chumvi? Au kuna radha yoyote katika ute mweupe wa yai?
Снестся ли хлеб без соли? Или есть вкус во тщих словесех?
7 Nakataa kuvigusa; kwangu mimi vinafanana na chakula kichukizacho.
Не может бо утишитися душа моя: смрад бо зрю брашна моя, якоже воню львову.
8 Oo, kama nigeweza kupata haja yangu; oo, kama Mungu angeridhia jambo nilitamanilo sana:
Аще бо дал бы, да приидет прошение мое, и надежду мою дал бы Господь.
9 kama Mungu ingempendeza kuniangamiza mara moja, kwamba angeulegeza mkono wake na kuyakatilia mbali maisha yangu!
Начен Господь да уязвляет мя, до конца же да не убиет мя.
10 Hii ingeweza kuwa faraja yangu hata sasa - hata kama nafurahia sana maumivu yasiyopungua: kwa kuwa sikuyakana maneno yake Mtakatifu.
Буди же ми град гроб, на егоже стенах скаках в нем: не пощажу: не солгах бо во словесех святых Бога моего.
11 Nguvu yangu ni ipi, hata nijaribu kusubiri? Mwisho wangu ni upi, utakao refusha maisha yangu?
Кая бо крепость моя, яко терплю? Или кое ми время, яко терпит моя душа?
12 Je nguvu zangu ni nguvu za mawe? Au mwili wangu umeumbwa kwa shaba nyeusi?
Еда крепость камения крепость моя? Или плоти моя суть медяны?
13 Je si kweli kwamba sina msaada ndani yangu, na kwamba hekima imeondolewa mbali nami?
Или не уповах на него? Помощь же от мене отступи,
14 Kwa mtu ambaye yu karibu kuzirai, inapasa uaminifu uonyeshwe na rafiki zake; hata kwake yeye aachaye kumcha Mwenyezi.
отречеся от мене милость, посещение же Господне презре мя.
15 Lakini ndugu zangu wamekuwa waaminifu kwangu kama mkondo wa maji jangwani, mfano wa mifereji ya maji ipitayo mpaka pasipo kitu,
Не воззреша на мя ближнии мои: якоже поток оскудеваяй, или якоже волны преидоша мя:
16 ambayo imekuwa mieusi kwa sababu ya barafu juu yake, na kwa sababu ya theluji ambayo hujificha yenyewe ndani yake.
иже мене бояхуся, ныне нападоша на мя:
17 Wakati zikiyeyuka, hutoweka; kukiwa na joto, hutoweka mahali hapo.
якоже снег или лед смерзлый, егда истает теплоте бывшей, не ктому познавается, что бе:
18 Misafara ambayo husafiri kwa njia yao hugeuka na maji; huzurura jangwani na kisha hupotea.
тако и аз оставлен есмь от всех, погибох же и бездомок бых:
19 Misafara kutoka Tema huitazama, wakati majeshi ya Sheba huitarajia.
видите пути Феманския, на стези Савонския смотрящии,
20 Wamevunjika moyo kwa sababu walitumaini kupata maji. Wakaenda huko, lakini walidanganywa.
и студа исполнени будут на грады и на имения надеющиися.
21 Kwa sasa ninyi rafiki si kitu kwangu; mmeona hali yangu ya kutisha nanyi mwaogopa.
Ныне же и вы наидосте на мя немилостивно: убо видевше мой струп убойтеся.
22 Je nilisema kwenu, 'Nipeni kitu furani?' Au, 'nitoleeni zawadi katika mali zenu?'
Что бо? Еда что у вас просих, или вашея крепости требую,
23 Au, 'Niokoeni toka mkononi mwa mtesi wangu?' Au, 'Nitoleeni fidia kwa watesi wangu?'
да спасете мя от врагов, или из руки сильных избавите мя?
24 Nifundishe, nami nitaishika amani yangu; nifanye nifahamu wapi nilipokosea.
Научите мя, аз же умолчу: аще что погреших, скажите ми.
25 Jinsi gani maneno ya kweli yanavyo umiza! Lakini hoja zenu, jee hasa zimenionya nini mimi?
Но, якоже мнится, зла (суть) мужа истиннаго словеса, не от вас бо крепости прошу:
26 Je mnapanga kuyakemea maneno yangu, mnayachukulia maneno ya mtu mwenye kukata tamaa sawa na upepo?
ниже обличение ваше словесы мя утолит, ниже бо вещания вашего словес стерплю.
27 Hasa, mna piga kura kwa ajili ya yatima, na kupatana bei juu ya rafiki yenu kama bidhaa.
Обаче яко на сира нападаете, наскачете же на друга вашего.
28 Sasa, kwa sababu hiyo, tafadhari nitazame, kwa hakika sitasema uongo usoni penu.
Ныне же воззрев на лица ваша, не солжу.
29 Rudini, nawasihi; lisiwepo neno la uonevu na nyinyi; Hasa, rudini, sababu zangu ni za haki.
Сядите ныне, и да не будет неправедно, и паки ко праведному снидитеся.
30 Je mna uovu ulimini mwangu? Je kinywa changu hakiwezi kungundua madhara?
Ибо несть в языце моем неправды, и гортань мой не разуму ли поучается?

< Ayubu 6 >