< Ayubu 4 >

1 Kisha Elifazi Mtemani akajibu na kusema,
Teman mi Eliphaz chun Job chu adonbut in;
2 Kama mtu yeyote akijaribu kuzungumza na wewe, je utakosa ustahimilivu? Lakini ni nani anaweza kujizuia asizungumze?
Keiman thukhat seijinge, nangaida ding ham? Koiham thusei louva eikoi ding chu?
3 Tazama, wewe umewafunza wengi; wewe imeipa nguvu mikono iliyokuwa dhaifu.
Phat chesa ho ah nangin mitam tah natil khoujin, alhasam ho nana hatdohsah jin ahi.
4 Maneno yako yamemsaidia yeye mwanamme aliyekuwa anaanguka; wewe umeyaimarisha magoti dhaifu.
Alhu ding ho jong nangma thusei chun atilkhou jin ahi, akhup kithinghojong na tilkhou ji'e.
5 Lakini sasa matatizo yamekuja kwako, na wewe umechoka; yanakugusa wewe, na wewe umetatizika.
Ahinlah tua genthei nan nahin phah phat in lungthim nalhaso tai. Hiche hahsatnan nahin phah phat in kichat tijatnan nanei tai.
6 Je si hofu yako imani yako, na ukamilifu wa njia zako tumaini lako?
Na Pathen ginna chun tahsan detna napeh hilou ham? Nachon phatna chun kinepna napeh hilou ham?
7 Tafakari juu ya hili, tafadhari: ni nani aliyeangamia akiwa hana kosa? Au ni lini watu wakamilifu walikatiliwa mbali?
Khongaijin lang chule ngaito temin, themona bei mi hithi ngaiji ham? Itih a milungtheng sel ho kisumang jiem?
8 Kutokana na vile nilivyoona, wale walimao uovu na kupanda taabu huvuna hayo.
Keithil hetna in vang hahsatna muchi tua kitu ho leh thilse bol hon thakhatna aga akilo cheh diu ahi.
9 Kwa pumzi ya Mungu huangamia; kwa mlipuko wa hasira zake huteketea.
Pathen hu haikhumchun asemgo jiuvin, alung hanna husa ginna chu mang del jiu ahi.
10 Kuunguruma kwa simba, sauti ya simba mkali, meno ya simba wadogo - yamevunjika.
Keipi akitumin chule sangah in mi angih in ahin keipi thahattah hajouse kisubong ding ahi.
11 Simba mzee huangamia kwa kukosa wahanga; watoto wa simba jike wametawanyiko kila mahali.
Sahing neh ding lhahsam jeh in keipi bahkai hang leiloijin kel athohjin chule keipi bahkai noute jong kithecheh diu ahi.
12 Sasa nililetewa kwangu jambo fulani kisiri, na sikio langu likapokea uvumi kuhusu hilo.
Hiche thutah hi guhthim chan kana benga mao hiuheu vin ei kisei peh e.
13 Kisha yakaja mawazo kupitia ndoto wakati wa usiku, wakati uwaangukiwapo usingizi mzito watu.
Mihem aimut lhuh pet tah jan laijin imut sunoh phah in hiche gaova mang thilmuna hi kahenga ahunge.
14 Ilikuwa usiku wakati nilipopatwa hofu na kutetemeka, na mifupa yangu yote ikatikisika.
Kichatnan eiphan chule kagu kachang ho akithinge.
15 Kisha nafsi ikapita mbele ya uso wangu, na nywele zangu za mwili zilisimama.
Thilha hun kamai ahin jap in chule akichaijin katimul ahungkithou sotsotne.
16 Nafsi ilisimama kimya, lakini sikuweza kupambanua sura yake. Umbo lilikuwa mbele ya macho yangu; kulikuwa kimya, nami nikasikia sauti ikisema,
Thilha chu adingin ahinla kenla agongso kamuthei pon, agongso kamit teni masang kamaija agongso aum denne. Phat thip laitah chun hitia kisei o khat kajai.
17 “Je binadamu anaweza kuwa mwenye haki zaidi kuliko Mungu? Je mtu anaweza kuwa msafi zaidi kuliko muumba wake?
Thithei mihem hi mona beija Pathen anga umtheija, asempa masanga athenga umtheiding hinam?
18 Tazama, kama Mungu hawaamini watumishi wake; kama hulaumu upumbavu wa malaika zake,
Pathen in avantil ho jeng jong atahsan louva, athupole ho angol naova apho jia ahile,
19 je si zaidi sana ukweli huu kwa wale waishio katika nyumba za udongo, ambao misingi yao ipo katika vumbi, wale waliopondwa mbele ya nondo?
Nikhatna kisem mihem hi ichan gei tahsan na anei lhom ding ham? Amaho chu leivuija kisem bailam tah a suhchip thei mitthah tobangbep ahi.
20 Kati ya asubuhi na jioni wameangamizwa; wameangamia milele wala bila yeyote kuwatambua.
Amaho chu jingkah langleh ahing jiuvin ahinlah nilhah langleh athijiuvin, amelchihna beijin athiji tauve.
21 Je kamba za hema yao hazikung'olewa kati yao? Wanakufa; wanakufa bila hekima.
Aponbuh henna akibo lhuh teng leh apon buh u alhujin chule hetna lhasam in athiden ji tauve.

< Ayubu 4 >