< Ayubu 38 >

1 Ndipo Yahweh alimwita Ayubu kutoka katika dhoruba kali na kumwambia,
Tad Tas Kungs Ījabam atbildēja no vētras un sacīja:
2 “Huyu ni nani aletaye giza katika mipango kwa njia ya maneno bila maarifa?
Kas tas tāds, kas (Dieva) padomu aptumšo ar neprātīgiem vārdiem?
3 Basi sasa jifunge kiunoni mwako kama mwanaume kwa kuwa nitakuuliza maswali, nawe lazima unijibu.
Apjoz jel kā vīrs savus gurnus, tad Es tev gribu vaicāt, un tu Mani māci.
4 Wewe ulikuwa wapi wakati nilipoitandaza misingi ya dunia? Niambie, kama unao ufahamu zaidi.
Kur tu biji, kad Es zemei liku pamatu? Izteic to, ja tev ir tāds gudrs prāts.
5 Je ni nani aliyeamuru vipimo vyake? Niambie, kama unajua, ni nani alivinyosha vipimo juu yake?
Vai tu zini, kas viņai mēru licis, jeb kas pār viņu ir vilcis mēra auklu?
6 Misingi yake ilitandazwa juu ya nini? Ni nani aliyeliweka jiwe lake la pembeni
Uz ko viņas pamati ierakti, jeb kas licis viņas stūra akmeni,
7 wakati nyota za asubuhi zilipoimba pamoja na wana wote wa Mungu walipopiga kelele kwa furaha?
Kad rīta zvaigznes kopā priecīgi dziedāja, un visi Dieva bērni gavilēja?
8 Ni nani huifunga bahari kwa milango wakati inapofurika, kana kwamba inatoka katika tumbo,
Jeb kas jūru aizslēdzis ar durvīm, kad tā izlauzās, un iznāca kā no mātes miesām,
9 wakati nilipoyafanya mawingu kuwa ni mavazi yake, na giza nene kuwa mkanda wake wa kujifungia?
Kad Es to ģērbu ar padebešiem, un krēslībā ietinu tā kā tinamos autos,
10 Hapo ilikuwa wakati nilipoweka bahari mpaka wangu, na nilipoweka makomeo yake na milango,
Kad Es tai noliku Savu robežu, un liku aizšaujamos un durvis,
11 na wakati nilipoiambia, 'Unaweza kuja hapa kutoka mbali, lakini si zaidi; na hapa ndipo nitauweka mpaka kwa fahari ya mawimbi yako.'
Un sacīju: tiktāl tev būs nākt un ne tālāki, un še būs apgulties taviem lepniem viļņiem?
12 Je tangu mwanzo wa siku zako, ulishawahi kuigiza asubuhi ianze, na kuyafanya mapambazuko yajue sehemu yake katika mpangilio wa vitu,
Vai tu savā mūžā rītam licis aust, vai auseklim rādījis savu vietu,
13 ili kwamba ishikilie sehemu za dunia ili watu waovu watikiswe mbali nayo.
Lai satver zemes stūrus, ka tie bezdievīgie no tās top izkratīti;
14 Dunia imebadilishwa katika mwonekano kama udongo unavyobadilika chini ya muhuri; vitu vyote husimama juu yake dhahiri kama cha kibindo cha nguo.
Ka tā pārvēršas kā zieģeļa vasks un visas lietas rādās kā apģērbā,
15 'Mwanga' wao umeondolewa kutoka kwa watu waovu; na mkono wao ulioinuliwa umevunjwa.
Un bezdievīgiem zūd viņu gaišums, un pacelts elkonis salūst?
16 Je umeshaenda kwenye vyanzo vya maji ya bahari? Je umeshatembea sehemu za chini kabisa za kilindi?
Vai tu esi nācis līdz jūras avotam un staigājis bezdibeņu dziļumos?
17 Je malango ya mauti yamefunuliwa kwako? Je umeshaona malango ya uvuli wa mauti?
Vai tev atdarījušies nāves vārti, un vai tu esi redzējis nāves ēnas vārtus?
18 Je umeifahamu dunia katika upana wake? Niambie kama unayajua yote hayo.
Vai esi skatījies līdz pasaules malām? Stāsti, ja tu visu to zini.
19 Je iko wapi njia ya sehemu ya kupumzikia kwa mwanga, na kama ilivyo kwa giza, iko wapi sehemu yake?
Kur ir tas ceļš, kur gaisma mājo, un tumsa - kur ir viņas vieta?
20 Je unaweza kuuongoza mwanga na giza katika sehemu zake za kazi? Waweza kuitambua njia ya kurudi katika nyumba zao?
Vai tu to varētu pārvest viņas robežā un izzināt viņas nama ceļus?
