< Ayubu 13 >

1 Tazama, jicho langu limeyaona haya yote; sikio langu limeyasikia na kuyaelewa hayo.
Ja, alltsammans har mitt öga sett, mitt öra har hört det och nogsamt givit akt.
2 Kile mnachokifahamu, ndicho hicho mimi pia ninachokifahamu; Mimi siyo duni kwenu ninyi.
Vad I veten, det vet också jag; icke står jag tillbaka för eder.
3 Hata hivyo, Mimi ningeweza kuzungumza na mwenye nguvu; Mimi natamani kusemezana na Mungu.
Men till den Allsmäktige vill jag nu tala, det lyster mig att gå till rätta med Gud.
4 Lakini ninyi mnauficha ukweli kwa uongo; ninyi nyote ni tabibu msiokuwa na thamani.
Dock, I ären män som spinna ihop lögn, allasammans hopsätten I fåfängligt tal.
5 Laiti, kwamba kwa pamoja mngeshikilia amani yenu! Hilo lingekuwa hekima yenu ninyi.
Om I ändå villen alldeles tiga! Det kunde tillräknas eder som vishet.
6 Sikia sasa kuhoji kwangu; Sikiliza kusihi kwa midomo yangu mwenyewe.
Hören nu likväl mitt klagomål, och akten på mina läppars gensagor.
7 Ninyi mtazungumza visivyo haki kwa ajili ya Mungu, na ninyi mtazungumza udanganyifu kwa yeye? Ni kweli ninyi mngeonyesha ukarimu kwa yeye?
Viljen I försvara Gud med orättfärdigt tal och honom till förmån bruka oärligt tal?
8 Ni kweli ninyi mngetetea katika mahakama kama mawakili wa Mungu?
Skolen I visa eder partiska för honom eller göra eder till sakförare för Gud?
9 Je, kweli ingekuwa vizuri kwenu wakati yeye akiwatafuta ninyi? Mngeweza ninyi kumdanganya yeye kama mlivyoweza kuwadanganya watu?
Icke kan sådant ändas väl, när han håller räfst med eder? Eller kunnen I gäckas med honom, såsom man kan gäckas med en människa?
10 Yeye kwa hakika angewathibitisha upya ninyi ikiwa katika siri ninyi mmeonyesha kutokukamilika.
Nej, förvisso skall han straffa eder, om I visen en hemlig partiskhet.
11 Je, ukuu wake usingewafanya ninyi muogope? Je, utisho wake usingeshuka juu yenu?
Sannerligen, hans majestät skall då förskräcka eder, och fruktan för honom skall falla över eder.
12 Hadithi zenu za misemo ya kukariri, ni mithali zimetengenezwa kwa majivu; utetezi wenu ni utetezi uliotengenezwa kwa udongo wa mfinyanzi.
Edra tänkespråk skola då bliva visdomsord av aska, edra försvarsverk varda såsom vallar av ler.
13 Shikilieni amani yenu, mniache peke yangu, ili ya kwamba nipate kusema, acheni yaje yale yanayoweza kuja kwangu.
Tigen nu för min, så skall jag tala, gånge så över mig vad det vara må.
14 Nitaichukua nyama yangu mwenywewe katika meno yangu; Nitayachukua maisha yangu katika mikono yangu.
Ja, huru det än går, vill jag fatta mitt kött mellan tänderna och taga min själ i min hand.
15 Tazama, ikiwa ataniua mimi, sitakuwa na tumaini lililobakia; hata hivyo, nitazitetea njia zangu mbele zake yeye.
Må han dräpa mig, jag hoppas intet annat; min vandel vill jag ändå hålla fram inför honom.
16 Hiki kitakuwa sababu ya kutohesabiwa hatia, kwamba mimi sikuja mbele zake kama mtu asiyemcha Mungu.
Redan detta skall lända mig till frälsning, ty ingen gudlös dristar komma inför honom.
17 Mungu, sikiliza kwa makini kuzungumza kwangu; ruhusu kutangaza kwangu kuje kwenye masikio yako.
Hören, hören då mina ord, och låten min förklaring tränga in i edra öron.
18 Tazama sasa, Nimeuweka utetezi wangu katika mpangilio, Mimi ninafahamu kwamba mimi sina hatia.
Se, här lägger jag saken fram; jag vet att jag skall befinnas hava rätt.
19 Ni nani anayeweza kushindana na mimi katika mahakama? Ikiwa mlikuja kufanya hivyo, na kama mimi nilithibitishwa kukosea, ndipo ningekuwa kimya na kuyatoa maisha yangu.
Eller gives det någon som kan vederlägga mig? Ja, då vill jag tiga -- och dö.
20 Mungu, fanya mambo mawili kwa ajili yangu, na tena Mimi sitajificha kutoka katika uso wako.
Allenast två ting må du ej göra mot mig, så behöver jag ej dölja mig inför ditt ansikte:
21 Ondoa kutoka kwangu mkono wako unaotesa, na usiache utisho wako unifanye mimi kuogopa.
din hand må du ej låta komma mig när, och fruktan för dig må icke förskräcka mig.
22 Ndipo niite mimi, na mimi nitakujibu; au uniache mimi niseme na wewe na wewe unijibu mimi.
Sedan må du åklaga, och jag vill svara, eller ock skall jag tala, och du må gendriva mig.
23 Je, maovu yangu na dhambi zangu ni ngapi? Nijulishe kosa langu na dhambi yangu.
Huru är det alltså med mina missgärningar och synder? Låt mig få veta min överträdelse och synd.
24 Kwa nini unaficha uso wako kutoka kwangu mimi na kunitendea mimi kama adui yako?
Varför döljer du ditt ansikte och aktar mig såsom din fiende?
25 Je, wewe utalitesa jani linalopeperushwa? Je, utaendelea kulifuatilia bua kavu?
Vill du skrämma ett löv som drives av vinden, vill du förfölja ett borttorkat strå?
26 Kwa maana wew unaandika chini vitu vichungu dhidi yangu mimi; wewe unanifanya mimi kurithi uovu wa ujana wangu.
Du skriver ju bedrövelser på min lott och giver mig till arvedel min ungdoms missgärningar;
27 Wewe pia unaiweka miguu yangu katika nguo nyembamba; wewe waangalia njia zangu zote; wewe wachunguza chini mahali ambapo nyayo za miguu yangu zimekanyaga.
du sätter mina fötter i stocken, du vaktar på alla vägar, för mina fotsulor märker du ut stegen.
28 japokuwa mimi ni kama kitu kilichooza ambacho hutupwa mbali, kama vazi lile ambalo nondo wamelila.
Och detta mot en som täres bort lik murket trä, en som liknar en klädnad sönderfrätt av mal!

< Ayubu 13 >