< Ayubu 40 >

1 Yahweh aliendelea kuongea na Ayubu na kusema,
Господ говори на Иова и каза:
2 “Je mtu yeyote anayetaka kukosoa na ajaribu kumsahihisha Mwenye enzi? Na yeye anayehojiana na Mungu, na ajibu yeye.”
Тоя, която е изобличил Всемогъщият, ще ли се бори с Него? Тоя, който се препира с Бога, нека отговори на всичко това.
3 Ndipo Ayubu akamjibu Yahweh na kusema, “
Тогава Иов отговори Господу, казвайки:
4 Tazama, mimi si mtu muhimu; je nawezaje kukujibu? Ninauweka mkono wangu juu ya mdomo wangu.
Ето, аз съм нищожен; какво да Ти отговоря? Турям ръката си на устата си.
5 Ninazungumza mara moja, na sitakujibu; hakika, mara mbili, lakini sitaendelea zaidi.”
Веднъж съм говорил, и не ще да отговарям вече, Дори дваж, но няма да повторя.
6 Kisha Yahweh akamjibu Ayubu kutoka katika dhoruba kali na kusema,
Тогава Господ отговори на Иова из бурята, като каза:
7 “Jifunge sasa mkanda kiunoni mwako kama mwanaume, kwa kuwa nitakuuliza maswali, nawe lazima unijibu.
Опаши сега кръста си като мъж; Аз ще те попитам, и ти Ми изявявай.
8 Je waweza kusema kwa hakika kwamba mimi si mwenye haki? Je utanihukumu mimi ili useme wewe ni mwenye haki?
Дори не ще ли допускаш Моята съдба? Ще осъдиш ли Мене, за да оправдаеш себе си?
9 Je una mkono kama wa Mungu? Je waweza kutoa kishindo kwa sauti kama yeye?
Или имаш ли мишца като Бога? И можеш ли да гърмиш с глас като Него?
10 Jivike sasa katika utukufu na katika utu; jivalie mwenyewe heshima na enzi.
Украси се сега с превъсходство и достолепие, И облечи се в чест и величие.
11 Sambaza ziada ya hasira yako; mtazame kila mmoja mwenye kiburi na umshushe chini.
Изсипвай преливащия си гняв; И гледай на всеки горделив, и смирявай го;
12 Mwangalie kila mmoja mwenye kiburi na umweke chini; wakanyage chini watu waovu mahali wanaposimama.
Гледай на всеки горделив, и снишавай го; И стъпквай нечестивите на мястото им;
13 Wazike ardhini pamoja; zifunge nyuso zao katika sehemu zilizositirika.
Скрий го купно в пръстта; Вържи лицата им в скрито място.
14 Ndipo pia nitakapokubali ya kwamba mkono wako wa kulia waweza kukuokoa.
Тогава и Аз ще изповядам пред тебе, Че твоята десница може да те спаси.
15 Mwangalie sasa kiboko, ambaye niliwafanya kama nilivyokufanya wewe; anakula nyasi kama ng'ombe.
Ето сега речния кон който съм направил както и тебе; Яде трева като вол.
16 Ona sasa, nguvu zake ziko katika viuno vyake; nguvu zake zi katika mishipa ya tumbo lake.
Ето сега, силата му е в чреслата му, И якостта му е в мускулите на корема му.
17 Yeye huuondoa mkia wake kama mti wa mwerezi; mishipa ya paja lake imeunganishwa pamoja.
Клати опашката си като кедър; Жилите на бедрата му са сплотени.
18 Mifupa yake ni kama ya mirija ya shaba; na miguu yake ni kama kipande cha chuma.
Костите му са като медни цеви; Ребрата му са като железни лостове.
19 Yeye ni mkuu wa viumbe vya Mungu. Ni Mungu pekee, ambaye alimwumba, anaweza kumshinda.
Той е изящното дело Божие; Оня, Който го е направил, го е снабдил с меча Си.
20 Kwa kuwa milima humpatia chakula; hayawani wa mashambani hucheza karibu.
Наистина планините промишляват за него храна. Гдето играят всичките полски зверове.
21 Hujilaza chini ya mimiea ya kivuli katika makao ya mianzi, na katika bwawa la matope.
Ляга под сенчестите дървета, В съкровището на тръстиката, и в блатата;
22 Miti yenye vivuli humfunika katika vivuli vyake; mierebi ya kijito inamzunguka pande zote.
Сенчестите дървета го покриват със сянката си; Върбите на потоците го обкръжават.
23 Tazama, kama mto utazigharikisha kingo zake, hatikisiki; yeye anajiamini, hata kama Mto wa Yordani unajaa hadi katika pua yake.
Ето, ако би придошла река, той не трепери; Не се смущава, ако би се и Иордан устремил по устата му.
24 Je mtu yeyote aweza kumnasa kwa ndoano, au kuichoma pua yake kwa mtego?
Може ли някой да го хване когато е на щрек. Или да прободе носа му с примка?

< Ayubu 40 >