21 Bila shaka unajua, kwa kuwa ulizaliwa wakati huo; hesabu ya siku zako ni kubwa sana!
Tu to zini, jo tai laikā tu biji piedzimis, un tev ir daudz to gadu!
22 Je ulishaingia katika ghala ya barafu, au umeshaiona ghala ya mawe ya mvua,
Vai tu esi nācis, kur tie sniega krājumi, un vai esi redzējis krusas krājumus,
23 vitu hivi nimeviweka kwa ajili ya siku za mateso, kwa siku za mapigano na vita?
Ko Es taupu uz spaidu laiku, uz kaušanas un kara dienu?
24 Je iko wapi njia ya mshindo wa mwanga hutokea au je upepo husambazwa kutoka mashariki juu ya dunia?
Pa kuru ceļu gaisma dalās un kā austrenis izplešas virs zemes?
25 Ni nani aliyezitengeneza mifereji ya gharika ya mvua, au ni nani aliyezifanya njia za milipuko ya radi,
Kas lietum rādījis, kur lai gāžas, un ceļu zibeņiem un pērkoniem,
26 na kuifanya mvua inyeshe juu ya nchi ambazo hakuna mtu aishiye ndani yake, na juu ya jangwa, ambayo ndani yake hakuna mtu yeyote,
Ka lietus līst, kur cilvēka nav, tuksnesī, kur neviens nedzīvo,
27 kwa kusudi la kutimiza mahitaji ya mikoa iliyo kame na yenye ukiwa, na kuyastawisha majani mororo?
Ka viņš dzirdina tukšo posta vietu un zālītei liek dīgt?
28 Je kuna baba wa mvua? Ni nani aliyeyafanya matone ya umande?
Vai lietum ir tēvs, vai kas dzemdinājis rasas lāsi?
29 Je barafu ilitoka katika tumbo la nani? Na ni nani aliyeizaa theluji nyeupe katika anga?
No kura klēpja cēlies ledus, un no kā dzimusi debess salna,
30 Maji hujificha menyewe na kuwa kama jiwe; sehemu za juu za vilindi huwa kama barafu.
Ka ūdeņi sastingst kā akmens, un jūras dziļumi aizsalst cieti?
31 Je unaweza kuzifunga minyororo ya Kilimia, au kuvifungua vifundo vya Orioni?
Vai tu vari sasiet Sietiņa saites, vai atraisīt Orijona zvaigžņu saiti?
32 Je unaweza kuziongoza nyota kutokea katika nyakati zake? Je waweza kuongoza dubu pamoja na watoto wake?
Vai tu zvaigznes vari izvest savā laikā un vadīt debess vāģus un viņu ratus?
33 Je unazijua sheria za anga? Wewe uliweza kuanzisha sheria za anga juu ya dunia?
Vai tu zini debess likumus, jeb vai proti, kā tie valda virs zemes?
34 Je waweza kupaza sauti yako hadi mawinguni, ili kwamba maji mengi ya mvua yakufunike?
Vai tu savu balsi vari pacelt uz padebešiem, lai ūdeņi plūst zemē uz tevi?
35 Je waweza kuagiza miali ya mwanga ili itokee, na kukwambia, 'Sisi tupo hapa'?
Vai vari sūtīt zibeņus, ka tie iet un uz tevi saka: redzi, še mēs esam?
36 Ni nani ameweka hekima katika mawingu au ni nani ameweka ufahamu kwa ukungu?
Kas lika gudrību tumšos mākoņos un prātu debess spīdumos?
37 Nani anaweza kuyahesabu mawingu kwa maarifa yake? Na ni nani awezaye kuvimwaga viriba vya anga
Kas skaita mākoņus ar gudrību, un kas māk apgāzt padebešus,
38 wakati mavumbi yanapoungana kuwa kitu kigumu na mabonge ya dunia yanaposhikama kwa pamoja?
Ka pīšļi top aplieti, ka tie saskrien un salīp pītēs?
39 Je waweza kuwinda mawindo kwa ajili ya simba jike au kutosheleza hamu ya watoto wadogo wa simba
Vai tu māki medīt laupījumu priekš lauvas un pildīt jauno lauvu tukšo vēderu,
40 wakati wanapokwaruza kwaruza katika pango lao na kukaa katika kificho ili kulala katika hali ya kuvizia?
Kad tie nogulstas alās un biezos krūmos glūn?
41 Ni nani aletaye mawindo kwa ajili ya kunguru wakati ambapo watoto wao wanapomlilia Mungu na kutangatanga kwa kukosa chakula?
Kas gādā krauklim barību, kad viņa bērni uz Dievu brēc un šurpu turpu skraida, kad nav ko ēst?

< Ayubu 38 >