< Ayubu 12 >

1 Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
Därefter tog Job till orda och sade:
2 “Hakuna shaka ninyi wanadamu; Hekima mtakufa nayo.
Ja, visst ären I det rätta folket, och med eder kommer visheten att dö ut!
3 Lakini nina ufahamu kama vile ninyi; Mimi siyo duni kwenu. Ni dhhiri, ni nani asiyefahamu vitu hivyo kama hivi?
Dock, jämväl jag har förstånd så gott som I, icke står jag tillbaka för eder; ty vem är den som ej begriper slikt?
4 Mimi ni kitu cha kuchekwa na jirani-Mimi, ni mmoja aliyemwita Mungu na ambaye alijibiwa na yeye! Mimi, ni mwenye haki na mtu asiyekuwa na hatia-Mimi sasa nimekuwa kitu cha kuchekwa.
Så måste jag då vara ett åtlöje för min vän, jag som fick svar, så snart jag ropade till Gud; man ler åt en som är rättfärdig och ostrafflig!
5 Katika mawazo yake mtu fulani aliye katika kufurahi, kuna kudharau kwa mashaka; hufikiri katika njia ambayo huleta mambo mabaya zaidi kwa wale ambao miguu yao inateleza.
Ja, med förakt ses olyckan av den som står säker; förakt väntar dem vilkas fötter vackla.
6 Hema za wezi hufanikiwa, na wale ambao humkasirisha Mungu huhisi salama; mikono yao wenyewe ni miungu wao.
Men förhärjares hyddor åtnjuta frid, och trygghet få sådana som trotsa Gud, de som hava sin gud i sin hand.
7 Lakini sasa waulize hao wanyama wa mwituni, na watakufundisha wewe; waulize ndege wa angani, na watakuambia wewe.
Men fråga du boskapen, den må undervisa dig, och fåglarna under himmelen, de må upplysa dig;
8 Au iambie ardhi, na itakufundisha wewe; samaki wa baharini watakutangazia wewe.
eller tala till jorden, hon må undervisa dig, fiskarna i havet må giva dig besked.
9 Ni myama yupi miongoni mwa hawa asiyefahamu kuwa mkono wa Yahwe umetenda haya?
Vem kan icke lära genom allt detta att det är HERRENS hand som har gjort det?
10 Katika mkono wake mna uzima wa kila kiumbe hai na pumzi ya wanadamu wote.
I hans han är ju allt levandes själ och alla mänskliga varelsers anda.
11 Je, sikio haliyajaribu maneno kama vile kaakaa lionjavyo chakula chake?
Skall icke öra pröva orden, likasom munnen prövar matens smak?
12 Kwa wazee mna hekima; katika wingi wa siku mna ufahamu.
Vishet tillkommer ju de gamle och förstånd dem som länge hava levat.
13 Pamoja na Mungu mna hekima na ukuu; yeye anayo mashauri na ufahamu.
Hos Honom finnes vishet och makt, hos honom råd och förstånd.
14 Tazama, yeye huangusha chini, na haiwezekani kujengwa tena; kama yeye akimtia gerezani mtu yeyote, hakutakuwa tena kufunguliwa.
Se, vad han river ned, det bygges ej upp; för den han spärrar inne kan ingen upplåta.
15 Tazama, kama yeye akiyazuia maji, yanakauka; na kama akiyaachilia nje yanaitaabisha ardhi.
Han håller vattnen tillbaka -- se, se då bliver där torrt, han släpper dem lösa, då fördärva de landet.
16 Pamoja na yeye mna nguvu na hekima; watu ambao wamedanganywa na mdanganyi wote pamoja wako katika nguvu zake.
Hos honom är kraft och klokhet, den förvillade och förvillaren äro båda i hans hand.
17 Yeye huwaongoza washauri mbali bila kuvaa viatu katika huzuni; huwarudisha hakimu katika upumbavu.
Rådsherrar utblottar han, han för dem i landsflykt, och domare gör han till dårar.
18 Yeye Huondoa minyororo ya mamlaka kutoka kwa wafalme; yeye hufunika viuno vyao kwa nguo.
Han upplöser konungars välde och sätter fångbälte om deras höfter.
19 Yeye huwaongoza makuhani mbali bila kuvaa viatu na kuwapindua watu wakuu.
Präster utblottar han, han för dem i landsflykt, och de säkrast rotade kommer han på fall.
20 Yeye huondoa hotuba ya wale waliokuwa wameaminiwa na huondoa mbali ufahamu wa wazee.
Välbetrodda män berövar han målet och avhänder de äldste deras insikt.
21 Yeye humwaga aibu juu ya binti za wafalme na hufungua mishipi ya watu wenye nguvu.
Han utgjuter förakt över furstar och lossar de starkes gördel.
22 Yeye huweka wazi vitu vya kina kutoka katika giza na kuvileta nje kumuika vivuli mahali ambapa watu waliokufa wapo.
Han blottar djupen, så att de ej höljas av mörker, dödsskuggan drager han fram i ljuset.
23 Yeye huyafanya mataifa kuwa na nguvu, na pia huyaharibu; Yeye pia huyakuza mataifa, na pia yeye huyaongoza mbali kama wafungwa.
Han låter folkslag växa till -- och förgör dem; han utvidgar deras gränser, men för dem sedan bort.
24 Yeye huondoa mbali ufahamu kutoka kwa viongozi wa watu wa nchi; huwafanya wao kutangatanga msituni mahali pasipo na njia.
Stamhövdingar i landet berövar han förståndet, han leder dem vilse i väglösa ödemarker.
25 Wao wanapapasa katika giza bila kuwa na mwanga; yeye huwafanya wao kuweweseka kama mtu mlevi.
De famla i mörkret och hava intet ljus, han kommer dem att ragla såsom druckna.

< Ayubu 12 >