< Isaya 3 >

1 Ona, Bwana, Yahwe wa majeshi, anakaribia kuwachukua kutoka Yerusalema na Yudawasaidizi na wafanyakazi: wasambazaji wote wa mikate, wasambazaji wote wa maji;
Behold now, the Lord, the Lord of hosts, will take away from Jerusalem and from Judea the mighty man and mighty woman, the strength of bread, and the strength of water,
2 mtu mwenye nguvu, shuja, hakimu, nabii, dalili za msomaji, na mzee;
the great and mighty man, the warrior and the judge, and the prophet, and the counsellor, and the elder,
3 naodha wa hamsini, raia husika, mshauri, fundi mtarajiwa, na mchawi stadi.
the captain of fifty also, and the honourable counsellor, and the wise artificer, and the intelligent hearer.
4 Nitamuweka kijana tu kama kiongozi wenu, kijana atawaongoza wao.
And I will make youths their princes, and mockers shall have dominion over them.
5 Watu watanyanyasika, kila mmoja mmoja na kila mmoja na jirani yake; watoto watawatusi wazee, na mivutano itawapa changamoto waheshimiwa.
And the people shall fall, man upon man, and [every] man upon his neighbour: the child shall insult the elder man, and the base the honourable.
6 Mwanaume atamshikilia ndugu yake katika nyumba ya baba yake na kusema, 'Unayo kanzu; uwe kiongozi wetu, na uharibifu huu uwe mikononi mwako.
For a man shall lay hold of his brother, as one of his father's household, saying, You have raiment, be you our ruler, and let my meat be under you.
7 'Siku hiyo atapaza sauti na kusema, 'hautakuwa mganga; sina mkate wala mavazi. Hatanifanya kuwa kiongozi wa watu.
And he shall answer in that day, and say, I will not be your ruler; for I have no bread in my house, nor raiment: I will not be the ruler of this people.
8 Kwa maana Yerusalemu kuna mashaka, na Yuda imeanguka, kwa sababu mazungumzo yao na matendo yao yako kinyume na Yahwe, wanayapinga macho ya utukufu wake.
For Jerusalem is ruined, and Judea has fallen, and their tongues [have spoken] with iniquity, disobedient [as they are] towards the Lord.
9 Angalia nyuso zao zinashudia kinyume nao; na watasema dhambi zao kama Sodoma; hawatazificha, Ole wao! Maana wanakamilisha janga lao wenyewe.
Therefore now their glory has been brought low, and the shame of their countenance has withstood them, and they have proclaimed their sin as Sodom, and made it manifest.
10 Mwambie mtu mwenye haki kwamba itakuwa vizuri, maana watakula matunda ya matendo yao.
Woe to their soul, for they have devised an evil counsel against themselves, saying against themselves, Let us bind the just, for he is burdensome to us: therefore shall they eat the fruits of their works.
11 Ole kwa wakosaji! itakuwa vibaya kwa yeye, maana malipo ya mikono yake yatafanyika kwake pia.
Woe to the transgressor! evils shall happen to him according to the works of his hands.
12 Watu wangu-watoto wangu wanawakandamiza, na wanawake wanawaongoza wao. Watu wangu, wale wanaowaongoza wanawaongoza vibaya na kuchanganya muelekeo wa nja yenu.
O my people, your exactors strip you, and extortioners rule over you: O my people, they that pronounce you blesses lead you astray, and pervert the path of your feet.
13 Yahwe simama juu ya mashitaka; yeye amesimama kuwashaki watu.
But now the Lord will stand up for judgement, and will enter into judgement with his people.
14 Yahwe atakuja na hukumu juu ya wazee na watu wao na viongozi wao: ''Umeharibu shamba; nyara kutoka kwa masikni ziko kwenye nyumba zako.
The Lord himself shall enter into judgement with the elders of the people, and with their rulers: but why have you set my vineyard on fire, and [why is] the spoil of the poor in your houses?
15 Kwa nini unaponda watu wangu na kusaga nyuso za masikini?'' Hili ni tamko Bwana, Yahwe wa majeshi.
Why do you wrong my people, and shame the face of the poor?
16 Yahwe anasema hivyo kwa sababu mabinti wa Sayuni wanajigamba, wanatembea pekee yao vichwa vyao vikiwa juu, na kutaniana kwa macho yao, na kutakata kokote waendako na kuamua upatu kwa miguu yao,
Thus says the Lord, Because the daughters of Sion are haughty, and have walked with an outstretched neck, and with winking of the eyes, and motion of the feet, at the same time drawing their garments in trains, and at the same time sporting with their feet:
17 Kwa hiyo Bwana atafanya magonjwa ya mapele kwenye kishwa cha mabinti wa Sayuni, na Yahwe atawafanya upaa.
therefore the Lord will humble the chief daughters of Sion, and the Lord will expose their form in that day;
18 Siku hiyo Bwana ataondoa mapambo mazuri yaliyoko kwenye kifundo cha miguu, bendi za kichwa chao, kaya zao; bangili za masikio,
and the Lord will take away the glory of their raiment, the curls and the fringes, and the crescents,
19 bangili za miguu na taji zao;
and the chains, and the ornaments of their faces,
20 kitambaa cha kichwa, chaini za miguu, mafurungu na maboksi ya marashi na na haiba ya bahati.
and the array of glorious ornaments, and the armlets, and the bracelets, and the wreathed work, and the finger-rings, and the ornaments for the right hand,
21 Atatoa bangili na kipini kwenye pua;
and the ear-rings, and the garments with scarlet borders, and the garments with purple grounds, and the shawls to be worn in the house, and the Spartan transparent dresses, and those made of fine linen, and the purple [ones], and the scarlet [ones], and the fine linen, interwoven with gold and purple, and the light coverings for couches.
22 sherehe za mavazi, mapazia na mabegi ya mkononi;
And there shall be instead of a sweet smell, dust; and instead of a girdle, you shall gird yourself with a rope; and instead of a golden ornament for the head, you shall have baldness on account of your works; and instead of a tunic with a scarlet ground, you shall gird yourself with sackcloth.
23 vioo vya mkononi, sanda nzuri, vilemba vya kichwa na taji.
And your most beautiful son whom you love shall fall by the sword; and your mighty men shall fall by the sword, and shall be brought low.
24 Badala ya manukato mazuri kutakuwa na arufu mbaya; na badala ya ukunda, kamba, kufunika kwa vazi la gunia; kitia alama mwilini kwa moto badala ya uzuri. wanaume wao wataanguka kwa upanga,
And the stores of your ornaments shall mourn, and you shall be left alone, and shall be levelled with the ground.
25 na wanaume wenye nguvu wataanguka kwenye vita.
26 Lango la Yerusalemu litaomboleza na kuomboleza; na atakuwa peke yake amekaa chini ya ardhi.

< Isaya 3 >