< Esta 1 >

1 Katika siku za utawala wa Ahasuero (huyu ni Ahasuero aliyetawala toka India hadi Ethiopa, zaidi ya majimbo 127),
И бысть по словесех сих во днех Артаксеркса: сей Артаксеркс от Индии обладаше сто двадесять седмию странами (даже до Ефиопии):
2 katika siku hizo Mfalme Ahasuero aliketi katika kiti chake cha utawala katika ngome ya Shushani.
во дни же тыя, егда седе на престоле царь Артаксеркс в Сусех граде,
3 mwaka wa tatu wa utawala wake aliwaandalia sherehe viongozi na watumwa wake wote. Waliohudhuria katika sherehe hiyo walikuwa wakuu wa jeshi la Uajemi na Umedi, watu wenye vyeo, na viongozi wa majimbo.
в третие лето царства своего, сотвори пир другом и прочым языком, и Персским и Мидским славным, и началным сатрапом,
4 Mfalme akaweka wazi utajiri na utukufu wa ufalme wake na heshima ya ukufu wa ukuu alio upata kwa siku nyingi, kwa siku180.
и по сих, егда показа им богатство царства своего и славу веселия своего, во сто осмьдесят дний.
5 Siku hizi zilipotimia, Mfalme aliaandaa karamu iliyodumu kwa siku saba. Karamu hii ilikuwa kwa watu wote walioishi katika ikulu ya Shushani, tangu mkubwa hadi mdogo. Behewa la bustani ya ikulu ya mfalme ndiyo karamu ilipofanyikia.
И егда исполнишася дние пира, сотвори царь пиршество языком обретшымся во граде (Сусех) на дний шесть во дворе дому царева,
6 Behewa la bustani lilipambwa kwa mapazia meupe ya pamba na urujuani, yalifungwa kwa kamba za kitani safi na zambarau, yakiwa yametundikwa kwa pete za fedha na nguzo za marimari. Kulikuwa na makochi ya dhahabu na fedha juu ya sakafu ya marimari, mawe mekundu na meupe, na ya manjano na meusi.
украшеннем виссонными и зелеиыми завесами, простертыми на ужах виссонных и червленичных, на колцах златых и сребряных, на столпех мраморных и каменных:
7 Vinywaji viliandaliwa katika vikombe vya dhahabu. Na kila kikombe kilikuwa ni cha kipekee na kwa sababu ya ukarimu wa mfalme kulikuwa mvinyo mwingi.
ложа злата и сребряна, на помосте камене смарагдова, и пиннинска и паринска мрамора, и плащаницы пестротами различными разцвечены, окрест шипцы разсеяни:
8 Mfalme aliwambia wahudumu watu wagawiwe vinywaji kwa kila mtu kulingana na matakwa yake. Maana tayari mfalme alikuwa ametoa agizo kwa watumishi wa ikulu kuwafanyia wageni kulingana na matakwa ya kila mgeni.
сосуди злати и сребряни, и чаша анфракса (камене) предложенная, ценою талант тридесять тысящ: вино много и сладко, еже сам царь пияше: питие же сие не по уставленному закону бысть, тако бо восхоте царь и заповеда икономом сотворити волю свою и мужей.
9 Wanawake nao walikuwa wamealikwa katika karamu na Malkia Vashiti katika ikulu ya Mfalme Ahusuero.
И Астинь царица сотвори пир женам в дому цареве, идеже царь Артаксеркс.
10 katika siku ya saba moyo wa mfalme ulipokuwa na furaha kwa sababu ya mvinyo, aliwaagiza Mehumani, Biztha, Harbona, Bigtha, Abagtha, Zethari na Karkas (hawa saba ndio waliohudumu mbele ya mfalme)
В день же седмый развеселився царь, рече Аману и Вазану, и Фарре и Варазу, и Зафолфану и Аватазу и Фараву, седмим евнухом, иже служаху пред царем Артаксерксом,
11 kumleta Malkia Vashiti akiwa katika mavazi yake ya kimalkia. Akiwa na lengo la kuwaonyesha watu na maakida urembo wake, maana alikuwa mrembo.
