< Isaya 48 >

1 Sikiliza hili, nyumba ya Jakobo, mlioitwa kwa jina la Israeli, na mmetoka katika mbegu ya Yuda; yeye akirie kwa jina la Yahwe na kumuhusisha Mungu wa Israeli, lakini sio kweli wala kwa namna ya haki.
“Sh'ma ·Hear obey· this, house of Jacob [Supplanter], you who are called by the name of Israel [God prevails], and have come out of the waters of Judah [Praised]. You swear by Adonai’s name, and make mention of the God of Israel [God prevails], but not in truth, nor in righteousness
2 Maana wanajiita wenyewewatu wa mji mtakatifu na kumuamini Mungu wa Israeli; Yahwe wa majeshi ndilo jina lake.
(for they call themselves citizens of the holy city, and rely on the God of Israel [God prevails]; Adonai Tzva'ot [Yahweh Commander of heaven’s armies] is his name):
3 ''Nimetangaza vitu kutoka siku nyingi; Wamekuja nje kutoka mdomoni mwangu, na nimewafanya wajulikane; halafu gafla nimewafanyia, na yakatimia.
I have declared the former things from of old; yes, they went out of my mouth, and I sh'ma ·heard obeyed, declared· them. I did them suddenly, and they happened.
4 Kwa sababu nilijua kwamba wewe ni mkaiidi, misuli ya shingo yako ni kama ya chuma, na paji la uso ni kama shaba,
Because I knew that you are obstinate, and your neck is an iron sinew, and your brow bronze;
5 Hivyo basi nilitangaza vitu hivi kabla havijatokeo hivyo, nilikujulisha wewe, 'Sanamu yangu imefanya haya au sanamu yangu ya kuchonga na sanamu yangu ya kuyeyusha, yamekwishisha vitu.
therefore I have declared it to you from of old; before it came to pass I sh'ma ·heard obeyed, declared· it to you; lest you should say, ‘My idol has done them, and my engraved image, and my molten image, has enjoined them.’
6 Umesikia kuhusu mambo haya; angalia ushahidi wote; na wewe, Je hautakubali kwamba ninacho kisema ni cha kweli? Kuanzia sasa na kuendelea Nitawaonyesha vitu vipya, mambo yaliyofichika ambayo hamkuyajua.
You have sh'ma ·hear obey· it; see all this. And you, won’t you declare it? “I have sh'ma ·hear obey, declared· you new things from this time, even hidden things, which you have not known.
7 Sasa, na sio yaliyopita, yamekuwa sasa, na kabla ya leo hamkusikia kuhusu wao, hivyo hautaweza kusema, 'Ndio, nilijua kuhusu wao.'
They are created now, and not from of old; and before today you didn’t sh'ma ·hear obey· them; lest you should say, ‘Behold, I knew them.’
8 Haukusikia; haukuelewa; haya mambo hayakufuniliwa katika masikio kabla ya. Maana nilijua kwamba umekuwa mdanganyifu, na kwamba umekuwa muasi kutoka kuzaliwa.
Yes, you didn’t sh'ma ·hear obey·; yes, you didn’t know; yes, from of old your ear was not opened: for I knew that you dealt very treacherously, and were called a transgressor from the womb.
9 Kwa niaba ya jina langu nitahairisha asira yangu, na kwa heshima yangu nitajizuia kutokumuharibu yeye.
For my name’s sake, I will defer my anger, and for my tehilah ·praise song· I hold it back for you, so that I don’t cut you off.
10 Tazama, Mimi niliwaandaa ninyi, lakini sio kama fedha; Nimekusafisha wewe katika tanuru la mateso.
Behold, I have refined you, but not as silver. I have chosen you in the furnace of affliction.
11 Kwa niaba yangu, kwa niaba yangu nitafanya; maana ni kwa jinsi gani niruhusu jina langu lisiheshimike? Sitampa utukufu wangu mtu yeyote.
For my own sake, for my own sake, I will do it; for how would my name be profaned? I will not give my kavod ·weighty glory· to another.
