< Ayubu 23 >

1 Kisha Ayubu akajibu na kusema,
Job respondió:
2 “Hata leo malalamiko yangu ni machungu; maumivu yangu ni mazito kuliko manung'uniko yangu.
Aun hoy es amarga mi queja, pues mi llaga agrava mis gemidos.
3 Ee, ningejua niwezapokumwona! Ee, kwamba ningeweza kwenda alipo!
¡Ojalá me concediera saber dónde hallarlo! Yo iría hasta su trono,
4 Ningeweka shitaka langu mbele yake na kukijaza kinywa changu hoja.
expondría ante Él mi causa, llenaría mi boca de argumentos,
5 Ningejua ambavyo angenijibu na kufahamu ambavyo angesema juu yangu.
sabría con cuáles palabras me replica, y entendería lo que me dice.
6 Je angehojiana nami katika ukuu wa nguvu zake? Hapana, angenisikiliza.
¿Contendería conmigo con la grandeza de su fuerza? No, más bien me atendería.
7 Pale mwenye haki angehojiana nami. Kwa njia hii ningeonekana bila hatia kwa mwamzi wangu.
Allí el justo podría razonar con Él, y yo quedaría libre para siempre de mi Juez.
8 Tazama, naelekea mashariki, lakini hayupo pale, na upande wa magharibi, lakini siwezi kumwona.
Pero si voy hacia el oriente, no está allí. Y si voy al occidente, tampoco lo percibo.
9 Kaskazini, anapofanya kazi, lakini siwezi kumwona, na kusini, anapojificha hata nisimwone.
Si muestra su poder en el norte, no lo veré, al sur se esconde y no lo veo.
10 Lakini anaijua njia ninayoichukua; atakapokuwa amenipima, nitatoka kama dhahabu.
Sin embargo, Él conoce el camino por donde voy. Que me pruebe, y saldré como oro.
11 Mguu wangu umeunganishwa na hatua zake; nimezitunza njia zake na sijageuka.
Mis pies siguieron fielmente sus huellas. Guardé su camino sin apartarme.
12 Sijaiacha amri ya midomo yake; nimeyatii maneno ya kinywa chake.
No retrocedí del mandato de sus labios, y atesoré las Palabras de su boca más que mi ración necesaria.
13 Lakini yeye ni wa pekee, naniawezaye kumgeuza? Analolitaka, hulitenda.
Pero Él es único. ¿Quién podrá disuadirlo? Él hace lo que desea.
14 Kwa maana hulitimiza agizo lake kinyume changu; anamipango mingi kwa ajili yangu; ipo mingi kama hiyo.
Él ejecutará lo que decretó para mí, y muchas otras cosas como ésta están en Él.
15 Kwa hiyo, nimetishwa mbele zake; ninapofikiri kumhusu, ninamwogopa.
Por lo cual me perturba su Presencia. Al pensarlo, me aterrorizo de Él.
16 Kwani Mungu ameudhoofisha moyo wangu; Mwenyezi amenitisha.
Porque ʼElohim hizo desmayar mi corazón. ʼEL-Shadday me aterrorizó.
17 Si kwa sababu nimeondolewa na giza, wala siyo kwamba giza nene limeufunika uso wangu.
Pues no fui cortado de la presencia de la tenebrosidad, y Él no escondió mi semblante de la profunda oscuridad.

< Ayubu 23 >