привести (Астинь) царицу пред него, еже воцарити ю и возложити на ню венец царский и показати ю всем началствующым и языком красоту ея, зане прекрасна бе.
12 Pamoja na maagizo ya Mfalme, Malkia Vashiti alikataa kwenda kama alivyokuwa amewaagiza viongozi wake. Hivyo mfalme akakasirika sana; ghadhabu yake ikawaka ndani yake
И не послуша его Астинь царица приити со евнухи.
13 Mfalme akawandea wenye hekima, waliofahamu nyakati (kwa kuwa huu ndio uliokuwa utaratibu wa mfalme kuhusu wale waliokuwa watalaamu wa sheria na hukumu.
И опечалися царь, и разгневася, и рече ближним своим: сице рече Астинь: сотворите убо о сем закон и суд.
14 Carshena, Shethar, Admatha, Tarshish, Meres, Marsena, na Memucan, majimbo saba ya Uajemi na Umedi walikuwa karibu na mfalme na walikuwa na vyeo vikubwa katika ufalme.
И приступиша к нему Аркесей и Сарсофей и Малисеар, началницы Персстии и Мидстии, иже близ царя, первии седящии при цари,
15 Katika kutafsiri nini kifanyike kwa mjibu wa sheria kutoka na mgomo wa Malkia Vashiti dhidi ya agizo la mfalme Ahusiero kwa Malkia Vashiti.
и возвестиша ему по законом, како подобает сотворити царице Астини, яко не сотвори повеленных от царя чрез евнухи.
16 Mmoja wao aliyejulikana kwa jina la Memukani alisema mbele ya Mfalme na mbele ya viongozi, Malkia Vashiti hajamkosea tu mfame na wakuu na watu wote walio katika majimbo ya mfale Ahusiero.
И рече Мухей ко царю и к боляром: не царя единаго обиде Астинь царица, но и вся князи и началники царевы,
17 kwa kuwa jambo la malkia litafahamika kwa wanawake wote. watawatendea waume zao vibaya. Watasema, 'Mfalme Ahusiero Malkia Vashiti hakumtii mme wake, Mfalme Ahusiero alipotaka ahudhurie mbele yake.'
ибо поведа им словеса царицы, и како противорече царю:
18 Kabla ya siku hii wanawake wa wakuu wa Uajemi na Umedi walipata taarifa ya mgomo wa malkia Vashiti watawatendea waume zao, viongozi wa mfalme. kutakuwa na ghasia na nyingi hasira.
якоже убо противно рече царю Артаксерксу, сице и днесь госпожи жены прочыя князей Персских и Мидских, услышавшя царю реченная от нея, дерзнут такожде безчествовати мужеи своих:
19 kama ni jambo jema kwa mfalme, ruhusu tangazo litolewe, na iwe katika sheria ya Waajemi na Wamedi, ambao haiwezi kutanguliwa, kwamba Vashiti hatakuja tena mbele za mfalme kama malkia. Nafasi ya Vashiti apewe mwingine ambaye ni bora zaidi ya Vashiti.
аще убо угодно царю, да повелит царским повелением, и да напишется по законом Мидским и Персским, и инако да не будет, ниже да внидет ктому царица к нему, и царство ея да предаст царь жене лучшей ея:
20 Tangazo la mfalme litakapotolewa katika ufalme wote, wanawake wote watawaheshimu waume zao, tangu mwenye cheo hadi asiye na cheo.”
и да будет услышан закон, иже от царя, егоже сотворит во царствии своем, и сице вся жены возложат честь на мужы своя от богата даже до убога.
21 Ushauri huu ulikuwa mzuri kwa mfalme na wakuu wengine, mfalme akafamya kama Memkani alivyopendekeza.
И угодно бысть слово пред царем и началники, и сотвори царь, якоже рече ему Мухей,
22 Akatuma barua katika majimbo yote ya mfalme, kwa kilajambo na andiko lake, na watu kwa makabila yao. Aliamuru kwamba kila mme awe msimamizi katika nyumba yake mwenyewe. Tangazo hili lilitolewa katika lungha ya kila mtu katika ufalme.
и посла царь книги во все царство по странам по языку их, да будет страх им в жилищих их.

< Esta 1 >