12 Nisikilize mimi, Yakobo, na Israeli niliyekuita: Mimi ndiye; Mimi ni wa kwanza, na pia wa mwisho.
“Sh'ma ·Hear obey· me, O Jacob [Supplanter], and Israel [God prevails] my called: I am he; I am the first, I am also the last.
13 Ndio, mkono wangu umeweka msingi wa nchi, na mkono wangu wa kuume ulizitawanya mbingu, zimesimama juu kwa pamoja.
Yes, my hand has laid the foundation of the earth, and my right hand has spread out the heavens. When I call to them, they stand up together.
14 Jikusanyeni wenyewe, nyinyi nyote, na sikilizeni; ni nani miongoni mwenu atangazaye mambo haya? Yahwe atakamilisha lengo lake dhidi ya Babeli. Atachukua mapenzi ya Yahwe dhidi ya wa Wakaldayo.
“Assemble yourselves, all of you, and sh'ma ·hear obey·; who among them has declared these things? He whom Adonai 'ahav ·affectionately loves· will do what he likes to Babylon [Confusion], and his arm will be against the Chaldeans [Descendants of Loving-kindness].
15 Mimi, nimezungumza, ndio, nimemchagua yeye, nimemleta yeye, na yeye atafanikiwa.
I, even I, have spoken; yes, I have called him. I have brought him, and he shall make his way prosperous.
16 Sogea karibu na mimi, sikiliza hili; kutoka mwanzo sikuzungumza katika siri; lakini ilipotokea, Mimi niko hapa; na sasa Bwana Mungu amenituma mimi, na Roho wake.''
“Come near to me and sh'ma ·hear obey· this: “From the beginning I have not spoken in secret; from the time that it happened, I was there.” Now the Lord Adonai has sent me, with his Spirit.
17 Yahwe asema hivi, Mkombozi wenu, Mtakatifu wa Israeli anasema, ''Mimi ni Yahwe Mungu wenu, ninayewafundisha juu ya kufanikiwa, ninayewaonyesha njia mtakayoiptia.
Adonai, your Redeemer, the haKadosh Isra'el [the Holy One of God prevails] says: “I am Adonai your God, who teaches you to profit, who leads you by the way that you should go.
18 Ikiwa kama mtaheshimu amri zangu! Hivyo amani na maendeleo yatatiririka kama mto, na wokovu wenu ni kama mawimbi kwenye bahari.
Oh that you had listened to my mitzvot ·instructions·! Then your peace would have been like a river, and your righteousness like the waves of the sea.
19 Watoto wako watakuwa wengi kama mchanga, na watoto kutoka kwenye tombo zenu watakuwa wengi kama nafaka kwenye mchanga; majina yao hayataondolewa wala kufutwa mbele yangu.
Your offspring also would have been as the sand, and the descendants of your body like its grains. His name would not be cut off nor destroyed from before me.”
20 Tokeni nje ya Babeli! wakimbieni Wakaldayo! kwa sauti ya kupiga kelele tangaza kwamba! hakikisha hili linajulikana, hakikisha hili linafika mpaka miisho ya nchi! sema 'Yahwe amemkomboa Yakobo mtumishi wake.
Leave Babylon [Confusion]! Flee from the Chaldeans [Descendants of Loving-kindness]! With a voice of singing sh'ma ·hear obey, declare· this, tell it even to the end of the earth: say, “Adonai has redeemed his servant Jacob [Supplanter]!”
21 Hawakupatwa na kiu alipowaongoza katika jangwa, alifanya maji kutokea kwenye mwamba kwa ajili yao; aliugawa na kufungua mwamba, na maji yakatoka nje.
They didn’t thirst when he led them through the deserts. He caused the waters to flow out of the rock for them. He split the rock also, and the waters gushed out.
22 Hakuna amani kwa watenda makosa- amesema Yahwe.''
“There is no peace,” says Adonai, “for the wicked.”

< Isaya 48 >