< Wimbo wa Sulemani 1 >

1 Wimbo ulio Bora, ambao ni wa Sulemani. Wanamke mdogo akizungumza na mpenzi wake
The Song of songs, which is Solomon's.
2 O, laiti ungenibusu na mabasu ya mdomo wako, kwa kuwa upendo wako ni bora kuliko mvinyo.
Let him kiss me with the kisses of his mouth: for your breasts are better than wine.
3 Mafuta yako ya upako yana manukato mazuri; jina lako ni kama marashi yaeleayo, hivyo wanawake wadogo wanakupenda.
And the smell of your ointments is better than all spices: your name is ointment poured forth; therefore do the young maidens love you.
4 Nichukuwe kwako, na tutakimbia. Mwanamke akizungumza mwenyewe Mfalme amenipeleka vyumbani mwake. Mwanamke akizungumza na mpenzi wake nina furuha; nina furahi kuhusu wewe; acha ni shereheke upendo wako; ni bora kuliko mvinyo. Ni halisi kwa wanawake wengine kupenda. Mwanamke akizungumza na wanawake wengine.
They have drawn you: we will run after you, for the smell of your ointments: the king has brought me into closet: let us rejoice and be glad in you; we will love your breasts more than wine: righteousness loves you.
5 Mimi ni mweusi lakini mzuri, enyi mabinti wa wanaume wa Yerusalemu - mweusi kama hema za Kedari, muzuri kama mapazia ya Sulemani.
I am black, but beautiful, you daughters of Jerusalem, as the tents of Kedar, as the curtains of Solomon.
6 Usinishangae kwasababu ni mweusi, kwasababu jua limeniunguza. Wana wa mama yangu walikuwa na hasira juu yangu; walinifanya mtunzi wa mashamba ya mizabibu, lakini mshamba langu la mizabibu sijatunza. Wanamke akizungumza na mpenzi wake.
Look not upon me, because I am dark, because the sun has looked unfavourably upon me: my mother's sons strove with me; they made me keeper in the vineyards; I have not kept my own vineyard.
7 Niambie, wewe ninaye kupenda, wapi unalisha mifugo yako? Wapi unapumzisha mifugo yako mchana? Kwa nini niwe kama mtu anaye akangaika miongoni mwa mifugo ya marafiki zako? Mpenzi wake anamjibu
Tell me, [you] whom my soul loves, where you tend your flock, where you cause [them] to rest at noon, lest I become as one that is veiled by the flocks of your companions.
8 Kama haujui, uliye mzuri miongoni mwa wanawake, fuata nyayo za mifugo yangu, na ulishe watoto wako wa mbuzi karibu na hema za wachungaji.
If you know not yourself, you fair one amongst women, go you forth by the footsteps of the flocks, and feed your kids by the shepherd's tents.
9 Nina kulinganisha, mpenzi wangu, na farasi mzuri wakike miongoni mwa farasi wa magari ya Farao.
I have likened you, my companion, to my horses in the chariots of Pharao.
10 Mashavu yako ni mazuri na mapambo, shingo yako na mikufu ya madini.
How are your cheeks beautiful as [those] of a dove, your neck as chains!
11 Nitakufanyia mapambo ya dhahabu yaliochanganywa na fedha. Mwanamke akiongea mwenyewe.
We will make you figures of gold with studs of silver.
12 Wakati mfalme akiwa amelala kitandani mwake, marashi yangu yakasambaza arufu.
So long as the king was at table, my spikenard gave forth its smell.
13 Mpenzi wangu ni kwangu kama mkebe wa marashi unao lala usiku katika ya maziwa yangu.
My kinsman is to me a bundle of myrrh; he shall lie between my breasts.
14 Mpenzi wangu ni kwangu kama kifurushi cha maua ya hena katika mashamba ya mizabibu ya Eni Gedi. Mpenzi wake anazungumza naye
My kinsman is to me a cluster of camphor in the vineyards of Engaddi.
15 Ona, wewe ni mzuri, mpenzi wangu; ona, wewe ni mzuri; macho yako ni kama ya hua. Mwanamke anazungumza na mpenzi wake.
Behold, you are fair, my companion; behold, you are fair; your eyes are doves.
16 Ona, wewe ni mtanashati, mpenzi wangu, jinsi mtanashati.
Behold, you are fair, my kinsman, yes, beautiful, overshadowing our bed.
17 Nguzo za nyumba yetu ni za matawi ya mierezi, na dari letu ni la matawi ya miberoshi.
The beams of our house are cedars, our ceilings are of cypress.

< Wimbo wa Sulemani 1 >