< Isaya 18 >

1 Ole kwa nchi ya wezi wa mabawa, iliyoko mbali kupitia mito ya Ethiopia;
Alas! O land of whirring of wings which [is] from [the] other side of [the] rivers of Cush.
2 wanowatuma mabalozi wao kwa kupitia bahari, na vyombo vya majani juu ya maji. Nendeni enyi wajumbe wepesi, kwa watu warefu na laini waishio kwenye nchi, kwa watu wanogopa mbali na karibu, taifa lenye nguvu, wakanyagao watu, ambao mito imegawanya nchi yao.
Which sends on the sea envoys and in vessels of papyrus on [the] surface of [the] waters go - O messengers swift to a nation tall and smooth skinned to a people feared from it and beyond a nation of strength of strength and trampling which they divide rivers land its.
3 Watu wote wakaao duniani nao wakaao katika nchi, pale ishara itakaponyanyuliwa juu ya milima, angalia; na sikilizeni mbiu itakapopulizwa.
O all [the] inhabitants of [the] world and [those who] dwell earth when lifts up a standard mountains you will see [it] and just as sounds a trumpet you will hear [it].
4 Yahwe asema hivi, ''nitachunguza kimyakimya kutoka nyumbani kwangu, kama kupika joto kwenye jua, na kama ukungu kwenye joto la mavuno.
For thus he said Yahweh to me (I will remain quiet *Qk) and I will pay attention in place my like heat dazzling with light like a cloud of dew in [the] heat of harvest.
5 Kabla ya mavuno, pale kipindi cha maua kinapoisha, na maua yako tayari kuwa zabibu. Atakata matawi kwa kupogoa ndoano, na atakatiwa chini na kuchukua matawi yaliyotawanyika.
For before harvest when is finished bud[s] and unripe grape[s] ripening it will become blossom and he will cut off the shoots with pruning knives and the tendrils he will remove he will cut away.
6 Wataachwa kwa pamoja maana ndege wa milimani na wanyama wa duniani. Ndege watatua kwao majira ya joto, na wanyama wote watakuwa kwao kipindi cha baridi.''
They will be abandoned alike to bird[s] of prey of [the] mountains and to [the] animal[s] of the earth and it will pass [the] summer on it the bird[s] of prey and every animal of the earth on it it will pass [the] winter.
7 Kwa mda huo kodi italetwa kwa Yahwe wa majeshi kwa watu warefu na laini, kwa watu wanohofia umbali na ukaribu, taifa imara na kukanyagwa chini, ambayo nchi yao imegawanjwa na mito, Kwa sehemu ya jina la Yahwe wa majeshi, mpaka mlima Sayuni.
At the time that it will be brought a gift to Yahweh of hosts a people tall and smooth skinned and from a people feared from it and beyond a nation of - strength of strength and trampling which they divide rivers land its to [the] place of [the] name of Yahweh of hosts [the] mountain of Zion.

< Isaya 18 >