< Ayubu 12 >

1 Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
Bet Ījabs atbildēja un sacīja:
2 “Hakuna shaka ninyi wanadamu; Hekima mtakufa nayo.
Tas ir tiesa, jūs esat ļaudis un ar jums gudrība izmirs.
3 Lakini nina ufahamu kama vile ninyi; Mimi siyo duni kwenu. Ni dhhiri, ni nani asiyefahamu vitu hivyo kama hivi?
Man arīdzan ir sirds, tāpat kā jums, jūs man priekšā neesat, un kas tad to gudrību nezin?
4 Mimi ni kitu cha kuchekwa na jirani-Mimi, ni mmoja aliyemwita Mungu na ambaye alijibiwa na yeye! Mimi, ni mwenye haki na mtu asiyekuwa na hatia-Mimi sasa nimekuwa kitu cha kuchekwa.
Es pat savam tuvākam esmu par apsmieklu, es, kas Dievu piesaucis un no Viņa esmu paklausīts, par apsmieklu tas taisnais un sirdsskaidrais.
5 Katika mawazo yake mtu fulani aliye katika kufurahi, kuna kudharau kwa mashaka; hufikiri katika njia ambayo huleta mambo mabaya zaidi kwa wale ambao miguu yao inateleza.
Kauns nelaimei pēc laimīga domām; tas gaida to, kam kāja slīd.
6 Hema za wezi hufanikiwa, na wale ambao humkasirisha Mungu huhisi salama; mikono yao wenyewe ni miungu wao.
Postītāju dzīvokļiem labi klājās, un mierā paliek bezdievīgi un kam Dievs ir dūrē.
7 Lakini sasa waulize hao wanyama wa mwituni, na watakufundisha wewe; waulize ndege wa angani, na watakuambia wewe.
Un tiešām, vaicā jel lopiem, tie tev to mācīs, un putniem apakš debess, tie tev to stāstīs.
8 Au iambie ardhi, na itakufundisha wewe; samaki wa baharini watakutangazia wewe.
Jeb runā ar zemi, tā tev mācīs, un jūras zivis tev to izteiks.
9 Ni myama yupi miongoni mwa hawa asiyefahamu kuwa mkono wa Yahwe umetenda haya?
Kas neatzīst pie visa tā, ka Tā Kunga roka to darījusi.
10 Katika mkono wake mna uzima wa kila kiumbe hai na pumzi ya wanadamu wote.
Viņa rokā ir visu dzīvo dvēsele un visu cilvēku miesu gars.
11 Je, sikio haliyajaribu maneno kama vile kaakaa lionjavyo chakula chake?
Vai auss nepārbauda vārdus, kā mute bauda barību?
12 Kwa wazee mna hekima; katika wingi wa siku mna ufahamu.
Pie veciem ir gudrība un ilgs mūžs dod saprašanu.
13 Pamoja na Mungu mna hekima na ukuu; yeye anayo mashauri na ufahamu.
Pie Viņa ir gudrība un spēks, Viņam ir padoms un prāts.
14 Tazama, yeye huangusha chini, na haiwezekani kujengwa tena; kama yeye akimtia gerezani mtu yeyote, hakutakuwa tena kufunguliwa.
Redzi, Viņš nolauž, un neviens nevar uztaisīt. Viņš ko aizslēdz, un neviens nevar atvērt.
15 Tazama, kama yeye akiyazuia maji, yanakauka; na kama akiyaachilia nje yanaitaabisha ardhi.
Redzi, kad Viņš ūdeņus satur, tad tie izsīkst, un kad Viņš tos laiž vaļā, tad tie zemi griež apkārt.
16 Pamoja na yeye mna nguvu na hekima; watu ambao wamedanganywa na mdanganyi wote pamoja wako katika nguvu zake.
Pie Viņa ir spēks un pastāvība, Viņa priekšā ir, kas maldās un kas maldina.
17 Yeye huwaongoza washauri mbali bila kuvaa viatu katika huzuni; huwarudisha hakimu katika upumbavu.
Viņš ved padomu devējus par laupījumu, un tiesnešus Viņš dara par ģeķiem.
18 Yeye Huondoa minyororo ya mamlaka kutoka kwa wafalme; yeye hufunika viuno vyao kwa nguo.
Ķēniņu saites Viņš sarauj un apjož pašiem gurnus ar saitēm.
19 Yeye huwaongoza makuhani mbali bila kuvaa viatu na kuwapindua watu wakuu.
Viņš ved cienīgus par laupījumu, un apgāž varenus.
20 Yeye huondoa hotuba ya wale waliokuwa wameaminiwa na huondoa mbali ufahamu wa wazee.
Viņš atņem runātājiem valodu un noņem vecajiem prātu.
21 Yeye humwaga aibu juu ya binti za wafalme na hufungua mishipi ya watu wenye nguvu.
Viņš izlej negodu pār lieliem kungiem, un vareniem Viņš jostu raisa vaļā.
22 Yeye huweka wazi vitu vya kina kutoka katika giza na kuvileta nje kumuika vivuli mahali ambapa watu waliokufa wapo.
Viņš atklāj dziļumus tumsai, un nāves ēnu Viņš ved gaismā.
23 Yeye huyafanya mataifa kuwa na nguvu, na pia huyaharibu; Yeye pia huyakuza mataifa, na pia yeye huyaongoza mbali kama wafungwa.
Viņš vairo ļaudis un tos izdeldē, Viņš ceļ spēkā tautas un tās izklīdina.
24 Yeye huondoa mbali ufahamu kutoka kwa viongozi wa watu wa nchi; huwafanya wao kutangatanga msituni mahali pasipo na njia.
Viņš ļaužu virsniekiem virs zemes atņem sirdi un tos maldina tuksnesī, kur ceļa nav.
25 Wao wanapapasa katika giza bila kuwa na mwanga; yeye huwafanya wao kuweweseka kama mtu mlevi.
Tie grābsta tā kā tumsā, kur gaismas nav, un Viņš tiem liek maldīties kā piedzērušiem.

< Ayubu 12 >